Asante sana SnS kwa kutuletea Bi Mwenda ana ushauri wa kujenga.
@salamakombo3257
2 жыл бұрын
Huyu mama nampendaa nilipokuwa mdogo nilikuwa namuogopa namchukia kumbee anatufunza jamani love
@إيميكينياني
2 жыл бұрын
Jamani huyu mama mpendwa love u so much
@rahima928
2 жыл бұрын
Bi mwenda upo kama mnaigeria umeshikiria nasafi yako ya uhusika wa ushirikina umeuvaa
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Hongera sana bibi yetu
@asaadalbusaidi1870
2 жыл бұрын
Hongera bimwenda 👏👏
@yeunhiasrwetze8377
2 жыл бұрын
😂😂😂 uyu bibi kwenye nafas yake ya kukaanga sumu anapamudu🙏🙏🙏🙏
@hilaryapaul2143
2 жыл бұрын
😅😅kweli jmn
@maryambigirimana987
2 жыл бұрын
Kape ndeza
@abdunnasser9580
2 жыл бұрын
Nadhani leo youtube ime tubadilisgia idadi ya namba za subscribus za Sns Kukalimisha 1M Kama wadau wa sns leo nafurahia sana na kwangu nisherehe kubwa sana Nadhani yote haya nikulingana nahabari za uhakika zinazo tolewa na majedari wa sns kama watanagazaji mungu akupeni afya njema na umri safi we love u sns for ever🌺💞
@hamoudcreator6343
2 жыл бұрын
Eti Heshima Yako 😂 😂😂😂 Vijana wa Siku Hizi 🤣
@zou7470
2 жыл бұрын
Bi mwenda conde conde murudishe nandy kwenye hali yake roy anapata shida🤣🤣🤣but nakukubal mama 💓💓
@nenytsara4795
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@catherinemuhagama7338
2 жыл бұрын
Esco una vdole vzur🥰👌nmevipenda jamanii
@gracek5425
2 жыл бұрын
Yani umenifanya nimuangalie tena givyo vidole😅😅😅
@hamoudcreator6343
2 жыл бұрын
Daaaah SnS Mizinguo inaendelea🥴🥴🥴
@airinsumeno2490
2 жыл бұрын
B mwenda chonde chonde tunakuomba mrudishe nandi kwenye Hal yake 🤣🤣🤣🤣🤣
@zou7470
2 жыл бұрын
Kbs🤣🤣🤣
@تاتوجمعه
2 жыл бұрын
Hiyo move inaitwaje nikatizame🤔
@zou7470
2 жыл бұрын
@@تاتوجمعه ni huba
@jamesobedy3940
2 жыл бұрын
@@تاتوجمعه sio move ni tafsiria
@تاتوجمعه
2 жыл бұрын
@@jamesobedy3940 inaitwaje sasa
@sakinaamani1486
2 жыл бұрын
Mtu mzuri kweli sabbu mtu yyote mwenye kutoa machozi n imani tupu
@hatibbaraka3956
2 жыл бұрын
Tujifunze kitu Watanzania,iweje mzee apigwe kwa kuekti kama mchawi au katili? Hii ni sehemu yake ya kujipatia riski,ni sawa na movies za Arnold wa Tarminator.
Пікірлер: 35