Walkum salam warhamatullah wabarakatuh, shukran sana shekh suleiman
@yusufmod1437
Жыл бұрын
Naomba usimulie kisa Cha nabii Suleiman shekhe wangu
@fathimamct232
Жыл бұрын
MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH
@saidrakwe8727
Жыл бұрын
Huyu jamaaa anamaarifa sana,God bless us together till janaah
@kazimotto3035
Жыл бұрын
Sawa ila tapeli
@fathimamct232
Жыл бұрын
Takbiiiiiir ALLAH Akhbar
@nakundwamkubwe7823
Жыл бұрын
Mashallah Mashallah Dr Sulle Allah akuweke
@manrectorz
Жыл бұрын
Pia Muhammad (SAW), Alisema "Kama kweli mnampenda Mwenyezi Mungu (SWT) basi NIFUATENI MIMI". Mtume hajasema TUMSIFIE amesema TUMFUATE. Nashauri katika Maulid hizo wafundisheni watu TAWHID na KUHIMIZA SANA SWALA! Maana nimehudhuria maulid kadhaa ikifika wakati wa swala wanaoswali hata nusu hawafiki na hakuna anayejali hilo wao wanawaza kumsifia mtume tu linapotajwa jina lake basi.
@cityhuntermkali2468
Жыл бұрын
Hakuna kitu ktk maulidi zaid ya ushenzi mwingi tu
@user-fr6rv2yb4s
3 ай бұрын
Subhanallah umesema ukweli. Huyu Sheikh anasema hatumjui mtume Muhammad (saw) sasa anathibitisha eti tutamjua kupitia kusherekeya maulid, subhanallah. Mtume (saw) tayari kasifiwa na ALLAH kutokana na jina yake MUHAMMAD,maana yake ALIYESIFIWA.. Sheikh tafadhali tukitaka kumsifu mtume saw basi tumsaliye kila siku. Hakuna watu waliyompenda Rasullahi ( saw) kuliko Abubakar RA na Umar RA hali hamna hata siku moja kwa uhai Yao walisherekeya maulid. Jemeni maulid ni fithna kama Christmas...wabillahi taufiq. ALLAH ndiyo kasema ukweli
@cabylake2320
Жыл бұрын
Mashaallah 💓❤️
@aisharamadhani1948
11 ай бұрын
Shukran darsa nzuri Sana Allah akulipe kheri shekhe wetu kwa haya unayotupa
@kassimamri6746
Жыл бұрын
Allah akuzidishie kheri zaidi ww pa1 na wachamungu wote
@athumanswed9992
Жыл бұрын
Uko sahihi sana Dr.sule, wanazuoni wengi wa sasa hivi ni wamchongo
@ba_yu72
8 ай бұрын
Swadakta yadoktar Sule!
@HassanAli-eq8ko
Жыл бұрын
Mashaallah jazakumllah kheir amiin
@fathimamct232
Жыл бұрын
Shekhe Juma Nasor mgaya na Shekhe Mrisho Jumaa Mrisho kipindura Matipwiri nyumbani kwetu mungu Awape Umri Mrefu mashekhe wangu. Amiin 🤲🤲 Amiin 🤲🤲
@Ankoozumo
Жыл бұрын
wazilapozo tupo.
@fathimamct232
Жыл бұрын
@@Ankoozumo waziraponzo wapo nyuma ya Waviiila😂
@anwarambar6141
8 ай бұрын
shekhe sule, Allah akupe umri, afya njema, uzidi kutuelimisha,
@moanamessi1749
Жыл бұрын
Allahu akbar
@fhyubhhh2881
Жыл бұрын
May Allah bless you always Ameen Yarrab
@sadathboutique6253
Жыл бұрын
Akili nyingi sna doctor mpk zinamwagika uyu shekh ni kichwa sna
@mussaumtit6664
Жыл бұрын
mashaallah
@bakarkhamis5369
Жыл бұрын
Mungu amueke
@harissalum2887
Жыл бұрын
Allah akujaalie umri mrefu ili uendellee kuitangaza dini yake
@ba_yu72
8 ай бұрын
Very good!
@ba_yu72
8 ай бұрын
Swadakta!
@fastanzania
Жыл бұрын
Mashallah ♥️
@mulhatihussein8419
Жыл бұрын
Namjuw vizur San shekhe. ila mh .Allah amnusuLu tu
@sshaby52
Жыл бұрын
Ki ukweli kumswaliya Mtume ( S.A.W ) siyo makosa tatizo ni kuwa mnatenga masiku maalum kama inavyoitwa maulidi na kufanya maulidi kwasababu ya kiumbe fulani iyo ndo makosa kutowa darsa ima kufundisha historiya yake kwa nini isiwi darsa kama darsa zingine maulid haina tofauti na Pasika maana mnataja saana kiumbe na kumtukuza kuliko aliye muumba sasa apo ndo mnakoseya Sheikh Kishki ashajaribu saana kuwafafanuliya ila biziwi vile
@ramzanqarim4977
Жыл бұрын
Kwan hijja watu huenda kila siku ..
@9jafanx933
Жыл бұрын
SHEKH UNAUMWA AU KUNATATIZO ULIZA WAKUELEKEZE NDO USHUKU
@sshaby52
Жыл бұрын
@@9jafanx933 hhhh kijan mi niko sawa labda weye uwelewa wako kwenye maswala kama hayo huwezi kuyafaham elimu ni kitu kizuri alhamdulillah
@user-fr6rv2yb4s
3 ай бұрын
I like this sheikh's lectures but there are aeeas i totally disagree with him. He cannot justify MAULID to justify love for our Nabi (saw) . How i wish he can study more and get the exegesis of the prophetic sera and proper interpretation plus analysis of the holy quran. Jazakallah kheir for the beautiful and educative lecture
@user-gp5lc7wc8t
9 ай бұрын
Allah.bariki
@ahmediahussein4043
Жыл бұрын
Allah akulinde na Kila shari
@mctcher9297
Жыл бұрын
Sema unapotea sana shee wetu Allah akupe uzima na amani In Sha Allah
@cabylake2320
Жыл бұрын
Anapotea kivip yani
@mctcher9297
Жыл бұрын
@@cabylake2320 hatumuoni sana mitandaoni ndo maana yangu
@chieffofofoodinternational4102
9 ай бұрын
mashallah sheghe mungu akupe umri mrefu
@moiminiIssauw2
Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu na mwisho mwema Allahuma amiin
@samsonmwakikuti5318
Жыл бұрын
Uko vizuri sana Sheikh ! Madini ya kutosha
@sharomdguda
8 ай бұрын
Waislamu jamani kwa uwongo mmezidi yaani mind blowing. Historia hizi mbona mnazificha ?! Mtume hakujua Jerusalem Hadi anakufa. Enyi viongozi wakislam uongo wa waziwazi lkn mtaumbuliwa na ukweli ktk Biblia. Mtaonyeshwa km mnavyoona kwa Hamas, Hamas ndiyo hivyo hawana nchi tena wataishia ukimbizini
@hassansammy1076
Жыл бұрын
Mashaallah Sheikh ❤️❤️❤️
@nassorohassan
Жыл бұрын
Allah azzah waja a- allah akupe umli mulefu kabisa inshaallah tuletee mawaidha al hajj tulikuwa tume kumiss sana
@NadiaJuma-en8sr
9 ай бұрын
InshaAllah
@abubakarsuleman1983
Жыл бұрын
Mashaallah
@user-wy1ep7dz5n
8 ай бұрын
nakupenda DR sule una baya, unaelweka.
@fhyubhhh2881
Жыл бұрын
Masha Allah
@amahorofaridah519
Жыл бұрын
Takbirrrrrrrr Allah akbar
@salmasalim3525
Жыл бұрын
Shekh MashaAllah
@nurdinsaid857
Жыл бұрын
Mashallah dokt sulle
@GDjudah
Жыл бұрын
Masha'Allah
@aminikamwanadam-qe5rn
Жыл бұрын
AllahuAkbar
@yasinmtangi5140
Жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka
@alicase2211
8 ай бұрын
Wallah nimepata elimu kubwa
@kisangageorgethomasi2830
8 ай бұрын
Ukiwa mtumwa wa mwarabu uwezi kuandika kitabu kwa lugha ya kiswahili inayoeleweka kwa watanzania wengi
@strong8534
Жыл бұрын
Wekeni title ya maudhui ndo vizuri. Jazakumullah!!
@azizhamisi9182
Жыл бұрын
Mashaalah
@abdulahichachole8176
8 ай бұрын
Sheikh Mwenyezi Mungu akupe nguvu na elimu zaidi uweze kutupa daawa tuzidi kushika dini.alhamdhulillah.
@zakiahbakari2017
Жыл бұрын
Allah Abkar
@mohamedhalake5983
Жыл бұрын
Mola akuongoze Dr sule kutoka kenya
@aminakingaru-rp6mp
Жыл бұрын
Allah akuhifadhi uzidi kutupa elimu
@amofesa8166
Жыл бұрын
izo milioni zinatucanganya Sheikh
@aziza9093
Жыл бұрын
Allah akulipe ujira muzr
@eunicengendo1446
Жыл бұрын
The only chanel you will never hear the Dr discliminating any religion
@NadiaJuma-en8sr
9 ай бұрын
Tunasubiri muendelezo
@fathimamct232
Жыл бұрын
Matipwiri chimbuko langu.
@mariamsefu825
Жыл бұрын
Maa Sha Allah sule nakupenda kwa ajili ya allah
@bintykeya8954
Жыл бұрын
Maashallah doctor sule mungu akuzidishie kipaji uzidi kutuelimisha
@kazimotto3035
Жыл бұрын
Mariam sefu anaongea mazuri ila watu wanalia kuhusu utapeli wake kwenye izo tiba zake za kisuni
@sadathboutique6253
Жыл бұрын
@@kazimotto3035 watu wanasema una ushaidi zaidi ya maneno acha fitna ndugu
@kazimotto3035
Жыл бұрын
@@sadathboutique6253 Sheikh ushahidi ninawo tuma namba yako apo nikupe miamala transaction ya pesa ikibidi na saudi ya huyo mdada alie liwa pesa Yake wa Burundi kipindi alikua akitumikia warabuni Sheikh mimi siwezi kuzingishia muisilam mwenzangu wallah kassam ni ukweli
@yazidkarasu2497
Жыл бұрын
@@kazimotto3035 huo uongo Kama katepeliwa c aende sehemu husika we unasema una ushahid c uende msikitini ukatoe huo ushahid
@machaggechacha243
8 ай бұрын
Ongea kiswahili na kama hujui kiswahili weka mkalimani au sivo funga domo lako.
@SheruTete-yb6ir
Жыл бұрын
❤❤ Q
@user-py8ol3zd2y
Жыл бұрын
tatizo serekali halina dini kwaiyo tunapaswa kuwafikishia ujumbe hata wakiwa wamelala
@user-cz7kz7cj9v
8 ай бұрын
Mama yake Mtume nani tena, na aponyuma umetwqmbia kama wazi wa Mtume walifariki Mtume akiwa mdogo? Kwaiyo uyo aliye kua akikaanga chapati katoka wapi?
@myself4128
9 ай бұрын
Hakuna Kilichoteremshwa wala Kupandishwa! Huo uongo wa Kiarabu wa kizamani sana! Quran imeandikwa tu!
@hassanambarakmbarak8759
8 ай бұрын
Itaendelea wapi
@joshuamamuya1339
5 ай бұрын
Naomba namba ya huyu mtu
@aymanmangube4092
Жыл бұрын
Hakuna hoja ya maana ya kufanya maulid labda ungeanza na historia yake kisha utuambie walioianzisha wallanzisha kwa dalili gani na pia wema waliotangulia walimpenda vp Mtume(swalallahu 'alayhi wasalam) dini tayari imeshakamilika na wenzetu waliotutangulia walifanikiwa bila kusoma hayo maulid na unapofanya jambo la dini basi ni vizuri na ndio heshima kurudi kwa wema waliotutangulia
@saidrakwe8727
Жыл бұрын
Ukimsikiliza dr sule:: utajua ukweli kuwa mola humpa elimu au chochote amtakae
@fikirinijuma6158
Жыл бұрын
Na natokea Zanzibar Tanzania ila kwa saiyyy nipo nje ya nchi na huku kidogo dini iko chini sana insha'Allah 🙏🙏
@myself4128
9 ай бұрын
Huku watu washashituka na huo Uongo wa waarabu! wajinga ndio waliwao! Stori za Kutengeneza tu upngo na kweli,ulaya hudanyanyi watu hovyo hovyo
@nassrubushoot5750
8 ай бұрын
Akili yako inaakili kweli ndugu?
@rizikilukali1558
Жыл бұрын
Wafundishe wanafiki hao
@alisalehsaleh2564
Жыл бұрын
Mama mzazi?
@omarsirleem7105
Жыл бұрын
Maneno ya busara
@myself4128
9 ай бұрын
Muhammad ni Mtume wa Mchongo kama Mwamposa😂😂😂
@lugomemtamayaye9508
Жыл бұрын
Unafki mtupu, tupe dalili ya kuhusu maulidi,wafundisheni watoto kumjua Mtume kupitia madrasa na sio tukio la maulid.
@kusakisoma3168
Жыл бұрын
Kaka hii coca cola ikulipe hata kama hujaingianao mkataba ila coca inasukari shekh
@manrectorz
Жыл бұрын
Nashauri tuache kusoma kitabu cha BARZANJI kina ukakasi sana
@omaryhunte
Жыл бұрын
Tunga chako tusome
@aminimushi6945
Жыл бұрын
Ni vema ukataja ukakasi huo,ili watu wakuelewe,utakuwa umesaidia
@faridaikussi
Жыл бұрын
@@omaryhunte hahaha
@mhandomhina5503
Жыл бұрын
Dr. Sule kanuni ipi ya kimaumbile (Physics) ambayo mtu mwenye mwili wenye mifupa unaokula na kupumua ukahimili na kusafiri umbali wa nyota tu kwa haraka hiyo?
@blackwarrior-animations593
Жыл бұрын
Science hiyo anayo Allah Bado binadamu hatujafika levo hizo. Hata Theluthi ya Science ya Allah hatujaifikia na Professors wote na Geniuses zote zilizowahi Kuishi Duniani ....wanakiri Kwamba Kuna Siri Nyingi Zimo kwenye Kitabu Cha Quran ambapo wakisema wafocus nayo peke yake wataleta Discoveries na Inventions nyingi za kisayansi na za ajabu kuwahi kutokea tangu Kuumbwa Kwetu viumbe. Na still hatutozimaliza zote . 😂 😆
@saidsajuki5713
Жыл бұрын
Assalam alaykum Kisa ni kizuri Sana ila wakati wa editting muwe mnaangalja sehemu za kukata maongezi maana inaondoa uhalisia wa aliyoyaongea na kubadirisha maana. Ukisikiliza dakika ya 20 utaona kama vile anazungumzia mama yake mzazi Mtume alikuwa anakanda chapati wakati si hivyo.
@silvestermanase6101
Жыл бұрын
Nakukubari sana Dr, mimi ni mkristo mkatoliki, lkn nafuatilia sana mafundisho yako, yanafundisha, yanajenga , yanatukumbusha kumcha Mungu.
@cityhuntermkali2468
Жыл бұрын
Nlikuwa nakukubali ila kwakuw ni mtu wa bidaa mzee baba pitia kushoto ,kwa maulidi haya mnayofanya hakuna kumtangaza mtume zaidi ya ushenzi tu,hapo umevuruga pamoja na mifano yako ya kisela,,,yaan kicheza kote kuleee wanaume na wanawake barabarani ndo kumtangaza mtume!?,,,,wrong turn 😢
@mbokomboko5974
Жыл бұрын
Alicho zungumza yy maulidi yenye maadili na kumsifu mtume Sasa ayo unasema ww kuwa ushenzi sio ambayo aloyakusudia yy Wala hausiani nayo ttzo ni kwa awo wanaofanya maulid ya aina iyo unayo isema ww dokt sule hausiki kabisa katka maulid unayosema ww uwo ni uovu wa watu binafsi yao Wala sio mafundusho ya shehe yyte na ukiona MTU anafanya maulid ya aina iyo ujue hajasoma Wala hajui kitu ni mnafk tu
@cityhuntermkali2468
Жыл бұрын
@@mbokomboko5974 wew ulishaona ata cku moja akazungumzia kuhs ayo muaulid ambayo hayafai?, zaid anazungumzia maulid tu sasa hayo yasiyofaa kwann hawayapigi vita km wanayajua km hayafai?, hv kweli mtume alifundisha wanaume wacheze barabaran amna ile na wanawake??.kweli huko ndo kumsifu mtume?
@habibumdetele6530
9 ай бұрын
Uislamu wangu mdogo nimejifunza kupitia Maulidi.
@saraimbaruku2010
8 ай бұрын
Labda Kuna jambo haliko sawa katka maulid lkn naamini ni Bora kuliko nyimbo tunazosikiliza majumbani mwetu na matembezini,lkn ni Bora kuliko rusha roho kwenye hafla zetu na harusi hivyo ni Bora turekebishe pabaya tuendelee na uzur mtupu
@isaackmlayy6228
Жыл бұрын
Ndugu zangu someni huyu shee muongo sana
@jumbalasauti
Жыл бұрын
Muongo Humjua muongo mwenzie
@ameirameir4930
Жыл бұрын
Mh pole Allah akuongoze uione njia sahihi
@alimwabundu5870
Жыл бұрын
Sheikh maandazi😀😀
@kazimotto3035
Жыл бұрын
Tatizo ni tapeli amesha meza pesa za watu wengi
@faridaikussi
Жыл бұрын
Subhaanallah kwnn
@faridaikussi
Жыл бұрын
Unaandika hivio
@jumakhamis1197
Жыл бұрын
alishatapeli za nani?
@kazimotto3035
Жыл бұрын
Wallah wa billah simzingishii fanya utafiti utaelewa kwanini nimeandika hivo kuna watu wanaofanya kazi warabuni wameliwa mahela ya maajabu Sauza afrika kuna Rafki angu ameliwa laki saba na kitu TSH ukitaka nikupe vithibitisho nitumie watsup yakho nikurushie miamala na number yake ya sim ilio tumiwa hela anakamchezo kabaya sana
@faridaikussi
Жыл бұрын
@@kazimotto3035 sawa akhii lakin hapa,hapafai nitumie yako nikufahamishe khasarazake
Пікірлер: 142