Nafurahi kuona tanzaniaa inamuelewaa sasa uyu jamaa sasa hivi
@nomineetz255
Жыл бұрын
Wanasemaga Fid Q punches zake ni ngumu kuelewa ila huu Mwamba Dizasta ni another level cjawahi elewa aiseee
@uwezokinahi7870
Жыл бұрын
This dude is another level...Rapcha Can't compete with niggah
@shenamtukufu1224
Жыл бұрын
Asante sana kwa wote mnaokubali anachofanya mchizi
@guerschomesenga6851
Жыл бұрын
Naona sasa atakaye zimba pengu la Fid Q
@kilingechasimulizi2072
Жыл бұрын
Ndo msanii wangu wa hip hop namba moja kwa sasa..the best of the best..
@decotz3947
Жыл бұрын
Dizasta vina no one can battle him in this generation
@timolivier411
Жыл бұрын
Heavy element iliozaliwa baada ya star ⭐️ kufa
@yasrearafat1662
Жыл бұрын
Hey diZasta u ar another planet Keep it up .m personally i real love wat u delivering an people mus nou tht we hv dis man in our fabulous game hip pop U d king bro
@mustaphamtumaki3851
Жыл бұрын
Uyu jamaa katik floo sin wakumfananisha na level zakee
@albanitarimo9721
Жыл бұрын
The lyrical master of all time kama KRS 1 hata hapa afikii
@sleifikhajjir262
Жыл бұрын
Wachache sana watakao elewa hii hiphop
@mohamedchigochigo3325
Жыл бұрын
Kikaoni,,,,,dizasta fundi mmoja hiv wa maneno
@alimkumba9459
Жыл бұрын
never dissapoint brother vina you on top in this generation
@CharaLodi
26 күн бұрын
Ausio dizstar vina Wachana naye kabisa
@nehemiamwashinani1821
Жыл бұрын
Master Art 🖼 Vina!!
@mkanganails5839
Жыл бұрын
Yaani ingekuwa msanii analipwa kwakuumiza kichwa ungekuwa bilionea Ana hatari sana asa alivovaa usika wa tundulisu kwenye shaidi u aitajika uelevu mkubwa ili utambue ni asili inayoshangaza kiukweri
@uwezokinahi7870
Жыл бұрын
Tribulation ni Moja Ngoma ambayo huwa naisikiliza kila nikiwa nasafiri
@mustaphamtumaki3851
Жыл бұрын
Ila ii ngom ya usingizii badoo nashindwa kupat picha yake nino
@Syliveliodeogratias
7 ай бұрын
Kwa tz hii.inawezekan kujatokea lakin syo leo kala kesho wala siyo kwa kaln hii d manyota wa vina nakukubar sna
@MadevuDulla
8 ай бұрын
Madini mengi sana ndio msanii wangu wa muda wote viina
@kiduaalute603
Жыл бұрын
"FUTA candy crush kwnye simu"
@user-mb7tq1lr1e
Жыл бұрын
Huyu ni mwalimu Vinna,tz mnaficha kipaji unique zaidi ya wengi..shout out Dizasta Vinna Kenya twakutambua sanaaaaaaa,wakibana hamia Kenya kwa kaka empire
@abdfattah883
Жыл бұрын
We ahamie wapi tunamkubali huyu jamaa kichizi
@gasambisaid563
Жыл бұрын
.oe tz dizasta nijembe akitoka ngwea langa na dzila fid q generation mwafaaa mumpee tuzo acheni kuwabagua wana mziki wakina lunya wanaimba kuchikuchi othae awana punchline ngum bt my gee vina sharaap sana uko sawa sanaa tuu pamoja 254 don swaggz mamen obey de rastaboy nembo ya mtaa 🦁🦁
@uwezokinahi7870
Жыл бұрын
😂😂😂
@denantaka4467
Жыл бұрын
Black maradona
@nyotamy3678
Жыл бұрын
The man is a MACHINE GUN 🔥✊
@cellestinelucas165
3 ай бұрын
uyu mwamba unaweza yak corrupt medura ana madini mengi sana
@wilsonjonas5481
Жыл бұрын
Mchizi Yuko Active
@eddsonjeremiah6669
Жыл бұрын
Dizasta vina ni number chafu
@kinjoman4542
Жыл бұрын
Huyu jamaa ni next level kwa HIPHOP ni genius kwa hii industry bila kupinga anaishi kwenye dimensions ambayo miungu tu ndo inaseto yani ni 🔥🔥🔥 aisee huyo RAPCHA akae mita milon 50 na jamaa atauwawa.
@omarisaid8258
Жыл бұрын
DIZASTER #TORE#
@mjuba
Жыл бұрын
This man is the GREATEST OF ALL TIME ✊🔥🔥 Kitaa kimeelewa 🤜🤛
@bullychandy6509
Жыл бұрын
Hizi sijui tuziite CONFESSIONS OF WHAT?
@CertifiedStoic
Жыл бұрын
Haha wataelewa tuuu🔥🙌
@bennyframa4505
Жыл бұрын
Najivuniaa kumjuaa dizastaa kabla hajaingiaa main stream🖐🖐
@Paplick9
Жыл бұрын
Black maradona Dizasta vina 📌
@hemednassor4560
Жыл бұрын
Kuvaa hajui
@erickminja1645
Жыл бұрын
Wewe in MTU bad
@user-qs4jp1wm7w
Жыл бұрын
Hatar uyoo
@nehemiahmguluka1996
Жыл бұрын
Street verified 🔞🔞🔞🔥🔥
@maishaforreal7798
Жыл бұрын
Mr Champions league
@abdul-majidkhalfan210
Жыл бұрын
Oya Black maradona ni Genius
@nokkotz164
Жыл бұрын
Huyu jamaa hata kuchambulika shughuli pevu mutajikuta munavua Tai
@jumazinga941
Жыл бұрын
Professor tungo 🔥🔥🔥
@RamadhaniHamisi-s4f
6 ай бұрын
Rapcha aache kielele uyu cy saizi yake
@user-bd8fe8ut7v
Жыл бұрын
Vina teacher la mtaa anajua kuliko kawaida
@amonijajila1218
Жыл бұрын
Dizasta 💪💪💪💪
@calebomwama2063
6 ай бұрын
mashairi ya Disaster ni chakula cha ubongo
@victorsimundwe2518
Жыл бұрын
Jamaa ni 🔥🔥🔥
@denismakweba3870
Жыл бұрын
No bady is safe!
@moziidavchonchi3338
Жыл бұрын
Dizasta ni Chuo kikuu cha Mtaani.
@oscaroscar2555
Жыл бұрын
M napenda mzik wa aina zote lakin leo nahakikisha kuwa tanzania hakuna rapper kama Dizasta Vina aki ya mungu nasema jamaa amesoma anajua vitabu nandomana hata wachambuz wa mzik hawamwelew mana hawasomi
@saluten5926
Жыл бұрын
HAKIKA
@changanataliforlife3760
Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊
@mcdonaldshuma1642
Жыл бұрын
kama asemavyo.. hakuna bidhaa ya kummatch kwny soko hili,
@madelefamily2703
Жыл бұрын
Vinna
@abdallahkhalikijuma4874
Жыл бұрын
dizasta ni 💥💥💥💥
@nawinahke710
Жыл бұрын
Tunahitaji interview ya disasta vina
@MuzamiruMauridi
6 ай бұрын
m͎u͎n͎g͎u͎ b͎a͎r͎i͎k͎i͎ dizasta
@tomplexbrigedier2282
Жыл бұрын
Mufti karamba haramu
@nasirnassor449
Жыл бұрын
Dizasta Vina 🏜️
@maishaforreal7798
Жыл бұрын
Dizasta Art .
@youngbona3804
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@uwezokinahi7870
Жыл бұрын
Lyrical Murderer...The True Story Teller Huyu Jamaa Nyimbo zake zote ni Scripts
@denismakweba3870
Жыл бұрын
Mshikaji anaweza ila natamani akutane na P-Mawenge 🤣
Пікірлер: 69