Pole sana hamorapper.. no one has the right to humiliate or harass another human being haifai kabsaa. Mnyonge pia Ana haki.
@njengasam9344
3 жыл бұрын
Inaumaa sana, Hayoo Mamboo ya Kumteka MTU ni Kosa LA Jinai, ikibidi HATUA KALI ZICHUKULIWEE... Pole saana Harmorapa, Mapito Magumu saana Umepitiaa
@zayrounhabib4409
3 жыл бұрын
Pole sana kaka jikaze ndo mitihani us kiduniya usijalû Allah atskulipiya Allah akupe subra inshaallah
@abuu_khaki4120
3 жыл бұрын
DuE kazingua sana mwanang lakin hapa kafeli kumchoma wakiume mwenzetu
@anordperestalent8113
3 жыл бұрын
Sema huyo mtangazaji wa wasafi kakosea sana kwanini akuite kwenye interview yuko na watu wenye nia mbaya na wewe sema dulla inabidi akuombe msamaha
@hassanmassawa1107
3 жыл бұрын
Shua, na hata ile clip naona waliofuta asubuh, unhumanit
@ashamwamba9088
3 жыл бұрын
Uyaaanzisheeee.wewee.uliwewewe.haaaaaaaaaaaaaaa
@ameenaameena1224
3 жыл бұрын
Pole mdogo wangu pole sana
@thabitmohamed8744
3 жыл бұрын
Nyie mnaemgombania huyo mtoto ni nani kati yenu aliemuoa huyo amber,kama hakuna alieoa hakuna mwenye mtoto apo msituzingue
@thabitngangila8562
3 жыл бұрын
Kama conference ya comedy
@trihantanzania1547
3 жыл бұрын
Shikamooo boss endelea kuongea🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂
@munadlebobo5234
3 жыл бұрын
Tueke mzaha kando ila mwanaume kulia ujue imemeuuma
@mahamedabdi1881
3 жыл бұрын
Kweli kabisa yanii unaumua sana
@binaljabirmshihirzanzibar8369
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@night_watchers69
3 жыл бұрын
huyu nae mume!??...
@mamachuudah5460
3 жыл бұрын
@@binaljabirmshihirzanzibar8369 unacheka nn mzee
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@night_watchers69 no ni mkeo
@msalikemediaonline
3 жыл бұрын
Sasa hao baunsa vp mnaogopa kuvamiwa au 😂😂😂😂
@amidoufaifefemi9779
3 жыл бұрын
Mkali wenu kama yupo kweny comedy
@glorysaimon8238
3 жыл бұрын
😂😂😂😂 jamani bongo sihami boss mr Kiki wasani wake wafanya Kiki yaaaan
@roseadam1128
3 жыл бұрын
Ata ukihama unapakwenda 😂😂😂
@mwaminindayishimiye4434
3 жыл бұрын
🤣🤣😃😃😆😆😭😭
@AhmedHassan-vl5zf
3 жыл бұрын
Malaya wewe hiyo kiki ya mtu kutekwa kupigwa kunyanganywa hela na kutishia kumuuwa
@khadijamisayo7476
3 жыл бұрын
wanatengeneza kiki kama kweli vile
@rahmarajab3688
3 жыл бұрын
Hivi,Ambalulu alikubaliana kuzaa na Harmo, Kwann Sasa ashirikishe watu kumuumiza mzazi mwenzie?,Maana haiwezekani kuwa hahusiki!! Alibakwa!?Walikubaliana? Kwanini kitokee hiki!? Sheria zipo, Huyu kijana Ana uchungu Sana, asaidiwe kisheria kwa kweli Ni Unyama aliofanyiwa Harmorapa
@kenyangal1869
3 жыл бұрын
Mfanyie harmoraper hivi alafu mtoto atokee kuwa ni wake 🤔
@roseatieno6691
3 жыл бұрын
Eeeee Jamani na tena analiya na ame insist. Ienda ikawa .
@sumatraveler1957
3 жыл бұрын
Alafu mtoto kamfanana harmo hatari
@damariszuckschwert9489
3 жыл бұрын
Watu wanacheka na kumdharaulisha kama siyo mwanaume. Mbona hawa madanga wa mjini wakijua una kahela kako wanakudangia ili waile hata hawajali cha sura.
Ukute ni mwanae kweli maana analia kwa uchungu, mtoto akataliwe na kupigwa apigwe 😂😂
@rosemarymunyi5035
3 жыл бұрын
Pole sana kinjana
@mamaafricankenya2501
3 жыл бұрын
Mkali wenu Ana Mpenda hamorapa ❤️🤣🤣🤣🤣
@hassanisadiki824
3 жыл бұрын
Eti mafuta😁😁 Kwa hy Hamorapa kapelekewa bomba la mavi
@binaljabirmshihirzanzibar8369
3 жыл бұрын
Naona upo bro mpaka huku bro 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanisadiki824
3 жыл бұрын
@@binaljabirmshihirzanzibar8369 😁😁😁😁kaka nimefurh sn kukuona huku nilijua huku Sio sehemu zk😁😁 Bro uku muhimu kuwepo
@aishatarimo6780
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kaylaminani5296
3 жыл бұрын
Jmn tumuogopeni mungu 😫😫 harmorapa cdhani km analia bure imemuuma sana na unaona sura ile ya mtoto jmn 😫😫😫 mi basi tu wakapime dna..
@masamabinhuse4599
3 жыл бұрын
😂😂😂10:06 kwa makini nimemzoom mkali wenu nmecheka Sana
@victoryclemenc8837
3 жыл бұрын
😂😂😂
@amidazubeda1320
3 жыл бұрын
Inavyoonekana Amba Lulu hakujua kama mimba ya Hamorapa nivile tu mtoto kamzaa photocopy yake angekua na uhakika kama yake maybe angetoa ndio wasichana tuwe makini kuwa na mahisiamo na watu tofauti sometime ni ushamba hata ukipata mimba inakua haijurikani nani mhusika.🧐🧐
@vanessalaizer4363
3 жыл бұрын
Anajua baba ni Harmorapa ndio mana akasema anajuta! Na ndomana hakumuonyesha mtoto mapema. Atajiju ndo akome kujichanua ovyo
@happybernardy4493
3 жыл бұрын
Kwakua Ni hamorapa ndomana amba Lulu kavunga Ila ingekua diamond platnums
@amidazubeda1320
3 жыл бұрын
@@happybernardy4493 😂😂
@veredianavedest7920
3 жыл бұрын
Ukatili huu mwenyezi mungu atakulipia wala usijali
@victoryclemenc8837
3 жыл бұрын
Kama mtot ako mungu atakupigania na watarip kwa hiy Zambia lakin Kama sio wako🙏mung baba akupiganie
@dominarwechungura3984
3 жыл бұрын
Pole sana
@rehemajaif5318
3 жыл бұрын
Tuliona video nzima
@dograstheonest898
3 жыл бұрын
Yani yanafanyika mambo kanakwamba hakuna sheria au vyombo vya ulinzi na usalama.
@njengasam9344
3 жыл бұрын
DaaàH Kwelii Uhuru haupoo, hao watu wangechukuliwa mara1
@sophiahezron3797
3 жыл бұрын
Hamo unaonekana unapenda Kiki maana umefatilia intaview had Soo poa
@tiamo726
3 жыл бұрын
Ka we ni mwanamke usixunhumzee yatakukuta
@salemkambuteh1409
3 жыл бұрын
Mwanangu kilemba zaidi ya kilo tatu hufungi.? Maji ya Nini Sasa apo juu ya meza?
@emeresianamichael5163
3 жыл бұрын
Walimvua kibarakashe yake kwa dharau sheria ipo wapi hiyo imeniuma hata kama syo dini yangu
@jojosiwa1493
3 жыл бұрын
Dada
@Kanicynjuguna
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Hamorpa mungu anakuona sana 😂
@sylviermuhonjah8411
3 жыл бұрын
Harmorapa pole sana ..wadada sura na umbo tunazo nunua China twajiona Wazuri na warembo ajabu
@nasrajuma4095
3 жыл бұрын
Wapimwe DNA
@biancaqui1810
3 жыл бұрын
Ukweli mtupu toka Kenya
@saadaalharthi9295
3 жыл бұрын
Pole sanaa
@zainabuabdul7852
3 жыл бұрын
Simuonei huruma kwa nini atakae kiki kwa malaika
@bakariyusufujuma
3 жыл бұрын
Ni kitu gani kinakuamisha kama nikiki au wakati mimba inaingia ulishudia?au upo kishabiki
@joycehope1883
3 жыл бұрын
Mjinga sana huyu
@fortunatuskapinga5250
3 жыл бұрын
Hinasikitisha kuona kunawatu wanashabikia maovu Naamini wote watachukuliwa hatua na hitakuwafundiaho kwa wote hafikiliao kuwa wanawezakufanya vyovyote watakavyo kwakutumia magenge yao ya kialamia Nashangaa pia huo mtangazazi hadi leo hajakapatwa kwakiwa hinaonyesha wazi kuwa kakiuka maadli ya kazi yake
@princessAngilica
3 жыл бұрын
Basi siwaendee kwa dna txt ndio wajue mtoto ni wanani
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Unajua maana ya DNA ww lkn au maana unatakiwa ujue hiyo ni kamali kuna watu km hawa kina hamolapa na mwanae wanafanana hv lkn DNA zinawakataa
@justinasamson2617
3 жыл бұрын
Wana pesa iyo DNA sio pesa ndogo
@merylimo8917
3 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Shikamoo bos
@temu8841
3 жыл бұрын
Hao mabaunsa wanamlinda nani samahan lakn 🤗🤗🤗
@philippeter198
3 жыл бұрын
harmorapa
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Nyie hamjui tu mtt ndo ako na ukweli wote maana tumboni kakaa yeye kwa ambalulu na kwenye zipu ya hamorapa katoka yeye, so atafutwe mtoto mwenyewe aseme ......mtt mwenyewe anasemaje
@azizayassin3623
3 жыл бұрын
😎😎😎😎😎😎😎😎😎🤠kiki ateeee mtoto wa harmo😅😅😅
@priscahandherfamily475
3 жыл бұрын
Lakini Yule mtoto kafanana na harmo wacha wafanye DNA
@FatmaAli-oy7yu
3 жыл бұрын
Mtt kafanana n yule jamaa mwengine na mmke
@reneejollie5117
3 жыл бұрын
Wah yenu Kali ni vile tu haijafungwa chain
@getrudamatoto5277
3 жыл бұрын
Daaah jamanii pole hamo
@hassanmkungile6021
3 жыл бұрын
😂😂😂nacheka lakin naogopa🤣🤣🤣🤣 et au wamekupaka Mafuta🙌🙌
@dshadow174
3 жыл бұрын
hyo emba cjui bosheni ajiangalie sana sio anafanya mambo yakijinga au ndo wanajikuta wababe sio ,,daaah ila ndo ingekua mm
@taleshabani6637
3 жыл бұрын
Nacheka uku naogopa
@rayanaabdallah473
3 жыл бұрын
Aki Woyeee!
@user-it5wz6je5y
3 жыл бұрын
Yeye nae kazidi kufanana mtt ndio basi aseme mwanae mbona mwijaku aliambiwa alifanana na mtt wa tanasha mbona hajasema kuwa mwanae huwo ni ushamba
@lucyjoseph5178
3 жыл бұрын
Kwani kama mtoto wa harmorapa amberlulu siakubali ugumu uko wapi hamorapa ni mwanadam kama wengine angekuwa daimond amber angekataa
@salhasutti9020
3 жыл бұрын
Aisee ukimuona m2 mzima analia ujue kuna jambo
@irenemsumba6776
3 жыл бұрын
Pole kaka ake mungu atakusaidia
@scollapatric8342
3 жыл бұрын
Lakin uonevu siomzuri jaman pole sana unanitia huruma itakua kitukibaya wamemfanyia sana
@aminahhuawei1133
3 жыл бұрын
Pole sana mdg wangu 😭😭
@malmavoice8989
3 жыл бұрын
Huu mchongo mngeua kimya kimya tu,huku media mmefata nn Sasa,mnamlilia nani? Kwa akili tu yakawaida unadhani ambalulu angefanyaje hatakama mtoto kweli ni wako labda aliteleza na kaamua kukuzalia kulikuwa na hajagani ya kusema media?!! Jikaze ongea,Akida nawe unajiuza hapo na umefunga mbona hausemi kitu,hujui kuongea au shida nn?
@maligeltabatholomeo8128
3 жыл бұрын
Akida nawe umezingua aendelee kuongea nini wakati Hana jipya uyo
@sophiahmedza929
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆♀️🙆♀️
@officialmisungwi8870
3 жыл бұрын
Pole harmo
@suzanmukuhi2961
3 жыл бұрын
To end all this drama is only by DNA
@yahyahamad1802
3 жыл бұрын
Sasa unashikilia mtoto ni wako wewe ni muislam ili mtoto awe wako kwanza inatakiwa uwe umefunga ndoa pili ni mama ndio anemjua baba wa mtoto
@rehemaothman2200
3 жыл бұрын
Mmmmh mtihani
@sifasanga7866
3 жыл бұрын
Mbona anaigiza Kulia jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu Dogo noma
@tamaraseff.9707
3 жыл бұрын
Basi si muede DNA.mumalize tofauti zenu
@swahibasaidi4669
3 жыл бұрын
Nacheka huku nahuzunika hamorapa kama harmorapa😂😂😂😂
Wamemkamata boshen sio haki kabisa jamani yaani Kama ni mtoto wako ungemfata ambar weee acha uwehu ajakutisha kasema twende acha ujinga
@bhaleeali8459
3 жыл бұрын
sasa huyo BOSHAN anaamini vp kama mtoto wake wakat AMBER LULU wenyewe juwa la jioni kila mzungu anataka ajianike nalo?? la msingi ni DNA tu ndio solution but ishu za kutekana sio kabisa aiseyy wafunguliwe kesi tu ya utekaji na uzalilishaji
@temu8841
3 жыл бұрын
Camera zenyewe zilizo kuja kuhoji ni za mitaani ambazo hazija julikana si tuna tambua kama kik inaendelea i t v haipo chanel 5 hakuna milad ayo haipo halafu unasema umeita waandish wa habari😂😂😂
@tatubadi9010
3 жыл бұрын
Ndo ukome siku nyingine kutafuta Kiki za makusud Sasa wangekupeleka kwa mpalange ndo ugelijua Jiji.. Nyau weee😃
@maimunaabdalla7146
3 жыл бұрын
Wee tatu acha ingilia yaso kuhusu mtoto wake asiseme kwanini
@tatubadi9010
3 жыл бұрын
@@maimunaabdalla7146 achana na mm kila mtu anauhur wake wa kukoment
@greatthinkers8661
3 жыл бұрын
@@tatubadi9010 hata kama una Uhuru usihukumu! Una uhakika gani mtoto sio wake?
@tatubadi9010
3 жыл бұрын
@@greatthinkers8661 mwenye ukweli wa mtoto siku zote ni mama ndiye anaetambua hii mimba niliyobeba ni ya nani, Sasa mama akisha Sema kwamba mimba siyakwako utamalazimisha..?
@tatubadi9010
3 жыл бұрын
Nakaashaambiw mtoto sio wa kwake Kwan kunaulazima afosi kutaka mtt si akazae na wengine huko..
@unknown-vl6tz
3 жыл бұрын
Ni Mimi mchambuzi wa insta leo tupo na "eeh naitwa harmorapa" eeh harmorapa naskia wamekuteka Kama walivyomtekaga Yule Kaka wa Zimbabwe hivi ni kweli "ndio walinipandisha kwenye gari lao" ehe baada ya kukupandisha kwenye gari lao wakakufanyaje " dah nashindwa hata kuelezea walichonifanyia" SEMA tu ukweli wakakukula. Nyuma ya camera ni amberlulu aah samahani amberlulu sio wewe, nyuma ya camera ni akida og 😂😂😂😂
@salmasaid7058
3 жыл бұрын
Hahaha 😂🤣😅🤣 yaaan tZ ppl n move tosha
@jasminmollel9681
3 жыл бұрын
Kwani alivyokua wanakula bata na hamorapa akujua kama sio mzur ampe haki take kama mtoto ni.was kwake
@@mahmoodmohammed1679 nashaga mie pia 😂😂😂😂wuuui mbavu zangu
@lucky-gj3gr
3 жыл бұрын
😂😂😂
@charlskpc1103
3 жыл бұрын
😂😂😂kapakwa mafuta? ???!!! Mkaliwenu Mungu anakuona
@mwatumsaidi5104
3 жыл бұрын
Masikini pole sana hamo umasikini mbaya
@MiaTheLathini
3 жыл бұрын
Hawa ma-BODIGADI Walivyomkwepa harmorapa polisi walipofika kudadekii😂😂
@khadijazinga2114
3 жыл бұрын
🤣 🤣
@jayloveofficial8428
3 жыл бұрын
mbona boss akida hataki kuongea😅😅
@user-cl9xz5tv3t
3 жыл бұрын
Mond leta ndege turinge wasafi team alafu rudisha our view plz
@asiaenzi5542
3 жыл бұрын
Mondi kama mondi
@khamisrubea5083
3 жыл бұрын
Due Kazingua lkn mwisho alimtetea sana harmorapa kama video mmeiangalia kwa umakini
@fisjaykitamuliko1183
3 жыл бұрын
Kazinguwa ila nafikiri alikuwahafahamu kama uyo mtu waambalulu ata fanya ivyo kwasababu ata mimi niliona ali mtetea sanaila jamaa anaka muhuni hakuwaelewa
@rhodakyenga2603
3 жыл бұрын
Sheria zpo.
@pembemussa2804
3 жыл бұрын
Harmorapa kahamisha upepo wa Kiki mjini yeye ndo Ana trend kwa media zote kwa Sasa shida tu hajui kujieleza vizuri, yaan vingeumana zaid🤭
@rachellebahati6126
3 жыл бұрын
Maybe nikweli mtoto niwake.wanawake watu wakuogopa
Пікірлер: 384