KIMENUKA! JERRY SILAA ATOA SIKU 14 JENGO LIBOMOLEWE, AWAGEUKIA TARURA - "MJITAFAKARI"....
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewataka Wakala ya barabara za vijijini na mjini (TARURA) kujitafakari kwa kuchukua sheria yao ya bunge iliyowaunda na kujua majukumu yao kwenye ardhi ambayo imetengwa kwaajili ya ujenzi na hifadhi wa barabara
Ameyasema hayo leo novemba 25, 2025 alipotembelea eneo la Mikocheni jijini Dar es salaam na kujionea ujenzi wa jengo la kudumu linaloondelea kujengwa kwenye eneo la wazi na kusababisha kero kwa wakazi wa eneo hilo.
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Негізгі бет KIMENUKA! JERRY SILAA ATOA SIKU 14 JENGO LIBOMOLEWE, AWAGEUKIA TARURA - "MJITAFAKARI"....
Пікірлер: 29