harmonise kawa wa kimataifa hixi show sio level zake
@WahuBoth
5 ай бұрын
😆 Ngoja tuone kama harmo ana mawazo kama yako 😆😆
@braystuskibassa3842
5 ай бұрын
Sherehe itafana sana
@valentineevarist
5 ай бұрын
wasanii wetu wana tumika kwenye mambo kama haya njaa tupu
@Mtwaletv
5 ай бұрын
Naibu wazir mkuu tangu lini..acheni kupeana kodi zetu
@Worldunite
5 ай бұрын
Tumetoka kutubu juzijuzi tu ktk mwezi mtukufu wa ramadhani, sasa mambo gani tena haya waislamu kuhudhuria mziki?
@mohammededy7086
5 ай бұрын
kw kwel
@OfficialA83640
5 ай бұрын
Magu alizuia ujinga huu kabisa hakuna amsherehe ya hovyo wakaona wamzime mdomo Astaghafilullah
@MishiPapalan
5 ай бұрын
Iyachieni yenyewe iangaike na ushetani wao kunamengi yakufanya kwa nini hizo hela msifanyie ya maana
@AngelmackieCharity
5 ай бұрын
Yn uislamu kazi mno, msininukuu vibaya yn kwanza et kuna vunja jungu baadhi wanaitumia kumalizia kutenda maovu... Miezi 11 ya maasi mwezi mmoja wa toba ni kumkosea nyumba na kuutukanisha uislamu wenu ni aibu😅
@SaumuSaidi-z2v
5 ай бұрын
@@AngelmackieCharityhasa mn wao wanajiona ni haramu ndo mn wako nyuma sn kimaendeleo
@AdamMbwana-p6n
5 ай бұрын
Kwan hili neno tanganyika nyiny wenztu mnakuwa mnalitumia wapi
@salitosofo5561
5 ай бұрын
Sasa Tanzania na ZANZIBAR au Tanganyika na ZANZIBAR yani ni shida😅
@dotojohn9316
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 noma sana
@johnmwasilu7087
5 ай бұрын
Tena anasoma
@hudhaimarajab9103
5 ай бұрын
Kodi zetu hazina kaz uko ndo znakoishia
@ivantompoo3420
5 ай бұрын
Et tanzania na zazibar
@amynahf7354
5 ай бұрын
Naibu waziri mkuu??? Hii ya lini hii
@SaumuSaidi-z2v
5 ай бұрын
Mbona usiku?si asubui
@AmigoPhones
5 ай бұрын
Tanganyika na zanzibar
@JataTarish
5 ай бұрын
kwa mantiki iyo😅
@davidlaiser8174
5 ай бұрын
Mkuu wa Mkoa hajui ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar inatia walakini.sio jambo dogo hilo maana anapotosha wananchi.
@segeospatialtechnology7482
5 ай бұрын
Kumbuka kua huyu ni lecture muache ujuaji kukosea kupo tu
@yayananajota5838
5 ай бұрын
😏😏😏
@MaryamHajj-ds8hl
5 ай бұрын
❤❤
@josemangula8806
5 ай бұрын
Ivi kwanini waimbaji wa gospel hawaalikwi kwenye mikutano ya serikali ya sijawah kuona tatizo nini kwani jaman ?
@shwaibukhatibu2838
5 ай бұрын
Waje wamuimbie Nani hakuna anaewahitaji
@MishiPapalan
5 ай бұрын
Kwanza kwanini kama nyinyi binadamu mmeumbwa kwanini musifanye hii siku ya kumshukuru mungu muumba kwanini muite wasanii na kumkalibisha shetani kwanini ebu badilikeni ivi hizopesa mgewapa masini igekuwaje mungu atawajibu nyinyi
Пікірлер: 37