Waandamanaji wamesema wanatarajia kurejea mtaani kufanya maandamano leo Juni 27, 2024 ikiwa ni siku moja tangu Rais #WilliamRuto atangaze kuwa hatasaini Muswada wa Fedha ambao ndio uliokuwa chanzo cha maandamano hayo kwa vijana maarufu kwa jina la Gen Z
Vijana wanaoshiriki Maandamano hayo ambayo kwa mujibu wa Roseline Odede, Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu ya Kenya inadaiwa yamesabbisha vifo vya Watu 22 na wengine zaidi ya 300 kujeruhiwa, wamesema yataendelea kwa kuwa wanaamini kauli ya Rais Ruto ni ya Kisiasa na anataka kutulia hali ya hewa.
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZitem channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Негізгі бет Ойын-сауық VIJANA WAANDAMANA Tena KENYA/Wadai RAIS RUTO Ametoa KAULI ya KISIASA Tu....
Пікірлер: 4