Mashallah mama ni mcha Mungu kazungumza maneno mazuri Mungu Ambarik
@kadijaa7771
2 күн бұрын
Asante mama kheri in sha Allah na mungu atupe mwisho mwema
@shanibaniyas6308
2 күн бұрын
Ameen
@JechaMakameIssa-gs2bl
2 күн бұрын
Hivi vimedia vya udaku vinakera najiulza wamesomea uandishi wa habari kweli na najiulza kwa nn havifungiwi mana vinaongoza kupotosha jamii
@AsampiMpili
2 күн бұрын
Mama yetu Maa shaa Allah anaonekana ana imani lakini mtangazaji acha kumuuliza masuala ya dini elimu yake ni ndogo sana kuhusu dini ya Allah mama yetu Allah amfanyie wepes hatakiwi kuzungumzia dini pasi na elimu.
@fatmamansour2764
22 сағат бұрын
Poleni wanafamilia Allah atawapa subra na imani
@rayaali7551
Күн бұрын
WATANGAZAJI MBONA MA FITNA SANAA. ALICHOKISEMAA KUWA HAJUWII. KUHUSU HABARI HIYO.
@AvniAisha-r5r
2 күн бұрын
Innalillah wainnailayh rajiuun polen sana ndugu zetu ktk iman
@witnesskagirigiri3763
2 күн бұрын
Uwe unaandika kichwa Cha habari chenye ukweli na sio kutafuta views.
@scolas3134
2 күн бұрын
Mimi ndio Huwa nawafuta kabisa Wana andika uongo
@ShamieWise
Күн бұрын
Kabisa wamedhidi nawanakera sana😢😢😢
@ashaali7154
Күн бұрын
Ni ujinga wao hawa waandishi wanathamini pesa kuliko ubinaadam. Kwa hiyo hawana shida yoyote na matatizo ya watu wengine.
@Allikileoabdallah
2 күн бұрын
Mama mashalllah imeongea ukweli wale vibint walikua wanatafuta umaarufu kwenye misiba
@efrahfarahahmed8960
2 күн бұрын
ALLAH amuhifadhi vyema 🤲🏽
@HappyMeena-h2d
5 сағат бұрын
Msimuukumu muombeni tu😂
@fatmamansour676
Күн бұрын
Wasafi hawakufanya uzur kutangaza mitandaoni kabla kuenda kwenye familia kusema
@bellaharimenshi
2 күн бұрын
Allahumma amin 🙏
@Dottosemindu
Күн бұрын
Rip dida
@LucyOmary
2 күн бұрын
Poleee mamaa
@magrethkapinga1811
2 күн бұрын
Mama nimekupenda uko vizur
@abubakarisaidi471
Күн бұрын
Acha kudanganya andika kichwa cha habari sahihi pumbaaav
@nashnene6326
2 күн бұрын
Yaani kazi yenu kutafuta kasoro za Diamond tu! Kweli mpo kimkakati! Na bado hamjaridhika nendeni shule anayosoma mtoto mkaulize pia roho zenyu zitulie, au ndio mtakua mmepata content nyengine
@simbaedouardo8499
2 күн бұрын
Bongo 24 huyo mtangazaji naona ni muislam pia nazani aliye edit na cameraman niwaislam muogopeni Mungu sasa kwakuandik title
@ZulehaAyubu
2 сағат бұрын
7:26 7:30
@omanmct135
2 күн бұрын
Aaamiin
@MalicyIssa
2 күн бұрын
Mpaka muandike diamond
@teedullah5708
2 күн бұрын
Amiin
@jamilahali-jg8er
2 күн бұрын
Mama mm nkupngza Allah akujaze juu Hao waltka kumpga picher kheri mumestri inavyotakikana Kuna somo lakujfunza juu
@alibinali_
2 күн бұрын
My Allah grant her Jannah Insha'Allah 😢pole sana mama
@aminamwivita7690
2 күн бұрын
Rest in peace Dida sorry family 😭😭
@muzafarsharif9465
2 күн бұрын
Mtangazaji unahoji vizuri sana❤
@SalmaSalum-d8b
2 күн бұрын
Jongo mtangazaji
@ThomasfrancisMvella
2 күн бұрын
Rip dida...
@KidawaMkwega
2 күн бұрын
Mbona alikua ana vaa nguo za uchi Sana jamani
@ashaali7154
Күн бұрын
Hayo anayajua muumba wake nyie acheni kuhukumu na kulaumu.
@alanoudalseari7208
2 күн бұрын
Mama sio sawa nilikuwa aji nyumbani Marian kumuombia duwa dida alikuwa ninth wawatu kubusu mtoto wake nilajima mwafanya kama watu wakiarabu basi hawa niwaoga wamaiti ilikuwa alale nyumbani na kusomewa kuruwani usiku mzima kwani Matilda yuwasikiya lakini kutamka ndio hawezi bali agefurahika kwa kuruwani
@kadijaa7771
2 күн бұрын
Mwenyezi mungu hakupenda aje huko na ndio maana ikawa hivyo duwa inaombwa popote muombeeni tu na mshukuru mungu na mungu atapokea duwa zetu in sha Allah
@BalkissMohammad
2 күн бұрын
Mashaallah ujumbemzuri Allah akuhifadhi@@kadijaa7771
@AshrafuhalfaniNdope
2 күн бұрын
Hii channel uwongo mwingi ndy maana watu wanawakimbia
@gabrielkamayugi2511
2 күн бұрын
Tenambwa huyu pumbavu
@Mina.15
2 күн бұрын
Kumbe mtuu akikufa anasikia 😱😳🫢
@SabihaibrahimRajabu
2 күн бұрын
Mhmm anasikia ndio
@SabihaibrahimRajabu
2 күн бұрын
Unahisi ukifa ndio basi unakabiliana na kila ulilolitenda kama adhabu au furaha tufanye mema
@MasikaSaid
2 күн бұрын
@@SabihaibrahimRajabukifo ni usingiz habint unasikia kila kitu kasor kuongea ty
@SabihaibrahimRajabu
2 күн бұрын
@@MasikaSaid sio mimi nilouliza
@Haji-yr9db
2 күн бұрын
Ndio mwili Ndio unaokufa ila nafsi inabak ndio mana mwingine kakuambia kifo ni sawa usingizi
@AsiaSalumu-y9j
2 күн бұрын
MashaAllah kumbe marehem kwao Kuna dini kwanini alikua hajistir jamani tuwemakini maisha nimafupi cn tujstir jamani
@Catherine-mh8sw
2 күн бұрын
Kama alikuwa havai hijabu atakwenda motoni?
@lailafakhihaji
2 күн бұрын
Allaah ndio ajuaye zaidi sisi sio watoa hukumu tumuachie yeye allaaah
@Tupena-ov7xq
2 күн бұрын
Kujisitiri ndio nini, ulizaliwa na nguo, tafuta pesa uache mawazo finyu
@AsampiMpili
2 күн бұрын
@@Catherine-mh8swni miongoni mwa sababu za kuchomwa lakini yote Kwa yote Allah ndio mjuzi
@AsampiMpili
2 күн бұрын
@@Tupena-ov7xqtembea uchi basi makafiri akili zao finyu sana
@khadijanurdin3163
2 күн бұрын
Kwa hyo mnadhan kujaa watu ndo kuashiria kuwa ni mja mwema!!!! Kkhha!
@SabihaibrahimRajabu
2 күн бұрын
Muachiye Allah lakini hadithi ipo inayosema akiswaliwa na watu wema wakifika 40 basi ataingia peponi ila wacha tumuachiye mungu
@Catherine-mh8sw
2 күн бұрын
@@SabihaibrahimRajabuwatu wema 40 walifika?
@Catherine-mh8sw
2 күн бұрын
@@SabihaibrahimRajabuinaonekana alikuwa mtu mwema na mtu wa kheir
@SabihaibrahimRajabu
2 күн бұрын
@@Catherine-mh8sw tumuachiye Allah
@SabihaibrahimRajabu
2 күн бұрын
@@Catherine-mh8sw tumuachiye Allah
@DarajaniZanzibr
2 күн бұрын
Kuzikwa na watu wengi si kigezo cha kuwa mtu mwema matendo yako ,unafanya ibada, unajistri ,hufanyi machafu
Пікірлер: 63