Mzeee warioba ubarikiwe sana kwakutuelemisha,, Mungu akujalie uishi miaka mingi zaidi
@kiweludonald2972
Ай бұрын
Oq❤
@JustineMrosso
Ай бұрын
Mwandishi na mwariri bora Ansebert.
@justinecom7461
Ай бұрын
Katika wanasias ninaowalewa Mzee Warioba ni Jembe,,anajua anachokiongea,,👏👏👏
@jumamayonga8914
Ай бұрын
Ushauri uliotolewa na tume ya Waryoba uzingatiwe
@user-xe8xv6so6s
Ай бұрын
Selikali ya tanganyika kwanini wanakataa katiba ya walioba! Jibu ni kweli mafisadi wa najitahidi kukwepesha waendelee ktuibia. Asante ngurumo kwa uchambuzi. Mungu akubariki.
@Mkorajr
Ай бұрын
Nimemwelewa jaji warioba, Zanzibar ni nchi na hivyo Tanganyika nae ajitokeze!!!
@Byondorujulika17
Ай бұрын
Asante sana muzee wetu kwa uchambuzi na utafiti wa hali ya juu. Muzee tulikuwa tumekukumbuka sana kwa sababu tulikuwa hatupati uchambuzi wako, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸
@rahabufilangali-cp6br
Ай бұрын
Ninaitaka Tanganyika yangu tuamke
@StephenLetta
Ай бұрын
Huu ndiyo ukweli ambao ukisemwa na watu wasiopendwa wanaonekana kama wanatangaza ubaguzi. Katika hali hiyo Lissu ana makosa gani?
@godsson5954
Ай бұрын
Hivi Lissu ndo kaibua yote haya
@elibarikimollel7149
Ай бұрын
Uchambuzi huu mahiri wa mwandishi nguli Ansbert wa historia katika nyakati tofauti juu ya muungano na katiba mpya unafaa uwafikie hawa watawala wetu pengine watazibuka masikio na kuchukua hatua! Kwa umuhimu Watumiwe clip hii wote moja kwa moja bila kungoja mmoja mmoja wakutane nayo mtandaoni...
@edesaron9070
Ай бұрын
Ukweli siku zote unasimama wenyewe
@omaryyusuph7877
Ай бұрын
Ccm toeni pamba masikioni huu mungano uko mbele utaleta shida katika taifa
@MathewNathan-yb2bz
Ай бұрын
Naunga mkono hoja,serikali tatu ndio suluhisho
@user-vi1ds6gw9g
Ай бұрын
Namwona profesa kama profesa, ila ukimwuliza leo atakwambia tofauti na yale alisema wakati ule, kwasababu tu anakula mezani pa wakuu, unafiki wa wasomi wa Tz ndiyo kinacholeta matatizo nchi hii!😢😢🇹🇿
@jesaminzo
Ай бұрын
Unamwongelea nani? Kama una maana ya Warioba, utakuwa umekosea sana, hata siku moja hajawahi pindisha maneno.
@kingmzebez7786
Ай бұрын
Mzee we2 jembe letu lililo bakia mungu akupe afya njema mzee walioba msema ukwer ni mpenzi wa mungu dunia tunapita tafakali maneno y mzee walioba ya kujenga taifa lenye usawa kama🇹🇿❤📿🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✌✌💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪✍✍✍✍✍✍✍🤳
@user-hu9bf7nw4c
Ай бұрын
Mzee warioba upo sahihi kusema ukwel ila wanaopenda kula pesa za nchi pasipo haki Yao ,ambao n viongoz hua mtu akiweka Waz au kuzungumza ukwel unakuata wanamchukia, ndio maana nchi hii imejaa umaskin wakat nchi inalasilimal nyingi
@ChristmasMaheri
Ай бұрын
Tanganyika ibebe majukumu yake kikamilifu.Isidhani muungano na Zanzibar,kwa muundo uliopo kuna faida muhimu sana kwake.Tunajua historia ya mtu mweusi duniani na kazi ya ukombozi iliyofanyika tayari.Kwa sasa,huwezi kuamini kuwa jamii zile tulizopingana nazo katika ukombozi ndiyo zimekuwa kimbilio.Tumeyumba kabisa.Tutulie tujenge nchi yetu Tanganyika.
@MuhojaMalicho
Ай бұрын
❤❤❤❤❤ kweli mwamba
@luganomwaigomole7441
Ай бұрын
MZEE WARIOBA NI AKILI KUBWA NA TUNU YA TAIFA❤
@SarahShao-jw1up
Ай бұрын
Huu MUUNGANO Kuna watu wachache WANAULAZIMISHA kwa makusudi mabaya waliyo nayo sirini ya kuangamiza Tanganyika.....
@jesaminzo
Ай бұрын
Na si kuiangamiza Tanganyika tu, bali pia wao wanafaidi na huo muungano wenye mashaka.
@edsonnelson4464
Ай бұрын
Kwa hilo nimekuelewa Tundu Lisssu na Mbowe kazeni buti tu watu wataelewa
@aminielkombe66
Ай бұрын
Warioba mtu na nusu
@robertzingu9889
Ай бұрын
Aisee, sasa Jaji Joseph Warioba anafunua mambo kiasi cha kuacha nyeti za kuku kuonekana wazi kabisa. CCM hata wafanyeje, mabadiliko ya mfumo wa muungano na uendeshaji nchi lazima yafanyike na kama sio kwa hiari basi itakuwa ni kwa lazima!
@yusuphabel5530
Ай бұрын
Mungu amlinde Mzee wetu.
@khamisdaima1455
Ай бұрын
Inaonesha tatizo lenu mmeshalielewa, jee sasa mpo tyr kuitwa watanganyika? Maana mnaskia aibu mkiitwa watanganyika
@abdull_hafidh
Ай бұрын
Mupo sahihi Tafuteni Tanganyika yenu
@Sheba4651
Ай бұрын
Waongo tu hao, wajanja wajanja tu, kelele hizo za mazimwi, wanaiwinda kuimaliza Zanzibar tu iwe mkoa. Mbona Tanganyika ndio inayofaidika mia percent, wanalohitaji kwa maendeleo yao kwa miaka 60 iliyopita mzanzibari hakusubutu kuwazuiya, hata hayo anayoamua sasa hivi mama na wao wenyewe wamo humo humo. Kero za muungano kila uchwao Zanzibar ndio wanalia, watuposhe uko.
@MathewNathan-yb2bz
Ай бұрын
Tunataka serikali tatu na kama itashindikana hizo serikali tatu ni bora Muungano uvunjike kabisa.Muungano uliopo sasa hautendi haki kabisa.
@user-td5ye9zb1l
Ай бұрын
Lisu +Mbowe and Kabudi Asante kwa elimu hii ya juu.
@sylvestersamwel8210
Ай бұрын
Mzee Kinana,Nape na mambulula wengine kazi kwenu, kosoeni na haya sasa!!
@samsonmwijage1869
Ай бұрын
Asante kwa tafakari hizo ni za msingi. Toleo lijalo hebu jadili na tutafakari kinachoendelea ndani ya chadema kwa wiki kadhaa sasa kama kweli kinaakisi alichosema Sumaye wakati anaondoka chadema baadaye kurudi CCM kwamba alifanyiwa MIZENGWE asigombee nafasi ya M/kiti ili Mbowe abaki madarakani na madai yake kwamba hakuna demokrasia ya kweli ndani ya chadema !!!!! Sababu ambazo pia alisema Katambi aliyekuwa m/kiti wa vijana chadema (BAVICHA) akaicha nafasi hiyo na kuamua kuhamia CCM. Hebu jadili kwa hiki kinachoendelea ndani ya chadema je ni kweli sababu za kufukuzwa ndani ya chadema akina Zito na wenzake zilikuwa na mashiko au fitina za kisiasa tu na madai yake kuwa walifukuzwa bila kupewa nafasi ya kujitetea?
@samsonkatigiri2344
Ай бұрын
kama hata hayo ya kina zito na katambi huyajui basi wewe sio mwanasiasa,fuatilia hata mpira nao ni mzuri 😂😂😂😂
@jesaminzo
Ай бұрын
Kama huyajui ya akina Zitto, nitafute inbox nikwambie ninachokifahamu
@richardmwandanji65
Ай бұрын
Sijui tumelogwa na nani watumilioni hamsini tumeshindwaje kupata Raisi mpaka tunakopeshwa na wazanzibari ee Mungu tuhurumie
@richardnganya2311
Ай бұрын
CCM ndiyo inayologa watu.. tumelogeka na kujazwa woga na ujinga..!!
@edwardmwingira7096
Ай бұрын
Serikali 3 ni muhim sana. Serikali ya Tanganyika lazima iwepo!
@reginamwendwa6709
Ай бұрын
Viva mzee Warioba viva
@Stonecity01
Ай бұрын
SK MEDIA huwa nafwatilia taarifa nyingi ila ni kisikia kwako naelewa kwa kina
@aminieljohn5475
Ай бұрын
Kwa miaka mingi tumekuwa tukitenfenezwa kama kizazi cha wadanyika.....vipofu wa utiaifa wetu na utambulisho wetu....na upofu wa fikra umejengwa na personalities kama mzee wasira na ndugu yangu Abdulraman Elahmedi Kinana...
@RaymondKilomeye
Ай бұрын
Mungu tusaidie hakika mungano huu nimchongo hauna uwaz Wala usawa hili swala linahtaj ujasiri mkubwa kwa watanganyika
@allyomary2271
Ай бұрын
Mliokuwa mnampinga lisu kama nawaona maana hoja zote alizozitoa kuhusu muungano warioba kaja kujazia nyama
@godsson5954
Ай бұрын
Ndo maana baada ya kwamba kutoweka kulikua na sinto faham nyng
@iddibakari3969
Ай бұрын
Hapa hakuna muungano
@aminieljohn5475
Ай бұрын
Jaji JS Warioba ni political think tank wa Tanzania, ana maarifa makubwa sana. Mawazo yake ndiyo yatakayookoa muungano...tukiziba masikio ya fikra zetu na welewa kwasababu ya kidumu chama chetu tutajuta muda si mrefu ujao. Wanaong'ang'gania mfumo huu dhalili wa muungano tujue "you can fool some of the people some of the time but not all the people all the time....anayoyasema Lissu ni dhahiri....watanzania gawatakua wadanganyika tena wala wagalatania waliorogwa! Wakati hu ndiyo wakati wa kutengeneza.... Mama Samia Suluhu wewe ndiyo suluhu wakati huu....weka historia...weka legacy kama mama....unaitwa mama kuwa mama kweli katika hili...ukiweza hili utaitwa mama wa taifa...!!??....kwanini ccm hawataki huu ukweli?.......
@user-cz9zu7ur1h
Ай бұрын
Hapo serikali tatu ndio muafaka
@edwardmizambwa237
Ай бұрын
Tatizo ambalo haliongelewi sana ni ule woga kwa Watanganika kua Zanzibar na Tanganyika zikiwa nchi mbili tofauti, huu ukanda wa bahari ( tunayo pakana) itakua ni free zone kiasi cha kukosekana kwa usalama wa hizi nchi na ukanda wa bahari ya Hindi kwa kwa ujumla. Je haupo uwezekano wa kukabiliana na hilo? Hofu ta Watanganika ni hiyo.
@malindimalindimerinyo1632
Ай бұрын
Kutokana na ukweli huu wote Samia angetakiwa awe wa serikali ya muumgano serikali Zanzibar iwe na rais wao Mzanzibar na serikali Tanganyika iwe na rais mtanganyika ..... Nyerere alikuwa na mawazo mazuri wakati ule leo kuna watu wenye mawazo mazuri zaidi.....alafu kinacho sikitisha nikwamba mtanganyika naona nikipofu haoni ukweli shida sana
@frankremishoy5778
Ай бұрын
Ccm mnajuwa sema mmeweka pamba makusudi
@emmanuelsulle911
Ай бұрын
Mwandishi Mzuri Mno
@bcozhenry2698
Ай бұрын
Ukisikia akili ni mali, basi ni hii ya Mzee Warioba
@paschalkimboka4605
Ай бұрын
Hapo Kabudi alikuwa alikuwa na akili timamu
@user-sl1ko9me7u
Ай бұрын
VIVA MH. MZEE WARIOBA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.
@King_Of_Everything
Ай бұрын
👍👊✌️.
@user-cz9zu7ur1h
Ай бұрын
Utakavo fanya zanzibar ninchi inavielelezo kabisa ila huku tanganyika hakuna utaifa watanganyika naimeuliwa naviongozi nawanajuwa nasijui walimanisha nini inaumiza
@peterbangari4273
Ай бұрын
Ngulumo Asante sana unaufahumu mkubwa sana hasa katika uchambuzi wako ni wa makini na uhalisia mkubwa
@salummohamed2689
Ай бұрын
Haya yamesemwa takribani miaka 10 iliyopita, ni haki kuwa tuwe tunarudiarudia kulumbana lumbana Kwa mambo yayolalamikiwa mara Kwa mara?
@AnsbertNgurumo
Ай бұрын
Kulumbana ni muhimu ili kusisitiza hoja. Ukweli usiposemwa, propaganda zitatawala. Hakuna kikomo cha muda wa kuyazungumzia.
@AthumanJuma-iw8fh
Ай бұрын
Tubadiri katiba iwe inahaki sawa
@user-oy3dg3pq2v
Ай бұрын
Kiufupi Mimi sioni faida ya sisi kuungana Zanzibar
@geofreyyotham502
Ай бұрын
Serikali tatu ndio suruhisho
@user-ct7ks1pv3z
Ай бұрын
Nashauri uwepo wa serekali tatu ,yaani serekali ya muungano ,serekali ya Tanganyika na serekali ya Zanzibar
@elibarikimollel7149
Ай бұрын
Tafakuri yangu inaniambia: hawa watawala wachache wa ccm wanaokataa hoja hizi za umuhimu wa katiba mpya, wanangoja makusudi kwa tamaa ya madaraka idadi ya tunaodai Tanganyika iwe kubwa tuidai kwa miguu yetu ili iweje?! Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa makubaliano ya mgawanyo sawa na serikali tatu ni muhimu sana.
@philemonsnyanda9450
Ай бұрын
Kabudi kabudi, nakuita mara2 hivi huyu kabudi kabla ya kulamba cheo ndiyo huyu🤣
@kenedysimon3566
Ай бұрын
Achana na mizinga wabunge 77 kutoka Zanzibar Ili Hali jmla Yao ni milion Moja
@jastinmodest8073
Ай бұрын
Huyu Mzee licha ya kwamba ni mwanasheria pia ana hekima busara na akili nying aise
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
Nape kama unawapenda sana wazanzibar hamia huko na utafukuzwa saa hiyo hoyo kama utahamia usiku utafukuzwa usiku huo huo. Ndiyo utaanza kujifahamu na kuanza kuwa akili timamu.
@user-ix9hf4yw9r
Ай бұрын
Ok
@MikaLepilal
Ай бұрын
Duh! mada ngumu
@peterbangari4273
Ай бұрын
Nimeona kwamba Hawa viongozi 4 wete walisema neno Moja ambalo ni sahihi Ila kwa sasa amelisema mweshimiws lisu wanamsakama sana kana kwamba hakuna mtu alishawai kusema haya mneno
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
Watanganyika tuanze kuandamana kudai Tanganyika lazima watanganyika tufikili sana kama tunaaza kuandamana mara moja kudai kudai Tanganyika yetu
@eunho9529
Ай бұрын
Muungano una faida kwa zanzibar na siyo Tanganyika
@neliusgosbertbaguma8693
Ай бұрын
Haipingiki Samia analo jambo la kufanya, mpaka uchaguzi ukija kukaa sawa atanyooka
@user-gd2xj3xd1b
Ай бұрын
LAZIMA TURUDI KTK MKATABA WA MUUNGANO
@frankremishoy5778
Ай бұрын
Mkataba haupo haujulikani ulipo
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
Wabunge waliojaa bunge la Tanganyika na kula pesa za kodi la watanganyika.
@sebastianmwantuge5597
Ай бұрын
Kuna viongozi wakuu wa Serikali kutoka Tanganyika wanaisaliti Tanganyika na Watanganyika kwa sababu wao wanakula wanashiba,hawana wasiwasi. Nchi imekuwa masikini kwa sababu ya huu muungano mbovu. Wazanzibari wanatutawala Tanganyika.Tumeshakuwa werevu sasa,tunataka kuwa na Serikali yetu. Mtu from no where anaamua kugawa rasilimali za Tanganyika na viongozi wa Tanzania bara mpo tu!
@franklinmalugu3934
Ай бұрын
Watanganyika tuache uzuzu ....tunataka serikali yetu ya Tanganyika. Tunataka usawa katika Muungano
@PhilipoMwita-wc1ku
Ай бұрын
Kwakweli lissu ana nyota ya ajabu Yani KAULI yake Moja tu Hadi ccm wanatetemeka wanahangaika
@user-cz9zu7ur1h
Ай бұрын
Kaka nikisikiliza hizi habari zako unaongea kwafact nilicho gunduwa viongozi kutoka tanganyika ndii waliyo iuwa tanganyika
@malkavoice2570
Ай бұрын
Huu muungano hauna faida kwetu sisi watanganyika hata kidogo huu muungano wakiupigaji. Zanzbar wanatupiga tunaona. Kwani tukiuvunja ninani atakayeumia kati yetu bara na visiwani?
@Kwelihukuwekahuru
Ай бұрын
Natamani Nape amjibu Warioba na Kabudi
@agastokissatu2667
Ай бұрын
.... tunaomba tuwe na nchi ya ya Tanganyika....ili tuwe na muungano halisi....!!!
@fredquinbi2389
Ай бұрын
Kwani lazma simkae na tanganyika yenu
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
Kwani muungano mbona haupo tena! Muungano wa Tanzania uliisha wakati Zanzibar walipotoa vipengele kuvipeleka Zanzibar. Arudishe kila alicho gawa cha Tanganyika. Mzanzibari arudi kwao kabla hatujaanza kurudisha KATIBA ya Tanganyika na kufanyika Tanganyika huru awe ameenda kwao si anajua yaliyoandikwa kwenye KATIBA ya kwao Zanzibar. Sasa hapa anafaya nini kama kweli CCM si wanafiki?
@saidiathuman-og6bc
Ай бұрын
Haki hatupat wa Tanganyika kamavipi muungano ufe au tupate selekali tatu3 lakini kwaivi ilivyo mim naona mazng zong,,,
@felixmsengi1084
Ай бұрын
Nafurahi kwa hoja hizi, swali Nini kifanyike Sasa kutatua ?
@daudkondo4069
Ай бұрын
Kuna haja ya kufuata ya warioba
@rebekakulwa6159
Ай бұрын
Tunataka Tanganyika yetu na kitaeleweka
@user-zj4ii6uf7t
Ай бұрын
Viongozi wetu msijitoe ufahamu, tunataka Tanganyika yetu sisi watanganyika, sisi watanganyika siyo wabaguzi wabaguzi ni wazanzi bar ndo walio tugawa watanganyika, Jamani watanganyika tuamke tuidai katiba na Tanganyika yetu kwa nguvu zetu zote na kwa akili zetu zote,tuamke Jamani watanganyika kudai haki yetu km wat
@robertmagubu4586
Ай бұрын
Yaani kiukweli una uwezo mkubwa sana wa kuona mambo. Kimsingi yaliyosemwa na wasemaji wa miaka 10 iliyopita na ambayo Serekali miaka yote wamekuwa wakiyakataa ndio yanaenda kutokea. Tanganyika inaenda kudaiwa kwa nguvu kubwa sana. Watawala wasiposoma alama za nyakati muungano utavunjika siku si nyingi na wakati hayo yakitokea huwenda ikawa kwa mzozo mkubwa sana. Watu wanaosimamia vitengo nyeti wanatakiwa kuyaona haya na kuwashauri watawala nini cha kufanya. Kushupaza shingo jambo litaharibika tu na ni suala la muda.
@evodiusbahegwa6557
Ай бұрын
Oya sasa toeni njia ya kunyofoka hapo
@rebekakulwa6159
Ай бұрын
Fisiyemu hautaweza watu washaanza kujua haki zao kama kudanganya. Danganya misukule wenzio
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
Sasa Samia anasimamisha mishipa kutaka kuwa Raisi ya Tanganyika hivi kweli tu wapumbavu?
@richardmwandanji65
Ай бұрын
Kunawatu nchi hii wanaishi kwa uchawa kama Alina nape na Alina mwigilu na wanao tushambulia tunao dai KATIBA MPYA na tanganyika yetu sijui wanataka tudai Tanganyika yetu kwa nguvu au Nini sisi ni wazalendo tunataka watusikilize tunataka Taifa letu na mungano wa makubaliano sio kwa lazima
@user-uq7kk4dw2o
Ай бұрын
Heeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🙄🙄
@venancebanda291
Ай бұрын
Hakuna muungano hapo kila mtu ashike lake
@user-td5ye9zb1l
Ай бұрын
Duuu kabudi ulinena vema.
@malkavoice2570
Ай бұрын
Sasa kama hili lilitokea tangu 2010 imekuwaje 2016 Raisi awe Mzanzbar inamaana sisi Tanganyika nani aliyetuloga?
@RamadhaniRamadhani-yd4hq
Ай бұрын
Hapa nimeanza kukuelewa
@richardnganya2311
Ай бұрын
Bila ya Serikali tatu Muungano hautakuwa salama.
@malkavoice2570
Ай бұрын
Mbona Kabudi haeleweki!
@richardnganya2311
Ай бұрын
Vipande vya pesa vilimtembelea
@ConfusedDaisies-rb5
Ай бұрын
Tatizo la wasomi na viongozi wetu ni wanafiki wanajali matumbo yao tu
@maisarirajab4846
Ай бұрын
Akili nyingi mbele kiza 😂😂😂 si mulisema zanzibar sio nchi
@abdulrahmankhamis4099
Ай бұрын
mbowe anakosea sana, huwezi kuilinganisha Zanzibar na Tanga kwasababu Tanga haijwahi kuwa dola huru, hata hao wa .... kuoka zanzibar bado ni kidgo kasababu issue ya 2 third majority haifanyi kazi. Wazanzibar walitowa soverenity yao na bado wamekubali kuwa na wabunge wachache kwenye bunge. lakini pia hata hao wapiga kura wa waanzibar ambao wameamuwa kutowa hadhi ya nchi yao na kumpa raisi ya wa jamuhuri ya muungano hawana say katika kumchaguwa huyo mtu waliyempa haki yao. kama wazanzibar wote watamkataa mtu aliyechaguliwa na watanganyika bado atakuwa raisi ya muungano. hli mbowe mbona hulisemi.
@user-zj4ii6uf7t
Ай бұрын
Ila nyiye Viongozi siwaekewi kabisa ivi mnamatatizo gani?mbona vitu viko wazi sn vinaeleweka?sisi watanganyika tumewaelewa sn ndo maana tunadai serikari tatu,mnachota kuto wapa watanganyika serikari Yao ni nini?ivi niwaulize viongozi viongozi,kwani mnaajenda gani na wananchi wa Tanganyika?acheni huwo uroho wa madaraka? Jamani,hii dunia ni mzunguko
Пікірлер: 149