Masha Allah tabarak Allah sheikh maneno mazuri Allah akulipe kila la kheri
@KabatoniBoraa
16 күн бұрын
Walekumsalam warahmatulah wabarakatuh sheh wetu Allah akuifadhi akupe duniani na ahera.
@SalumRamadhan-w3g
9 күн бұрын
Sheh mwaipopo mungu akulinde uwafundishe watu dini akupe pepo ya daraja la Kwanza amini
@LucaWanzuki
16 күн бұрын
Sheikh mwaipopo waalah mungu akuzidshie elimu ili tujifundishe kwako unasema ukweli kabisa
@mohamedS-yd9wh
16 күн бұрын
Shekh Mwaipopo huyu kijana mwache ajidanganye nafsi yake, wala mbebaji hataulizwa ila kwa yale aliyoyabeba mwenyewe. Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, ma watakaomkubali na kuuacha Uislamu watayakuta hayo wanayoyatenda, Allah atunusuru atujaalie elimu hekma na busara na atujaalie mwisho mwema. Shukran kwa kutuelimisha taarifa mbalimbali
@clementndilanha6936
16 күн бұрын
Hongera Sheikh wa Kigoma kwa kujua kweli na kuwekwa huru.Mwache Sheikh Mwaipopo aendelee kuuza mafuta na kufuga majini
@Nedjadist
16 күн бұрын
Unajua maana ya Sheikh wewe? Hili jitu letu siyo hata mwanafunzi.
@taheraljaberi2688
16 күн бұрын
Mimi naona , haina haja kuwajibu watu wanao utukana "Uislamu" . Wengi walijaribu kuupotowa lakini wameshindwa. Wengi wana miminika ndani ya Uislam. Hakuna uchawi ndani ya uislamu. "ALLAH" atuhifadhi na wanafik.
@nassorsharifu9837
16 күн бұрын
Ukisikia maelezo yake unakuwa hiyo hakuwa shekhe
@Jesusalmasihi4193
15 күн бұрын
ACHA uongo wanakitumia, naapa nilienda Kwa mganga nikakuta anakitumia, hata Dr Sulle
@bonifasiemanueli21
7 күн бұрын
Acha maneno mengi huyo kijana kaokoka ,aloo sema ni kweli tupu unatapatapa tu kwa kujitetea,kwani ukienda kwa mganga wa kienyeji kati ya Biblia n'a Qurani utakuta Nini jibu tafadhali kwa yeyote anayesoma comenti hii,
@jasminmohamed6145
17 күн бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAYYIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAYYIDINA MUHAMMADIN WAALI SAYYIDINA MUHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@AliMohamed-w3b
14 күн бұрын
Huyu kijana hakusoma dini, hawezi hata kusema Jahanam kiarabu vizuri
@rahmahasan32
7 күн бұрын
Huyu kijana mungu amuongoze na amusamehe mrongo mkubwa amuogope Allah na adhabu yake
@EnuelAbunimkali-rl1jj
16 күн бұрын
Huna hoja sheik wangu!
@nassorsharifu9837
16 күн бұрын
Wewe ni katika hao wapayukaji
@EnuelAbunimkali-rl1jj
16 күн бұрын
Bado weye!!
@adampetermakombe5654
17 күн бұрын
Hufanani nauislam
@suleimansamweli7316
16 күн бұрын
Njooo kwa yesu mwaipopo
@SirikwaMollel-y3k
16 күн бұрын
Unajua je uislamu ni dini ya haki mbele ya mwenyezi mungu ulitoka mbiguni ama usijitee na maneno yko ya mdomo yko watu wengine wana akili kukuliko
@JohnLorunyu
15 күн бұрын
Akimjua yesu haogopi lolote ila ukweli utamweka uhuru
@johngerald4677
16 күн бұрын
Uyo jamaa namjua vzr aliwahi kushindana na kina simba ulanga maeneo ya mwanga sokoni akawa anahic wanasoma quran ya uongo akaenda kuleta ya kwake
@MzeeKigogo_
23 сағат бұрын
Uislam na uchawi ni sawa na samaki na maji
@JohnLorunyu
15 күн бұрын
We inamaana bibilia hujui
@MustafaRashidi-b2l
16 күн бұрын
Mwaipopo muislamu akiwa mchawi sidhambi maama uchawi uliteremshwa na malaika wa allah
@clemenceleonard1089
15 күн бұрын
Sheikh Mwaipopo Nenda Kasome Lugha Ya Kiarabu Ili Uweze Kusoma Na Kuelewa Vitabu Vya Maulamaa Na Wanazuoni Mbalimbali Ila Kwa Sasa Una Tofauti Na Mbowe (Mwanasiasa)
@samwelkavwanga4491
7 сағат бұрын
Acha kutisha watu mwaipopo. Huyo hassani kaongea ukweli😂😂
@JohnLorunyu
15 күн бұрын
Asha kuapa uwongo
@thomasemmanuel4818
16 күн бұрын
Mwaipopo anaumia kuona sheikh kuwa mkristo! Ila yy yuaona raha mkristo kuingia uislam. Acha Dawa ikuingie, kukiliwa kwa mwali nakwakungwi kuliwe.
@samwelkavwanga4491
7 сағат бұрын
😂😂😂😂kweli kabisa
@samwelkavwanga4491
7 сағат бұрын
😂😂😂😂kweli kabisa
@KENETHANDARSON
16 күн бұрын
Huyu kasema kwl kabisa ila huyu popo ndo hakumjua
@jumamussantuiche
16 күн бұрын
Kweli ya kishetan ila njaa.
@ranman4910
15 күн бұрын
Kasema kasoma madrasa Al-ghazal iliyopo mwanga, kapotosha. Madrasa hii ghazal ipo ujiji sio mwanga. Tunamjua uyu ni njaa. Uyu alihaidiwa pesa stori zake tunazijua kwaiyo sasaivi anazunguka kama tapeli
@thekingdragon8358
17 күн бұрын
KWELI KABISA
@RashidBusanya
17 күн бұрын
Sheikh huyo ni mtu wa miaka mingi huko Wewe umemuona leo
@JohnLorunyu
15 күн бұрын
Kwa nni mnjisifu sana,na kutusiana?
@SeifAlly-g9i
16 күн бұрын
Hehehe niajabu shekhe niajabu kabisa
@KabatoniBoraa
16 күн бұрын
Kwasababu ametowa aya ya uongo.neva hatuwezi.uchawiii walishatusema sana wakatutangaza sana uko makanisani kwao mpaka wakatumaliza lakini tuko palepale hatugeuki ila wenyewe kilasiku wanasilim wengi tu sisi hamtotuona kwenye izo dini zenu potevu ispokuwa wewe kafiri mpotevu mkubwa mungu atakuangamiza nauongo wako. Kwa ajili ya maisha unaamuwa kusema uongo?
@partsonchundwa2287
16 күн бұрын
Meshack ni kijana tuliempokea Kanisa la Angrican Masanga Kigoma
Mwaipopo hujachelewa Rudi njia kuu ukristu ndio njia kuu ya kwenda kwa Mtoto wa Hadi ISSA bin Mariam
@topfreelancer5151
15 күн бұрын
Ukristu ni Nini na yeye tayar ana dini
@isaackmwakapala8663
16 күн бұрын
Je ukoo wako wameslimu, Kama bado Anza na ukoo wako, na utaje majina Yao ya kuslimu.
@nassorsharifu9837
16 күн бұрын
Huyu jamaa niliwahi kuiona clip yake zamani ila sikuona uislamu wake zaidi ya kujifunza uchawi lakini angalia alipotaja elimu akhera kwamba watu wabaya watingia jehannam hao ni pamoja na yeye
@JohnjohnMnonjela-br3xl
16 күн бұрын
Mwaipopo huna jipya
@KabatoniBoraa
16 күн бұрын
Kabla hujamzliza kusema uongo, nakwambiya towa uongo apo.nyiye mkipewa pesa uko mnaenda kuzingishiya waislam ni wachawi.kweli?
@hamisijuma3276
16 күн бұрын
Wangekuwa kilaza wasingetawala dunia
@bonifasiemanueli21
7 күн бұрын
Kelele za chura hazimzui ng'ombe kunywa maji, Wala vitisho vya kuku havimziwii mwewe kuchukua kifaranga😅 nyie pigine kelele watu wametambua ukweli n'a Mbinguni wanakwenda,huiwezi mzuia
@KabatoniBoraa
16 күн бұрын
Iyo aya unawaonyesha Watu we unaijuwa tafsiri yake wewe?mpotevu mkubwa...unajuwa sheriya yakushika aya ya Q,urban?wewe.tena shika adab zako we apana kushika icho kitab kama huna udhuu. Mshenzi wee.
@nassorsharifu9837
16 күн бұрын
Uzuri wa uislamu ukiujuwa basi mtu akiongea tu unamgudua uongo wake ila wakristo ni wepesi kudanganywa
@nassorsharifu9837
16 күн бұрын
Na walokole ndio wanaofundisha chuki
@JohnLorunyu
15 күн бұрын
Njia ni yesu ukweli na uzima .
@msambalamjukuu3866
16 күн бұрын
jamaaa mjanjamjanja sana sasa sadaka nn
@SeifAlly-g9i
16 күн бұрын
Huyu nimuongo hata muonekanowake Kama nikweli Basi hakuna mtumwenye unaona yakwanza Hilo lakusema ghazali ikomwanga simkweli huyo
@partsonchundwa2287
16 күн бұрын
Ebanae huyu jamaa unamfahamuu?
@AGM19697
16 күн бұрын
Malafyale Mwaipopo, sisi wakristo tunayachukua hayo magarasha unayoyasema na kuyafundisha taratibu mpaka yawe dume. Anakuwa mchanga mpaka anakuwa mtu mzima.
@nassorsharifu9837
16 күн бұрын
Chukuweni tu kwa Allah hampunguzi kitu nyinyi
@DaudiMakaza
16 күн бұрын
Na hkn muislamu ambae anaupend uislamu mpk apew jin jin likitoka tuu unakuw huru
@JacobMbosalee
16 күн бұрын
Sasa Sheikh MWAIPOPO kinachokushangaza ni nini?
@AGM19697
16 күн бұрын
Ndio, kasikia injili na kuamua kumpokea Yesu sasa shida yake ni nn?
@KabatoniBoraa
16 күн бұрын
Wala wewe hukuwa muislam wewe waukweli. We ulikuwa ni mpagani wewe hukuwa kuwa muislam
@KabatoniBoraa
16 күн бұрын
Sheh mwambiye aache uongo hawo wamemtuma aje aseme hivyoo.?wala hajapatiya wamemtuma tu aje akachafuwe l'islam lakini najuwa kama hatouweza.hata nayeye apo alipo anajuwa kama hatuwezi .ikiwa kama alikuwa muislam kweli wakuujuwa l'islam.najuwa kama anafaham kama hatoweza kuusambaratisha uislam
@DaudiMakaza
16 күн бұрын
Okoken waisramu yesu ndo njia ya mbingun kl ulim utakao kir yes n mungu na n bwan ataokolew njoon mpokee yesu akin mwaipopo nafac bd ipo
@suleimansamweli7316
16 күн бұрын
Mwaipopo nakupa pole IPO siku utakuja kujua kama hata wewe inatakiwa ukoke
@KabatoniBoraa
16 күн бұрын
Ivi tukichunguza kabisa kunawachawi kushinda nyinyi wakristo?ambawo mnashinda kanisani kutabiri na kutowa mapepo..hayo mapepo mnayatolesha Nini?nakuuliza.siyo uchawi mnatumikisha?wengine mapaster mpaka wanenda filmason kutafuta nguvu za giza zakutowa Ayo mapepo mabaya.nani hawajuwi nyiye.
@MustafaRashidi-b2l
16 күн бұрын
Mbona qurani 2:102 Allah anasema aliteremsha uchawi kwa malaika 2 haruti na maruta? Hao wakawafundisha watu kuloga
@nassorsharifu9837
16 күн бұрын
Kaisome Tena hiyo Aya uilewe Kisha isome vizuri hiyo Qur'an uelewe mafundisho yake acha mihemko
@DaudiMakaza
16 күн бұрын
Uislam ni din ya mapepo ongera kaka damu ya yesu ikufunike kw jna la yesu
@rukiakadzo8053
16 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@JacobMbosalee
16 күн бұрын
Wewe ni jana katika dini ya kiisllam
@jumamussantuiche
16 күн бұрын
Yupo vizur mwaipopo
@madetetv6576
17 күн бұрын
Yani ww una miaka 10 tu kweny dini unabishana na watu ambao wanazaliwa wapo kwenye dini mpk utu uzima wao , una akil kwel ww?
@AllyhHassani
17 күн бұрын
Nyamaza kenge wewe wanapoongea wenye dini wewe kojoa ukalale
@madetetv6576
17 күн бұрын
@@AllyhHassani nan kenge sasa kati yangu na ww?
@AGM19697
16 күн бұрын
@@madetetv6576😂😂 Kenge ni aliyeanza matusi
@SirikwaMollel-y3k
16 күн бұрын
Mwipopo ulislimu kwa sabbu haukua unajui yesu ni Nani wakirsto hakuna maandiko tuna kataa kwenye biblia ndio yesu ni mtu lakini kwa wakti Ngani? Pili hukua unajua Mohamed sio mtume wa mungu ulindanganywa tu SAS unaasa kuleta ukafiri kwenye ukrsto WWE Kaa uko moto ya jahanm inakugoja
@madetetv6576
17 күн бұрын
Sasa kama ww uliacha ukiristo na yeye kaacha uislamu tatizo lipo wapi? Kila mtu ana haki ya kuchagua dini aitakayo
Mwaipopo ,juzi nilikwambia ( iwapo wewe umeamua kuwa mwislamu ,uelewa kuwa kuna Mashehe wenye elimu ya jus kuliko wewe wameamua kuslimu na Sasa NI wakristo) na nikakuomba uache kuhutubia. Kama unataka kujadili na wakristo ni Vizuri uandae mdahalo Wa Jambo utakalo.
@AGM19697
16 күн бұрын
Asiumie roho, Yesu bado yupo kazini. Kama yeye aliamua kumkimbia Yesu ni yeye, awaache hao wanaompokea finali ni Yesu atakaporudi
@Nedjadist
16 күн бұрын
Hebu mtaje Sheikh mmoja tu. Kila Mwislamu-jina, mchumia tumbo, aliyeghafilika akija kwenu ni 'Sheikh'.
@KENETHANDARSON
16 күн бұрын
@@josephkalonga550 wewe mapopo hiyo Jamaa WA kigoma ana miaka mingi na Jambo lake unamhadisia Nani wewe Leo ndo unamjua hata uislami wenyewe huujui vzr !!
@MustafaRashidi-b2l
16 күн бұрын
Mwaipopo muislamu akiwa mchawi sidhambi maama uchawi uliteremshwa na malaika wa allah
@MustafaRashidi-b2l
16 күн бұрын
Mwaipopo muislamu akiwa mchawi sidhambi maama uchawi uliteremshwa na malaika wa allah
@MustafaRashidi-b2l
16 күн бұрын
Mwaipopo muislamu akiwa mchawi sidhambi maama uchawi uliteremshwa na malaika wa allah
Пікірлер: 91