ushauri wangu elimu iwe mpaka darasa la nane pa siwe na elimu ya mpaka form 4, mifumo ya ufundishwaji iundwe upya ,watoto wanapoteza muda mwingi shule,wapunguze madarasa, na hata masomo ni mengi yasiyo na msaada kwa maisha ya mtaani, pia elmu iwe ya kuwajenga watoto kwa masomo ya elimu ya kujitegemea
@rodamakalwe57
11 ай бұрын
Shida sio kukomea la sita shida watoto wanafundishwa nini kama ni bado masomo ni yale yale bado tutakuwa nyuma na wakati mm ningeshauri tu mtoto afundishe kusoma na kuandika na hesabu ya matendo manne kujumlisha kuzidisha kutoa na kugawanya halafu afundihswe vitu vinavyohitajika kwa karne hii ili tupate mavumbuzi na watu wenye uwezo
@Direct-0000
11 ай бұрын
Kabisa upotevu wa muda tu
@frankjackson9016
11 ай бұрын
Safi sana
@chiefmajai9345
11 ай бұрын
Haina maana yoyote hata kipindi kile kutoka dalasa la nane kuishia la saba elimu ikawa chini
@jtheophil5499
11 ай бұрын
Idea ni nzuri lkn watoto wanaenda hawajui kusoma na kuandika
@zuwenasalim2794
11 ай бұрын
Sio tu kuishia la sita,mfumo wa elimu ubadilishwe masomo yawe kwa kingereza kuanzia nusary mpk hiyo lasita,watoto wanamaliza shule hawajui kusoma,kuandika,Wala Hilo somo English ,wenzetu Kenya mtoto akimaliza la nane Yan yuko mbali mno,Zanzibar tu hapo watoto shule ya mcngi wako vzr kwnn TZ
@fredmbossa-kc3qn
11 ай бұрын
hata huku primary mitaala ibadilike masomo yafundishwe kwa kingereza kasoro somo la kiswahili tu
@magretkijanga6038
11 ай бұрын
Viongozi mulione hili,kw ukaribu,mtt anatoka la kwanza mpk la 7,kwa kiswaili ,inawapa shida sana wanakuwa fm 1,wakichanganywa na wa shule binafsi,awaelewi kitu kwa mda mrefu
@simbamkali5334
11 ай бұрын
Hata sera hiyo bado inswapotezea watoto muda mwingi wa shule Hali pia hawana hakika ya ajira.Mbona wafundishwe masomo yaleyale miaka saba Kwa kiswahili Kisha Tena miaka minne Kwa kiingereza, Kwa Nini kama kiingereza ndiyo universal language wasianze nalo Moja Kwa Moja?.
@mrh2812
11 ай бұрын
hapo itakua vizur
@stevenmilton2504
11 ай бұрын
Tulichelewa wap
@issotv1736
11 ай бұрын
Kiazi kwelikweli
@zobakazizi7637
11 ай бұрын
Tanzania mnavuruga sana elimu. Kila waziri anakuja na mambo yake.
@rehemajuma2202
11 ай бұрын
Mi naunga mkono hoja waishie drs la sita tu.
@domymerinyo8165
11 ай бұрын
Wanaenda kujifunza kusoma na kuandika tu,kama wanafundishwa vitu vitakavyowasaidia ktk uvumbuzi sawa tofauti na hapo hakuna elimu
@bonifasiemanueli21
11 ай бұрын
Apana Mimi siungi mkono kabisa ktk hilo Bora ibaki darasa la Saba tu,7,
@aminatanzanya7475
11 ай бұрын
Sawa na masomo yawe English kasor kiswhili tuu bila hivyo itakuw Yale Yale tuu
@miltonjohn9779
11 ай бұрын
Huo utaratibu haufai hata kdg
@MwanaishaHemed-xi6rj
11 ай бұрын
Mh
@issotv1736
11 ай бұрын
Shule ya msingi iwe nikusoma na Juanita tu
@MasudiMikidadi-gp1us
11 ай бұрын
Tatizo kubwa ni Lugha ya kufundishia tuchague kufundishia Lugha ya kiingereza au kiswahili kuanzia elimu ya awali mpaka chuo kikuu.Mfumo wa Sasa unwachanganya wanafunzi.Elimu ya msingi kiswahili,elimu ya juu kiingereza.
@salmamlokela1987
11 ай бұрын
Masomo yafundishwe kwa kingereza na vitendo isipokuwa kiswahili..bila hivo elimu ya tanzania itakuwa bado ipo chini
Пікірлер: 24