Daah nimecheka Sana yani dotto angekuwa hakimu mwijaku angefungwa haraka sana.😂😂😂😂😂
@SalumAuka
Ай бұрын
😂😂😂😂
@AmirAbdallah-pr4uq
Ай бұрын
Niwe muwazi Dotto magari nakukubali sana kaka
@user-ui5xc6sb5m
Ай бұрын
Doto nakukubali kinoma
@erickchitumbi1308
Ай бұрын
😂😂😅😂😅eti jitu jinga.linaharibu umeme
@AhmedSalim-tm5rp
Ай бұрын
HESHIMU USIO WAJUWA😢
@samkitwima7933
Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza huyu Dotto Magari amenifurahisha😂😂😂😂😂😂😂😂
@MwanaishaShattry
23 күн бұрын
Yaani Doto nakupenda bure tu mwanangu naona raha kweli kukusikiliza nacheka mpaka.
@user-do2qp5fv9b
Ай бұрын
Yaani doto amenichekesha sana duu
@user-princs
Ай бұрын
Safi sana Dotto huyu aadabishhwe maana ataendelea kuwatoa watu machozi . Mwijaku anajisahau sana anaona dunia yakwake anatesa mioyo ya watu sana.inatakiwa apewe nokos moja ashike adabu sio wanawake sio wanaume anawadhalilisha sana .mnafiki sana anajificha nyuma ya kivuli cha dini
@williamreuben4866
Ай бұрын
Yaan sijui Kwa nn Diamond asimchukulie hatua na yeye Kwa kua anamdhalilisha,jamaa linajiona kuwa lenyewe ndio kuliko mtu mwingine,achukuliwe hatua za kinidhamu,
@user-hd6do9wt3u
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 dotto leo nimechek yangu yote
@HassanAbdul-xb3dk
Ай бұрын
Dotooooooo
@MbongoBoy-yg9tq
Ай бұрын
Doto bwaaana👍
@patrickimran2645
Ай бұрын
Mungu sio asmani yamemkuta eti weeye maisha yako kama ya puppies zake iliniumaaaaaaaa
@flaxbeatman
Ай бұрын
mdomo jamani uyu😮😮😮
@exaverysimon1064
Ай бұрын
😂😂😂 DOTO KAKANYAGA KWENYE KIDONDA😂😂
@EdgarEliud-su9bf
Ай бұрын
Dotto saf sana ilooo limwijaku maneno aangalii watu wakuwasem kila mtu payu payu
@ChrisMwambeje
Ай бұрын
😂😂😂😂 nakubali dotto,huyo yamemkuta
@frankmganda2424
Ай бұрын
Yaani mimi nilisema mapema kuwa pesa mnazo pewa zinawapa kiburi sana
@user-wu7ou4ns4j
Ай бұрын
Aende jela tu Maskini mwi Umekuwa mpole
@amirkhamis3820
Ай бұрын
Mwijaku ana zarau sana . Nadhani hilo lililomkuta ni moja kati ya mafunzo ambayo anatakiwa ayapate. Jambo lililonikera zaidi kwenye upuuzi wake ni pale aliposema kwamba chakula cha mbwa wake ndo maisha yetu cc wengine. Aisee ameniudhi sana . Alafu nataka niulize kwani mwijaku ni muislamu au ni nani simuelewi mm. Eti expensive life mkewake anatembea uchi mwisilamu gan huyo.
@helenkambi3918
Ай бұрын
Kweli mke anakaa uchiuchi tena anafuga mbwana ndani ya nyumba
Anaropokwa sana mwijaku angeenda kumgalagaza mahakamani mbwa huyo wakuja
@angellomarcel5677
Ай бұрын
Khaaa...Ila Dotto khaa eti MASUDI Kipanya yupo Tangu 9 Disemba anachora Vikatuni...😂😂😂
@exaverysimon1064
Ай бұрын
😂😂 WE HUOGOPI😂😂
@pikipiki_market
Ай бұрын
Hahahha kwel kaka sio pw
@ramamasenda6637
Ай бұрын
Mwijaku limbukeni apelekwe mahakamani tu akalipe fidia ili akome tabia yake yakijinga ikibidi afungwe ata miezi Cita achapiwe mkewe vizuri
@ShangweSylus-nf6we
Ай бұрын
Duh Dotto😂😂😂
@Bless215
Ай бұрын
Kama hata media zingine zinatumia sns aka sauti na simulizi kwenye Story zao gonga hapa
@Chrisblaze-beats
Ай бұрын
Hajatumia ni doto magari ameplay kwe TV maana ameconet you tube pale. Doto magari anamuangalia mwijaku kwenye tv na ndio video imefafanuliwa na sns.
@imeldastephano9221
Ай бұрын
Kweli mwijaku umemkosea sana Masood
@ShidaDoza
Ай бұрын
Mwijaku anamaliza 😂😂😂😂😂 dotto hatar😂😂😂
@aproniamasatu5810
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@law93king
Ай бұрын
daaaaaah😂😂😂
@driss4957
Ай бұрын
KAYAKANYAGA KWA KIPANYA,MTU KAWACHORA KINA MKAPA,SUMAYE,MREMA,DITOPILE MZUZURI, HALAFU HUYU WA KUJA KUTOKA BUKAVU" ANAJIFANYA ANAMJUA...KIPANYA WA KIMJI TOKA ENZI ZA KINA CISCO MTIRO"...Uchaguzi WA TMK 96.
@DamianMazengo
Ай бұрын
amejifunza atatengeneza breck za mdomo wake maana zilikua zimefer kabisa
@NyandaMakambuya
Ай бұрын
Hahaha😂😂
@ommylax7231
Ай бұрын
Vita vya Panzi furaha kwa kunguru 😂daaah nimeamini
@PedroMaumo-eq8kc
Ай бұрын
Control your emotions mwijaku
@petermokami2273
25 күн бұрын
Anachora vikatuni, sio kukuchora wewe kichwa box
@patrickimran2645
Ай бұрын
Dotttoooò
@KhadijaSelemani-wt8np
Ай бұрын
nimeamini ule usemi wa malipo hapa hapa duniani ,,hasa nikikumbuka alivyokamdhalilisha menina
@user-fr4qm2ub2d
Ай бұрын
Hahahah daah dg msameheni jaman
@adrianmnzava8165
Ай бұрын
ila dotto
@shaabanramadhan6770
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂dadekiii kaingia pabayaaa pumbaav
@florayoram9563
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 ukicheka na nyani lazina uingie nae msikitini mlimchekea sana huyo mmbea wa maisha ya watu kwa sisi tukio soma cuba hajamsema masud peke yake ameikashifu tasnia yote ya clouds na mmiliki wake😂
@stephenmasha8623
Ай бұрын
😂😂😂 Eeti Bundi 😂
@Kibudu
Ай бұрын
Kwann anaomb msamaha huku anarejea kosa,,, hapo soln ni court ajulikane mkweli.
@saidmalik6714
Ай бұрын
😅😅😂😂😂
@MwanaishaShattry
23 күн бұрын
😂😂😂
@sautikaliitz934
Ай бұрын
Ameyatimba 😅😅😅
@karimacro
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jobharry9009
Ай бұрын
Wee fala unamuona masoud ni sawa na baba levo
@Islamawadh
Ай бұрын
Ameyatimba 😂
@mvitahamad2126
Ай бұрын
Kwan ww doto ulishakosea wangap
@Mohd-wl1tc
Ай бұрын
Doto unaongea na tv 📺 ten
@FrankLutemela
Ай бұрын
Amepoaa
@deusisindwa616
Ай бұрын
😂😂😂😂amezid sana akalipe Hela,,au aende jela,,Ili iwe fundisho Kwa wangine
@peninashungu6633
Ай бұрын
Kesi iende tu mahakaman amezoea huyo kila wakat anawatusi watu alafu anaomba radhi ikawa akageuzwe mfano tu uko mahakan, wanatumia kujuana na mama Samia ndo sababu ya kuwadhalilisha watu, akatoe tu iyo B5
@luqmanmohamedy3860
Ай бұрын
Hahahahaha
@msongamwinyi2877
Ай бұрын
Huyo alipe binafsi nimemchukia masoud kwasabu ya mwijaku ili niwe sawa alipe fidia
@user-sz1lw9kq5s
Ай бұрын
😂😂😂😂
@patrickimran2645
Ай бұрын
Nacheka kibuli yake
@user-ef7tc3tq7w
Ай бұрын
Mwijaku fala anawamukia watoto kisa pesa
@martinlema4192
Ай бұрын
😆😆😆😆
@frankmganda2424
Ай бұрын
Mwijaku anazalau watu sana
@jumabuckary7698
Ай бұрын
Kayatimba huyo bwege, masoud kp ni legend hapa tanzania kitambo kuliko wewe mshamba wakuja mwaijaku
@Esquire266
Ай бұрын
Mheshimu Alhaji Mwijaku
@dotnatajoseph2620
Ай бұрын
Mwijaku kamdhalilisha sana menina na akashinfa mahakamani Kwa udhalilishaji masoud kaka mpeleke mahakamani huyu nyau ashike adabu yake
Пікірлер: 80