Naumiaga sana nikiskiliza ngoma zako kwanini hivyo ndugu yangu skuoni katika ukubwa na mafanikio yalinganayo na kazi zako dah! Kama na wewe nishabiki wa belle 9 unaumiaga kama Mimi ebu gonga like hapa zifike 1.k kunajambo tumfanyie trust me
@shabankashindye6240
Жыл бұрын
Bro waimbaji wakali wa muda wote wa mziki wa kizazi kipya ni benpol na belle9 time will tell, na heshima yao naamini itarudi
@emmanuelchaihjefwa2602
Жыл бұрын
Belle anauwezo mkubwa!
@alterboyafrica
Жыл бұрын
Kwanza enzi zile za sumu ya penzi,the guy ni mkubwa kimziki💪
@hermanmwachuya8327
Жыл бұрын
Mbona kama mwenyewe ya Harmonize
@muhodarifredws
Жыл бұрын
Uyu jama ananiliza everyday His achievement doesn’t match his talent and longevity he has in this industry.. Bro What’s missing
@stnashofficial5399
Жыл бұрын
Belle9 back on game mkali wangu Kama unamukubali like nikuone basi Watu ngoma Kali saana respect you
@georgeburchard4872
Жыл бұрын
Kwa bahati mbaya siku hizi muziki umekuwa Ni takataka kiasi ambacho ukiwa msanii wa kweli huwezi pata sikio la watanzania! So sad! Watanzania wanataka mziki mwepesi usio na ufundi na uliojaa upuuzi! Hapo utawapata! Inasikitisha Sana! Kazi nzuri Sana broo! Ufundi mwingi sana kwenye hii Kazi!
@fredrichmontana2368
Жыл бұрын
Yap unachosema Ni kweli hii ngoma nikali mnooooo💥
@dullnizer
Жыл бұрын
belle 9 wordwide
@shaidamo6565
Жыл бұрын
Good job bro Nimerudi x12 Kama wapo Kama mm ambao wamerudiana hii ngoma gonga Like
@kingmtetezi6670
Жыл бұрын
My favorite Rhoumba in 2022-2023 ngoma kali sana 🔥🔥
@innocentmolla4299
Жыл бұрын
Belle 9 is very underrated artist..but he is the Best singer and composer with magical vocals. Great song. Great visuals. Creativity at its peak💥💯
@ambokilemussa3518
Жыл бұрын
Witch craft bongo
@willydasilver69
Жыл бұрын
it depends on how he markets himself....understand
@tobiasnyaanga2320
Жыл бұрын
Line
@salimskass160
Жыл бұрын
I think hii ngoma inadeserve zaidi ya 1m views, tatizo hayupo kwenye limelight ila ni bonge la artist tangu Enzi za sumu ya mapenzi hadi sasa tupo muongo wa21
@Duly699
Жыл бұрын
Hii ngoma imeweza sana, kama unakubali nipee likes
@jimmykajoller2234
Жыл бұрын
Yeah man belle anaweza kinoma tatizo sjui ni awa waganga wanao gamga mpka njaa
@josephmihayo6236
Жыл бұрын
Noma sana Belle 9 , binafsi nakumbuka Toka 2010 song kama Masogange na sumu ya penzi.
@MariamHamad-ys7gn
Жыл бұрын
@@jimmykajoller2234😊❤❤❤❤😊❤😊❤❤😊
@mannyfranc9896
Жыл бұрын
Huyu jamaa anachuja maneno afu anayapanga afu anatupea kitu kali mashabiki zake. Ukunda South Coast Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@thomasorangi1072
Жыл бұрын
I don't care the views,subscribers...belle tisa 🐐🐐 the only tanzanian artist with unique and magical voice,,y'all tanzanians sleeping on your legends
@fadhilmandaliabdalla6736
Жыл бұрын
Real music speaks itself, shout out to the king B9🐐 thanks for keeping the good music alive. Achana na wale wa promo nyingii ila porojoo tupu. You deserve the best.
@lawidaleche9662
Жыл бұрын
Belle 9 akiamua huaga anatoa machine sana 🔥🔥🔥🔥
@bongelabwana1940
Жыл бұрын
Belle9 Unajuwa sana Shida ipo kwenye Management yako inashindwa kukupambania upenye,Mana game ya Sasa Ina fitina mpaka ndumba nyingi nakushauri badilisha management ww ni msanii mwenyewe talanta kuwashinda Diamond na Konde boy
@user-bt8yc6bl5n
8 ай бұрын
Dahh wabongo hatusapot vitu vizuri jamaa hana views wa kutosha kulingana na uzuri wa ngoma
@christopherwayne8964
Жыл бұрын
Still my favourite Bongo Artist..since 2008, still got them vocals
@nijoboy5818
Жыл бұрын
Hii ameuwa
@christopherwayne8964
Жыл бұрын
@@nijoboy5818 kali sana
@diallokimbumbu7843
Жыл бұрын
Huu Msani Belle 9 , mimi namkubali, shabiki wako toka mji mkuu Kinshasa.
@ablamar98
Жыл бұрын
The king 👑 of melody Tanzania kila mtu anasikio lake la kusikiliza mziki Rasta umetumia creativity ya hali ya juu unajua ukweli utabaki kuwa ukweli
@teophilletus8969
Жыл бұрын
As skia nkuambie usimpe zote peke ak roho mbay iyo msikilize Belle alaf msikilize Rama d utakosa kuchagua utashindwa is tarented awa wat wanna voice ya juu kal nzur lakn dunia ya leo mungu ndo anaejua
@wisdomjaykwa
Жыл бұрын
Mziki mzuri💯🔥 komaa humo humo, Now tuishi humu tuimbe style kama za drake zile, tusitumie nguvu tunaimba kama hatutaki na mziki unaenda.
@willinjowritter206
Жыл бұрын
What a perfect way to start new year, excellent 👍.. much love and blessings from KENYA 💯🇰🇪🔥
@arabgandaempire
Жыл бұрын
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
@kizittohescary1213
Жыл бұрын
Belle king of melodies ngoma zote kali muda wako unafika kaka
@josephswai2374
Жыл бұрын
Mwanamuziki wangu bora wa wakat wotee belle9
@norbertmwaifwani8875
Жыл бұрын
One of the most underrated yet very talented artist. On repeat today
@tembaerick
Жыл бұрын
2023 belle9 umeanza na moto sana 🔥🔥🔥
@jumarwambo7420
Жыл бұрын
Oya uyo jamaa mkwawa anaweza sana aliyoimba kakiitikio ka mwsho
@manyuhawilson4201
Жыл бұрын
Dah!wew jamaa sina chakusema🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@HongeraGideon
Жыл бұрын
Hukoseagi Belle9, nakupa maua yako kabisa.
@SelemanNassoro-lz5ib
7 ай бұрын
Belle amezencuah apo ange sema "Mama Shika KONG@@ ngoma ingekuah kali. zaidi man
@makovoice
Жыл бұрын
From Mozambique here, belle 9 watu is my favourite song # 🔥🔥🔥
@frankshirima4029
5 ай бұрын
Lazima kuwe na mizik ambayo wanao jua mziki tunasikiliza wengine sikilizen hiyo makelel for those who love good music were here to support u bro❤
@praygodmakundi2517
Жыл бұрын
Belle 9 Mwenye mziki wake hujawai kosea
@Kabjobaby
Жыл бұрын
Good sound/good lyrics mistari imejibu mashtaka shavu kwa director ❤️❤️❤️
@muddyally8463
Жыл бұрын
Mimi huwa nakuitaga kengele Tisa mtu hatari sana wewe🔥🔥🔥🔥kazi nzuri
@KelvinEmersonSteven
Жыл бұрын
Belle 9 Hatari sana Kama kawaida 🔥🔥🔥
@Nuh_gayah
Жыл бұрын
My favorite artist BELLE 9,❤️❤️❤️❤️❤️LET'S SHOW LOVE TO HIM
@samuelwanjiru1930
Жыл бұрын
Belle 9 kuanzia hii mwaka tupatie back to back...this is liiit🌪️🌪️🌪️
@TabiaNjemaAsilia
Жыл бұрын
inshallah itakua hvyo
@kakorejrboyz6447
Жыл бұрын
HIVI HII NGOMA ANGEIMBA #DIAMONDPLATINUM INGEKUWA WAP SAHV KAMA SI HUKO DUNIA JAMAN ACHENI KUMBANIA BELL9 BONGE LA SONG TENA THIS DESERVE TO BE SONG OF THE YEAR 🎶🎶🎶🎶😂😂😂😂🙏🙏🙏
@jumannemhadu6209
Жыл бұрын
🔥🔥🔥belle9 unajua mwamba knoumaa
@mcndeu984
6 ай бұрын
Belle 9,,tixha xana babaaaaa🎉🎉🎉
@chudjawewa2645
Жыл бұрын
Hii ngoma nimeidownload ipo audio and video lakini kila ninapopita KZitem nikikutana nayo tu siwezi kuacha kuiplay maana hii for me ni best 2022_2023 na pia nategemea itadumu adi kufikia 2024 hii ni best rhumba wakubali wakatae hii kazi umefanya ndg yangu
@Swahili14
Жыл бұрын
Belle9 is a true R&B virtuoso 👑💖 Shame how he's underrated
@kalosimraimond5227
Жыл бұрын
Ngoma iko full kinoma noma baba Love is song
@bigirimanadaudi9797
Жыл бұрын
Bongo wasani wanoimba ni watatu tu kuna rich mavoko, baraka the prince, belle 9 wengine ni fujo belle 9 ngoma kali sana
@candidoderosa
Жыл бұрын
Kweli King K pia yuko poa kimzik
@djgatuzoblaisekelly3515
Жыл бұрын
Hhhh
@kingmtetezi6670
Жыл бұрын
Ndugu watu wanoimba ni wengi sana sema hujawafatilia tu kina Beka Ibrozama,Rama D,kiba nk
@ramamabinda5063
Жыл бұрын
Hii ngoma ni kati ya zile ambazo hua zinapenya tartiibu katka maskio ya waskilizaji, na baada ya muda flani zinakaa milele katika nyoyo zao. Big up sana belle tisa, kwa ngoma Kali kabisa
@alexelieza2687
Жыл бұрын
Ngoma kali sana hii, alafu kuna mtu sasa iv et anasikiliza chitaki😃, bell9 big up💪
@siddyoneonlinesi5433
Жыл бұрын
Kweli
@adamsegeja875
Жыл бұрын
Nyimbo kali, utunzi mkali, melodies kali, ujumbe umeshiba watu kama kama hawa ni mfano wa kuigwa hakuna lugha chafu.... abwanaee ishi miaka mingi tupo tunaenda Nyimbo kama hizi Nyimbo ya kuishi
@Kakab297
Жыл бұрын
kazi safi sana kakangu hapa 254 tunakukubali na kukuaminia mkuu
@mpjozzegalvanize4926
Жыл бұрын
Kuna konakona, shika bomba wewee....🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@karloladislaus45
10 ай бұрын
Yes ana kazi nzuri sana. Lanini hizi ni ngoma pendwa sana miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2000...Sasa hivi ngoma zinazo chezwa sana ni zile za kujirusha na si kusikikiza. Mziki laini kwa sasa umekufa kabisa. Anatakiwa abadilike kama anataka kubaki kwenye game
@hassanirashidi1906
Жыл бұрын
Iki kipaji kingine iki ni noma sana sjui kwa nn apewiair time yanii
@yussufsultanny627
Жыл бұрын
Mmh Kwan huyu alianza kuyajua ya manara nn ..? "BABA ITA PRESS UKALILIE WATU" 🏃🏃🏃🏃 ila Ngoma qaliii mno ❤️🥰
@ghismelodie
Жыл бұрын
Una weza bro ngoma ina fanya vizuri sana. Lakini kwajili ya roho mbaya za watu wata tuima likes zetu
@syliakusprimu8058
Жыл бұрын
#Bonge la ngoma🔥🔥 the raeal bongo flavour 🙏
@shyfettymtunda4619
Жыл бұрын
You deserve to be recognised Belle tisa!!
@ramadee3039
Жыл бұрын
Congratulations, bonge la nyimbo
@user-se5zb4qh2f
10 ай бұрын
Daah aisee hii ngoma Kali sana
@stanslaussylvester7446
Жыл бұрын
Huyu jamaa anajua sana basi tu ni underrated
@emmanuelreuben3238
Жыл бұрын
We jamaa ninoma video Kali , sound Kali, aise
@georgesanga1344
Жыл бұрын
Nakuelew san belle ww n wamoto sana kaka rnb wakuachie tuu
@mwaksipeace3874
Жыл бұрын
umu umeonyeshaa mauwezoooo dingiliiii 🙌
@user-zj2ce3gy5v
11 ай бұрын
we kaka unajua sana keep going broo 🍁💪🏿
@barakawatu9226
Жыл бұрын
Good music 💯, good interesting 💯, good talent 💯, biggest able 💯, Belle 9tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯. Bro unajua salute 🇹🇿🇹🇿💯.
@lemmynyamboko5335
Жыл бұрын
Ngoma Kali Sana belle 9 kaweza
@husseingabo5497
Жыл бұрын
pamoja sana bele 9 nakukubali tangu kitambo
@BongaNaPeople
Жыл бұрын
Kuna Huyu Jamaa kaimba kiitikio Mkali sana Asee.
@allykidundo4508
Жыл бұрын
dah...hii ngoma ilivyo tamu mpaka natamani kulia
@akimdollarmusic6304
Жыл бұрын
It's your boy Akim dollar Again From Zambia Kaka we mutu mbaya nakukubali Kwa myaka Kazaa
@RamazaniheradiHeradi-yq7sk
7 ай бұрын
Mtoto uyu akonakipaji this children have talents
@iddyharissmreta244
Жыл бұрын
Umetisha mwanangu bonge la ngoma
@ahmedysaidy9874
Жыл бұрын
This really kind of good music alive" big bang in town from moreeeee twn .....
@dabomtanzania
Жыл бұрын
Mwanangu mwenyewe ❤💚💛🔥🔥
@norbertmwaifwani8875
Жыл бұрын
The guys who finished with the hook..some powerful vocals as well
@rajabsenkondo1016
Жыл бұрын
Belle Nine... hujawahi kuniangusha...daa Bonge la Hit👏👏
@omidopatrick9029
6 ай бұрын
watu wabaaaaaayaaa good song my legend
@thepurpleonlinetv8630
Жыл бұрын
Ngoma kali sana ila umesuka kama mwanamke
@Pathro_Cavosia
Жыл бұрын
Haunifelishi Mwanangu 💯✔️
@freddiemuller8144
Жыл бұрын
What a HiT 💥💥💥 Once a Legend, always a LeGeNd 🙌🙌🙌
@moodylaus7099
Жыл бұрын
Haya katafute wimbo wa giggy money au hamisa mobetto ulivyo na views nyingi…..mziki wa bongo umekua takataka rubish kabisa…..nalaumu wakina diamond kwa kutengeneza miziki ya kiki…..Mungu Akubariki Belle 9….Kazi nzuri
@ezekielwilson4777
Жыл бұрын
Belle 9 anajua kuimba sana
@sheggybizzo9542
Жыл бұрын
Noma noma sana C.breez wa bongo no doubt
@zerotempa
Жыл бұрын
Mkwawa🔥
@allychautundu6729
Жыл бұрын
basi tyu yani mana unajua sana kaka sema mziki wa tanzania ushaharibiwa na wajing flani kwa maslahi yao
@edrec7661
Жыл бұрын
Nyimbo nzurii sana aseee
@jofreymata8380
Жыл бұрын
Kama tuzo za muziki zingefanyika tz huu wimbo usingekosa kuchukua tunzo yoyote ni mzuri sana
@AfricanTheory
Жыл бұрын
Wimbo tam. More love kutoka kenya
@wizzymillyofficial8881
Жыл бұрын
Bonge lachupa
@ammyskills5588
Жыл бұрын
Daa Belle 9 daa basi tu 🤔unajua sanaaaa
@marokeyLFM
Жыл бұрын
Yalipo nidodea nikaenda kwa Amina Nilopo kolea nikazama mazima Legendary song never get disappointed 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥@Belle9
@jumambuma1101
Жыл бұрын
We jamaa music Bado unaudai sana
@KaidaCut254-vp9kc
Жыл бұрын
Ili goma noma sana , konde amekosekanaje hapa .
@kinghubtechnologies2577
7 ай бұрын
❤❤❤❤❤ from Watamu Kenya courtesy JB of JJC Gede
@MUSICUNITEUS890
Жыл бұрын
On behalf of my family ,my village people,my ancestors and also my wicked landlord,I approve this HIT!!💯💯🔥🔥🔥we love it💯 🇰🇪🇰🇪💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@younggifttwenze7194
Жыл бұрын
Billy 9 makini sanaa 🇿🇲
@leylamwaks9502
Жыл бұрын
Not forgetting my wicked in-laws 😂🇹🇿
@jawabuselester3341
Жыл бұрын
Kali sana jamaa anajua mno
@stevehiraly9127
Жыл бұрын
Rhumba Kali sana hiii🔥🔥
@mohdhussein9749
Жыл бұрын
Saut ya enzii huyu fundi sanaaa
@Mrkiki
Жыл бұрын
Kaliii my brother ❤️❤️
@sadawazir3905
Жыл бұрын
Ni balaaa, Umetisha Bro
@sharifarutakangwa-lr2gm
Жыл бұрын
Mgoma Kali atari
@KahundeKiyanamk-of6dd
Ай бұрын
Kazi nzuri kaka
@kenedhaule9978
Жыл бұрын
WAtuuu watu WAtuuu nomaaaaaaaaq saaaaaaaana ka producer Ako ni kananiiiiiiiiiii jaman
Пікірлер: 478