MashaAllah. Jamaa ame uliza habari ya Yesu ku bebea DHAMBI. Baada yaku somewa Ezekial 18:20 na John 8:21, huyu jamaa, i think, hako convinced kwa sababu katika kichwa yake, yeye ana fikiri eti YESU, na Wanafunzi wake 12, eti, wata 'HUKUMU' siku ya Kiyama! HIYO fikra my friend, ni POROJO ya WAZUNGU, walioi TUNGA Biblia, in 1611AD! Yesu SIO 'Mungu' au PARTNER wa MUNGU, na wala hana MAMLAKA yeyote yaku HUKUMU! ONLY ALLAH, the CREATOR of yesu, and EVERYTHING that exists, will HUKUMU on the day of Judgement! TabarakAllah Team, na wenzenu kama kina Hassan Mrefu and Team!
@Traveller42385
10 ай бұрын
Happy to see Islam being received very well by Kikuyus.
@salimdaawah123
10 ай бұрын
Alhamdulillah islam is the only way to paradise
@sheemaryam
10 ай бұрын
Washalom mukurino kuna dada mukurino hapa amesilimu Tabarakallah
@fatmaally7252
10 ай бұрын
Takibir
@HassanJaphari-rx7jy
10 ай бұрын
MashaAllah AllahuAkbar. Karibu kwenye dini ya haki mbele ya Allah
@HassanAbdi-y9b
10 ай бұрын
Masha Allah ustad Salim,,,wallah nakupenda kwa ajili ya Allah
@salimdaawah123
10 ай бұрын
Tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
@HusseinAli-fx1ld
10 ай бұрын
Furaha ilioje kupata Revert wa kikorino🎉❤
@HusseinAli-fx1ld
10 ай бұрын
Uisilamu ni WA kabila zote, tuwaombee wa embu tharaka kuria wakisii.
@hassanadam3007
10 ай бұрын
ALLAHU AKIBAR
@hassanmpemba5747
10 ай бұрын
Masha Allah sheikh salim kwa mafunzo mazuri
@MuniraShughuli-kc7vj
10 ай бұрын
Taqbeer Allahu Akbr
@Halima-f1u
10 ай бұрын
MashaAllah Alhamdulillah
@modyhass5009
10 ай бұрын
MashaAllah.
@saudahassan3804
10 ай бұрын
Allahu Akbar, karibu dadake kwenye dini ya haqq
@ggv866
10 ай бұрын
Mashaallah Ma Sheikh wetu Allah awajalie kila kheri..Nawapenda kwa ajili ya Allah ❤❤❤
@salimdaawah123
10 ай бұрын
Alhamdulillah tunakupenda kwa ajili ya Allah
@ZainabuIrakoze
10 ай бұрын
Tabarakallah Allah Awalinde mashekhe wetu
@ggv866
10 ай бұрын
Takbir Allah Akbar ..karibu sana dada kwa Dini ya haki
@abdikarim324
10 ай бұрын
Karibu dadangu mukurinu,pia Mimi nilikuwa mukurino
@salimdaawah123
10 ай бұрын
Masha Allah
@AbdallaBarisa
10 ай бұрын
Mashaallah mashekhe wetu mungu awaongeze hiyo bidi
@MuniraShughuli-kc7vj
10 ай бұрын
Ma Shaa Allah Tabarakallah
@TabuOdhiamboOmiya
10 ай бұрын
Wakorino wanajua nusu ya ukweli ndio maana hao hata nguruwe hawali
@positivethinker2770
10 ай бұрын
Masha Allah nikisikiya dugu yangu akzungumza kikuyu ingawaje sielewi nafurhi Sana kwaamba ikzugumza na luga was watelewa vizuri sorry my swahili is weak Love you my brother for Allah sake much respect from Ethiopia
@SalumumaulidmasoudMsumi-cp6dm
10 ай бұрын
Mashaa llah jazaka llah kher
@ashaomaromar8624
9 ай бұрын
Mnafanya kazi nzuri sana masha allah❤❤❤❤❤
@mamawamoya3344
10 ай бұрын
Ma sha Allah,sheikh
@MohamedAhmed-ns5mi
10 ай бұрын
Mashallaha
@abdiweliminhaj2939
10 ай бұрын
m. a sheikh
@fatimahrashid2356
10 ай бұрын
ALLAHU AKBAR 💕💕💕
@salimdaawah123
10 ай бұрын
Mwenyezi ni Mkubwa
@NtahoZuberi
10 ай бұрын
Asalam alaykum warah'matullah wabarakatu nashukuru sana napatavipindi vingi kamavyote
@salimdaawah123
10 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh karibu sana
@OmaryBakariOmary-ts3mf
10 ай бұрын
Allah amuongoze awe imara katika dini
@hythamhashiem4458
10 ай бұрын
Kwenye pepo hakuna mashimo bal kuna bustan
@salimdaawah123
10 ай бұрын
Shukuran kwa ukumbusho huo
@swafiirbulbul819
10 ай бұрын
Maashaa Allah
@OmaryBakariOmary-ts3mf
10 ай бұрын
Akili tulizo nazo ni mtihan mbele ya Allah tufikili mifumo ya njia tulizo nazo kabla ya kufa
@zohramariga6678
10 ай бұрын
Asalamu alekumu warahama tulahi wabarakatu mashala kazinzuri Allah awalide nahusida nawapeda kwajili Allah
@@mangeraalbert7982mashaa llah bro karibu Sana bro may ALLAH guide u and protect u
@sheemaryam
10 ай бұрын
@@mangeraalbert7982 ma Sha Allah pia mm niliona haki nikajitoa mzima mzima Mm ndio muisilamu kwa familia yetu I praying nitazaa kizazi Cha uisilamu
@mangeraalbert7982
10 ай бұрын
@@sheemaryam ameen.
@BashirMahero
10 ай бұрын
Taqbirrrr hiii imfikie kafiri mmoja wa SDA MWALIMU ANAITWA KASINI ANASEMA WASLAM WANATAFUTA WENYE HAWANA ELIMU MAKANISANI SASA HAPA NI KANISANI????????
@triuneapologeticsevangelis5912
10 ай бұрын
Ni wapi huku😂,nihalikeni pia mimi nikuje nikona maswali 1000,000
@salimdaawah123
10 ай бұрын
Uko area gani chukua number yetu tuwasiliane 0727 431 691
@triuneapologeticsevangelis5912
10 ай бұрын
@@salimdaawah123 nko msa lakini ukiona mkristo kaalikwa msikitini kujibiwa maswali, hiyo ni tricky sana mahaalim
@salimdaawah123
10 ай бұрын
@@triuneapologeticsevangelis5912 usiwe na sura mbili umesema tukualike tumekualika
@triuneapologeticsevangelis5912
10 ай бұрын
@@salimdaawah123 hamjanialike , mumepeana tuu number ya simu na kuuliza tuu nko wapi,.. wewe ndio mwenye sura mbili... Ukweli muhimu kuligo uongo
@peternyaga-jh7zb
10 ай бұрын
Hata waisilamu wanaruhusiwa kula ngurue ..jesus is the way to heaven hizi zingne ni dini zinapinga ukweli
@salimdaawah123
10 ай бұрын
Aya gani waisilamu wanaruhushiwa kula nguruwe pili Yesu hakutumwa kwa wakikuyu alitumwa kwa waisraeli 13:23 matendo ya mitume
@patrickmaina5459
10 ай бұрын
Ukimaliza kuwadangaya Usisahao kuwabia pia Majini ni Waislam mana pia walisilimu Quran 72:14 wasilimu wakue Ndugu za Majini
@andallaathman3856
10 ай бұрын
Hiyo Aya imesemaje kma ww nimkwwli Kaka na ww ushawahi ona jinn msikitini sihao wako KWa msikiti
@andallaathman3856
10 ай бұрын
Al-Jinn 72:14 وَأَنَّا مِنَّا ٱلْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا ٱلْقَٰسِطُونَۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُو۟لَٰٓئِكَ تَحَرَّوْا۟ رَشَدًا English - Sahih International And among us are Muslims [in submission to Allāh], and among us are the unjust.[1] And whoever has become Muslim - those have sought out the right course. Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu. English - Tafsir Ibn Kathir sindio hio Aya kuna wengine wamesilimu na wengine ambao wamekataa hao itakua ndugu zako kma ww na majini ni viumbe vya mungu kama Sisi ila wako na dunia zao hatuwaoni hatujui wabudu vipi wafanyaje so usidanganye ww coz muislam hafichi kitu katika Qur'an ndio ikawa wako tayari Kwa maswali yoyote but nyinyi mwaficha ukweli ndio ikawa hakuna kuuliza maswali kanisani
@patrickmaina5459
10 ай бұрын
@@andallaathman3856 Quran 72:14 Majini Wana sema, Na Hakika wamo katika Sisi Waislam
@salumkagame509
10 ай бұрын
Hata kanisani ako majini kila weekend mnayakemeaga na yaliumba na mungu sio wa Islam elewa hivyo hio tena nikhabari yazamani yakuogopesha watu wasikuje kwa wa Islam
@salumkagame509
10 ай бұрын
Nakama sio kupinga Islam Tu wanaco ongea wanatowa kwa vitabu kama ni muongo na bibiliya inadanganya kwa mtu muelewa maneno ako n anaongea ako Sawa
Пікірлер: 87