Namkubali sana MWAMPOSA hakika kaletwa Mungu mwenyewe kwa ajili ya kizazi hiki!Mungu aendelee kumjalia Baraka na Neema Tele
@endeshyamat6773
19 күн бұрын
Huyu ni mtumishi wa Mungu kabisaaaaaa Mungu ambariki sanaaaaaaa🎉
@irenemwanry121
19 күн бұрын
Mtume tumekufahamu toka unahubiri nyumba kwa nyumba Moshi kijijini kwetu, hakiki ni Mungu alikuandaa kwa kizazi chetu ❤❤❤
@blasiustibwakawa6258
13 күн бұрын
Nomaa halafu saana😂
@florabuzoya3948
21 күн бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukubaliki sana sana True Man of God ,Very Humble, mwenyezi Mungu anakutumia sana na Umeokoa Wengi sana sana,Tuna ushuhuda Juu yako na Tunakupenda sana sana,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Sana sana.Ndani na Nje ya Nchi umeokoa wengi,Mungu atankutumia sana mpaka wachawi na Waganga wamesalender wamekuja kujikabidhi kwa Yesu Kristo.May God Keep on blessings you
@humphreyonlinetv2739
21 күн бұрын
MWAMPOSA IS ATRUE MAN OF GOD HIGHLY ANOINTED
@monicaisuja8917
21 күн бұрын
Mwamposa ni kweli mtumish WA Mungu maneno ya watumishi wenzako ni mengi Mimi mwenyewe ni mengi Mungu amenitendea we peleka watu Kwa yesu usiogope❤
@ujenziimaratv1192
19 күн бұрын
Wewe ndio umelitaja jina la Yesu uyo mtumishi wako aja litaja Akili kichwani
@fumotv7914
16 күн бұрын
@@ujenziimaratv1192unauhakika
@Salesiamalekela-i2h
16 күн бұрын
Kwakweli tunakuxhuru sana mtumixhi wa mungu kwakutusaida mungu akulinde uixhi miaka mingo sana
@perpetuakicheleri-zk5ly
19 күн бұрын
Mungu akuweke mpk yesu Atakaporudi baba umefanya makubwa 🙏🙏
@gratusvlogs
21 күн бұрын
Sema mwamposa kama Kijanakama unakubaliana na mm nipe LIKES apaaaaaa
@Rogathe-Rogathe
21 күн бұрын
Kijana kbs
@bakariomary5781
21 күн бұрын
Pesa ndugu inatakatishwa haujui😂😂
@florabuzoya3948
21 күн бұрын
Anazidi kuwa kijana kwa sababu ya kufunga na kusali sana
@allahisone6386
16 күн бұрын
HHHH NDIOOO_🤦🏿♀️
@user-eu5ly2sk8w
7 күн бұрын
Nakukubali sana nimetoka ziro Sasa Niko yuro haijalishi watakuitaje mungu akutunze na akufunike kwa damu yake iliyo kuu
@ElizabethKazimoto-uc8zo
19 күн бұрын
Man of GOD ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze our prophet
@salumsiraji-ou3uo
18 күн бұрын
hahaha
@ElizabethKazimoto-uc8zo
17 күн бұрын
@@salumsiraji-ou3uo yeah
@StelaMwambemba-qd3tr
19 күн бұрын
Nabarikiwe. Na mtumishi mwamposa libalikiwe tumbo lilimzaa Mungu amtunze miaka mingi sana
@user-ex1cn3bc2h
19 күн бұрын
Nakupenda xan mtumixh wa Mungu Mwamposa Mungu akuzidixhie miaka ya kuixhi uzidi kutuudumia
@user-qb3cb2zl5l
16 күн бұрын
Huyu ndio mganga maarufu na mwenye mafanikio kuliko waganga wote africa mashariki
@AllglorytoGod22
8 күн бұрын
😂
@user-yb8jq9xw2o
7 күн бұрын
😂😂
@benernest5125
7 күн бұрын
MGANGA!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@EstherMhagama-s1n
5 күн бұрын
na ww ukawe mganga ili na.ww ujulikane afrika
@user-dz3rl1ki6u
2 күн бұрын
😂😂😂 umepiga panapouma
@AngelBoniface-oe8ug
19 күн бұрын
Huyu baba ameanza Mbali sana mwacheni tu Mungu akubariki
@user-sp8zu7oh2n
18 күн бұрын
❤❤❤
@eusebiusthilia7908
12 күн бұрын
Aswaaa!mwacheni Mwamposa afanye kazi ya MUNGU,AMEBARIKIWA SANA!
@PaulineMajengo
8 күн бұрын
Kabisaa,alikuwa anatangaza matangazo yake mosh akiwa na kirikuu kidogo ,na spika 3
@user-hm2oc6en9s
21 күн бұрын
Mungu akuweke miaka mingi sana Mtume. Umefanyika baraka sana katika maisha yangu na familia yangu. Ukipatwa na matatizo ndiyo utajua umuhimu wa huyu Mtume.
@FurahaCosmas
8 күн бұрын
Haswa,ndo ile cmulia sana omba yasikukute beb
@beatriceminja2148
21 күн бұрын
Akiwa Kilimanjaro nilikuwa nafanya kazi stationary flan na mtumishi alikuwa anafanyia shughuli zake za matangazo, na vipeperushi Hapo. Kwa mwamposa hunichomoi, baba yangu kapona na hamjui mwamposa na hajui hata kanisa lake liko wapi.. Mwamposa chapa injili BABA🙌🙌
@Rogathe-Rogathe
21 күн бұрын
Aminaaa
@msafirimaulidi5054
21 күн бұрын
Ss mwamposa si mganga km waganga wengine wa jadi,huduma za mwamposa ni za kishilikina km ni MUNGU ata ww unawez kuomba ukaskika, pia ukisema yy katumwa na MUNGU ndo tyl ww ni mfuas wa mganga😂
@benjaminalfa3098
21 күн бұрын
Ameen
@Japanese-lz1or
21 күн бұрын
@@msafirimaulidi5054Kuma ww acha makasiriko
@suzanalucasemanuel7006
21 күн бұрын
Amen
@nairakiboko
18 күн бұрын
Mwamposa bado ni kijana Tunao shirikiana kumuombea miaka mingi duniani awaponye na wale waso amini gonga likes apo❤❤❤ love mwamposa
@BabaD-fu9io
Күн бұрын
Mwamposa Mungu akulinde sana akupe miaka mingi, umenifanya kuwa jasir maisha yangu siogopi chochote, siogopi waganga,siogopi wachawi natembea kifua mbele
@jackycharles6419
21 күн бұрын
Jaribu kumsoma mtuu anapojibu maswalii hakuna maharii amejiinua sa unataka fananiasha mwamposa na uyo kiboko wa wachawii kutwa Zima nikujisifu na madharau ata yesu nae alikuwa na umatii wa watu na alipigwaa kula siii masiihii Ila mda ulipofika waliona cheche yake am proud to this man of God
@user-is6np5vf6b
21 күн бұрын
Umeona eeh 🎉🎉🎉
@florabuzoya3948
21 күн бұрын
Hajawahi kujiinua kwa kweli huyu mtumishi wa Mungu wa Kweli kabisa.Mungu ambariki sana
@heavenlightmalisa1112
15 күн бұрын
Huyu ameitwa na Mungu barikiwa baba
@Apox_eric
15 күн бұрын
Exactly, ningekuwa na uwezo ningekuzawadia. Umejibu just like ne ningejibu kumsoma mtu muongo .... The nan is humble, No show offs, proudness. He only says It si the hand of Almighty God. Text me on whatsApp +255753694154
@Leeeeeeee-96
21 күн бұрын
mtu wa maana kabisa mwamposa ❤❤❤❤❤❤❤❤
@husseinjosephitocho6754
17 күн бұрын
mazuzu ni mengi sana mwamposa piga pesa fanya maisha hii nchi ina watu wasio na elimu na majinga mengi sana tumia iyo fusa wakisha janjaruka unakuwa umeishajipata na mazuzu mengi ni kina mama kwa sababu ni mepesi kushawishika
@michaelezekiel4297
9 күн бұрын
😂😂
@FurahaCosmas
8 күн бұрын
Hapo hakuna zuzu ila wew ndo zuzu. Uctukane mamba kabla hujavuka mtooo
@EstherMhagama-s1n
5 күн бұрын
Ww ni zz namba moja halafu ss wengine tunafatia
@HappyChalamila-wd2wl
5 күн бұрын
nayapenda afundisho yako yaani mimi nakupenda kweye uchambuzi wa neno la mungu
@devisshirima6780
21 күн бұрын
Sitii neno lolote !! Mungu ndiye anayejua yaliyo sirini !!
@Leeeeeeee-96
21 күн бұрын
usiende baki unapoona pana mungu msije wengi tukakosa nafasi 😂
@malkiarosemuhando3310
21 күн бұрын
Haja❤!!
@africanbeez3644
21 күн бұрын
@@Leeeeeeee-96 mkiwa mnachomwa moto uwe una wahi viti hvy hvyo sw 😂😂
@rerisamba
21 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣nimecheka yangu yote
@milanozanzibar
7 күн бұрын
ni kweli
@ngowidyness3464
20 күн бұрын
Tenda kazi uliyoagizwa na Mungu mwanaadam hatuishiwi kauli❤❤itoshe kusema tunakuelewa na kukuamini na shuhuda ni kuu mno
@martingeorge9468
18 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏 Amina
@eclinemaro7677
18 күн бұрын
Amen
@hendrylema5640
18 күн бұрын
dyness upo
@ngowidyness3464
16 күн бұрын
@@hendrylema5640 nipo kabisa
@AUGENSYLIVAND-rq7hz
21 күн бұрын
Kwakweli Ayo Tv habari mnazitafuta hebu gonga like
@user-eh5il7pw2f
21 күн бұрын
Nipo Babati Manyara nampenda sana huyu baba yetu wa kiroho
@F60hustlerF60hustler
21 күн бұрын
Kwahyo mwamposa ndiye baba ako wa kiroho acha kumuudhi mungu wew
@whatisthetruth.8793
21 күн бұрын
Huyu muhuni tuu , hana utumishi wowote
@LATIFAMUSSANAMANORO
Күн бұрын
Nakuaamini baba nakukubali sana mwenyezimungu aendelee kukuweka zaidi na maisha marefu milele amina
@GodfreyMwamaso
21 күн бұрын
Amen Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe Babaangu wa kiimani Mungu anajua uliko nitoa nimepitia changamoto nyingi nikakata tamaa ya kuishi nilipofika kawe chini ya mafundisho ya mafundisho ya Mwamposa kila kitu kimekuwa historia nimepokea uponyaji Namshukuru sana Mungu wa Mwamposa
@emmanueldaudi3797
21 күн бұрын
Muujiza Mkubwa ni mtu kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.
@christeternallifetv5959
21 күн бұрын
Ameniiii
@atuganilemsomba3028
21 күн бұрын
Ukweli ambao watu wengi hawautaki
@trophywilson7211
19 күн бұрын
Kabisaa Kabisa Hawajui Kumwamini Mungu
@user-vc4xr1mf5q
18 күн бұрын
Kwani wale walio kwa mwamposa awajampokea yesu na je kanisani kwako waumini wote wameokoka
@user-fy9uk4oh7x
15 күн бұрын
Nikweli huo ni muujiza mkuu saana kuzidi muujiza yote
@IsaackPaulo
18 күн бұрын
Mtume Mwamposa amekuwa baraka sana kwa taifa letu na familia zetu mimi niliyefunguliwa kwa upako wa madhabahu hii namwona na Nabii Eliya mtishbii yuko Tanzania ❤❤❤❤❤
@saleemsuleiman2220
18 күн бұрын
Mtume feki😂
@IsaackPaulo
17 күн бұрын
@@saleemsuleiman2220 wewe ndo feki
@saleemsuleiman2220
15 күн бұрын
@@IsaackPaulo mtume kutoka KUZIMU SIO KWA MUNGU WA MBINGUNI SISI SIO WAJINGA
@@saleemsuleiman2220 kwanimafuta yanatakiwa yatoke wapi na hayo mnayopikia mnajiwa yanakotoka?hujui agizo la mafuta kibiblia wewe ni mgeni na maandiko matakatifu tulia sisi tuanaojua rufaidi ahadi za Mungu
@user-ng6yt2od7l
20 күн бұрын
Nakupenda mwamposa mtumishi wa bwana Mungu akuweke daima
@julyethiema1220
18 күн бұрын
Nampenda sana mwamposa kamtoa mdogo wangu ugumba wa miaka 40 na yeye alikuwa hamwamini ni freemason sasa anaitwa mama miracle ana miezi 4
@Wakwe
16 күн бұрын
Aliemtoa ugumba ni mungu au mwaposa😅
@winfridahaule4364
16 күн бұрын
@@Wakwehapa ndio watu wanapo mkosea Mungu
@FurahaCosmas
8 күн бұрын
Weuweeee🎉
@jovitustoroto4
2 күн бұрын
kweliiii
@user-ut4wf9vq6g
Күн бұрын
Nabarikiwa sana ninaposikiliza mafundisho yako mungu azid kukuweka mtumishi wamungu
@petermadata7803
21 күн бұрын
Kila mmoja ni mtenda miujiza,kikubwa ni Imani kwa Mungu. Kazi isiyo ya Mungu muda ukifika,Mambo yote huwekwa hadharani
@nicaswaziri
19 күн бұрын
Mungu akulinde na akupe uweza zaidi niliteseka sana kiuchumi lkn leo namiliki kupitia wewe nimeinuka kiuchumi. Asante mtumish wa Mungu siku moja ntakuja kawe Mungu amenitendea Mengi mnoo.🙏🙏🙏
@modestamshana1279
21 күн бұрын
Mtume ni handsome🥰
@claudia1500
19 күн бұрын
Kabisaaaaa
@mansoorburuhan6791
19 күн бұрын
😂😂😂😂
@mansoorburuhan6791
19 күн бұрын
Ama kwel ndo maana yesu hakuoa😂
@amanmalima940
21 күн бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@veronicapatrice436
21 күн бұрын
Hongera sana classmate pascal Mungu amtunze mtumishi wa Mungu..kichaa anachekesha kam hatokei kwako huwez jua umubimu wa maombi kam hujapata matatizo❤
@PhyinaElias-mu4wf
21 күн бұрын
Hallelujah mungu n mwema sambaza injili apostle🎉wenye chuki watajijua wenyewe
@user-li1ux1xh4m
16 күн бұрын
Mwamposa anafungungua kila lililofungwa jmn❤mungu akulinde sana.
@JoyceMbano
12 сағат бұрын
100 lwa 100 nimtumishi wa mungu kazi inajiziilisha asiyeamini atajiju
@user-sj3wf5vz7l
21 күн бұрын
Hivi watu wanafikiri mtu mpaka aache kila kitu atumie fedha ya nauli kuja kwenye ibada unafikiria ni mchezo. Kubadili roho za watu siyo kazi ndogo. Kama watu wanafikiri ni uchawi na wenyewe wafanye uchawi waone kama wataweza. Sasa Mungu acha aonyeshe power zake maana ilifikia mahali watu wanaamini shetani kuliko mungu
@user-wi8og3sv4j
21 күн бұрын
@@user-sj3wf5vz7l kabishane na mtu anajiona ana akili yeye pekee kuwazad watu milioni kwakichwa chakekimoja atakupa uchizi bure
@ciscojr2277
21 күн бұрын
Huyu jamaa anafanya miujiza na yupo kimiujiza zaidi kuvuta watu kama nyie...mtu kama Mwakasege mbona nae anazungukaga nchi nzima lakini hana mambo ya kuuza hadi magazeti na ukienda kwake unatoka na neno kweli sio huyu jamaa yenu
@zachariamakoba8368
21 күн бұрын
@@ciscojr2277kaka una akili kubwa kama mimi shetani nikama malaika Ila huyu jamaa mchunguzeni injiri yake haina kuokoa ni mtu wa miujiza na upako tu, na hajui kuhusu kukataza zambi, Ila Mungu atupe akiri kubwa kuyajua haya hizi ni siku za mwisho
@user-wl7xj6dy4u
21 күн бұрын
Arise and shine🎉 mtatutafuta mpate habari kwetu hatuna mdaa wa kuwatafuta❤
@benardbonephace4896
21 күн бұрын
Anayeita watu ni Mungu,na sidhani kama ninawito wa kumnyooshea mtu kidole kujua ni wa kweli au sio wa kweli,kikubwa Mungu na injili inahubiriwa,watu wanaokoka na kuacha uganga,so kumwamini au kutokumwamini ni uchaguzi binafsi,endelea na kazi ya Mungu mtume Mwamposa,tupo nyuma yako
@Alphonce-em2xi
21 күн бұрын
@@benardbonephace4896 safi sna
@Rogathe-Rogathe
21 күн бұрын
Umenena vema kabs udugu
@PhyinaElias-mu4wf
21 күн бұрын
Ameeeeen
@reginaringo5167
21 күн бұрын
Utukufu kwa YESU
@anethkitambi3140
20 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda, kukutunza
@GibsonNtamamilo
21 күн бұрын
Ninachoamini ni Imani tu. Ukiwa na imani kuwa kupitia Mwampsa utapona au utafanikiwa naye pia akawa na imani ya kuponya kwa maombi basi Mungu atatenda. Hata wana wa Islael hakujitokeza Mungu bali alimtuma Mussa.
@josephmtoro9606
12 күн бұрын
Ulikua na mungu kweli sema tamaa imekuzidi na hiyo ndo kazi ya shetani, anakupa mafanikio na raha za dunia ila uzima wa milele sahau. (MATHAYO 10:8) ila kwa sababu umenunua huna budi kuuza.
@glorygadielmshana1070
21 күн бұрын
Hakika mungu yupo ndani yako mtume,nimepokea na kutendewa mengi kupitia tv tuu ♥️♥️♥️♥️
@user-sj3wf5vz7l
21 күн бұрын
Mwamposa hata usipomwamini ni sawa tu hata yesu mpaka anakufa na anafufuka walikuwepo ambao hawakumwamini. Sisi wacha tufaidi baraka za mwamposa. Baba chapa kazi tunakufahamu tangu ukiwa kilimanjaro . Wewe una Mungu.
@ciscojr2277
21 күн бұрын
Unamfananishaje Yesu na binadamu we mpumbavu
@StelaMwambemba-qd3tr
19 күн бұрын
Good point acha wabeze tunafaidi tunaoelewa
@norfenvgeraldo9493
21 күн бұрын
Ninamshukuru sana Mungu kupitia huyu mtumishi nimefunguliwa vitu vingi sana kwa kweli mungu azidi kumtumia kwa viwango vya juu zaidi .🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@barutiabuu9492
21 күн бұрын
Wewe akili zako zimefirisika kiukweli bola hata ya mnyama kuliko wewe sijajua alie waloga amekufaa au yuko wapi mnalaana hakiamungu asee nyie binadam nyie du
@PhyinaElias-mu4wf
21 күн бұрын
Amen
@MaurenEmmanuely-nc9id
21 күн бұрын
Laana unayo ww@@barutiabuu9492
@user-nm1re5kp7m
21 күн бұрын
Wew endelea kutuona wajinga one-day utajua umuhim wawatumishi wa mungu na hata siku Moja usipoteze mda wako kuhukumu watumishi wangu subiri mung awahukumu wenyewe kama wanafanya kinyume @@barutiabuu9492
@user-wy1or9fm2s
18 күн бұрын
Jee mwaposa kalala kwenye ukrisito someni Wakorintho 15 :18 na duniani hakuna mtumishi hata umoja wa mungu
@beyondmediatz1607
21 күн бұрын
Nimependa alivyomuwai muandishi kusema anayetenda ni Mungu yaani hajataka kupokea utukufu yeye, kibinadamu ni ngumu kumuelewa mtu akifanikiwa kiwango hiki "utasema kweli ni mahubiri tu au kuna kitu nyuma?" kuna muda tukubali kumuacha Mungu ajuaye na ndio atahukumu kwa haki tusiwaseme vibaya hawa watu wa Mungu, kwani sisi tunaokosoa tunafanya maovu mangapi? Nani anainuka kukuhukumu? Mana ni Siri yako, aliyeelewa nasema nini naomba like
@RoseOdilo
21 күн бұрын
Kabisa❤❤❤
@joelbtz8277
21 күн бұрын
Umenena vyema mno🎉
@mrjulius5840
17 күн бұрын
Mathayo 7:21-23 [21]Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. [22]Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? [23]Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
@festomandari3773
7 күн бұрын
Might God enich you with more wisdom Apostle
@aboudasilver6541
21 күн бұрын
Hakika mtaji ni Watu Mzee hongera sana Kwa kuwakamata
@Dianamwansasu
21 күн бұрын
Na wewe si uanze kuwakamata
@tinnahagustinolyelu4247
21 күн бұрын
Hata shetani anaweza kufanya Kazi ndani ya mtu Miujiza hiyo Ni lazima itokee Kwa sababu yeye ana mipepo mikubwa Kwa hiyo Ni lazima anayazima mapepo madogo nanhaliamuki Tena sababu mkubwa WA mapepo kasema lakini biblia hayo nasema watatokea manabii weeengi na watafanya.miujiza mingi.nawatu watu wataamini jamani tusome biblia tusitegemee watumishi tu watuoombee Bila Sisi kusomba Kwa bidii
@jacobnyosole1774
19 күн бұрын
Wewe shida yako ni udini tu , nguruwe wewe😂😂
@Dianamwansasu
19 күн бұрын
@@tinnahagustinolyelu4247 shida si kuomba tu.mengine ya Mungu unafanya.sawa umesimaama kwa miguu yako unatii sauti ya Mungu?mwisho wa yote kuhukumu si kazi yetu maana hata wewe hujui kama unaenda au lah!Mungu atufadhili
@joshuajustustz
21 күн бұрын
Naipenda sana injili ya mtume Mwamposa. Anahubiri ukweli na ukichukua dondoo za mahubiri yake ukazifanyia kazi utapiga hatua. Mambo mengine SI mpaka kuombewa na kuwekewa mikono... Mafanikio Yana kanuni zake. Mtume amekuwa daraja Bora kuwavusha watu kutoka katika hali duni na kuinuka... Lakini haya yote SI yeye Bali Mungu aliye ndani yake. ❤❤❤. Piga injili baba 🎉🎉🎉🎉
@EmmanuelYohana-km8xe
2 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU BONIPHACE MWAMPOSA
@Japanese-lz1or
21 күн бұрын
Wote mnaomtukana mtumishi wa mungu nyie mnashida huyo hata kama ni mganga , au shetani ss tunaenda pale kumwabudu mungu tu sio yy acheni makasiriko
@onlyyoujesus8232
17 күн бұрын
Ujumbe mzuri
@ianbryse1417
21 күн бұрын
Buldozer Mwamposa ❤️ Nimekuverify ☑️
@pendomushi9319
10 күн бұрын
Baba angu nakupenda hadi natamani kukubeba.
@heavenlightmalisa1112
15 күн бұрын
Mtumishi wa Mungj nimetoka nae mbali sana akiwa anaanza kilimanjaro karibu na Tanesco Mungu akubariki baba miaka mingi kwako
@TedyEmanuel
19 күн бұрын
Uumwamini usimwamini hayo ni yako,huyo ndo baba yetu wa kiroho,asante mungu kwa zawadi hii ya pekee
@JamsiiMolell
2 күн бұрын
Mungu akuongesee miaka mengi kutuudumia naamini maoombi yuko mtume
@NestoryMhagama-ci5pq
21 күн бұрын
Be blessed man of God
@ConfusedBloomingFlower-wv1gf
18 күн бұрын
Nampena sana mwamposa mungu akupe maisha marefu mutimishi wa mungu
@eclinemaro7677
18 күн бұрын
Tunakupenda sana mtume , Mungu azidi kukutunza sana
@stellanakaaya2331
17 күн бұрын
Mimi naamini Kila kitu ni MUNGU anapanga.wasaidie watu na kuwaponya.tunakuombea miaka mia zaidi ya UTUME🙏
@estambuya3901
18 күн бұрын
Hakuna mtumishi wa mungu,aliyeumba mbingu na nchi hapo, kumbukeni kuna miungu wengi, mwamposa ni mfanya biashara tu, watu.wanafuata miujiza.
@EstherMhagama-s1n
5 күн бұрын
Hongera ongeza juhudi
@user-nn7dq9pu2s
6 күн бұрын
Nakupend sana mtumishi ,pale kwa baba yangu kuna mbwa wetu akawa hazai akawa na miaka miwili nilipo kuja hapo kanisani kuchua mafuta na maji ya upako nilipo enda kumwagia akabeba mimba sasa anawatoto 5
@user-sc9zl2hx1c
21 күн бұрын
Mungu amuwekee mtumishi sana aishi miika mingi kama mitume wa Zaman aendelee kuwabaliki wengi ❤❤
@pceodhc
22 күн бұрын
Hallelujah!
@Mcsceo
20 күн бұрын
I love venye APOSTLE Analitaja jina la Ndugu yangu Mc Pascal mwakyoma inaonyesha mtumishi hajikwezi analitaja jina lake unajua bwana pascal aisee MUNGU azidi kumuinua mtumishi wa Mungu ,pia hongera kwa Mc pascal mwakyoma uko very humble japo interview ni fupi umeuliza maswali muhimu karibu yote MUNGU akuinue kaka..
@BahaaBundala
20 күн бұрын
Neno la mungu linaxema mm nanyumba yang tutamtumikia mungu wambinguni❤xaxa ww kama hauamni mungu anaetenda miujiza bas una mungu wako
@esterpastory8918
17 күн бұрын
Ambao hawamuamini mwamposa shauri yao mana huwezi kumlizisha kila mtu sie tuliopona magonjwa nakuinuka kiuchumi acha tusonge mbele na baba yetu wa kiroho
@user-sn6dc9gh8k
21 күн бұрын
Ungeuliza kuhus mke na watt na familia yake🙌🙌au ulikuwa unaogopa muuliza maswali🤷♀️
@user-sn6dc9gh8k
21 күн бұрын
Na kuhusu hzo shutuma za kudai anatembea na baadhi ya wasanii
@silviamassawe2587
18 күн бұрын
Tangu sinza ngumbani kwa mtu tunafanya ibada mwacheni❤❤
@vero57
21 күн бұрын
KESI ZANGU ZOTE ZIMEKWISHA, ASANTE YESU🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾💐💐💐
@user-wp2ww7mf7r
21 күн бұрын
Arise and sheni
@JohnOkwom
17 күн бұрын
Mungu akuzidishie Maisha marefu Mwamposa mtumishi wa Mungu
@adrophinamwanguse1510
21 күн бұрын
Ameni mtumishi wa mungu na mungu Azidi kukuinua tunakupenda waumini wako🎉
@sylviadanford9138
17 күн бұрын
Nakupenda sana Apostle, huropoki n ni mtumishi wa kwanza Tanzania nzima mwenye akili,hekima sana kanisani sio mtukanaji wala mropokaji ni mtulivu unashibishwa neno mpka unamuona Yesu live.keep moving n our prayer will protect you.❤❤❤bless you man of God
@songombingo108
19 күн бұрын
Amekuwa tajiri kuliko Waumini wake. Dini hizi tuwaachie wenyewe waliozileta😂😂😂😂
@mtangag774
22 күн бұрын
Noted
@reytn2494
21 күн бұрын
Ni neema ya Mungu imekushukia mtumishi nami nimetendewa mengi , malaika wa Mungu wakuzingile.
@MariamuMkonge
18 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa kuifanya kazi yake na azidi kukutumia zaidi maana unefanyika baraka kwenye maisha yetu usivunjike moyo baba mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe
@user-ng6yt2od7l
20 күн бұрын
Mungu naomba nipate nyumba kama ya mtume Mwamposa
@janethjerald1737
18 күн бұрын
Mama angu amepona kisukari,BP namshukuru sana huyu pastor
@Deadskytz
11 күн бұрын
Bora mwamposa ndo awe DC wa ubungo 😂
@JudyUrio-zy7ri
21 күн бұрын
Hakuna kanisa lenye wababa kama kawe
@NeemaSengerema
10 сағат бұрын
mungu akuwekee mtumishi wetu amen 🙏
@priscadaniel6459
21 күн бұрын
Asante mungu baba unahekima sana mungu azid kukupa neema zaid hakika tumeona mkono wako kupitia wewe
@martinamahenge4476
21 күн бұрын
Mungu aendelee kukuweka mtumishi wake umeponya wengi nikiwa mm mmoja wapo kama hujawahi pata masaibu ya maisha ukaponywa huwezi elewa Mungu akuweke miaka 10000999999🎉🎉🎉
@OfficialVeronika
10 күн бұрын
Nakuerewa sana mtumishi ubarikie kwa uduma
@Elizakilisipinilikolika1996
17 күн бұрын
Nakupenda sana mtumishi wa mungu mwamposa naomba mungu akulinde miaka mingi zaidi ili tuzidi kupona ubalikiwe sana mtumishi wa mungu mwamposa 🙏🙏🙏🙏
@Alphonce-em2xi
21 күн бұрын
Amen Apostle Mwamposa
@whatisthetruth.8793
21 күн бұрын
Apostle gani alimiliki mali . Watu wa Mungu wa kweli hat pesa kuishika walikataa , hata kibanda nyasib hawaku miliki
@NuruSanga-yo2sl
21 күн бұрын
Hata sauti yako tu inajieleza kwamba umetumwa na mungu respect baba wa kiroho
@AmosSniper
10 күн бұрын
Dingi mimi nimsela haswaaa''' ila Mwamba hugu asikwambie mtu,, Mwamposa kaitwa na Mungu'
@Chrizabizzy1
21 күн бұрын
Eee Yesu wakumbuke watu wako muokoe na mwamposa akawe ushuuda atoke aliko.
@Yadah_poultry_foundation
21 күн бұрын
Amen apostle ❤
@NoelMwita
21 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MTU WA MUNGU . KWA NEEMA YA MUNGU YOUR TO🎉
@user-pr8jo1cq2c
21 күн бұрын
Ulijaza watu kwakweli duh ❤😂
@BeatriceMlowe-iz5uj
16 күн бұрын
Tunao kuelewa wacha tukuelewe wasio kuelewa pia wapee muda one day wata kuelewa maana hata mimi sikuwa nakuelewa ila muda wa Mungu ulipo fika nilikuelewa bila kipingamizi coz upo tofauti sana na manabii wengine hasa wenye umaarufu. Huna sifa hujisifu unafwata sheria za biblia unakemea dhambi unatoa muda wa maombi na unakumbusha kuomba kila siku japo mala 3 kwa siku why nikuchukie Mwaisa mwenzangu mie nakupenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Пікірлер: 885