Bro Belle 9 nipe like hapa nimekuwa mtu wa 4 ku like
@janjahakimu3947
2 жыл бұрын
Tufanye research ndogo hakuna msanii mwenye vionjoo kama belle sema tunashabikia watu kwa mkumbo tumpe moyo mwana anajua sanaaaa
@dasilvajr9647
2 жыл бұрын
Uhakka kaka belle anajua sana sema tu ndo hvo promo Hana lakini kiukweli jamaa Yuko vizur sana
@kitururuelisa830
2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni hatari, basi tuu
@ambokilemussa3518
8 ай бұрын
Kweli kabsaaa
@damasprotas4126
2 жыл бұрын
❤️✌️✌️✌️ Video Kali unyama sana Belle 9 keep pushing baba boss
@depsmilindi8424
2 жыл бұрын
Bro..... Mimi ni moja kati ya wanao penda na kukubali kipaji unacho, ni kikubwa mno.... Much suport from🇨🇩💪👌 Sema kuna kitu kidogo ningependelea uzingatiye: Usi imbe mziki for yourself but kwajili ya watu wengi. Kujaribu kujuwa nini watu wanapenda uwaimbiye. Ita pendeza zaidi... Nasikitikaga sana nikiona ulivyo rudi nyuma sana, wakati tuko wengi sanz tunao kuamini mno. Haipendezi msani mkubwa kurudi nyuma kisa tu ana ji imbiya mziki unao mpendeza mwenyewe, wala asijali watu watapenda mziki gani kutoka kwake. Bro, jitahidi sana ufikiriye, kwasababu nina amini sana kwenye kipaji chako... 👌🇨🇩✌️
@hussennshimirimana5736
2 жыл бұрын
Umetisha sn mzee love you from Burundi 🇧🇮 à partir d'un
@sportsentertainment6881
2 жыл бұрын
Nampenda♥️♥️♥️♥️
@Informationtz
2 жыл бұрын
Nakubal mabrather 💥💥💥🙌Moro yetu kila atua yako kwangu dua 🙏
@ammyskills5588
2 жыл бұрын
My favorite artist from long time 🔥🔥🔥
@Paustinavee
2 жыл бұрын
Starting from sumu ya penzi
@ambokilemussa3518
8 ай бұрын
Same to me
@soccerupdates5
2 жыл бұрын
Asante Sana kwa Kaz nzuri msanii wangu Belle 9, usikate Tamaa endelea kutuletea nyimbo za mapenzi Kama hizi I hope Utawashangaza weng Sana 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@lachytz2341
2 жыл бұрын
Kawaida yake kikubwa wa2 waache kuwabagua hawa mafundi wa mziki wanapenda majina sana ila hawapendi mziki mzuri naumia sana umefanana nae haijawa hit song
@ambokilemussa4406
2 жыл бұрын
Huyu mwamba anajua balaaa
@soccerupdates5
2 жыл бұрын
Wa kwanzaaa🔥🔥🔥
@omanibri1685
2 жыл бұрын
Mambo ni🔥🔥🔥
@jescajohn6619
2 жыл бұрын
Mimi since day one unaimba sumu ya penzi ,sijawai kuku under grade ,nakukubali Sana ,your good singer 🤝🤝👊piga mzee baba
@monicageorge2181
2 жыл бұрын
Belle 9..still one of the best.LEGEND.Kutoka Sumu ya penzi mpaka Nampenda.RESPECT.🙌
@Paustinavee
2 жыл бұрын
Yes,true
@nurukayshaid8357
2 жыл бұрын
Let's share the love here West Africa Sierra Leone 🇸🇱
@directorshaibu
2 жыл бұрын
Kitu furani classic. Kazi Kubwa 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿💪🏿
@kizitonjako8459
Жыл бұрын
Mpka siku Bell9 ukisikia amekufa ndio tutaona wakimuongelea na nyimbo zake zote kuzicheza katika media ila sasa hivi anafanya poa sanaa na hakuna anayemsapoti dah! Sema mwana anajua sanaa aisee! Keep it up bro Belle9
@amedeusfredrick1614
2 жыл бұрын
Ila belle 9 ni king of rnb sema wachache wasioelewa music wana under-rate. I appreciate u bro
@saedbare8733
2 жыл бұрын
Favorite since day one belle9 🔥💯 haukosei 🇰🇪
@jumaadioff9346
2 жыл бұрын
King of Melody
@masinda_tz
2 жыл бұрын
Sema tatizo la watanzania wanapenda kiki tu ila kwa kuimba wew ni noma kaka unajuwa
@abdoulyabdalah1556
2 жыл бұрын
Hakuna wa kumfikia ata mmoja
@flova7022
2 жыл бұрын
Ukweli upo hivi.. huyu ni best RnB than any one in TZ ...na ni Kati ya wasanii 4 wanaojuaa mziki Sana akiwepo alikiba..baranaba bele na mwingine muongeze wewe tupime viwango
@lachytz2341
2 жыл бұрын
Ukweli ngoma kalii video ya kwenda everything is perfect
@raujohn8238
2 жыл бұрын
fanya kazi mdogo wangu kitu kitamu sanaa🔥🔥🔥🔥
@orestemanenomaneno7726
2 жыл бұрын
Ngoma Kali brother nimekubali saana 🥰🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥🔥
@TheflywingsEntertainment
2 жыл бұрын
More love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 legend belle9
@mosamossile9113
2 жыл бұрын
Morogoro Town, Mis home sweet home Kilombero, I'm watching from South Africa 🇿🇦🇿🇦Cape Town
@fandon8366
2 жыл бұрын
belle 9 noma.sana fundi music 👑👔✨🔥🔥🔥
@araphatimura9299
2 жыл бұрын
Dah!! Noma San ...binafsi yangu huyu mjamaaa sionagi wakukung'oa kwenye rnb ... brother haukamatik bs to nashindwaga kuelewa vws hziwagi mingi
@saidibhinda6785
2 жыл бұрын
Belle Tisa Fundi kabisaaa🔥🔥🔥
@KnKGrandmastertz
2 жыл бұрын
Bro......huu unyama humu 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@samuelwanjiru1930
Жыл бұрын
Kazi nzuri belle 9...from we accept
@wilfredalbogast7660
2 жыл бұрын
Fundi wa hizi mambo hajawahi kukosea🔥🔥🔥🔥
@mwanakendra
2 жыл бұрын
Kazi safi Mwanangu Bell 9
@yusufulimo5737
2 жыл бұрын
Ua zuri 🥀linameremeta nabujui kunifezehesha❤️🎵🎵
@faidamisalaba5759
2 жыл бұрын
Belle 9 on top ❤❤❤❤🧡🧡
@agapemusicofficial2840
2 жыл бұрын
Bro nakukubari, much love from Burundi 🇧🇮 Napenda jinsi unavyo imba
@westcijosh
2 жыл бұрын
One of the best bongo singers of all time
@Maombi8417
2 жыл бұрын
Ni kweli mziki mzuri haupewi sapoti Ila usikate tamaa bro utatoboa I'm your biggest fan from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🎼
@swalehrodgers4525
2 жыл бұрын
Nnapenda sana nyimbo zako belle..toka enzi za masogange.
@abdoulyabdalah1556
2 жыл бұрын
Mwanamuziki wangu bora wa mda wote
@InjiliTz
2 жыл бұрын
Belle hizi sifa sasa ofsaaa🙌🙌
@muzyexperience
2 жыл бұрын
Congratulations 👏 goma kalii🎬🎬🎬
@bensonmerooficial
2 жыл бұрын
Belle 9 your a good Artist 🔥🔥 , with beautiful songs. 💪💪
@Hebz_Principale
2 жыл бұрын
It's always a blessing listening to a legend. 🥰🥰
@jacksonmugambi8571
2 жыл бұрын
Bella9 from wayback,mad respect to u Homie,Nakukubali sana mwana.your songs wl live 4ever.
@hassanirashidi1906
2 жыл бұрын
Bonge la ngoma .mkuu .bonge la biti mkuu .ungemshilikisha blue au billnas mzee
@abdallahkassim318
2 жыл бұрын
Mwana sana 9 💥💥💥💯
@nancymedia6048
2 жыл бұрын
Your the best belle umechora tattoo yake kwenye moyo 🤓🤓
@charlesjacksonbusanda2568
2 жыл бұрын
Bongesi la ngoma Moro town stand up big up brother
@jacksonmishwaro9671
2 жыл бұрын
Kuna nyimbo nzuri nyie...Daah!
@jeredienniyomwungere4696
2 жыл бұрын
Fire 🔥 📛 goma kali bra
@ayobow2468
2 жыл бұрын
Mwanangu nakukubali tangu sumi yapenzi hadi now .....wewe na tommy flavour alikiba mnaimba bongo flavor
@viceboirapper1121
2 жыл бұрын
Bongee ya dudee respect bro
@defaomkubwa204
2 жыл бұрын
Tanteee ma brother ngoma kali xaana
@sidejoe5929
Жыл бұрын
Mungu akutunze Belle,ur great
@gaspinho10tweve
2 жыл бұрын
Moro ndio Home always unakula kazi Bora never give up Abelnego ✅✅
@kessymgunda867
2 жыл бұрын
Umeuwa bro nakukubali sana
@officialsevenday77tz28
2 жыл бұрын
Umeanza kurudi bell9 home boy wasalimie warunguru moro garo
@saddiqboniphace4077
2 жыл бұрын
Boom boom ,ya tune na de boomboshell,murder ,bielle 9💪❤
@Gnoxfleva
Жыл бұрын
Beautiful melody
@montanablaww1664
2 жыл бұрын
MoRoToWn ICON 🎶🎶🔊 RNBKING
@stevenmwaiko801
Жыл бұрын
Bonge la mwimbo🤜👏👏👊
@josephswai2374
Жыл бұрын
Noma kweliiii belleeee
@dinyoabeli9028
2 жыл бұрын
Nakukubaliiii brz🔥🔥
@jonijooemmanuel5195
2 жыл бұрын
bro unajua mzki sn nakubalii kaz yko
@senibuzuka6557
2 жыл бұрын
Mkali wa r&b no1 mda wote hjawahi niangusha track zako
@samkibomusic3872
2 жыл бұрын
Noma sana kaka
@barakajackson4296
2 жыл бұрын
Napenda nyimbo zako kaka
@hussenmishamo1963
2 жыл бұрын
💥💥💥
@vickyjuakam8826
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@nellylwitiko6377
2 жыл бұрын
Noooma King Belly Ngoma kali
@wasafimedia5399
2 жыл бұрын
Bele 9 fumdi sana akuna wakumfikia hapa bongo kwa nyimbo za kubembeleza
@jumannemhadu6209
Жыл бұрын
Unaweza sana mwanangu
@PauloKulwa
11 ай бұрын
Belle achia tena kama hii brooo
@partyzzoclassic293
Жыл бұрын
Kazi nzuri bro
@DULLAHMASTER
2 жыл бұрын
9 my brother
@filbertminja7812
2 жыл бұрын
Atari kabisa dunia inajua wewe fundi kabisa
@mwanaashamkereti5779
2 жыл бұрын
Nomaaaa❣️
@justinedom2753
2 жыл бұрын
Good music unajua san brother
@modeboytz
Жыл бұрын
Kali sana hii video
@julioly4240
2 жыл бұрын
Levels ✈✈
@premax_official
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🎶🎶🎵🎵booom shakalaka
@PauloKulwa
11 ай бұрын
Uko poa sana blll
@BRAQ2
Жыл бұрын
Can't stop playing repeat UpTo now 🇿🇲💥❤️
@victorkipzbett43
2 жыл бұрын
Best rnb artist in the world
@lachytz2341
2 жыл бұрын
Goma la kwenda jamanii tusapportini mziki mzuri kwakweli mimi ningetamani watu waipige hii ngoma kila mahali kwasababu iko na utu na utulivu inasikilizika pia inachezeka bila fujo
@edwinkihara8004
2 жыл бұрын
Ndege Mjanja nimenasa mtegooo nimenasaaa Tatoo yako nimechora moyoni huu huu midomo yako ikinigusa shaavuni eeeeeh Jiachie Mama Daycar Wanakesha na maFilters, Level Zako hawajafika mtootoo Wakakokwenda tushapitaa aah hawanaja jipywa mtoto, wanapigia mbuzi guiiuitar, I say i don"t care ! No babie Hajawahi nichosha - Amenitosha Mee nampenda * 3 ... 🔥🔥👏 Your Kenyan Number one Fan Mash Kihara
@yohan_254
2 жыл бұрын
King of Melodies
@janjahakimu3947
2 жыл бұрын
Kalii sanaa
@membajeremy9910
2 жыл бұрын
I like this guy 💯💯💯💯
@Maximum_Tz
2 жыл бұрын
Director Japheth U Kill It Broh 🖐🖑
@dripdazzle8649
2 жыл бұрын
Miaka zaidi ya 10 sasa nakufuatilia mwamba mziki wako mzuri Sana love the vibes my G let's keep it going another 10yrs🇰🇪
@williammayoni5709
2 жыл бұрын
We are always behind you 9💪
@suleimanezekiel5864
2 жыл бұрын
Ngoma kali sana
@rachelsilvester7901
2 жыл бұрын
Saut yake tuuu jaman🥰
@IvanClassicke
2 жыл бұрын
Umetisha Sana
@glodynkondo9800
2 жыл бұрын
love it 🇫🇮🇫🇮
@jonijooemmanuel5195
2 жыл бұрын
fund sanaa bro
@abdulyabubakar6247
2 жыл бұрын
Hii ngoma naielewa sana yani nime ipiga zaidi ya Mala 20 na hainiishi hamu
Пікірлер: 216