Mimi huwa nasema shida sio nchi za magaribi shida viogonzi wa kiafirica hao ndoo wanafanya Africa iwe masikini
@atutweve4160
28 күн бұрын
UMEONA 👍🏿
@GodahMartin
28 күн бұрын
VIONGOZI SIO shida! Shida ni sisi wananchi hatujielewi na wala hatuna maono ya kujisimamia, HATUJIPENDI kwaio kiongozi akiingia anajua asilimia kubwa watu wanaakili za hovyo ndio maana wanafanya ivyo anaona bora ajipigie zake asepe.. chukulia mfano MAGUFULI alivyopondwa na watu na ile hali alikuwa anatuamsha hivi kama tungemlinda kwa gharama yule RAISI kwa wingi wetu unafikiri angekufa kirahisi vile?? kwaio mwisho wa siku hata tukipata RAISI mzuri kama RAIA hatujitambui ni kazi bure. SISI tunatakiwa kujielewa kwanza kabla ya viongozi na hata sheria tutazisimamisha sisi na viongozi tutamuwaweka mzuri.
@paulinewangila-cs6ys
28 күн бұрын
Kweli kabisaa
@allahisone6386
27 күн бұрын
MIKATABA NDIOOO INAWAPONZA NAKADHALIKA
@john_1trader
27 күн бұрын
Mimi mkenya ila raisi wetu mwehu sana
@sponsor7882
27 күн бұрын
Samia na Ruto wanapenda sna ndege
@user-wd2bc7bf5x
27 күн бұрын
😹😹
@user-zm8nq6xv8o
28 күн бұрын
Hivi unaanzaje labda kutowa pesa zote hizo huku wananchi wanalia nja 😢 wakamuangalie Ibrahim Traore
@allahisone6386
27 күн бұрын
AFRICA BILA UZALENDO WETU BAINA YETU NI NGUM SANA KBS KUENDELEA
@user-uo8xw9kr4b
27 күн бұрын
Sio uzalendo wan ubinafsi sana.
@user-zm8nq6xv8o
27 күн бұрын
Kwahakika inasikitisha sana Yaani ujinga ujinga ujingaaaaa kabisaaaa yaaani kiufupi hana hoja yoyote ile ya kujitetea
@3erffeoui86
28 күн бұрын
huyu Ruto alianza hii tabia mwaka 2013 mwezi wa tatu alitumia 100 million kenya shillings kuzunguka APA AFRIKA NA PRIVATE JET
@idatonymassawe
28 күн бұрын
Na bado anazitunia had uchaguz ujao watanyooka tuu
@matukiotvonline6366
28 күн бұрын
Hawa Kenya hawa nivigeugeu waiosomeka ni afadhali ya TANZANIA❤🎉
@3erffeoui86
28 күн бұрын
boss ruto si wakenya
@mwawekomiuda9779
27 күн бұрын
Hanna kitu pia
@allahisone6386
27 күн бұрын
😅😅Ndiooo_🤦🏿♀️ 😅😅
@matukiotvonline6366
27 күн бұрын
@@3erffeoui86 ni wa wp
@TakarTeko
28 күн бұрын
Mimi ni mkenya sioni faida ya Ruto kwenda merekani
@MelodyDanteh98
28 күн бұрын
Huoni faida... Just go right now and see how many deals he has signed
@MamyHamso
28 күн бұрын
@@MelodyDanteh98Ame saini ushoga tu 😢😢
@allahisone6386
27 күн бұрын
😭😭
@john_1trader
27 күн бұрын
@@MelodyDanteh98what deals uko kenya kweli he was anable to fight floods which deals bro pple sufering out here and u r saying deals
@show...002
28 күн бұрын
siasa ya kwetu mbona mmeikalia kmy lipuwa na yakwetu tu maana afazali ya kenya
@HansChuma
27 күн бұрын
😂😂😂😂 thubutu wanaogopa ila kusema za wenzao tu hodari
@omarybakunda2554
28 күн бұрын
Nasikia pesa ya kenya inathamani sana ngoja Ruto awafundishe jinsi ya kuitumia.
@MiriamAbdallah
28 күн бұрын
Eee bwana 1000 kwa 22000
@golebenson4597
27 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@BHTV-ly4jf
28 күн бұрын
Kama niwamarekani ndio wana shida nasisi mbona yeye ndie ameenda Marekani? Afrika bado tuko watumwa kwanini yeye biden asije kenya😭😭
@allahisone6386
27 күн бұрын
SUBUTU & SAHAU DUAA
@slowdns3694
28 күн бұрын
Africa bado watumwa
@allahisone6386
27 күн бұрын
NDIOOO KULIFAHAM LEO?
@user-nb6yh2bn9y
27 күн бұрын
Yaa true 😎😎😎👍👍👍
@khadijaalimohd1320
27 күн бұрын
AMEENDA KU LEGALIZE USHOGA KENYA .
@paschalfausitine7108
28 күн бұрын
Kenya Rwanda,agenti, wa nchi za magaribi,,,vivan uganda
@allahisone6386
27 күн бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@mwalimunyerere
27 күн бұрын
ndio maana Tanzania mtazidi kua maskini.
@user-gx4jx4gv9l
28 күн бұрын
Baadhi ya viongozi wa afirika ni mazuzu ndiomana kwenye mazishi ya marikia walitengwa ata samia alienda kuchezea hela wakatuambia ameenda kwa faidi adi leo hatujaambiwa faida ya royotua zaidi ya maisha kuwa magumu tu.
@lugelosanga5798
28 күн бұрын
Ameenda kuwauzaa wakenya cc mama alienda kutuuza ufaransa
@JuliusSenyael-ej6hg
28 күн бұрын
Wafe wote kwa jina la yesu MUNGU amewapima awafae
@benardmakori4012
27 күн бұрын
Hahaha😂😂😂
@papamukulu1045
28 күн бұрын
Mchambue pia ya kwenu sio ua wenzenu naya kwenu yana washinda
@jamilaathumani5481
28 күн бұрын
Kulikuwa hamna haja yakutumia pesa zote izo Kwajili yakukodi ndege ya pesa nyingi ivyo..wakati ndege ya serikal ipo na hali za maisha ya wananchi wako wanaishi Kwa maisha magumu
@barrynzeyimana6270
28 күн бұрын
Hata hangezitoa hizo pesa, je raia wangezipata?
@allahisone6386
27 күн бұрын
SUBUTU KBSAAAAAA
@Elizabeth-gq9kl
28 күн бұрын
Hapo, Umechambuwa ukweli kaka" Mimi nimu Kenya, nampenda vile una fafanuwa.
@criminalminds7723
28 күн бұрын
Ruto ni snitch tu kikaragosi wa marekani huyo,
@aminatanzanya7475
28 күн бұрын
Kenya wana ndege nyingi kwann hakutumia moja wapo kuepuk huu ufujaji wa pesa
@Soon815
27 күн бұрын
Wanandege 3 tu nyingine za kukodi
@dorambaga2667
28 күн бұрын
Si bora kenya vipi kuhu😢Tanzania mnajua mama yenu anatumia kiasi gani kila siku kuzurura
@aaa64sa13
28 күн бұрын
Jingazzzz we unatoka kenya ipi??? Pumbavu sana kama sio mkenya usiongele Kenya.
@dorambaga2667
28 күн бұрын
@@aaa64sa13 poor mind
@hashimchaoga9566
28 күн бұрын
Hajawahi kukodi ndege ya bei hiyo
@dorambaga2667
28 күн бұрын
@@hashimchaoga9566 huna unalojua bora unyamaze
@christopherkanyalakc8941
28 күн бұрын
Ruto kama nikweli kafanya ivyo bass kichwa chakwe ni nimweeeeeeeeeeeeee
@king_maik6375
28 күн бұрын
Hovyo, rais bwege
@khalidsuleiman4588
28 күн бұрын
Kuna mambo makubwa yatakuja kutukuta Ukanda wetu wa East Africa viongozi wetu wanatusinich sana
@moseskulola6913
28 күн бұрын
Bona wa Kenya wana madege kwanini hajachukua hata denge monja ..jiga sana
@nassercurtis9579
27 күн бұрын
Hapa ndio ninapomkumbuka Mavufuli, miaka minne mpaka anakufa hajapanda ndege kuwafgata hao majizi wa mali zetu.
@adamkapolo8817
28 күн бұрын
Samia kaenda juzi tu kikazi Marekani
@mamakekhubeiby4206
28 күн бұрын
Ame kwenda kuchukuwa Tax America
@EsromuKamwela-ol9uo
27 күн бұрын
China Haina mpinzani
@kwisa4899
27 күн бұрын
Hustler
@africanmandetraveler2847
28 күн бұрын
Hana tofauti na bibi titi juzi kati alimkumbatia Macron .
@omarysaid8725
27 күн бұрын
Viongozi wengi wa kiafrika wanapenda sana anasa na kujilimbikizia mali wanapenda vitu vya kifahari
@uwezojaninosgospelartist1432
28 күн бұрын
Wananunuwa watu weusi waende wauwawe tu, ambapo nzungu awezi kufa kwa ajili ya mtu mweusi.
@johnnkelebe7360
27 күн бұрын
Mbona wakenya wanalalamika mbona sisi bi mkubwa anasafiri kila mara??? Au shida kukodi ndege ya TZ??
@KhamisOmar-kt4kz
28 күн бұрын
Kenya washamba sana
@paulinewangila-cs6ys
28 күн бұрын
Asante kwa hilo jina ubarikiwe
@MasterOil-qm6vw
28 күн бұрын
Hatuwataki marekani africa
@AAa-it7nx
28 күн бұрын
Watu wanateseka Sana aki yeye anatumia pesa hivo 😢😢😢😢😢
@trizereve3386
28 күн бұрын
Yani huyu mungu ndio atakae mtosha
@braystuskibassa3842
28 күн бұрын
Ndo tatizo la viongozi wetu wa Afrika yaani ni vurugu tu wakipata madaraka basi baada ya hapo wanawapa mikopo ya kutununua aiseee tuko nyuma ya muda Afrika
@Zenny89
28 күн бұрын
Sasa Wakenya wanapiga kelele za nini..wao si ndo wanasemaga wanapesa East Africa😆 na hela Yao kubwa..basi..hela kubwa lazima itumike kikubwa
@mesaidikazungu4299
28 күн бұрын
Wewe hujui unacho kiongea
@user-pg2tw8yt4l
28 күн бұрын
ndio hapo sasa halafu nimeipenda sana hii koment yako kuhusu wa kenya wanavyosemaga😂😂😂
@rithadonatus8110
28 күн бұрын
Na mimi mashangaaaa jamaniii😅😂😂😂
@MiriamAbdallah
28 күн бұрын
Wanajiona wao ni matajiri😀😀😀😀😀😀😀
@paulinewangila-cs6ys
28 күн бұрын
@@user-pg2tw8yt4lZarau hizi dunia duaraa jamani cheka leo
@fikirimutambala4330
28 күн бұрын
Rais wa ghana alikuwa huku 2008
@magnificententertainment9328
27 күн бұрын
Kwani Dokta Samia si ameenda US mara kibao sana...😮😮....unasemaje tangu miaka 16...
@akidashekue163
28 күн бұрын
Kenya bado koloni la wazungu
@Swahili37
28 күн бұрын
Huyo mama yenu alipozindua filamu alikuwa nchi gani?? Pambaneni na hali zenu zetu mtuachie mwanzo hamziwezi.
@johnmalembo6464
28 күн бұрын
Rangi ya wazungu inawatisha awathamini uafrika wao.... Wanauza raslimali za afrika kwa kuthamini ngozi ya wazungu....
@josepheriah5977
28 күн бұрын
Apo saw
@aminatanzanya7475
28 күн бұрын
Ukimaliz ya Ruto tupe tasimi ya mama Samia katumia sh ngap kweny safar zake
@MiriamAbdallah
28 күн бұрын
😮😮😮😮😮
@FatumaMamlo-st8pj
27 күн бұрын
Kaenda kupaisha ushoga kenya kula chuma hicho
@mohamedaley5632
28 күн бұрын
Allah atustiri na wamagharibi... wasije wakafanya njia ya kuja tz
@MiriamAbdallah
28 күн бұрын
We nae si ameweka mzizi hapa ni nani ananyanya raiya huko mbugani Serengeti?
@mwawekomiuda9779
27 күн бұрын
Waje mara ngapi?
@kassimbayuu5217
28 күн бұрын
Viongozi wa afrika wanafell hapo yaan HUU ni ujinga uliopitiza
@AnuHassani
27 күн бұрын
Pesa yao inasamanii sana jmn achaaa haitumiee tuuu😂😂😂
@MajutoElliasi
28 күн бұрын
Kenya mnahera kubwa wacha wapunguze kidogo msije mkashitwa kubeba😂😂
@user-pg2tw8yt4l
28 күн бұрын
😂😂😂
@Gabixtz
28 күн бұрын
😂😂😂
@paulinewangila-cs6ys
28 күн бұрын
Majuto:ubarikiwe
@True20137
27 күн бұрын
😂😂😂
@jeffchurum1431
25 күн бұрын
Freedom of speech kitu ya maana sana, TZ mnachabua za Kenya lakini hakuna mmoja wa TZ ako na guts kuongelea serikali yao. Waoga tupu.
@user-cw8zn2dn6m
28 күн бұрын
Amepewa mwaliko na rais wa US. Sasa kuna haja gani ya kubana matumizi? Kula tu. Ee shusha tu na soda ukiwa juu angani. Ndo maana Magufuli hakupenda kusafirisafiri kwenda huko ulaya na marekani. Anajua, atapata hasara kubwa sana sio faida kwa masikini. Wito: viongozi wa Africa. Tuache ushamba. Unaenda kwa wazungu kutafuta nini leo hii? Waje wao huku tule nyama choma ya hapa Tanzania au Kenya. Oky?
@user-mm5td4rz8t
27 күн бұрын
Ruto Mutumishi wa wazungu
@MussaSuleiman-ui9fy
28 күн бұрын
Ruto ni maskini kila jambo anapelekeshwa ndio amesaini wananchi wake wafilane na wasagane sasa wewe RUTO subiri adhabu ya Allah wala usijione mjaja utasaga meno muda si mrefu
@paulinewangila-cs6ys
28 күн бұрын
Hakuna hajasaini popote
@golebenson4597
27 күн бұрын
Kenya kenya inanuka shidah kila kona RUTO UNAHARIBU KENYA YETU NYANGUMI WEWE
@amriseleman9395
28 күн бұрын
Ndo kusema Kenya hawana ndege ya Rais? Au hawana ndege za kutosha kwa Rais kuweza kusafiri?
@kwisa4899
27 күн бұрын
wakwetu sisi je?
@mrshazychannel3359
28 күн бұрын
Kikaz?? Kwan mama samia hakwenda kikaz??
@Swahili37
28 күн бұрын
Usijaribu kulinganisha rais wetu na Samia
@paschalfausitine7108
28 күн бұрын
Kenya kashaliw koboga zamani. Ushoga ni,hatari kwa African
@MuniraShughuli-kc7vj
28 күн бұрын
Jinga Sanaa hili Ji mtu Mfisadi mkubwa watu tuna dhiki kumbwa mlo kwa siku watushinda🤔
@SharaMan-yn9px
28 күн бұрын
Wa kenya tuko sawa
@JuliusSenyael-ej6hg
28 күн бұрын
Pumbavu zenu
@muddjigal4096
28 күн бұрын
Ally samahani uhuru kenya si aliendaga wakati wa trump mpaka akatia aibu kwenye mapokezi na trump na mke wake au hyo ilikuwa ni sio ziara au vp
@SM-fu1yv
28 күн бұрын
Ruto pumbavu sana hata hata ushoga atakubari
@mr_kajomba_og5719
28 күн бұрын
Wakenya tunao tu mpaka waseme
@simonmartin5358
28 күн бұрын
Kenya nao wanasota kama tz
@lisawilliam2491
28 күн бұрын
Kenya moto unawawakia kama sisi tu wa tz hatuchekan 🤣🤣🤣🤣
@AAa-it7nx
28 күн бұрын
Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia
@AAa-it7nx
28 күн бұрын
Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia
@emanuelidamiani2943
27 күн бұрын
Mmmmm haya bwana😅😅😅😅😅
@johannesrwiza
27 күн бұрын
The problem of Africa is their leaders nothing else
@thelonewolf4429
28 күн бұрын
Vibaraka wamagribi walioshindikana duniani 1 zelensky 2 ruto. Ruto ukiangalia ata sura yake kipua utajuwatu uyu ni mwizi bilashaka. Amekuwa akionge sana haana ata upanafrika uyu bwana
@golebenson4597
27 күн бұрын
Izzo ni gaharama za usafiri.Malazi,hoteli itafika m400😂😂
@hassangaddafi2347
28 күн бұрын
Zakayo ni bure sana
@MasterOil-qm6vw
28 күн бұрын
Mpuuzi italeta matunda wakati italeta ushoga na usagaji na kuibiwa rasilimali
@lugelosanga5798
28 күн бұрын
Wanaongozaaaa mbumbu ndo mana cha kuwafanya hatuna daaaaa
@FrankMushi-cs5js
28 күн бұрын
Upumbavu uhuu
@chazy7ya216
27 күн бұрын
amefanya ujingasana
@ebengapierre8826
27 күн бұрын
inchi km Kenya 'ni inchi zenye asili ya kiyahudi kwanini Kenya wahanze tena urafiki n'a marekani ni raisi mpumbavu ahana akili raisi km ruto akodi Ndege ?🫣🫣🫣🫣🫣🫣 ni ujinga viongozi wa afrika km uyo ruto siasa ajui ahiwezekani raisi kukodi Ndege maraisi wengi ajui wafanye n'ini niwezi
@christopherkanyalakc8941
28 күн бұрын
Hasra sio poa
@Sidrasidra636
27 күн бұрын
Uyu ame anza kuharibu mapema
@ARNOLDKARISA-fs3ht
27 күн бұрын
huyu jamaa amekuwa anatumiwa na watu wamagharibi juu ukiangalia huku kwetu madakatri na walimu wako nyumbani kwa mshahara duni alafu yeye ni mwenye kusafiri safari nyingi sasa hata anakoroga na hafai juu hazileti faida kivyovyote
@zuberisalum2004
27 күн бұрын
Ruto niwakala wawazunguu
@Elizabeth-gq9kl
28 күн бұрын
Nachukiyasana hilo kama mkenya
@JuliusSenyael-ej6hg
28 күн бұрын
Mnatuchanganya nyie
@rehemashariff3119
28 күн бұрын
Kwani ruto ameanda kuuza meno au naona yeye tu meno yako inje sina simo
@ndukulusudikucho_
28 күн бұрын
Njia gani ya kwenda Marekani kwa bei nafuu hasa ukiwa Kiongozi wa Nchi, hivi kweli unapewa Mwaliko na Rais wa Marekani alafu ujibane kwenye Mashirika ya ndege na abiria kibao?? Rutto ana kasoro zake kama Binadam lakini kwahili vaa viatu vyake
@swalehemusa4546
28 күн бұрын
Waafrica nyie ni waginga sana nitamkumbuka magufuli wngu
@user-kg8dn6qr8o
28 күн бұрын
Mnachambua Sana Habali za Selekali za nchi nyingine mbona Tanzania hamjawahi
@PAULNYANDILE
28 күн бұрын
ukapimwe akili kwanza ndiyo uje ukomenti
@user-tq4lx9si1n
28 күн бұрын
Wakat tz kunaumaskin wakunuka bado wana ng,ang,ania kuchambua injizawatu
@zaidiissa3714
28 күн бұрын
Ndugu zetu tusiwalaumu sana wao washakua mashiga tayali sasa mikundu ikikosa breki unahisi vichwa vitaweza kufikilia ??? Wametuangusha sana ndugu zetu tangia waukubali ushoga na kuuhalakiaha mambo yamewaharibikia sana ndio maana hata papa wa kanisa katholic alivyotangaza uhalali wa mashoga kufunga ndoa Ajinsia moja makanisani hakuongea chochote ambao waliandamana walikua waisilamutu pekeyao laki waisilamu kenya siowengi kama wakristo ndio maana ilesheria ilipitishwa mungu atunusurutu 😮😮😮😮😢😢😢😢
@fatumamwalimu5765
28 күн бұрын
Kwani Tanzania mashoga na wasagaji hawapo? Je imejalalishwa? Viongozi wanasiri kubwa usiongee ukamaliza, mbona hawakuliweka kwenye katiba ikiwa nirahisi?
@fatumamwalimu5765
28 күн бұрын
Kilicho ongelewa hapa ni pesa aliyoitumia sio mambo ya ushoga au usagaji, shoga ni shoga na msagaji ni msagaji hayo ni maamuzi ya mtu mwenyewe akiona shetani ndie anaemuongoza, Tanzania mbona mashoga na wasagaji wapo wengi tu na wanajulikana,hatua gani wamechukuliwa? Huko sio kuwalea?
@emmadora7848
28 күн бұрын
Na huko Pwani ndio mashoga mmejaaa kuwemo wewe ,ukiacha unafikiri utafika mbali ,mashoga wengi wana majina Fulani hivi , na wapo siku nyingiii sana ,tumia akili vzr na sio hisia
@fatumamwalimu5765
28 күн бұрын
@@emmadora7848 mashoga hawana majina maalumu usiongozwe na hisia hata wewe, sio pwani wala nchi kavu,kila mahali mashoga na wasagaji wapo, na ingekua ni pwani tu nchi za wazungu wasingekua wanaongoza kwa mashoga na wasagaji
@paulinewangila-cs6ys
28 күн бұрын
Hakuna katiba humu nchini Kenya imekubaliwa jambo la usagaji,weka akilini
@kikongajoel2693
28 күн бұрын
Ruto 😂😂😂
@Swahili37
28 күн бұрын
Wakenya gani acha porojo wewe nkt
@user-yp9el7xp8g
26 күн бұрын
Vitu mtu anakata taxe adi watu wa KZitem
@SuleimanSalim-ql3ny
28 күн бұрын
Mnh tz tuwe makini na kenya
@user-ui5zo9re8b
28 күн бұрын
Nawakongomani
@paulinewangila-cs6ys
28 күн бұрын
SuleimaniSalim:Tz ndio wakamilifu duniani?acha zarau usione ndio mmefika sana dunia duara
@paulinewangila-cs6ys
28 күн бұрын
@@user-ui5zo9re8bukisema unawajuwa watu wenu😂ndio wazuri utashangaa ukiwa peke yako kuna mengi usiyoyajuwa kuhusu ndugu zako
@africanmandetraveler2847
28 күн бұрын
Unadhania samia akiitwa hataenda ,mbona juzi kaenda kwa mfaransa juzi na mfaransa ana kataliwa sana Africa ya magharibi.
@SuleimanSalim-ql3ny
28 күн бұрын
@@africanmandetraveler2847 Mnh ett nin!? Hv umesahau mama ametokea ktk mikono ya R I P nani vlee nadhani unamjuwa cz ata mabeberu waliisoma no.enzi za uhai wake hivyo ninaima mama hawezi kutuangusha istoshe anafahamu
@user-zm8nq6xv8o
28 күн бұрын
Ujinga mtupu
@user-nb6yh2bn9y
27 күн бұрын
Wee mwandishi Acha unoko mbona raisi wetu samia suruhusu anasafili saana tofauti na magufuri Hujawai sema au unaogopa kufa yenu yawashinda KAZI umbea tuu 😔😞😔
@edisonbayona-rz9ed
28 күн бұрын
Ruto malekani wakikusifia ujuee wewe ni shonga
@chikusangalala7759
28 күн бұрын
Ujinga huwo bora wangejenga shure au kupunguza codi kwa wananchi
Пікірлер: 173