Lafudhi yetu inatufanya tuonekane kama wahuni ila ndivyo tulivyo siyo kila saa chuga bangi mara madawa,mje mtujue kwanza muachage kutupa majina mabaya tu kila siku,hakuna mkoa unaomjua MUNGU km Arusha,Peace n love my Chuganian people nawapenda sanaa
@ramadhanissabura2187
Жыл бұрын
🎉
@nellywizz9631
Жыл бұрын
Tuliwaambia! Chuga ndo home napapenda sana
@theresiamartin3150
Жыл бұрын
Watuache na Arusha yetu
@IdarousPossy
Жыл бұрын
Sio muachwe Kuna muda mwengine ni mnajifanyisha mnataka sifa mnajifanya kuweuka, kujipa uchizi ambao hamuna,mkihis kwamba ni ufahari
@IdarousPossy
Жыл бұрын
Mbona kuna wengine wanarafudhi kama unazosema na wanaongea vizuri kabisa tu,ila wengine wanajifanya eti masela 😅😅😅😅
@faizaahamd2052
Жыл бұрын
Mashaalah Mashaalah mungu akulinde Na akulinde na mabaya ya dunia👏👏👏👏👏❤
@awadhrajabu1403
Жыл бұрын
Sijaona Kichaa Apo Nimeona Mzarendo Kwa Wanyama Hata Ongea Yake Sio Kiuni Bali Ongea Yao Ni Asili Yao Sasa Aimanishi Ni Kichaa Au Bangi Kwani Bangi Sio Dawa Jamani Bangi Dawa Sema Kuitumia Kwa Utaalamu Zaidi
@theoriginals3240
Жыл бұрын
Best comment ever
@khadjamhozya
Жыл бұрын
Halafu anakiri nyingiii kaokota makopa kajinunuria chuma na Simu nzurii🙏
@satwanthoogan6429
Жыл бұрын
Jamani mimi napenda vijana wa kiarusha! Wanavoongea..😂👍🏻❤
@jestonelazaro6543
Жыл бұрын
Kamzozo ni fedheha
@joshuanyaulingo4109
Жыл бұрын
Watakukula 😅😅
@mohamedalidarabunyange4879
Жыл бұрын
Kwer bbk.
@slimshed55
Жыл бұрын
I hear u Queen❤
@official_de_wa_jongo.4440
10 ай бұрын
We neng’eneka tu unawashwaaa eeeeh na hamu ya kukunwa eeeeh hahaha
@martinisadru9899
Жыл бұрын
Daa aisee huyu jamaa ndugu yetu kabisa. Njoo huku iringa uishi utapiga pesa, nakuona ni mchapa kazi hodari sana
@piomallya9999
9 ай бұрын
😂😢😅
@chinaboyzanzibar5328
Жыл бұрын
MASHALLAH MY BROTHER ALLAH ALWAYS MAKE U HAPPY BLESSED U AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@qwqw1665
Жыл бұрын
Nakupa hongera sana kijana mungu akutangulie katika kazi ya mkono yako❤👍👍👍👍👈👈💖💕💕💕💋👍👍👍
@sammysammy2001
Жыл бұрын
Big up broo ❤❤❤nimependa unavyo penda wanyama kama mimi
@Burner_Acc
Жыл бұрын
Smart guy. Afike mbali
@slimshed55
Жыл бұрын
MUCH LOVE FROM LONDON UK 🇬🇧 🇬🇧 MAY GOD BLESS YOU BROTHER
@dannymasuka1822
Жыл бұрын
Tatizo lenu wabongo ndo hilo kwani hapa bangi inahusika vipi jamaa yupo sawa
@sophyodago5062
Жыл бұрын
Nimeishi sana arusha najua ni mkoa wa kuupiga mwingi bhangi😂
@hussenhemed1050
Жыл бұрын
@@sophyodago5062 kwaiyo na wewe ulivyokaa ulikuwa unalipiga
@mkuluwaukae2221
Жыл бұрын
Arusha tuwe na rais wetu tuu, ndani ya miaka mitatu tutakua kama COLOMBIA kabisa
@rayvanlimo4928
Жыл бұрын
😂😂😂😂 wallah
@user-bo1xl6ec6n
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@josephlorri431
Жыл бұрын
Kabisa, lakin hatuna bandari
@adaboychibu1659
Жыл бұрын
Tena awe ana akili za bangi kama raia wake
@AfricaQueen
Жыл бұрын
😂🤣😂🙌😂🤣🤣🙌hasa mitaa ya Ngarenarooo 🥳🥳😂🤣🤣
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
Жыл бұрын
Nakataa Arusha Sio Tanzania Arusha ni Nchii Nyengine Ni Vile Atujui Tu Maana Kila Maajabu Matukio Ni Arusha 😂😂😂😂😂🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@pendo8082
Жыл бұрын
😂😂😂
@maswamills3161
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!ukiwa na stress nenda Arusha ukacheke ukae sawa!!
@happylynguya3464
Жыл бұрын
😂 😂 😂 😂
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
😂😂
@mohammedally9208
Жыл бұрын
Napingana nawewe
@Mwanatai
Жыл бұрын
Kaka pole na mchakamchaka Naomba umtafute Benedict Matata anaishi KIJIJI CHA NAMBALA KARIBU NA SHULE YA MSINGI NAMBALA HUYO JAMAA NI MCHEKESHAJI WA KUZALIWA ANA VITU SEMA POMBE NA KUKOSA MTU WA KUMUENDELEZA VIMEPELEKEA KUTO TREND HANA SMART WALA KITOCHI
@rashidramadhan7708
10 ай бұрын
Nakubali Chidy boy
@sarahmollel1998
Жыл бұрын
Tupewe Raisi wetu tujiongoze wenyewe
@zawadijuma9681
9 ай бұрын
Really 😂😂
@user-vf5sw7ez9q
10 ай бұрын
Vijan wa chugaa nawap pongez🎉 nomaaa hawana
@adolfmathew9698
Жыл бұрын
Mdudu talk about peace and love in chuga Land ✊
@khalfanomary4396
Жыл бұрын
Super
@ukhutfatumah1154
Жыл бұрын
Haaaaa hiiii Arusha yangu 😅 nimejikuta nacheka tu aise maana aishi matukio aise
@mzalendomtokambali6551
Жыл бұрын
Mbwa hapa marekani hulelewa Kama mtoto na akihumwa hupelekwa hospitali, na akifa hufanyiwa maziko
@julieeliah5511
Жыл бұрын
Akiumwa
@sophiamakani6133
Жыл бұрын
😂😂😂😮
@selector728
8 ай бұрын
Akiumwa sio akihumwa
@tnftz1461
Жыл бұрын
Huyu jamaa ni mwamba na nusu mkiambiwa ajira hamna kaz zipo nying muwe mnaelewa muhun anavyochapika iv afu uje umdhulum au ule hela ake kisoro asikuzmishe😂
@emmanuelmchomvu2676
Жыл бұрын
Kila ktu bangi mamaeeee zenu Wala chips njooo chuga...
@jeskahaule2867
9 ай бұрын
Nimeipenda eeee babake
@user-xy8ix3ck3n
4 ай бұрын
Waoooo mbwa wake ni mrembo
@brayanphilipo1851
Жыл бұрын
Anapenda dona 😂😂😂
@RenaldaZeramula
10 ай бұрын
Banging.mbaya
@adolfmathew9698
Жыл бұрын
Chuga my country ni og
@user-ci3bv3uc8c
Жыл бұрын
Nakutizama kutoka United Kingdom 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 daa balaa yakweli pongezi Sana ndugu mtangazaji
@Thebaddest255
Жыл бұрын
Mbona unaonekana mshamba 😮
@johnzacharia6892
Жыл бұрын
msenge ww unatafuta madem tu, akati upo bariadi uko nkololo kabisa
@josephmaina-vm1lc
Жыл бұрын
@user uthiru kinoo 😂😂😂
@josephmaina-vm1lc
Жыл бұрын
@@johnzacharia6892uyu ako APA Kenya Uthiru kinoo ndio UK 😂😂
@its_smat
Жыл бұрын
Bro ivi ukifungua you tube chanel ukibadilisha sim you tube chanel yako inaendelea au
@khadejarajab8007
Жыл бұрын
Amebandua mwenyewe pirupiru😂😂😂😂😂
@user-od3ro4vw2c
7 ай бұрын
Uhuni tu kuoga Aaaaaaah😂😂😂
@mohamedially5330
Жыл бұрын
Duu!! Unaishi na mbwa magetoni hii kali sana
@safiyanirram-pf3sv
Жыл бұрын
Kazi ya kuota au kununua machupa wenyewe watu wadar wanaita chaka ni inalipa ukitulia mm shemeji yangu ndo kazi yake yeye ananunua na anapita mtaani mwenyewe pia kununua na mkokoteni anaishi maisha yake vuzuri nafamliy yake bira shida yani sema huyo mbwa adi ugali anapiga😅😅😊
@selemanikinyonyi7163
9 ай бұрын
Mbona mbwa kula ugali jambo la kawaida tu
@jacklinejoseph-sh3tw
Жыл бұрын
Iv arusha mnanini jmn hamuishi vituko hahahahhaa
@user-fm5hp1uc7c
Жыл бұрын
Arusha mji ya wajanja bn
@lizyonce7414
Жыл бұрын
Uwezi kukosa kucheka kwa vijana wa Arusha
@pendo8082
Жыл бұрын
😂😂
@user-hy2ll7mz3v
Жыл бұрын
Kitu watu wengi hawajui,Arusha ni Jiji la kitalii,na ni watu wenye utamaduni wao,so jamii zao ziko tofaut kwakua wanajua wao wenyew ni kivutio Cha watalii ....,serikali isiwakere hao hao ni utalii toshaa achilia mbali vivutio vngne...
Muda wa kuamka muda wa kukurupuka muda wa kulala na jua 😅
@vibetz9991
Жыл бұрын
Nilifkiri kilimo cha bangi kimekomeshwa
@barikilangoy4737
Жыл бұрын
Muulize mama ako maana analima
@bethuelkonyuniofficial7930
Жыл бұрын
ameenda huyu
@sadikisukuzzi4444
Жыл бұрын
Alafu vido nyinyi ni wabinasfi kila kitu Arusha jamaa wa Arusha
@theoriginals3240
Жыл бұрын
Chalianguu.. og
@arnoldlihanda7241
Жыл бұрын
ATI amebandua Maganda simu
@jellymbogo7246
Жыл бұрын
Ila hawa inatakiwa wawekewe uzio sio watu wa kawaida 😄
@rehemahigilo943
Жыл бұрын
Ahaaaa
@Chettymlambalipsi-lb9km
Жыл бұрын
Kaskazin hatoki fala
@JeremiaDaniel-xd2zg
Жыл бұрын
Ana pambana pia anampenda mbwa wake
@am_tz
Жыл бұрын
Yani hyo kuongea tu n kuchekesha 😂😂😂
@user-ho8lh9ke2d
11 ай бұрын
Mbona hata apo anachekesha
@behindzscenes3826
Жыл бұрын
khoo ivi ndo watu wanaongeag arusha au ?
@berthavbgmkmkimario5723
Жыл бұрын
Ukiskia chuga hy ndy chugaaa ni raha tupu kiruuuuu
@alexmchome4661
Жыл бұрын
Nane nane iyo njiro
@pendo8082
Жыл бұрын
Chuga kila kitu kipo😂😂
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Dudu ngaa kamakawaida
@hanslameck3968
Жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌
@EuniceNasali-zu2yo
Жыл бұрын
Ni aina gani ya mbwaaa
@feelfreetosee8961
Жыл бұрын
African coco
@corneliusmkenya586
Жыл бұрын
Germany shepherd old model ...
@kennethbenjamin275
Жыл бұрын
Eh tz kuna mastar wengi Ashakuwa star huyo
@StanleyRuta-gu7tz
Жыл бұрын
A town
@husseinkonz5192
Жыл бұрын
Bongo sihami kwa porojo hzi
@kennethamosnduttu1838
Жыл бұрын
Presenter huja jiandaa
@achouraachoura5763
Жыл бұрын
MUNGU akulinde kijana mpambanaji🙏
@maulidSaid-ol1bl
Жыл бұрын
Mbwa kawekewa ad kidalek duh
@Conshamusic
Жыл бұрын
MBONA HUYU JAMAA KAFANANA NA MANDONGA IVO AU NI MACHO YANGU TUU?
@ibrahlissu2710
Жыл бұрын
Mdudu kama mdudu
@vero57
Жыл бұрын
ARUSHA iwe nchi
@user-of2zx5yb3k
Жыл бұрын
👍✌️
@azizayassin3623
Жыл бұрын
Uchumi mdomo mdogo#nidhamu ya pesa
@NR-ll4sr
Жыл бұрын
Humjui mbwa wake breed gani
@chesterbrand6723
Жыл бұрын
Chuga hiyo chuga hiyoo kila kitu Ni hataryy.......
@vero57
Жыл бұрын
Mbona munarudia rudia 😅
@mabulamalole8402
Жыл бұрын
Duh, hapo Arusha kunann jaman
@mohammedally9208
Жыл бұрын
Balaa ndugu hilo
@BeatriceSaid
9 ай бұрын
Hiii ndo chugakamachuga
@user-vt6by7kf6b
Жыл бұрын
Achaeni kushangaa hayo mambo ya kawaida Sana mambo yote ni ubatili mtupu,hakuna jambo jipya chini ya jua yote ni ya zamani sisi tunakopi tu
@msabyboy5192
Жыл бұрын
Me najiuliza tyu uyombwa kwenye ichokibeg kabeba nn😂😂
@nurukwilabya2790
Жыл бұрын
😂😂😂😂 kabeba Bangi
@mohammedally9208
Жыл бұрын
Bado anasoma
@bernadetamodest6170
Жыл бұрын
🤣😃😂🤣🤣🤣😃
@mbsanga21
Жыл бұрын
ndugu mtangazaji umefanana na huyo mshkaji.
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Nava 30 nikichfukwa
@DenisMawala
Жыл бұрын
Chuga kama chuga😂
@gclassicog3024
Жыл бұрын
Mdudu
@sylivestermwasile4203
Жыл бұрын
Kilo Moja na nusu mtu mbilii dona
@jacoblaban2589
Жыл бұрын
Huyu kashakula bando la bangi.
@basilisamsaka8469
Жыл бұрын
Ila Arusha wanaongea kihuni Sana jmn
@user-zn9zl4kh1w
Жыл бұрын
Ndo walivyo hawa
@mohammedally9208
Жыл бұрын
Sio kihuni nilafudhi ya waarusha kuna kabila la waarusha ndo maana
@meckitilidatushabe
8 ай бұрын
@@mohammedally9208acha utani bana mbona wapo wanaongea kawaida wengne hao wanaongea kihuni
@ibraiddy4761
Жыл бұрын
madagas shazii😅😅😅
@ebenezercharles4637
Жыл бұрын
Mother land
@bibielroybibielroy8710
Жыл бұрын
Iacheni chuga AmaniAmani tu ile ni lafuzi tu wadudu wako poa
@user-tj2pu3mt7m
Жыл бұрын
Sasa wewe ndo unataka bwana simba 3 yanga utopoloooo unaona sasa
@albertbunyinyiga7581
Жыл бұрын
Unashindwa post vitu vya msingi kama wale mawakili wa mbeya unapost mtu anayebeba mbwa sasa inatufundisha nn
@hellendaniel3809
Жыл бұрын
Tuachie chuga yetu ni nchi huru😂😂
@allygunda3616
Жыл бұрын
Acha wivu na chuga letu baki kwenu
@witnesspeter9377
Жыл бұрын
kuma wewe
@allygunda3616
Жыл бұрын
@@witnesspeter9377 pita iv
@sopy3055
Жыл бұрын
Duh, 😳 we hapo umevutiwa mpk umeangalia, nakucoment kbs, ivyo vya maana vingewekwa ata usinge angalia. Hii ni entrainment Kama nyingine mpendwa, we hujapenda lkn Kama me nimependa
@mamabakiri9767
Жыл бұрын
ubunifu
@ledasjosseph5558
Жыл бұрын
Mageton
@papadimayo1chanel.747
Жыл бұрын
Chugas mko Bien bouc
@khamisikhamisi7225
Жыл бұрын
Chga style
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
Arusha hahahahah ndio maana wengine tuliwapa taraka tatu arusha na tukaowanA na Manyara 😅😅😅😅😅
@user-zn9zl4kh1w
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂manyara wazuri?
@rechorech7956
Жыл бұрын
Huyu mbwa ni wakike maana mmmmh mungu ndo anajua kinachoendelea
Пікірлер: 235