🇹🇿Nakuelewa sana kama utatoa mtihani wa mafundisho Yako naweza pata alama juu... Nilianza na ufugaji kuku 2yr Nina mifugo ya kutosha .akiba ya pesa familia bora na nimeacha kabisa ulevi na kundi la walevi wapo mbal na mm❤bro joel
@joelnanauka
Ай бұрын
Hongera sana sanaa👏🏻👏🏻
@HildaMassao
Ай бұрын
Barikiwa sana Kaka Joel ,hakika Mungu husema na watu kupitia Mtu wake .Hakika wewe ni Baraka ,nimeanza kukufwatilia kwa ukaribu sana majuzi hapo lakini sipo vile nilivyo kuwa.
@joelnanauka
Ай бұрын
Ameen Ameen, nashukuru sana
@petermunuo1657
24 күн бұрын
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
@EsitaDombo
Ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa mafunzo mazr .hakika nimebadilika na mafanikio yangu nayaona kiganjani mwangu
@NorahOnyando
Ай бұрын
MUNGU akubariki Sana Kaka Joel hakika mafundisho yako yananipa hatua nyingine kila siku🎉🎉
@ZuberiMussa-q4b
Ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kuku weka nakuku baliki 🙏🙏🙏
@joelnanauka
Ай бұрын
Ameen Amern ahsante sanaa
@AfricanFolktalesStories-2024
Ай бұрын
Asante for this
@RidhwanShaaban
27 күн бұрын
Barakallahufiq
@AbisaiBilla
Ай бұрын
Asante kaka, mafundisho yako yananijenga kila siku nafurahia huduma yako.
@JamesAtilio
Ай бұрын
NINA KITU KIKUBWA NDANI YANGU Yusufu alikaa gerezani tena alikuwa nyapala kabisa ila ndani kabisa alikuwa anaona kabisa hii level niliyo nayo siyo mimi yaani kuna mahali bora zaidi natakiwa kuwa ndio maana alisema hivi pitia mwanzo 40:14 japo Yusufu alisahaulika kwa miaka miwili mizima lakini alitoka na kufika kwenye yeye aliyekusudiwa na Mungu." Barikiwa mtu wa MUNGU.
@aderiderkihupi7240
Ай бұрын
Asante sana
@eliaslusingo5220
Ай бұрын
Ujunbe mzuri ila sauti ya muzik ni kubwa kuliko ya mwalimu. Mungu akubariki sana
Пікірлер: 59