KIONGOX BORA NI YULE ANAEJENGA URAFIK NA WATU WAKE TATIZO BAADHI YA VIONGOZ HAWAWEZ KUISH NA HAWA KWA SABABU WANATUMIA NGUVU❤
@pendomushi6351
3 ай бұрын
Sio nguvu tuu na kujipa ukubwa wanatumia cheo kunyanyasa watu
@rogerslwitiko3915
3 ай бұрын
@@pendomushi6351Manka umepiga kwenye mshono Swahiba
@ibrahimsadick6137
3 ай бұрын
R.c Makonda big up Kiongozi wa kwanza kuwapa thamani watu wanaoonekana wahunu
@ashakijaji5869
2 ай бұрын
Atawarekebisha kwa kiasi kikubwa.
@bakarimasanga3634
3 ай бұрын
Big up mkuu wa mkoa Makonda, you nailed it the way it's supposed to be, Kazi iendelee!
@gracemushi3668
3 ай бұрын
Yaani Mh Makonda, una akili ya ziada sanaaaaa,, hao ndo wanaochangia kuharibu mkoa, lakini umefanya jambo la busara kuanzia nao,, kwa kufanya hivyo umeupiga mwingiiiiii
@gracekiondo2541
3 ай бұрын
Ni kweli kabisa ulichosema.na hatuwezi kujua inawezekana wakabadilika kabisa.
@kivatirokitojo657
3 ай бұрын
Makonda ni Future ya vijana kiukweli Mimi makonda namuelewa sana anasimamia nafasi yake kwa umakini Sana
@robertlary6007
3 ай бұрын
Congratulation RC Paul Christian Makonda 👏👏👏Kazi Iendelee 🇹🇿
@stephanopaul83
3 ай бұрын
Inapendeza sana. Mungu ni mwema...hongera RC makonda
@jeraldjensen6504
3 ай бұрын
Du!!!! Makonda is a leader, MUNGU akutunze Paul Christian
Makonda anaakili sana anajua kucheza na akili za watu hongera zake
@salomewandya7257
3 ай бұрын
Hahaha saana ameongea nao kwa upole
@user-ku8dk7bu7p
3 ай бұрын
Namakofi juuu wamepigaa😅😅😅😅😅😅😅
@ramadhaniomary7083
3 ай бұрын
Mimi kwakweli namkubali sana Makonda huyu ni kiongozi ongea na kila mtu
@user-jj9or2ns2e
3 ай бұрын
Ungwa we amka
@linnusaloyce6559
3 ай бұрын
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi uje kuwa rais wa hili taifa bro
@johnjoycemalusu4886
3 ай бұрын
Asante makonda, saidia pia kupambana dhidi ya madawa ya kulevya Arusha
@starjay3052
3 ай бұрын
dah big up sana makonda nakupendaga sana 💪✌️✈️🇹🇿🌍✅
@anorderick7162
3 ай бұрын
Big up ...Makonda uko vizuri ..psychology yako iko vizuri...!!
@KalotvTanzania
3 ай бұрын
Congratulations to MILLARD AYO kwa kufikikisha subscribes ML 5 hakika mnafanya kazi njema
@merrynancesimon1562
3 ай бұрын
Safi makonda wape elimu ❤❤❤❤
@PaulinaLwena
3 ай бұрын
Mheshimiwa makonda Mungu akucmamia ktk kazi ya mikono yako❤
@EzekiaMichael-jn5np
3 ай бұрын
Makonda hua nakuelewa sana bro Mungu ikimpendeza kuishika hii nchi itakaa sawa naamini mambo murua ni mtazamo wangu tu
@linnusaloyce6559
3 ай бұрын
Upo sahihi ndg yngu
@user-vw4fn5pj3n
3 ай бұрын
Safi Sana makonda yaan ww ni rais ujae
@AndrewYona-vo4zv
3 ай бұрын
Hawa vijana waelekezwe namna ya kutofautisha kati ya KIPAJI na BANGI kinyume na hapo wataendelea kuonekana kituko kila siku ...
@flavianajohn5250
3 ай бұрын
😅😅😅😂😂😂😂
@edgarshayo9720
3 ай бұрын
Sure asee
@memesnamatukiomuhimu8453
3 ай бұрын
Ukiachana na mambo mengne huyu jamaa ana akili nyingi sanaaaa
@CreatureIey-eh8nh
3 ай бұрын
Arusha is our world
@annehaysanday9214
3 ай бұрын
Mh.Makonda kazi unayo!! Mungu azidi kukupa hekima ujue jinsi ya kuchukuliana na hao watu
@juliananasari2526
3 ай бұрын
Hongera sana Mh makonda
@user-bp2cc9eo6g
3 ай бұрын
Good leader🎉🎉🎉🎉
@martineopapa7383
3 ай бұрын
Wakonda usikize kwanza huo wimbo kabla mama hajausikia maana hao siyo watu,ohhooo!!!
@agnesjohn9382
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 umewaza mbali
@hyy4114
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@allykilito2478
3 ай бұрын
😂😂😂😂nimecheka aisee kwa saut
@makamehajj8865
3 ай бұрын
❤❤❤😅😅
@user-gg5ow9bg6y
3 ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe maisha malefu kaka makonda
@raphaelhombo5060
3 ай бұрын
Naona Anawapanga wadudu😂😂😂😂😂Makonda mjanja sana
@ibrahmenard
3 ай бұрын
kadudu ako kambilikimo nakaenjoy sana😂
@Trey2k365days
3 ай бұрын
Mdudu mdogo yule😂
@user-cf3fe3cu8v
3 ай бұрын
Makonda nimekukubali sana kwa ushauri wako kwa vijana Barikiwa sana
@josiacharles2778
3 ай бұрын
Makonda 🌹🌹🌹kakaa na na wadudu bila kuwanyunyizia sumu siyo kazi mdogo 😂
@OmanOman-hj7tv
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@joycenaipanoi3157
3 ай бұрын
Umenikumbusha huyu jamaa mrefu zaidi hapo😂😂😂😂😂
@olivertadeo6991
3 ай бұрын
😅😅 si vibaka ni wao Jehovah akukupa uongoz atakupa na hekima ya namna yake akipenda ulete matekeo kwenye mwanga wake
@iddimngazija1957
3 ай бұрын
Huyo mdudu mrefu kuliko wote ndo ananichekesha zaidi😂
@ezesolo4861
3 ай бұрын
hahahahahaha
@user-ys3nm9pd9z
3 ай бұрын
Kenyonyo
@apostleagnes5769
3 ай бұрын
Kwa nijuavyo mimi hakuna watu wema kama hawa kwa Arusha ila tu usiwatibue
@israelkisaila8401
3 ай бұрын
Kabisa,watu hawajui tu,hawa vijana huwa hawana hat shida,mpaka uwakorofishe
@jumahamadomar9124
3 ай бұрын
Wema wao ni upi
@israelkisaila8401
3 ай бұрын
@@jumahamadomar9124 Hawa wapo na busy zao Wala hawadhulu mtu
@magigesabai8674
3 ай бұрын
Kweli kabisa mm nilipotea njia wakanielekeza vizur bila shda
@israelkisaila8401
3 ай бұрын
@@magigesabai8674hawana shida kabisa yani,mtu yeyote kwenye maisha ni mpaka umchokoze ndo anaweza kukufanyia vinginevyo,ila Hawa ni kikundi kama vikoba TU,wanatafuta ugali Wala hawana shida.
Katika hili makonda nimemwelew sana kiongoz bora anapaswa kuw karibu na makund yote ya watu bila kubagua ..hawa vijana hawana shda ni mitazamo ya watu bad baadh inakuw negative..tu..
@yasinkazimil9470
3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 wadudu leo wametulia
@user-sv6zy3hc8o
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@steverwillecha8559
3 ай бұрын
Wamekutana na mhuni😂
@user-xe2pu6un3z
3 ай бұрын
Asa kenyonyo anataka kuwa nani😂😂😂
@user-ye3xp1lf7i
3 ай бұрын
Kuwauyaone yaurimwengu hayoo
@isacktemba551
3 ай бұрын
Makonda bana km anakuja ivii km anakataaa
@user-tq5di6mv9c
3 ай бұрын
😂😂😂halafu ww
@alunaali5105
3 ай бұрын
Aloooooooooo você me matou não sou de Tz mas quero tanto visitar Arusha
@user-lt7yx2ms7h
3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwamba na wadudu wake mwenyewe hana baya MUNGU akulinde Mwamba 🙏🙏🙏🙏
@Kijosh854
3 ай бұрын
That's what we call leadership 👏 🎉
@shyfettymtunda4619
3 ай бұрын
Kenyonyo nakuona😂😂😂
@exprodigitaltechtv5571
3 ай бұрын
Kwa kenyonyo akaanze shule sasa
@user-md3xx7rd9z
3 ай бұрын
Huyu makonda hata kama asipopewa urais basi apewe uwaziri mkuu hii nchi anaijua sana na anajua namna ya kuongea na watu wa kila aina na kusaidia pasipo ubaguzi
@KiondoSingo
2 ай бұрын
Wadudu wameumbwa kwa mfano wa Mungu
@DadialiDadi
3 ай бұрын
Uyoooo mfupi kama kichupaa cha piko ndo anahitaj vibokooo zaid😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@agnesjohn9382
3 ай бұрын
😂😂😂😂 kichupa cha piko tena 😂😂😂apigwe kakosea nini jamani
@zuwenasaleh9613
3 ай бұрын
Kichupa cha piko 😅😅
@ellyjacob9897
3 ай бұрын
Hahahahaha aloooooh huyu kaijua chuga Sasa
@user-hw7kz8rv2c
3 ай бұрын
Ana maneno ya hekima
@user-di6jz9bm4v
3 ай бұрын
Sasa hayo maviatu Mungu wangu
@evanswinston5102
3 ай бұрын
Sura za system kabisa izo na mafala wawili watatu
@mchmwal...z.a.ndelwa7838
3 ай бұрын
Daaa kiongozi Mzuri
@saleheinnocent7636
3 ай бұрын
Acha kuwaset bana wanawezaje kuwa ata mmoja kati ya hao ulowataja. Ata km lengo ni inspiration umeenda mbali sana.
@upendokiwanga9538
3 ай бұрын
Hawana tofauti na hao aliowataja najua hata wewe unaweza
@GabrielSky64
3 ай бұрын
Muheshimiwa please tofautisha kipaji na bangi😂😂😂
@ahmadsayyeed7910
3 ай бұрын
Kenyonyo chali yangu ❤❤😂😂😂
@neliciousmtata5309
3 ай бұрын
kuna hao wanaosema wanajiita wadudu ni ujinga je wanaojiita chawa watakua na akili? au chawa c mdudu? msijikute kunyooshea watu kidole akati vilivyobaki vinakuelekea mxxxxxxiiiiiiiiiiiiiu
@ce-08
3 ай бұрын
Aiseee hili n kwel
@Lucas-nr9xx
3 ай бұрын
Ulishaona Makonda anaunga mkono uchawa amekuwa akiwaponda kila kukicha na kuwaita ni watu wa kujipendekeza.
@romanamassawe814
3 ай бұрын
Wamesikia kula na kunywa wakapiga makofi,
@sabihaibrahim143
3 ай бұрын
😂😂eti wadudu 😂halafu huyo mdudu mmoja yeye anafata mkumbo tu kofi kofi
@pendomushi6351
3 ай бұрын
😂😂😂nacheka kama mazuri huyo mdudu mdogo kabisa anaitwa nani na anavyo skiliza kwa makini
@shyfettymtunda4619
3 ай бұрын
Kenyonyo
@elifurahambise3957
3 ай бұрын
Daaa? Kweli dunia imeenda mbali kutoka binadamu hdi wadudu
@donaldmgunda4970
3 ай бұрын
Hikii kikundi baada ya miezi sita,kitakuwa kimepotea kabisaaa 😎
@SaudaJuma-pq9so
2 ай бұрын
P😊😊 0:29 😊 0:29 John L
@itanzaniaAS
3 ай бұрын
Kwa stahili hii mama Samia anaweza ASIENDE😂😂😂😂
@vickytango5591
3 ай бұрын
Mkuu umefanya vizuri kuwa karibu na watu wako ukienda hivyo busara zako zitabadili AR
@blackkid7377
3 ай бұрын
Ka Kenyonyo 😂😂😂
@user-lz5it9yn4q
3 ай бұрын
Arusha eeeee!! Mmhh
@Bilioneabichwa331
3 ай бұрын
Mhe makonda arusha kila siku ni stori za wadudu tu, huyu jamaa apewe tu kazi ya ukatibu na uenezi au apewe uwaziri, namuona na kenyonyo hapo kafunika kwel kweli
@osamanyoni
3 ай бұрын
Hao wadudu ni usalama wa taifa xaxa jichanganyen😎😎
@AlodiaKagemulo
3 ай бұрын
😂😂😂😂halafu na wao wamejikuta wanakuwa makonda kweli😂😂😂😂
@salomewandya7257
3 ай бұрын
Eti tuje na akili timamu😂😂😂
@agnesjohn9382
3 ай бұрын
😂😂😂 kumbe wanazichaga home
@salomewandya7257
3 ай бұрын
Hahaha kaazi kweli 😅😅
@ngwaleseif8586
3 ай бұрын
Arusha nzima ishakua ccm😅
@ashakijaji5869
2 ай бұрын
Mhhh Makonda huko Arusha kuna mambo ya ajabu,itabidi utumie nguvu kubwa,watu wanaitwa wadudu mmhh kaxi ipo.
@user-oh6wc8xr5w
3 ай бұрын
Mungu azidi kukupa uzima pol makonda
@MashakaZacharia-if9pm
3 ай бұрын
Gonga like kwa mwanangu mdudu yule wa kijani dwarf
@mobimbalongida
3 ай бұрын
bonga nao baba hawana baya
@PaulinaSemindu-ob3de
3 ай бұрын
Wanavyoitika wanajuw watapewa ela😂😂
@hamisihussein9851
3 ай бұрын
Hawa wadudu wanakuja kuwa usalama na watapewa kazi nyeti mkiwaona matawaona wanafanya vituko kumbe wanachukuwa data zinapeleka kwa mkuu,,ndio mtashangaa Mkuu wa MKOAA Makonda yupo kazini au kalala lakini anaamka na kujua yote yaliojiri,,Mkuu wa MKA Makonda anaakili ya kuishi na watu.
@chrisshonga
3 ай бұрын
Kwa hali hii nchi bado ina safari ndefu sana! na huyu mwanadamu aliyegundua huu mmea wa bangi sijui adhabu yake mbinguni itakuwaje yaani kwa kinywa chake mtu anakiri kwamba yeye ni mdudu halafu anakiri kwamba safari nyingine akija atakuja wakati kichwa chake kipo sawa kwa hiyo hapo alipo hayuko sawa na anakiri mbele ya mkuu wa mkoa! mmmh!! Tanzania shikamoo
@husseinihassani3541
2 ай бұрын
😂😂😂😂Wahesabu tu
@hanifa9153
3 ай бұрын
Kenyonyoo nowma sana😂😂😂
@MteuleMabuku
3 ай бұрын
Mama wadudu tunampenda😅
@Laizer3
3 ай бұрын
Wadudu😂
@kenjoseph3337
3 ай бұрын
Huyo dudu mfupi ni mdudu mgani😊
@mpjozzegalvanize4926
3 ай бұрын
Mdudu kenyonyo 😂
@GastoneGeorge-bj2fp
3 ай бұрын
Ndio mwenye ana jina😊
@user-rs1qk2hn8r
3 ай бұрын
Saana kiongozi
@InnocentRichard-qs8ux
3 ай бұрын
Kama wanaelewa vile..kwanini uangaike na vitu vidogo.
@Lodrickmwambene
3 ай бұрын
Ukitaka kuelewana na walevi na Wewe jifanye mlevi makonda sio mjinga hao ndio wamisisaji ccm kushinda kwa kishindo Arusha uchaguzi mkuu that is political strategy by ccm power to the people 😂😂😂😂😂😂😂
@KelvinAmos-ow7pf
3 ай бұрын
Vip blothe ngosha wanbie ukweli
@fatumayusufu2924
3 ай бұрын
Mdudu mdogo nataka kujua utaimba sauti ya ngapi
@hassanovajunior6972
3 ай бұрын
Wadudu wanabalaa😂😂😂😂😂
@BillyNahum
3 ай бұрын
Ata huyo mfupi anaweza kuwa makonda
@ashakijaji5869
2 ай бұрын
Makonda na uhakika atakuja kuwa rais .chukua hiyo.
@AminaLibisa
3 ай бұрын
Yani kinyunyu mpaka afundishwe kuongea 😂😂
@tanzanite1
3 ай бұрын
Kujimudu wewe mwenyewe, tumia kichwa chako, kumudu wengine, tumia moyo wako. Tunaona makonda jinsi anavyo tumia moyo wake kuwamudu wadudu wa Arusha, Kunambadilisha mtu kunahitaji sana kutumia moyo wa upendo dhidi yake
@AllyMohamed-so5hh
3 ай бұрын
MUNGU akupe umri mrefu hakika wewe ni kiongozi bora
Пікірлер: 279