Kama timu joel nanauka Like apaaaaa achana na vikundi visivyo na msingi 💰💰💰
@UsingiziBoy-ki4ee
17 күн бұрын
Asante San nimejifunza kitu kikubwa San katika hili somo mungu akubariki San mwalimu Joel nanauka
@shukranjulius9526
7 ай бұрын
Kiukweli leo nimepata kitu kipya,mimi hua nimtu wa huruma sana yani mimi kutoa pesa hua sioni tabu,kunamuda nanunua nguo au kitu bila kuwa na ratiba nanikinunua nikifika nyumbani nashangaa hakivutii ,nimekua nikidharau pesa ndogo ndogo kumbe napoteza vitu vya muhimu Asante @Joel Nanauka ❤❤
@aboubakaribakari988
7 ай бұрын
Upo Kama Mimi huruma jaman daah 😴🙌🙌
@shukranjulius9526
7 ай бұрын
@@aboubakaribakari988 Kiukweli hii hali tuombe Mungu atusaidie
@joelnanauka
7 ай бұрын
Hongera kwa kujifunza, fanyia kazi 🙏
@joelnanauka
7 ай бұрын
@@shukranjulius9526Ameen
@christianmaringo4251
7 ай бұрын
😊
@magrethpaul2207
12 күн бұрын
Mimi kwenye nguo nashindwa kujidhibiti pia msaada kwenye Familia wazazi wanasumbua
@joycelaurian2476
5 күн бұрын
Duh! Mungu nisaidie nibadilike Asante sana kwa mafunzo mazuri
@AlexJefwa
4 күн бұрын
Endelea kutufungua coach Joel .... asante sana..kw...hili somo...🙏🙏
@NelsonMgode
16 күн бұрын
Asante mwalimu mafundisho yote nitafanyia kazi kuna mambo mengi niponyumasana
@amosleonard7250
17 күн бұрын
Nikweli kabisaaa wewe ni mwalimu unanifundisha vitu vingi
@Dorcas-p4h
6 күн бұрын
Asantee kaka, najivunia sana kukusikiliza huwa najifunz vitu ving
@GerrardKizwolo
Ай бұрын
Mungu azidi kukutunza
@FELISTERPETER-jf9jv
26 күн бұрын
kuna mwaka nilikua nimeanguka sana kiuchumi ila toka nilivoanza kukufatilia kweli nakushukuru sana
Joel,nakushukuru sana, najiona kama nina deni kwako. Elimu hii kuipata just kuweka bundle naona unastahili zaidi.❤
@ImanMwakyeja-cw3ty
7 ай бұрын
Umesema ukweli mtupu. Anastahili kufanyiwa muamala mara chachechache
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen, ahsante sana Rose 🙏
@joelnanauka
7 ай бұрын
@@ImanMwakyeja-cw3tyNashukuru🙏
@Bighotstory
6 ай бұрын
Barikiwa sawa mwalimu , hapa unenifungua sana mungu anisaidie niishinde hali hii❤️🙏🙏🙏
@khalidihilali9967
7 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili somo kunavitu vingi natakiwa nijirekebishe mambo mengi
@IsaWeightloss
6 ай бұрын
Wewe ni kocha wangu, Mwalim wangu, na kaka yangu Kawa Baba yetu mmoja yaani Yesu Kristo, Mungu na azidi kukupeleka katika viwango vya kimataifa🙏💪💪
@rhodasimba1804
6 ай бұрын
Hakika haya yote unayoyashauri kwetu endapo kama tutakuwa tunayafanyia kazi hakuna atakaeishi kwa kujutia hapa duniani.. Joel nanauka you are not only just a Life Coach you are beyond the limit... God bless you
@lestutamdota715
7 ай бұрын
Kuna watu wameletwa duniani kwajili ya kubadilisha watu . Nakushukuru sana masomo yamenibadilisha sanaa🙏
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ahsante sana🙏
@furahasweya7433
6 ай бұрын
Wewe ni kocha wa kimataifa Mungu azidi kukutumia zaidi. Binafs ninajifunza mengi kila iitwapo leo. Elimu yako ni muhima sana kwangu najutia kuchewa kusoma mafunzo yako akini naamini Mungu atafanya jambo kwa wakati sahihi.
@alhajikangalawe6178
14 күн бұрын
Thanks a lot
@happyswai6688
6 ай бұрын
Ahsante sana
@janetmbwana553
7 ай бұрын
🙏🙏🙏 àsante sana coach unazidi kubadili maisha yetu
@MarianaLwiva
7 ай бұрын
Kufanikiwa kwangu lazima kila ninachojifunza nakifanyia kazi barikiwa sana kakangu sijawahi acha kukusikiliza na kufuatilia unachofundisha....
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen, nashukuru kwa kuendelea kunifuatilia🙏🙏
@ViviKitchen23
7 ай бұрын
Vivi ubuyu mtamu hapa Ahsante my mentor Naendelea kuimarika zaidi❤❤❤
@joelnanauka
7 ай бұрын
Tuendelee kujifunza 🙏
@MaryClement-r9k
7 ай бұрын
Be blessed my greatest mentor
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen 🙏
@joely22
7 ай бұрын
Asante sana maan nimejifunza kitu maan nilikuwa moja wapo Asante san 🙏✍️👏
@EvaristYona
7 ай бұрын
Kweli mkuu ujumbe umefika....mungu akujalie kwa maarifa hayo.🎉
@henrymoghu5087
7 ай бұрын
Asante Mungu kupe maish marefu...Mentor wangu
@brackskinyozi3280
4 ай бұрын
Nimejifunza asante 🙏🙏
@shijamak
5 ай бұрын
Well said brother 💪🙏
@abelsimbule4033
24 күн бұрын
Somo zuri ❤ limenifungua kichwa
@meshackngadango6855
7 ай бұрын
Thanks alot and be blessed
@StephanoManyanda
23 күн бұрын
brother Joel mm nateswa na mahusiano yani spendi kuchitiwa
Kaka Mungu akubariki sana kiukweli unafungua akili zangu kilasiku, naomba Mungu anisaidie niishinde hii hali
@jozidasuperior7257
7 ай бұрын
Mungu atusaidie tu
@shukranjulius9526
7 ай бұрын
@@jozidasuperior7257 Kabisa yani
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@joelnanauka
7 ай бұрын
@@jozidasuperior7257🙏🙏
@divinemalachi
4 ай бұрын
Ubarikiwe sana broo
@dianachipojola2991
6 ай бұрын
Asante nimejifunza
@EliasGwaya
5 күн бұрын
Hizo dalili zote ninazo Mungu nisaidie
@nehemiamminza4663
7 ай бұрын
Asante sana kaka kwa somo lako zuri barikiwa sana
@AgustinoKinyaga
7 ай бұрын
Ahsante sana kaka @joel
@MCmakore
7 ай бұрын
Hakika Joel unatufaa katika maarifa Mungu akubariki Sana see you at the top''
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen, See You At The Top🙏
@CleraJuliusMunishi
7 ай бұрын
Kaka Joel Nanauka❤❤❤
@ashangonyani7989
7 ай бұрын
Asante sana kaka.
@gilbertbaya1546
7 ай бұрын
Thank you -from Kenya 🤞 crossed
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ahsante sana sana🙏
@magrethpaul2207
12 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@bonifaceferdinand566
7 ай бұрын
Wanaotaka kuonesha watu kuwa wamefanikiwa ni wengi kuliko wanaoishi maisha yao halisi😂😂😂,kweli nimeamini apendae mafundisho upenda maarifa.
@joelnanauka
7 ай бұрын
Tuendelee kujifunza 🙏
@ChristinWanjiku-ec6px
7 ай бұрын
My best menter❤🙏
@joelnanauka
7 ай бұрын
🙏🙏🙏
@MalongoRichard-md5dv
7 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@paschalmbiya93
7 ай бұрын
At the top we well see!. Umenipa mdomo bro . Big brain nanauka
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ahsante sanaa🙏
@paulmayombe4336
6 ай бұрын
Asante
@yusufuheri6524
7 ай бұрын
Asante sana kaka
@eliasmugume254
7 ай бұрын
Asante Sana kwaushauri Mkubwa Mungu Akubariki Sana
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@goldiegranted5501
7 ай бұрын
🏆🏆🏆🏆
@Saidmarez
7 ай бұрын
Thank you
@moseskenedy7042
7 ай бұрын
Nikweli hata mimi nahitaji kufanya vitu vikubwa ila matumizi ni makubwa asannte sana mentor wangu brother joel I promiss this year nitafanya vitu vikubwa
@shukranjulius9526
7 ай бұрын
Kweli ndugu yangu, hii hali iko kwangu kunamuda nanunua kitu hata hakikua kwenye ratiba
@joelnanauka
7 ай бұрын
Naamini utafanyia kazi🙏
@masudibaja
7 ай бұрын
Ili darasa kubwa sana mwalimu,, ubarikiwe sana kaka Joel
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen, nisaidie kushare na wengine🙏
@masudibaja
7 ай бұрын
Sawa mwalimu
@GodsonDaniel-oo3sz
4 ай бұрын
Nimejifunza kitu mwalimu
@johnjames-pw1dp
7 ай бұрын
Thanks sana Bro Barikiwa sana aise
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏
@goldenwizzy123
7 ай бұрын
Kwann asa hv utumii mfumo wa picha unatumia sauti tu
@josephinejumba9923
7 ай бұрын
waw ❤
@nehemiaathumanathuman
7 ай бұрын
ubaikiwe saaana👏👏
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@Um1234-s9g
7 ай бұрын
Shukran kwa good presentation NAWEZAJE KUPATA VITABU VYAKO?
@AlfaMbisa
3 ай бұрын
Joel naomba uniambie Bei ya kitabu cha Money formula maana nakihitaji kweli
@mangasinikusaya8157
7 ай бұрын
Morning speech ❤❤Ahsante sana
@joelnanauka
7 ай бұрын
Tuendelee kujifunza🙏
@RICHARDWAUSA-ep4xe
7 ай бұрын
❤
@suzancharles8897
7 ай бұрын
👏
@alhajikangalawe6178
14 күн бұрын
Kwakweli leo ndo mmenifanya niujue ukweli kuhusu mh mbowe....BILA HIVYO NINGEKUWA KWENYE MKUMBO TU WA KUELEWA VISIVYO....CHUKUENI MAUA YENU AYO MEDIA
@revdrseni
7 ай бұрын
So wonderful subject
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ahsante sana🙏
@SukaDmGuy
7 ай бұрын
Duh bro umenena
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameeen
@bonifacewanyonyi3555
7 ай бұрын
Huyu ni Mimi kapisa ninaacha sasa😢😢😢
@joelnanauka
7 ай бұрын
Nasubiria ushuhuda utakapoacha🙏
@vibetz9991
7 ай бұрын
Mimi appetite ya Internet connection ,, 😂
@joelnanauka
7 ай бұрын
Fanyia kazi🙏
@VictorOne-hc9fi
7 ай бұрын
Mm nataka no nipate vitab vyako
@AminaMtengela-z1q
7 ай бұрын
ubaliki we e
@jamilaathumani5481
6 ай бұрын
Mim mwanangu nahisi anacho Iko kitu yani hawez kujizuia hisia zake kabisa yan Sasa nifanyeje?Yan akitaka chakula ndo ivyoivyo anataka iwe..Hana uvumilivu kabisa Yan..nimfanyeje? Kwamana Bado yupo mdogo kiasi..ebu nishauli kabla sijachelewa
Пікірлер: 124