Shida ya media za bongo hapa.. nyimbo za kipumbavu ndo Zapata airtime Ila nyimbo kama hizi hamnaa.. huu wimbo unadeserve 10 million views
@edwadjulias5460
2 жыл бұрын
Kama ulikua unasubilia ngoma kali kutoka kwa nguli wa music ngonga like
@arlonmwaka8077
2 жыл бұрын
Kaka una kipaji haswaa cha kuimba,,,wewe ni miongoni mwa wanamuziki wangu bora wa muda wote. Acha wakubanie ila Belle 9 unakipaji cha hali ya juu sana. Wewe jamaa unajua sana sana sana sana sana sana sana sana................Asante kwa Mwenyezi Mungu kwa Kipaji chako Belle 9 🙏
@makondechannelmpeme9741
2 жыл бұрын
Msani wangu wa kwanza kumkubali tz ndo uyo bell 9 na nyimbo yake sumu ya mpezi big up brother, I'm from Moz yeah 🇲🇿 baba
@amoslisso8742
6 ай бұрын
Sijawi choka hii nyimbo ni kati ya nyimbo zangu za muda mrefu mpaka sasaa 🔥🔥
@BenYoung-bc5ht
7 ай бұрын
Moro town stand up ... Huna baya mzee unajua mbaka unaboa sema cielew kwnn ngoma zako haziend
@sportsentertainment6881
2 жыл бұрын
Nakukbali kaka hujawah kutuangusha x9
@lugalovemg1254
2 жыл бұрын
Nomaàaaaaaaaaaaàaaaaàaa sana bro ayayyayyayayyaaaaaa aiiseee
@k-sammusic5488
7 ай бұрын
Mbona belle 9 havuki boda afike kenya ivi tu ni wasanii wa wasafi wanaskika kenya sana belle nimempenda toka enzi za sumu ya penzi
@jumaadioff9346
2 жыл бұрын
Tangu sumu ya penzi mpka sai nakubali vocal zako bro 💪🏽💪🏽🔥🔥🔥
@mpjozzegalvanize4926
Жыл бұрын
Madaktari wameshindwa, ma Engineer washindwa, watabibu wameshindwa, mapadri na masharti yao...🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@danielkenedy4357
2 жыл бұрын
Aaaah belle nine!!!!!!!, nakupenda saana belle nine
@dogored5615
2 жыл бұрын
Plooo plooo nakubali kazi nzuri sana bro big up sana yooooo apa mwezio msani @DOGO RED from East Africa base in South Africa Cape to Harare Zimbabwe
@shadrackndoro2739
2 жыл бұрын
I salute this Gee for life...one of the keen rnb artist followed by Juma Jux... Keep the good work Hommie love from +254....
@msemaomary4081
4 ай бұрын
Bado najiuliza huwa wanatumia vigezo gani kugawa TUZO za mwanamuzi bora ...lkn yote kwa yote kipaji cha uyu belle 9 kitaendelea kuwa hukumu wagawaji tuzo za mziki mzuri msikilize belle 9 anavyoutibia moyo wako unaENJOY
@eloyloydnockx
2 жыл бұрын
i wonder why this song doesn't have views, very nice song
@damasprotas4126
2 жыл бұрын
💪💪💪💪💪💪💪 napenda sanas hiii Kaz belle 9 huyu ndiye huyu nayemtaka siku zoteee
@allyngimba430
4 ай бұрын
Kiukweli hii Ngoma ni Kali sana sijui Kwa nn media hazipingi maana sijawai isikia kwenye radio
@footballcomedy3739
2 жыл бұрын
Kali sana Ge
@realboymusickenya7235
2 жыл бұрын
Ni Kali walahi straight from 254 realboy music kenya
@kb_mediatv
2 жыл бұрын
Naisubili damu yangu#belle9 Nakubali Sana kazi zako
@shinjenkuba5344
2 жыл бұрын
Nice bell9 keep it up
@dannythenails7895
2 жыл бұрын
Duh bro unajua kitambo tangu skuli nikiwadanganya washkaji zangu kua ww ni mjomba ang una jua sana kk
@edwardselya7456
2 жыл бұрын
One of the Underated Top Talents. 😭😭😭
@wizyjunior5771
2 жыл бұрын
Nyimbo imetulia Belle 9 kiukweli video pia imekaa kizazi sana
@Jajah_ke
2 жыл бұрын
II noma kabisa. Nawakilisha kenya
@lugalovemg1254
2 жыл бұрын
Ataree sana bro
@abuu_wa_auta9392
2 жыл бұрын
Respect belle9 k.e 🇰🇪🇰🇪 tunakutambua brother
@saidinoti6935
2 жыл бұрын
Tena sana kuliko anybody
@miotodee2547
Жыл бұрын
🇰🇪 listen this Mimi hukubali this vibe collabo inshaallah Mungu atajali itaweza Hoooooow Nimekueka Eka Eka Eka aaaaaaaaah🔥
@hassansaid9925
2 жыл бұрын
Beleeeeeeeew tisa9 , acha tubaki kwenye mziki wetu tu👏👏👏👏👏👏
Пікірлер: 360