For those who say TZ has lost a son you may be you do not see my tears and am a kenyan. This man I could watch his moves like my dad every morning before I start working He was my MOTIVATOR. Go in peace MY GUY, Go in peace Okong/o as I used to call jhim in LUO DIALECT.
@KM-hx8zy
3 жыл бұрын
Mwanangu Joseph, Upo mu Raha ya Bwana Mungu, matendo yako yatakusemea hata kama wanadamu watakubaguwa, ila Kazi umeichapa kabisa. Wanao furahi kifo chako, ni wanarushwa, sababu hawakufurahiwa kazi yako.
@iviejustified8109
3 жыл бұрын
Mmefanya vyema saana kuhakikisha mnatembea kwa Barabara.... Hongera zenu.... Pia safi saana HE. JPM kwa maisha uliyoishi...... Kitabu kimekamilika elimu umetupatia... Chato hongereni saana Hayati aliipambania Tangu akiwa Mbunge..... Heshima kwa hilo
@laurentraphael5470
3 жыл бұрын
Serikali imemtendea haki huyu mzee. Mungu akubariki Sana. Poleni watanzania wenzangu.
@deusimasasila5424
3 жыл бұрын
Umeongea point sure imemtebdea haki
@eliyamloy3490
3 жыл бұрын
Mimi napenda kusema tu kwambaMungu awabariki Maafisa Usalama wote pamoja na walinzi waliokuwa wakimlinda JPM akiwa hai pamoja na maaskari wote kwa kazi kubwa mliyoifanya tangu mwili wa Mh rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli ulipoanza kutembezwa mikoa mbalimbali kwa ajili ya kumuaga, kwa kweli Mungu awabariki mno niseme tu mtalipwa na Mungu wa Mbinguni msipozimia mioyo ahsante
@kaystyle614
10 ай бұрын
So sad..I still can't believe he left us..natokea Kenya lakini kusema ukweli nampenda Sana magufuli..kazi alifanyia watazania akawatendea haki wote and I just hope siku moja mungu akinijalia ntatembea chato..may his soul continue resting in peace
@fredchuwa845
3 жыл бұрын
Sam Mahela wewe ni mtangazaji mwenye vionjo vya kipekee sana,, safi sana
@user-ru6kh4de7e
8 ай бұрын
Hakika leo mmenitoa machozi hasante tuzidi kuombeana,Amen Baba kwaeli tu asante make ata watoto wetu walisoma kisomi cha elimu bure kupitia usemiwake.
@faidhamyovela179
3 жыл бұрын
Bor karudishwa kwao apumzike dah mungu tunashukur kwa hili japo mapemaaa mnooooo sababu unaijua ww mungu asante😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😭😭😭😭😭
@user-ux6ui7ww1l
8 ай бұрын
Rest in peace our Lord father progress to safeguard u from any miserable Alfa and omega JPM Amen live continual 😢😢😢
@doreenmoses8878
Жыл бұрын
So painful😭😭😭😭😭
@emmanuelbonifas2804
Жыл бұрын
Sasa hivi tunajuta na bado mungu atuonee huruma tu kwa hali hii wengi itakuwa kazi kufika tunakoenda
@charlesmwamlima3923
Жыл бұрын
😥😥😥
@user-ru6kh4de7e
8 ай бұрын
Akika mungu hailaze mahali pema peponi tulimpenda sana Babayetu Nyerere wa pili hakika tutamtoa wapi tena.
@unismbalia5913
2 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@ruthcharles2074
3 жыл бұрын
Rest in peace our president hatimae umefika mwee amka baba amkaaa
@yusuphchankwa4759
2 жыл бұрын
Daaah maguuuu rudi uone uchafu unaendelea
@charlesmwamlima3923
Жыл бұрын
aisee landcruiser ikishika barabara kwa kweli inatulia
@kebo2155
3 жыл бұрын
Lala salama Mr President... 🇹🇿💯💯
@rezegerezege691
2 жыл бұрын
Yaani 😭😭😭😭😭 R.I.P DADDY
@simonngirisho-yc1qt
Жыл бұрын
Pumzika kwa amani John magufuli rais jasiri na mchapakazi
@kelvinvenance3627
3 жыл бұрын
May his soul rest in peace. Our African giant
@martingiyabe7204
3 жыл бұрын
RIP. Dr JPM. Brave and dedicated leader .
@unclesammykaniki1184
Жыл бұрын
Ningumu sana kusahau hii sikuuuuuu!!
@dd-yc1mw
Жыл бұрын
JPM utaendelea kuishi katika mioyo yetu. Tutakutana tena asubuh ile iyo njema
@fpnzota1151
3 жыл бұрын
Rest in peace my president.
@n-clotv
3 жыл бұрын
Poleni sana ndugu zetu. Love from Kenya.
@jennifercharles4591
Жыл бұрын
E Mungu tutete Taifa lako
@khadijajuma6494
3 жыл бұрын
😭😭😭😭
@jumaamartin7929
Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲
@jennifercharles4591
Жыл бұрын
Nimekumiss baba ,
@estarjuma7983
3 жыл бұрын
💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭
@DRIPPINGPAIN
3 жыл бұрын
SAFARI ZA MWENDO KASI... DODOMA PARLIAMENT ... SAWA Rest .In. Peace Bulldozer MAGUFULI 😪
@GraceShayo-vn7sy
4 ай бұрын
Mungu wewe fundi
@yuzotv458
6 ай бұрын
TUNAORUDIA HII VIDEO DECEMBER 2023 TUJUANE HAPA.
@anselemyraymond7327
3 жыл бұрын
May his soul rest in peace 😢
@evalynechacha9191
3 жыл бұрын
Mimi mniache nipige nduru😭
@amaghrebi1
3 жыл бұрын
r i p john walwa pombe joseph magufuli bye bye bye .........ina lilahi waina ilaihi rajeoon
@clementbabuu4811
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@MwasiMelly-gi2lu
Жыл бұрын
Rasi wetu apumzike kwa AMANI
@FaidhaIbrahimu
5 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@HelenaRhobi-ju5su
Жыл бұрын
Kama Kuna mkono wowote ulionyooshwa kumuua mfalmekipenzi chetu Magufuli ehee! Mungu yupo na anaenda polepole Huwa Hana haraka. Mungu atapoaza kuwachapa watateketea Hadi kuzazi Cha kumi. Walimuuaili watamalaki madaraka, subiri TU!!!
@leluuvuai9402
3 жыл бұрын
Rest in peace my presedent
@hildashilote8089
Жыл бұрын
Baba ulijuua kutuumiza
@mauthamani
3 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima kwa alama ulizoacha nchini
@marysangula9974
Жыл бұрын
Hatutakusahau Ras wetu Mungu wa Mbinguni atajibu maombi yetu kwasababu kila jambo linawakati umeacha alama kubwa ktk Taifa hili umekufa lakini unaishi
@Satier47
Жыл бұрын
😭💪
@cpamussamwampamba2917
3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭
@tridabalira5992
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@selemanimsemo7169
Жыл бұрын
Hi
@mauthamani
3 жыл бұрын
Bado siamini kama kweli umetangulia
@davidodiwuorarambe9718
Жыл бұрын
Ukweli huyu ndiye president
@johanesbagenzi2486
Жыл бұрын
Hakika mwamba hatutakusahau
@ruzobavakonicolas4144
Жыл бұрын
Rest in peace dady
@elishadenis9914
3 жыл бұрын
R.i.p jpm
@tulomabula-rf1kv
Жыл бұрын
Matukio ya leo
@snsxsnsx3144
3 жыл бұрын
RIP JPM. Kipenzi cha watu baba rud tu tulie
@kelvinmarackbrushkelvinmar4876
Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ambroisenshimyimana1815
3 жыл бұрын
Wakatoliki...muanze kuomba Mutagatifu Magufuli.
@sr.elizabethmbuligwe5540
4 ай бұрын
Hii ni kweli baba yetu alitenda mema
@abelmchenga50
3 жыл бұрын
Kweli watanzania tunalia tumeumia kimubwa t tunachoshukuru katuonyesha njia ususani viongozi
@kebo2155
3 жыл бұрын
Well said Abel... Ni Viongozi wetu kutooneana haha kwenye mambo ya msingi na maendeleo ya nchi yetu..
Пікірлер: 73