Amina paza sauti mtumishi MUNGU yupo pamoja na wewe hakika kazi yako ni njema
@josephntandu
3 ай бұрын
Preach preach man of GOD
@aslayspaga6852
4 ай бұрын
Amen bana sema kweli wawa achiye watu wamu abudu Mungu wakweli
@JamesJamesmayanga
4 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi Mungu 🙏🙏
@omondindonga2366
4 ай бұрын
May God protect you amen
@danielnzikali
4 ай бұрын
Mungu akulinde na maadui,uzidi kutufungua macho
@WillyTheobard
3 ай бұрын
Amina iseme kweli ya Yesu.
@ekiliangoliga644
4 ай бұрын
Uzidi kubarikiwa mtumishi wa Mungu, sema tupone
@EricMaingi-f8b
3 ай бұрын
Ev. Pascal, ukweli unauma. Usife moyo kwa kuwa aliye ndani yako, ni mkuu... Mungu akulinde.
@ramsey2193
4 ай бұрын
Mbona ukosoe wengine iliali wewe Sio Kristo yesu !!!ama mungu
@danielnzikali
4 ай бұрын
Tulia dawa iingie
@MaryMichaelMaryMichael-i7o
4 ай бұрын
Mtumishi cassian..naomba unapoachia hiz clip basi uwe unajaribu kutoa hzo saut za nyuma pale unapohubir.plzzzz kelele za midundo n mingj tunashindwa kukusikiliza kwa utulivu.barikiwa asantiiii kama utanielewa
@aslayspaga6852
2 ай бұрын
Sema nao baba waache watu wamu abudu mungu wakweli
@irenemuia2718
4 ай бұрын
Ameeeeeen Amen 🙏
@SylvesterJoseph-cl6oe
4 ай бұрын
Ni kweli kabisa mwinjirisiti unayoyasema
@CharlesAndrea-b8v
4 ай бұрын
Uyu nabii ni Pepo sio binadamu upo Kwa ajili yamaslahi yake mwenyewe Luka 16:19 uyu ndo tajiri
@MaryMichaelMaryMichael-i7o
4 ай бұрын
Mimi nawashangaa saana vijana wa bodaa .kisongo kila j2.uwa wanamsindikiza baba nabii kutoka kwake adi church na kisha kurudi na kupewa elfu10.kila boda kwa ajili ya mafuta..cha ajabu sasa tunawazikajee?? Hapo kisongo..😢😢vijana wa bodaa wanakufaa katka mazingira ya ajabu bt awasikii wanazid kuenda tu church.ole wa inchi na Arusha kisongo ndo kwetu home m namfahamu vizuriii.at sijawahi ingia church yake japo nko jiran naye.
@Kenneth-ju3mj
4 ай бұрын
Mchungaji sema tu ukweli mungu yuko upande wako bora ujumbe ufike mwenye kupokea sawa asieupenda pia ni wakati wa campain
@vincentmusalia
4 ай бұрын
neno litasimama ya ulimwengu yatapita lakini neno litasimama
@MaryMichaelMaryMichael-i7o
4 ай бұрын
M niko kisongo namfaham mpka kwake..
@omasogreatfamily5395
4 ай бұрын
Ni kweli biblia inaharibiwa na kubadilishwa kila kuchao,mbona NIV iko na omitted verses? Word of God is in our heart
@CharlesMisungwi-f8t
4 ай бұрын
Hao wajiitaMungu hukuniwanawake aumanabii huku bibilia iliishafungwa namwenyewe wote hao nimatokeo yaunabiiwaYohana alioonyeshwanaMungu yawezekana wafuasi wao hawasomi kitabuhicho chamwisho huyojamaa anatakakutuambia hakunaMungu? nini maana ya imanisasa kamahaamini hatachimbuko labibiria naeti anawafuasi wakiristo auwafuasi wakeyeyekama gurusi.
@MaryMichaelMaryMichael-i7o
4 ай бұрын
Alafu kingne naomba niulize hivi mtumishi ..Bishop Elibariki sumbe naye n pastor fake??? Maana naitaji kujua mm sina macho ya rohon kujua plzzz nisaidien😢
@PericyKiko
4 ай бұрын
Shalom ndugu yangu mpendwa, Watumishi utawapima kwenye Neno, mf Zaburi 1 inakataa mizaha so ukiona mch Ako na mizaha hapo madhabahuni chunguza vizuri, ukiona mch hafundishi utakatifu, hafundishi ujio wa Yesu, hafundishi habari za kumtafuta na kujua kuongozwa na Roho Mtakatifu, Roho Mtakatifu ukiwa nae atakufundisha kujua yaliyopita hasa kuyatubia, yaliyopo na yanayoendelea hasa ktk nyakati hizi za uovu kila mtu anavaa anavyotaka anajiremba anavyotaka ,ok tuendelee, lkn pia kufundisha mafanikio tu ni ishara mojawapo sababu shetani akitaka kukushawishi atakuta na vishawishi vya mafanikio, kumbe ukisimama na Mungu vizuri yote utapata , lkn pia ukisoma neno hakuna Ibada ya mafuta Wala viambata japo muujiza ilikuwepo lkn haikujirudia so hio ni Ibada mojawapo ya Sanam tutaendelea wakati mwingine barikiwa
Пікірлер: 25