Waziri anafaa kupitiliza anaeleza kwa usahihi sana
@muhammednassor3569
5 ай бұрын
Huyu waziri mwisho anafanya kazi kwa ikhlaas mashaallah Allah akuhifadhi
@MrKhatibu
5 ай бұрын
Wandishi wa Bara mnapenda kutumia taswira ya mtu kama identity yake kuwa kichwa cha habari. Mbona ikitokea mlengwa ni Msukuma, Mnyamwezi au Mmasai hamuwezi andika kichwa cha habari ya identity yake? utasikia Muhindi, Singasinga, Muarab au ndio maadili ya uandishi?
@Rai_online_tv
5 ай бұрын
Moja kati ya sifa za Headline ni Kuvutia So nikisema WAZIRI AMBANA SHABASH utaelewa? Ila asant kwa Ushauri
Mkuu waanglie vizuri huyo alievaa miwani huyo mama na mwenyekiti kuna kitu hapo
@reynaaalrawahi4137
5 ай бұрын
Hawa ndio madhulum. Mimi sehemu yangu mwenyekiti na katibu wamenidhulumu eneo langu. Kila kitu ninacho mimi wao wana nguvu ya kudhulum 😢
@JovinPeter
5 ай бұрын
Wahindi pia niwatu Acha ubaguzi haki nihaki tu
@Jal210
5 ай бұрын
Kabisa unasema kweli
@MACHOYATAI-jk6fu
5 ай бұрын
Tanzania yetu kusudi upewe haki yako. Mpaka apite slaa au Makonda kama sio hivyo MUNGU mwenyewe asaidie
@jtheophil5499
5 ай бұрын
Nacheka sijui hawa ma commissioner wetu wanafanyaga nn.?mpaka waziri afike kweli .Sasa hawana aibu
@demicratia4071
5 ай бұрын
Si wanangoja mshahara wewevpi😅
@fatmaabdallah7709
5 ай бұрын
Mh slaa ndo mfano wa watendaji wa serikali anatembea kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua sio kuvaa suti na kukaa ofisini tu wakingojea mafaili kutia saini
@Bashitetako
5 ай бұрын
Mwenye kiti ni jipu
@mussakimaro5588
5 ай бұрын
waziri weka acount yako tukuchangie hata buku buku tu umalize matapeli wote wa ardhi
@fatimaharoun-np8uv
3 ай бұрын
Kwa kwel😂😂😂
@shafiisaidi9640
5 ай бұрын
Wallah sijui kwnn namchukia huyu kamishna.na miwani yake ile daaah
@mohamedsaid2882
5 ай бұрын
Jamaa anawalakini kwenye utendaji wake mie mwenyewe naona kama adui hivi
@Andres-qt6kp
5 ай бұрын
Huyu miwani ni tatizo sana Sijui Waziri hajamstukia utafutaje utilising wa mtu na amesha develope
@jazeerajuma5014
5 ай бұрын
Mimi pia simpendi coz anafanya kinyume na sheria
@AishaOman-k6f
2 ай бұрын
Huyo.muhindi Mbona.haondoki Awapishe.wenzie
@martinwangwe8966
5 ай бұрын
wenyeviti wa mtaa hovyo kabisa, yani hawa ndo wakusaidia wananchi. Nilitegemea kwakua wako wengi watakua na akili.
@froma3732
5 ай бұрын
Hao ni maofisa wa Ardhi lkn hkn kitu wanajuwa wao kazi ni kuvuruga watu wape Elimu Waziri
@ahmadseaman3487
5 ай бұрын
thanks so much ministry
@abdullayahya8717
4 ай бұрын
Huyu ndie raisi wetu mtarajiwa , kaaza udiwani kafuatia ubunge na uwaziri sasa tunakuombea kwenye uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
@demicratia4071
5 ай бұрын
Mbona hakuna SAUTIIII
@MohammedJaizan-yf5yt
5 ай бұрын
Kwa nini usiandike mwekezaji wa asili ya kiasia kwenye mgogoro wa ardhi? Kwa nini uandike muhindi au unataka kufanya ionekane kama kafanya dhulma? Au una nia gani?
@Rai_online_tv
5 ай бұрын
Tunayafanyia kazi maoni yako
@Faridkhalid-z3p
5 ай бұрын
Kweli
@Baba-nm4qz
5 ай бұрын
Mbona hammalizii mnaboa
@kaaakwakutuliaa5179
5 ай бұрын
huu ni uzalilishaji kwanini mwanachi akaliee kiti cha ajabu
@ClementinaHabineza
4 ай бұрын
Sofa zirikosa
@mwanamutemi
5 ай бұрын
HAKI YA KUISHI/MATUMIZI
@johnmalembo6464
5 ай бұрын
Bro unaona mbali...ni kweli
@taliyagogo1481
5 ай бұрын
Timu ya kamera na timu ya sauti ni mbaya sana. Tunataka kuelewa suala hilo na sio kusumbua sauti za watu🙄
@Rai_online_tv
5 ай бұрын
Asnt kwa Ushauri tunalifanyja kaz na Soon kila video yetu itakuwa na sauti nzur
@froma3732
5 ай бұрын
Kuzaliwa sio umiliki wa Sehemu
@williamsenkoro2210
5 ай бұрын
Matatizo haya yatakuja zaidi miaka ijayo kama ardhi inachukuliwa na wageni. Tutaanza lipia kodi kwa wageni ili watumegee ardhi.!
@mkude
5 ай бұрын
Inaonekana una Roho mbaya na katili wa nafasi yako,watu kama nyinyi maisha yamewashinda mmebaki na husda na Roho mbaya Kwa mwenye nacho,leo utamchumia muhindi kesho utamchukia mweusi kama wewe Kwa kuwa amejaaliwa neema.pole Kwa mateso unayoyapata ya yo choyo nafsi yako
@josephndunguru6290
5 ай бұрын
Wahiindiii janjajaanjaa hapoo,
@MussaAlly-t6m
5 ай бұрын
Awo wahindi wezi too
@mkude
5 ай бұрын
Acha ubaguzi wewe
@shamzone388
5 ай бұрын
Wahindi sio waizi mbona sisi wenyewe ndio waizi weusi kwa weusi
@lailafakhihaji
5 ай бұрын
Sisi ndio kesi zetu nyingi kwa kutapeliwa na weusi wenzetu
Пікірлер: 48