Mkurugenzi mtendaji halmashauri ya wilaya ya chalinze, Mkurugenzi a huduma za kinga Wizara ya Afya, Mratibu wa afya ya uzazi na mtoto, viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wameshiriki katika kampeni ya Mtu Ni Afya yenye kauli mbiu ya Fanya Kweli, Usibaki nyuma.
FANYA KWELI, USIBAKI NYUMA
MTU NI AFYA
#mtuniafya #wizarayaafya #projectclear #fanyakweli #usibakinyuma
Негізгі бет Yaliojiri katika soko la Bwilingu lililopo katika Halmashauri ya chalinze siku 3 baada ya uzinduzi
Пікірлер