Muheshimiwa joket tunakupenda mungu akuongoze dada kuwa hivyo unapendeza we n msanii pekee unaejielewa 😍😍
@euniceakudai4203
5 жыл бұрын
Beauty with brains. So intelligent, hardworking, kind and humble. Beautiful without makeup
@bornmazungu9325
4 жыл бұрын
Eunice kmbe unawew umeona eeh,, she is More beautiful
@abras3479
5 жыл бұрын
Lil ommy umechemka....approch yako kwa mkuu wa wilaya haikuwa nzuri....soma alama za nyakati. yule jokate wa salamu za kihuni was in the past ulitakiwa kumpa heshima yake as DC
@salamisindimwo303
5 жыл бұрын
Ab Ras kabisa dduh...
@edwigaupendo
5 жыл бұрын
Kabisa......mpaka mwenyewe akamshtua kwa kumuambia habari za asubuhi....lakini hata hajashtukia.....baadhi ya wana habari wa siku hizi bhana.....wenge tu vichwani!!!
@yusuphubalali9212
3 жыл бұрын
Kweli kabisa.Mkuu wa Wilaya ni mtu mkubwa Sana.Sijapenda jinsi alivyo mkalibisha kwa kweli. Siku nyingine fanya masahahisho mzee Baba😡😡
@dibabatv5761
3 жыл бұрын
Kakosa nidhamu,kwani cyo tena yule alokua wamwanzo kamzoea
@sirrespectbrooocadabra2964
5 жыл бұрын
Big up jokate never give up GOD will help you 4 everthing together with you mumy
@K25795
5 жыл бұрын
Kama nawe unampenda Mh jokate na unamkubali kwa kazi anayo ifanya gonga like hapa
@kigwisimulindwaclemo8541
5 жыл бұрын
Jokate na Diamond midomo yao 😋😋😋😋😋 kila wakati. Jokate keep it up soldier
@dkensmopainvevo3683
5 жыл бұрын
Jokate roll model 💯🔥🔥🔥💪 🇰🇪🇰🇪
@festomsoffe3767
4 жыл бұрын
Mheshimiwa ukiwa unaongea nicheki kukusikiliza
@janethjustin5256
4 жыл бұрын
For sure she is super 💛
@ngwacahnyagwaswa9979
5 жыл бұрын
Kama unakubaliana na mimi kua Alikiba kapoteza dhahabu gonga like 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
@salamisindimwo303
5 жыл бұрын
Ng'wacah Nyagwaswa hajapoteza chochote bro...yoote kheri kwa kweli everything happens for a reason: we needn't regret about anything
@amanijulius8398
5 жыл бұрын
#LilOmy Kizazi Sana Mwanangu Viva #MhJokateKidoti
@mussaayub6963
5 жыл бұрын
Doh nampenda huyu dada ♥♡♡♡♡♡♥
@lazarojohn8658
5 жыл бұрын
Hongera kwanza mh dc kwa kazi nzuri unayofanya hadi sasa
@geraldlazaro4523
2 жыл бұрын
Congrats m amazing ooooo one d as willlllllllllllll
@alexmedson7153
5 жыл бұрын
yeah she is very inspired reader so, much congrats to her and b aendeleeee vivyo ivyo na mungu amsimamie katika majukum yake just be course tunataka kiongoz bora kama jocate
@hjhj6230
5 жыл бұрын
Nampenda buree uyu dd Allah azid kukucmamia kwa kila hatua uipigayo
@mariamangel1264
5 жыл бұрын
jokwty ni mzuri
@abuubakrachani1943
5 жыл бұрын
vip kuhusu University ...pia ulikuwa kiongoz....?na ilikuwa ni ngaz gan uliyokuwepo.....well done good luck
@filpinakisaka2793
4 жыл бұрын
Nakupend San unamuinsper mtot Wang iren mling
@imecchospitalpr8496
2 жыл бұрын
Hongera sana
@davidkasala5727
5 жыл бұрын
i like u moo kdot!!!!
@rashidmohamedi1495
5 жыл бұрын
Huyo ndo mungu humpa anayemtaka mungu kamuonyesha njia jokat kwa uwezo wake hapo hasingefika we ukiforce utaroga
I ndo interview #kali ilobaki #youtube nakubali san #lil ommy
@media1international279
5 жыл бұрын
Jokate: 🌹
@fatumamcharo3929
5 жыл бұрын
Daah!! Hongera jojo, Mungu akuongoze!
@ashazaharan1750
5 жыл бұрын
Hongera dd minaamini anapenda kazi yake ndoo maana anajituma
@geraldlazaro4523
Жыл бұрын
Amini mwingi ni Wa rehema you was shared at par facebooks
@geraldlazaro4523
Жыл бұрын
Amini Mungu ni Wa rehema
@helenkambi3918
5 жыл бұрын
Love u jokate kidoti
@saudamanyongo5766
5 жыл бұрын
Nakupenda sana Jojo
@huserehema8618
5 жыл бұрын
love you. joketi
@ashuraomar4935
5 жыл бұрын
Lilly ommy umemkaribisha DC qa kisarawe kihuni sanaa, Jaribu kuangalia nani unaemfanyia interview yako,Huyo sasa hivi ni DC wenu hapo bongo,Jirekebishe ukaribishaji wako ni wa kihuni sana,wakati unawakaribisha hap yo yo yo sio mbayaaa ndio wanavyopenda.
@bensonshirima2590
5 жыл бұрын
MH. ni mgeni kwenye hiyo show, anajua format arch ya kipind na yeye ndio anapaswa ku adjust ku fit theme ya kipindi husika.
@mohamedalaraimi6813
5 жыл бұрын
Kama ww unampenda joket kama mm gonga like apo
@geraldlazaro4523
2 жыл бұрын
Mama Mili ,dada ,Shem ,and mamaJJL we are the similar mnafananaaaaaaaaaàà as aaaaaaa
@blatterboy7898
5 жыл бұрын
Interview ipo on hewa ,ipo juu mawinguni
@amosmahewa1405
5 жыл бұрын
hongera
@sambayoo6441
4 жыл бұрын
Napomona huyu dada namouna mondi kwa mbl kama bado anamiss miss
Yeah baba kizaz sana,,unaongea na shemela,,,yoooooh
@lukaninamutakeakazijemanaj3136
5 жыл бұрын
kazi tu
@annvic3996
4 жыл бұрын
Alafu uyu dada dah!!🙊❤...beauty with brain.....she has money but yet shes humble. Othe tz female that barely have much and without brains comes here with too much show offs and too much makeup. They come and talk about how many men they have dated.😢😳😭😫without intelligence
@lukaninamutakeakazijemanaj3136
5 жыл бұрын
mungu ni mwema
@godwinegacharo9001
4 жыл бұрын
Jocket nakukubali japo mi ni ant-CCM
@jeremymakokha4797
4 жыл бұрын
Ww ni bure kama ww na Anti-CCM...na huu uongozi wa Magufuli na vijana wachapakazi ww una kichaa....from 254 Kenya
@godwinegacharo9001
4 жыл бұрын
@@jeremymakokha4797 hivi Kenya mnajua siasa ya bongo ilivyo na makona mengi.hujui tu ndugu yangu!
@jeremymakokha4797
4 жыл бұрын
Magufuli ni rais mchapa kazi Africa...wapinzani hutafuta kila kitu kusambaratisha mipango ya wanaojali nchi...miaka mingi mmetafuta rais..na Mungu akawatunuku Magufuli....Support him ...hez going to take Tanzania To new heights....Hapa Kenya bado tunatafuta ....jua hvyo
@godwinegacharo9001
4 жыл бұрын
@@jeremymakokha4797 kaka nimekuelewa vilivyo. Ubora wa magufuli hauhitaji PHD kuuona ila kumbuka yeye ni bora as a person sisi tunataka system nzima iwe bora and not a person kwanini,kwa sababu Leo yupo kesho hayupo .Unaanza kunielewa kaka
@jeremymakokha4797
4 жыл бұрын
@@godwinegacharo9001 nmekuelewa lkn kuna watu naowapenda mfano wake RC hapi ,RC Aggrey mwanri ...na wengineo .....Africa inakosa watu aina hii ....na huu ni wakati wa mabadiliko Say hi to Mama Samia Suluhu na waziri mkuu Kassim na Dangote Baba lao
@ntamugabobizi4580
4 жыл бұрын
Arikiba nadiamond hawajuwi wana wake watabiya zuri huyu dada anata biya zuri kabisa
@khbaamirysr3743
5 жыл бұрын
Mjomba atuletee huyu Wilayani Mvomero
@philemonpaul8014
4 жыл бұрын
Duhhhhh jojo ni mtoto mkali xana
@fadhilymissanga2399
5 жыл бұрын
Kizazi
@lonelypatientor7348
5 жыл бұрын
Liked
@enocksilungwe2720
5 жыл бұрын
Kizazi Sana
@ntamugabobizi4580
4 жыл бұрын
Niko kukazi wakati inaisha munisamehe taonakunyumba
@smwakaglobaltv4010
5 жыл бұрын
Kama kweli wew ni lilly mzalendo was +255, +256, +257...gonga like nami ili kumuaminisha Mh. DC Joketi Mw. Kama yupo kizazi zaidi.
@zahramussa5955
5 жыл бұрын
DAS nmemuelewa amekushaur kitu kizur sana joo
@mariaibrahim3753
4 жыл бұрын
Safi kidoti
@allymkwepu7949
5 жыл бұрын
Mh una nyota kali xana
@johnmwangi2435
5 жыл бұрын
Ya kizazi sana
@sikudhanimohammad4760
5 жыл бұрын
kafanana mchumba wa pilipili
@lilianjeremia1024
5 жыл бұрын
Kizaz san nakukubli joket
@hansvangela6349
5 жыл бұрын
kizaz saana
@mbambabay2265
5 жыл бұрын
Niaje😁😁
@zaituniintiaz8431
5 жыл бұрын
Unaongea na muheshimiwa
@mariamangel1264
5 жыл бұрын
jojo elewa sasa mama utupe eshima wanawake
@tariqjay4690
5 жыл бұрын
ww nitafute
@elsonkibasindila7526
5 жыл бұрын
Kwani fitna mpka sasa zimeisha mh Dc
@sonjavejaalborg4713
4 жыл бұрын
Je t'aime Je t'aime tellement pour Jésus
@joesimba
5 жыл бұрын
Dah diamond kashapiga apo
@officialtinnyaltezza9878
5 жыл бұрын
Hv joketi ananyodo au ndo alivyo tu jaman kimuonekano
Пікірлер: 100