Jamani wenzangu watanzani, mie bado sijachoka kumlilia JPM wetu,pumzika kwa Amani Raisi wa wanyonge
@bintichausa4744
3 жыл бұрын
Hata baba wa familiar akiondoka mama ubeba majukumu😭😭we mwanamke nakuombea kwa Allah azawajallah akupe ujasiri utilize majukumu uliyo dhaminiwa na nchi..Yaa raabi mtangulie mama huyu kila atapo kanyaga InshaaAllah 🙏 Allah akuifadhi penye wema mjomba magufuli.... innalillah wainnaillahi rajiun
@EmmanuelSabini-ml7xz
4 ай бұрын
An forgettable day in Tanzania.
@kambonapaul6293
3 жыл бұрын
Pole mama Janet na familia kwa ujumla na pole watanzania wazalendo ni maumivu sana kuondokewa na mtu mhimu kwetu sala na Dua zetu Mungu anazisikia kwani yy ndiye alfa na Omega amlinde na amkumbuke ktk wale kumi na nne elfu watakao nyakuliwa kwenda mbinguni siku ya mwisho amen
@lavinaashabuya5779
3 жыл бұрын
Pole mama janet mungu akutie nguvu pamoja nafamiyia nakwa watanzania wote lavina kukota kenya
@haarunsaidabdillahi4082
3 жыл бұрын
Pole mama Janeth, pole Cyprian Musiba na Watanzania wote. Najuwa Musiba ana majonzi makubwa sana.
@nahimanajo8993
3 жыл бұрын
Pole mama janeth buriani vutasubira yote ni mapenzi ya mungu inaumakabisa 😭😭😭
@saidmakumlo8930
3 жыл бұрын
"Vita ya uchumi ni ngumu sana" nanukuu maneno yako Jemedari JPM bt R.I.p sote safari yetu ni moja
@ZeenaZeenah
9 ай бұрын
Allah akurehemu baba pigo kubwa sana kwetu watanzania
@GraceRemigius-rm6lc
7 ай бұрын
Mungu akulaze mahala pema pepon raisi wetu,, shujaa wetu,, daaaaaaaaah ulisema tutakukumbuka yametimia sasa ,,,mwendo umeumaliza maendeleo uliyapigania,, R. I. P jpm
@samiahjmlimanzilla9354
8 ай бұрын
Naangalia 2024 na machozi yamenitoka
@GraceRemigius-rm6lc
7 ай бұрын
♥♥♥ nakupenda kinoma baba wa kaz pumzika kwa amani
@magekessy
7 ай бұрын
Rest in peace our President
@babybaby8384
3 жыл бұрын
Allah amkinge na adhabu za kaburini😭🇨🇦
@roseamos2812
Жыл бұрын
Sitaisahau hii siku Ee MUNGU I barikiwa Tanzania
@YasinJuma-kl3fj
7 ай бұрын
Sisi wote ni watanzania ishar mungu atupe moyo wa kumriria mzee wetu
@WivinaPetro
10 ай бұрын
Mungu aipumuzishe roho ya marehemu mahari pema peponi amina
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Sisemi mengi Mungu ww unajua tusiyo yajua ss binaadam inauma saaan
@joysorewitindi8542
11 ай бұрын
RIP the hero
@abbynancy8105
3 жыл бұрын
Rip😭😭😭shine on yr way magufuli
@YasinJuma-kl3fj
7 ай бұрын
Mwenyenzi mungu ape popepo ya juu sana
@annamihayo142
7 ай бұрын
Watanzania wenzangu kidonda changu bado hakijapoa kuondokewa na magufuli leo tena kimetoneshwa na mwinyi😭😭😭😭😭😭R.I.P
@longoamboko3394
3 жыл бұрын
May the good lord restore his soul in eternal peace .and grant his family the courage to overcome the situation
@walterAmbonya-lm1uu
8 ай бұрын
Rip legend😢
@elizabethjohn9313
3 жыл бұрын
Mungu akupunguzie azabu ya kabuli 😭😭😭😭😭 mungu atutie nguvu Kama ndoto
@jackiemuriuki9355
3 жыл бұрын
Safiri salama
@DaudiMatage-z7e
7 ай бұрын
Magu kila nikiangalia jns ulivyottoka siamin nabak nalia tu, kifo si kzr kabsa.
@lameckmawuti9759
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 pumzka Kwa aman me lowasa
@IsayaMpalanzi-qu7iv
8 ай бұрын
Nitakumic sana rais wng kipenzi
@shedeee9097
4 ай бұрын
Rip magu
@bingwa.Artist
3 жыл бұрын
Rest In Peace my beloved leader jpm😰😰😰
@ppmm7793
3 жыл бұрын
Baba pumzika kwa Amani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@musaremember733
3 жыл бұрын
Rest in peace 😭😭
@Eliaelibarik
9 ай бұрын
Aseee hii siku sitokaaa nisahau maish yang yote
@dorcasmarura2581
3 жыл бұрын
May his soul rest in peace
@SanyengeAlex
9 ай бұрын
Pumzika kwa aman jembe
@JoycePascal-i1v
11 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@lavinaashabuya5779
3 жыл бұрын
Mungu amlaze bala pema
@vanessajames2192
11 ай бұрын
Hii siku siwezi kuisahau pumzika kwa amani baba
@muhsiniissa8151
3 жыл бұрын
Daah!,inauma asee
@NmyaluBoy
21 күн бұрын
Nabaki kupitia hutuba zake sina rais mwingine tena
Пікірлер: 49