Yaani siku zote bila Yesu Kristo, hakika Mbinguni huwezi kuingia!! Hata ufanye nini!! Bila Yesu ww ujue umekwisha!! Amwaminiye hahukumiwi, asiyemwamini, amekwisha kuhukumiwa kwasababu hakuliamini jina la mwana pekee wa Mungu. Yohana3:17-18. Amen!! Yesu ni Mbingu. Yesu ni maisha ya raha!! Yesu ni uzima. Yohana8:12. Yesu ni njia Yohana14:6. Kumbe Yesu ni jina la Mungu, soma Wafilipi2:5-11. Yesu ni Mungu Tito2:13. Kumbe Yesu ni mwanzo na mwisho wa mambo yote Ufunuo21:6-8. Bila huyu Yesu umekufa afu utaishia kufa mara ya pili lkn kama una Yesu bac hutakufa hata siku mmoja, kumbe kilichokufa ni mwili tu ww hujafa. Yesu ni boss!! Mungu wangu, Bwana wangu Yesu Kristo, nakupenda!! Ameeen.
@nendemakyambe5624
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa kutusogezea ushuhuda mzuri sana, zinazo endelea kutuweka sawa katika jina la bwana wetu Yesu kristo!
@PROMOVERTVLive
4 жыл бұрын
Ameen
@upendoamos5194
4 жыл бұрын
Yesu ndie njia yakweli na uzima wamilele.
@ennamongi9812
4 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@VIRGINIAKAMAU-c5s
2 ай бұрын
Kweli Mungu alisema,atakua na huruma wala si dhabihu,kama si huruma za Mungu, huyu kijana angeenda kuzimu,. asante kwa ushuhuda
@lulanjamd3886
4 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana Mungu wetu Yesu Kristo atutie nguvu na kutuvusha katika dunia hii
@sayunicasmiry4365
3 жыл бұрын
Amina Mtumishi Jacktan,MUNGU azidishe mafuta juu yako, kwa ufunuo huu ninapata nguvu mpya Kila siku.be bless
@elizabethsanga9184
4 жыл бұрын
Mungu akubariki Kwa kutuletea shuhuda mbali mbali, na Mungu akuongoze katika shuhuda sahihi zaidi
@PROMOVERTVLive
4 жыл бұрын
Amina
@medadiissa324
4 жыл бұрын
Hii kazi ni injili tosha kabisa,yaani simama tu na Mungu
@hebronsdaughter1661
4 жыл бұрын
Amen Hallelujah asante kwa ushuhuda huu barikiwa sana Mtumishi
@everlinekemunto267
2 жыл бұрын
Hakuna part 2?kwa kweli barikiwa sana ndugu kwa kutuletea shuhuda hizi.
Jacktan nipee number yako y whatsapp am a Kenyan 👋
@PROMOVERTVLive
4 жыл бұрын
0784074462
@josephmutemi7494
3 жыл бұрын
John 14:6
@kenedymusaukavithi
10 ай бұрын
Mama yangu alikufa kwa kuzimu,bando ajazikwa na hii ndio siku 3 nafanya nini hili harudi hai?
@juniorwiseprophet1240
3 ай бұрын
Ameshazikwa??
@imagepower3641
4 жыл бұрын
Safi
@aminaally4163
4 жыл бұрын
Emen
@tamaraeliz7114
4 жыл бұрын
Jactan ushakuwa muhindi 😂😂 God Bless You Jactan
@PROMOVERTVLive
4 жыл бұрын
Hahahha Ameen
@razalomahulege6447
4 жыл бұрын
Daudi yuko mbinguni ila goriath ndo yuko kuzimu
@jonathanelias769
4 жыл бұрын
MUNGU ni MUNGU na atabaki kuwa MUNGU Haleluya
@aminaally4163
3 жыл бұрын
Asant KWA ushuda nimejifunza kitu
@mariamfritsi9761
4 жыл бұрын
Mhh haya maajabu kwa kweli.
@manasebakunda2409
4 жыл бұрын
Ama kweli Miungu Ni wa Ni ajabu
@ottochiduo9543
Жыл бұрын
Haiandikwi buza x ila Budha v
@godisgreat1845
4 жыл бұрын
Hivi lini akili za wakristo mtaziweka wazi mnaamini kila jambo yaani ushuhuda wa wachungaji ndio ibada yenu
@Mpakauseme
4 жыл бұрын
Hatari sana
@pericykiko6198
4 жыл бұрын
Neno liko wazi ndugu yangu ukimkiri Kstro kwa nia ya kweli Kuna vitu vya upendeleo utaviona huo ni mtihani umevuja ila hulazimishwi kuamini maana mbele yako ziko njia mbili tu
@medadiissa324
4 жыл бұрын
We endelea kupinga tu. YOHANA 11;25
@saramss7262
2 жыл бұрын
God is great kuwa na Akili kichwani
@ZayyanaBamuni
Ай бұрын
Akili zao wameshikiwa na wachungaji😂
@navokisembo
4 жыл бұрын
Hapo nimechanganyikiwa kiasi kwani Daudi alikuwa ni kipenzi cha Mungu sasa alienda vipi motoni? Mhh nieleweshini please
@PROMOVERTVLive
4 жыл бұрын
Bila shaka umesikia vibaya hakuna aliposema Daudi alienda motoni
@calvinleka4728
4 жыл бұрын
Umesikia vibaya
@harimakidesu3680
3 жыл бұрын
Mmmm yesu azid kufanya maajabu
@BerylSeer1
4 жыл бұрын
Jacktan nipee number yako y whatsapp am a Kenyan 👋
Пікірлер: 53