Tunakuombea sana pr Uishi maisha marefu ili uzdi kufundsha watu ukweli wa kumjifunza Huyu Mfarume Ajae kwa mala ya pli Ahsantee Barikiwa Mtumishi wa Bwana
@CizaJeannette-l3y
13 күн бұрын
Asante sana mchungaji nimesaidiwa sana Kwa mafunuo mazito Mungu atusaidiye
@williammussa5621
15 күн бұрын
Pastor,,asante sana kwa somo hili . Unabii inabidi utiliwe mkazo sana kipindi hiki cha zama za mwisho
@Joycependopendo-dv2tb
14 күн бұрын
Amen hakika mungu akubariki pastor Kwa mafundisho mazuri
@newtonmgeleki1538
16 күн бұрын
Barikiwa mtu wa mung
@purity134
9 күн бұрын
Amen. Blessings pastor Mmbaga
@denisenabindu2876
15 күн бұрын
Mungu tusaidiye baba yangu tu ishinde dunia
@neemasamwel8968
10 күн бұрын
Mungu akulinde pst
@abigaelmwadena2262
15 күн бұрын
Ameen barikiwa sna mutumishi kw ujumbe huu muzito sana lkn unafundisha mengi asnte sana🎉
@rosenyawata5314
20 күн бұрын
asante yesu kwa kuiona nuru
@RuthHamisi
20 күн бұрын
Barikiwa mtumishi kwa kuwafunulia watu kweli ya MUNGU.
@gelardjames2595
12 күн бұрын
Amina..
@RossaRutasha
16 күн бұрын
Naomba utueleze kama waliohaki Tv zako wamerudisha tukusifie maana tulipata hofu❤
@AlexKedmon
17 күн бұрын
Barikiwa Sana Pastor Ila Ninazo namba zako Mara Nyingi natuma msg Wathap kwa bahati mbaya Sana hazijibiwi nilikuwa naomba msaada kidogo kidogo katika eneo fulani.
@DotoS12
16 күн бұрын
Amina
@Kenyanmama
11 күн бұрын
#Mchungaji Mmbanga umeguza kuhusu inverted cross, ati wanadhihaki Kristo, je, SDA logo nayo iko na maana gani kwanza sababu ukiangalia huo msalamba ni inverted umejificha😢😢tufanyeje sasa
@DotiFwihiro
17 күн бұрын
Amina mtumishi,kwani channel ilihakiwa,ju ile ilikua na more than 200k subscribers
@purity134
9 күн бұрын
Pastor Mmbaga is this ur channel i know na how comes only 1k subscribers?????
@MahubiriTv2
9 күн бұрын
Yes! It is our second and backup chanel
@lilianeerica3318
11 күн бұрын
Haifanani na Gmail tu inafanana pia na bahasha
@Erik-kj5no
14 күн бұрын
Hiyo bendera ya israel ni ya nn soma ufunuo 3:9 hata wateule watadanganywa toa hiyo bendera humo hao waisrael walilaaniwa wakanyang'anywa ufalme matayo 21:43 usipotoa we ni mpinga kristo
@MahubiriTv2
14 күн бұрын
Pole! Ungeuliza ujibiwe. Hilo ni kanisa la Baptist ambalo Mchungaji ali alialikwa,hivyo vitu alivikuta hapo.
@Kenyanmama
11 күн бұрын
#Erik, mwenye hekma huchunguza kwanza kuliko mpumbavu mwenye maneno meeeengi akijiona mweye haki kuliko wengine.
Пікірлер: 26