Nan yupo hapa 09th, Oct 2024, ... Who is Here 09th,Oct 2024... Old is Gold....
@Prettyloner_Z
22 сағат бұрын
19th oct 2024 mtoto anang'ara kama candle light
@shabanimakwaru2875
Жыл бұрын
Tujuane 2023 bado tunabang nayo tu tupie likes hapo
@D_beauty1
11 ай бұрын
❤❤
@anatoliedward3624
10 ай бұрын
Tupo babu😂
@saumuomari9925
Жыл бұрын
Nani anasikiliza january 2023
@kingsleywesley4820
Жыл бұрын
nipo apa 😁
@noeljuliusmalecela..8870
Жыл бұрын
Tupo wengi Sanaa.,
@edgartanzania4119
Жыл бұрын
Mi npo April 😀
@saumuomari9925
Жыл бұрын
@@edgartanzania4119 wakongwe sie😀
@saumuomari9925
Жыл бұрын
@@noeljuliusmalecela..8870 naona
@mkalimakamua
3 ай бұрын
Hello 👋🏿 beautiful people Asanteni Kwa 🫶🏿 kubwa, well hii record kongwe ilifanyika Mj records na ilikuwa kwenye air waves globally mnamo mwaka 2007 mwezi wa 11 na kuchukua trophy ya Wimbo bora wa R&b 2008, Producer wa hii record alikuwa ni Dr. Marco chali ,na video alifanya John kalage, endeleeni kufurahia Wimbo bora wa muda wote Africa mashariki na Kati,we are Wakalikwanza 🇹🇿 🙌🏿
@Zanzibarstreets
3 ай бұрын
Aiseee miaka inatembea mno
@gracekindimba7467
2 ай бұрын
My best songs since then
@kenieslime2982
2 ай бұрын
Always will be na this what music is ..... feelings that live
@omreuzex7109
Ай бұрын
mlitisha sana. Muziki ulikuwa na Ladha halisi ya kitanzania. Sikuhz tunakosa hivi vitu.
@Mwarajnr05
Ай бұрын
Appriciatee
@JafariHussein-vb6pd
Күн бұрын
nyimbo ilikuwa mbele ya muda
@HurumaAlfred
Ай бұрын
QJ TUNAMTUKUZA MUNGU KWA KUOKOA 2024 HALLELUJAH 🔥🔥🔥🙌
@thomasludovickkaria-ks2xp
Жыл бұрын
March 2023 and still My Fav 🔥
@goustonefrancisisole2534
Жыл бұрын
Since 2009 to May 2023... And forever....
@Sokobenza
5 ай бұрын
Kama upo single na umekuja kusikiliza hii ngoma 2024 hii gonga like hapa.
@rashidmoting8724
4 күн бұрын
Till 2024.ingali hit.
@husnandumbala5214
Жыл бұрын
Naikubali mpaka leo hii2023🔥🔥
@BushBaby-x1d
Ай бұрын
Yaani hii ndio RNB ya ukweli ....yaani ilikua bonge ya hit. Mpaka sasa 2070
@elizabethmyombe7375
7 ай бұрын
Nani anasikiliza 2024
@kevinkiongera7689
7 ай бұрын
HAPA KENYA 🇰🇪
@allywaziri1997
8 ай бұрын
Still they gat a juice love from 2024
@Juliy_01
Ай бұрын
Tujuane tuliokuja kumuangalia Qj
@iddmlenga9852
Ай бұрын
Nakumbuka mbali sana..hii nyimbo nakumbuk hapo mwishon ndipo nilipokua naanzia kuchana nilijifunzia kuchana kw beat hii..i loved wakali kwanza guys..walikua gud
@ataraxiastemple
Ай бұрын
yaani inamaanisha miaka 17 yashaapita tangia hii hit itoke 😭
@hamadmwendo6644
Жыл бұрын
Mpenz njoo usione Soo,,,,kitambo kulikuw n mambo!!!sharaut kwao talented guys
@suwedimussa5664
Жыл бұрын
Ni mashairi yalioenda shure kitambo kidogo acha niinjoy 2023 ❤
@athanassospeter4748
Жыл бұрын
Natamani 2023. Ngoma za hivi zimepotelea wapi bongo flava?
@daudiedsonrichard509
Жыл бұрын
ngoma zetu za miaka hii yan baada ya mwez moja hutaman kuisikia tena bt hawa jamaa cjui walikuwa wanaandika vipi ngoma zao yan hadi leo zinabeng 🔥🔥
@LufoMabindoWanga-ib6ih
Жыл бұрын
Tutaishi nayo milelee
@rajabutangale1402
8 ай бұрын
Kizaz cha hawa jamaa walikuwa wanajua sanaa
@westcijosh
7 ай бұрын
Walikua na passion
@evaristdutta5987
26 күн бұрын
Mwamba Makamua uko wapi??
@moseskimemia7380
Жыл бұрын
2023 and still its hitting differently
@adolpheemongolanu3204
Жыл бұрын
This is the Tz music i used to like, wakali kwanza , love from Drc🇨🇩🇨🇩
@HoneysugarPudding
Жыл бұрын
19.08.2023
@joelramadhan6062
3 ай бұрын
Best song all the time🎉❤ 2024
@neemakessy9788
11 ай бұрын
Nani anasikiliza November 2023♥️♥️♥️♥️ Mziki mzurii unaishi
@samyapua1497
10 ай бұрын
Mimi na sikiliza December 2023
@nassorsuleiman9155
2 ай бұрын
Hiiii ngoma nakumbuka nipo primary ndio inatoka mimi na washkajii zanguu😂ndio tukawa tukitaka kuitana tunatumia iyo YYYEEEEEEEAAAAAAA hapo mwanzo😂😂dahh life bwna 🎉🎉❤😂
@vancoM1
6 күн бұрын
2024 here we go
@ZulfaMunira
3 күн бұрын
Anyone October 2024 ☺️
@jaymakorani4019
Жыл бұрын
These guys have lived ahead of time. The messenger App era of sending photos. Wakali Kwanza all the way 💪
@Rich-wo
25 күн бұрын
Gonga like km upo hapa sept 2024
@ErickMwendwa-c3d
6 ай бұрын
2024 mwezi wa 4
@ErickMwendwa-c3d
6 ай бұрын
Asante sana boss makamua nakubali sana
@epemignatius8380
11 ай бұрын
Nani yuko hapa 2023 haki nilipenda Mambo Mseto juu ya mziki kama huu.
@noeljuliusmalecela..8870
Жыл бұрын
Daaah Kweli VYA kale dhahabu.
@KhalidVova-f2t
2 ай бұрын
Daah🎉 2024 bado nikiwa na stress narudi ktk vit vilivyotupa raha japo simanz kwa mbali kwa wenet waliotangulia ktk haki zilihit hizi ngoma tukiwa wote
@thehustlerafrica4368
Ай бұрын
Jamani waandaaji wa matamasha wasafi festival mbona hamtoi nafasi Kwa Hawa vijana ??
@mohammedmwaniki1895
Жыл бұрын
Mamae nyimbo imeimba kwenye akili yangu mwaka wa 5 sasa natafta jina lake tu nimeipata leo daah
@mrkibali6075
Ай бұрын
Mwanangu Qjay Hongera kuja Kwa katika madhabahuu
@braviusmeddy2585
Ай бұрын
Dah long sana nyimbo haiishi ladha
@EdwinTarimo
Ай бұрын
Official tarimo ngoma kali❤
@rechopaul6834
Жыл бұрын
Yani natamani warudi tenaa kuimba kama zamani daaaa 🙌😥❤️
@edwinathanas2484
Жыл бұрын
Sarut sana ngoma hii
@mariakapinga5276
Ай бұрын
Bado tunaiskiliza 2024 🔥🔥🔥🔥
@muddykassim3451
Жыл бұрын
Hii ngoma haichuji
@PaschalMologa
2 сағат бұрын
My Best song of all the time . Tanzania pride
@isaackamando8484
11 ай бұрын
Those days TBC ilikua kipindi cha boda 2 boda ilikua nikirudi skuli lazima nicheki, ilikua nna nyimbo zangu nisipoziona asee sijatazama kipindi hii ilikua moja wapo na ile mshike bega umpendae ya hussen machozi
@williamuaza7541
Жыл бұрын
11/10/2023 Ndo naskiliza mzk mzur kama huuuu JOSLIN WAp mzeeee???❤❤❤❤❤❤
@NoelMazengo-o6g
4 ай бұрын
Anayesikiliza ngoma hii 2024 gonga like
@kaselocharles8448
4 ай бұрын
Kama mpya imetoka jana vile
@Skanxxx001
7 ай бұрын
Classic mpaka Leo. Bana eh wapatane tena watoe mtwango kali kama huu
@moullaommywayneofficial1199
Ай бұрын
Watu wa Burundi 🇧🇮 mko wangapi mriopendaga song hiiyi
@valerianchamlungu7268
2 ай бұрын
Muda unaenda kasi mnoo.... Good music lives for decades
@abdouljb
Жыл бұрын
Legends hadi mwisho,.. The songs were lit,.. Clean version and videos... Maneno matamu
@mudykatundukatundu354
Жыл бұрын
Nani anaskiliza ii ngoma kila baada ya mda fulan maana n 🔥
@mashramadhani1989
10 ай бұрын
Daaaaaa bonge la shuzi mpaka sasa 2023 quality yake ipo sawa na za sasa na zaidi
@omreuzex7109
Ай бұрын
walijua sana kutuburudisha hawa jamaa. ckuhz muziki hauna ladha kbs.
@monicageorge2181
Жыл бұрын
Baada ya miaka kadhaa r.kelly na usher wakaimba theme inayofanana na hii.Respect to our legends.Wakali kwanzaaaa 🙏
@LufoMabindoWanga-ib6ih
Жыл бұрын
Same girl au sioooo?
@stephenlameck7096
Жыл бұрын
Kwahiyo same girl wamecopy hapa???
@eliyagervas8680
Жыл бұрын
😂Inawezekana
@brownjulius8514
2 ай бұрын
Nimekuja hapa June 2024 naskiriza hili dude❤❤
@suzienshoka8319
6 ай бұрын
Please take me here! Nostalgic 😭😭
@officialtaslima5409
Жыл бұрын
13..March 2023 Nani anaiskiliza kesho 🔥 🔥
@MichaelMgallaTz
Ай бұрын
Pastor QJ MUNGU mkuu sanaa kamuokoa🙏🙌🙌🙌
@rajabutangale1402
8 ай бұрын
2024 nimerud tena
@LukaHamisi
Жыл бұрын
Azichuji miaka buku❤❤❤
@qassim1465
Жыл бұрын
Nipo hapa 2023 naendelea kuinjoy 😊
@ArafhaLegoO-rb7gx
Ай бұрын
2024 mpo wapi
@mdfagio8673
Жыл бұрын
vi wakowapi awa jamani 2023
@khajirashid3455
8 ай бұрын
Hapa master Jay alituliza kichwa
@bright_on_
Жыл бұрын
Nostalgic! Take me back to this era. 🇰🇪
@najmakimara-zz4zp
Жыл бұрын
Makamua your the best I will die love this song bigup from kenya salute
@Silivyo
Жыл бұрын
The magic sing 🎼🎼🎼🎤🎧
@hamisijuma8564
Жыл бұрын
Ngoma bado inaishi
@wasafi_charts1771
Жыл бұрын
Daaa Ngoma Bado inasumbua mtaa
@sideboymathias7333
Жыл бұрын
Huuu wimbo naupenda paka kesho bas2 leo talehe 19.6.2023 naijoy nao
@jescaisrael7338
4 ай бұрын
❤Tujuana 2024
@charlesmseti4345
Ай бұрын
Niko darasa la 4 Leo hii baba wa watoi kadhaa but still hii wimbo inabamba Sana!!!
@born_drip
4 ай бұрын
June 2024 🔥
@yohanabundala9162
2 жыл бұрын
Hit zangu pendwa za zamani, mpaka sasa 2022 naupenda huu wimbo
@erickmmbando1909
Ай бұрын
Daaah Mzee Makofamua aisee,, hii track inanikumbusha mbali sana Enzi za Mbonea secondary school adi Jitegemee High school. Anyway one love all the way from U.K 🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@sekelamwangomo5458
5 ай бұрын
Talk about bongo old RnB..wakali kwanza were among the founders♥️
@erickodhiambo6994
4 ай бұрын
Kali sana
@charmzchi5110
Жыл бұрын
still crazy about this song....
@eliasmacha1755
Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰wat a hit 2023🔥🔥🔥🔥
@realscholarships-bolde.2344
Жыл бұрын
Likes apa za 2023
@ballisticsound4796
2 жыл бұрын
THIS IS MUSIC MENN ❤🔥❤🔥❤🔥❤🔥❤🔥
@christmoremillinga5295
5 ай бұрын
Nyie Zaman kulikua na Music ..saiv yamejaa makelele na matusi tu
@abdulrahmanathuman5061
Жыл бұрын
Nimeusearch kila kona nipate audio yak lkn wap dah….bonge moja la nyimbo ❤️🔥💪🏿
@WaridaChinga-r6o
Ай бұрын
Nausikiliza mpaka kesho
@DenisShirima-y7x
Ай бұрын
Tujuan 2024
@Ebendentalclinic
Жыл бұрын
my best bongofleva rnb song of all the time,actually my best song of all the time
@wayfarer7328
Жыл бұрын
Leo,Sasa hivi nasikiliza🎉
@barakawatu9226
Жыл бұрын
2009 song I just remember far and long time and many mostly years ago 💯💯💯💯.
@edwardasumwisye3010
Жыл бұрын
This is living music
@juntwakabete1664
Жыл бұрын
2023 take me back to this era
@jaystar1004
Жыл бұрын
Juzi nilimwona
@charlesjohn1332
Жыл бұрын
13.08.2023 nimejikuta nimekaa zangu tena nip bored imenibid nizame tube nakusachi hii pin
@severinndunguru6270
Жыл бұрын
Aiseee hii ndo bongo flever tunayojua fantastic squad old is gold
@josephmwadime8733
2 жыл бұрын
My favourite since day one 💯🇰🇪
@westcijosh
2 жыл бұрын
Wakuu mko wapi tena hamtoi ngoma kama hzi tena sjui imekuaje
@yussufmohamed-nn5ro
11 ай бұрын
Nakubali
@mathiaskasigwa3876
Жыл бұрын
Hii ni Ngoma kali,waliumiza kichwa sana
@anyandwilemwangupili4442
10 ай бұрын
Ahaaa ngoma Kali sanaa yaani nakumbuka mbali sana enzi Hizo 2010
Пікірлер: 305