LIST NYINGINE ZA MASTAA WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA ZIKO HAPA!! kzitem.info/door/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
@vyaduoj
6 ай бұрын
Wanao kubali USA 🇺🇸 ndo nchi za watu na tanzania 🇹🇿 or African nzima sio nchi za watu,, nipeni likes hapa
@salumsalum8866
5 ай бұрын
MABEST PIA wa BAADAE SANAAA .YU Washington seattle Oregon
@salumsalum8866
5 ай бұрын
Ay Alishindaga DV LOTTERY SO ana ukaz wakudum USA.
@user-yo5wr3du8h
5 ай бұрын
Kwel bro
@erickoluoch
6 ай бұрын
Wapi vennesa mdee
@mg_panther
5 ай бұрын
Oya Q-boy sio mtanzania mtu wa brdi 😂 huyo
@zulekhasaud483
6 ай бұрын
Mzee magari mbona mme msahau😂😂😂
@harunayussuf6866
5 ай бұрын
Chindo man, Solo thank, biz man, rymes of magic atraction (roma) JCB, alafu suala la kwenda nje (diaspora) huku zanzibar nijambo la kawaida sana😊
@frankmare1708
5 ай бұрын
kuna StanBoi wa Eastcoast team kitambo alisepa US
@lizoname
6 ай бұрын
Mwingine ni mm lizo name nikijaenda sirudi tena nasafarihizo kwangu ninyingisanaaaaaaa
@user-us8qr5rg9j
5 ай бұрын
Vanessa.mzee magari.wapowengi
@user-sv6ud9ps3j
6 ай бұрын
Dianna kaolewa na mtu mweusi nilisikia mnigeria
@user-bt3wt6nt4z
5 ай бұрын
Mbona mnamsahau rotimi nae simu afrca yule from nigeria
@djparasite2556
6 ай бұрын
Mbona me umenisahau pamoja na roma!!au haujui tunaishi wapi?😅😅
@THETHIRDTV_
6 ай бұрын
Roma yupo kwenye list iliyotangulia,wewe hatukufahamu..
@Mr4Real
6 ай бұрын
Unyamaaa
@user-mu7yn9gr1w
5 ай бұрын
Umemsahau Da joo
@user-ts4zn1sx7h
8 күн бұрын
Wajanja hao
@dannymziwanda6944
6 ай бұрын
Mbona Mimi umenisahau pamoja na chindo man & m rap lion
@bestman8182
6 ай бұрын
Inatamkwa Shikago
@venasalbert3930
6 ай бұрын
Qboy is not a Tanzania citizen
@THETHIRDTV_
6 ай бұрын
Ebwanaee
@user-hx9mj5et4z
6 ай бұрын
Nc
@EsauBanda-cw3cf
6 ай бұрын
Msimsahau bro wangu Michael Mponda
@victorhabonimana9055
5 ай бұрын
nigeria ndo bongo co
@MomadeMohammed
6 ай бұрын
👍👍👍👍👍👍👍👍
@Dymitri-Babushka.
5 ай бұрын
Hata dotto magari nilimuona ubalozi wa marekani akitafuta visa,kwani kila mtu anatoroka bongo
@goodlucktemu3149
6 ай бұрын
Hata ungekua wewe adimin ungeama UMEME unasumbua aujulikani kama ni wa mgao au kawaida unakatika saa moja asubuhi unarudi saa6 usiku SUKARI aijulikani bei kila mkoa kuna bei yake Morogoro kil1 sh7000 Mbeya kil sh12000 Dsm Kil1 sh8000 🙌, Hata ungekua ungeama.
@djnine9tz26
5 ай бұрын
Hata mimi mumenisahau guyz
@thomasmwasongwe7790
5 ай бұрын
Mbele mbeletu
@frankmare1708
5 ай бұрын
Mtangazaji unamjua SOLO THANG?
@THETHIRDTV_
3 ай бұрын
Hapana..tell me more
@MrMtulivu
6 ай бұрын
Kuna mmoja kakosekana yukowapi.hermorapa
@THETHIRDTV_
6 ай бұрын
Bonyokwa sio Ulaya lkn😄😀
@nusrathmanyawa4501
5 ай бұрын
Mjengoni kwa Uncle Bingwa😅😅😅
@user-bt3wt6nt4z
5 ай бұрын
Ahaha jaman hamorapa kiumbe kilichosahaulia in tasinia ya bong fraver
@sabokoMAILA
6 ай бұрын
Vannesa umemsahau
@THETHIRDTV_
6 ай бұрын
Next list
@s.m.mbagati4824
6 ай бұрын
Italy
@hassansuedi5346
6 ай бұрын
@@s.m.mbagati4824sawa asante
@hassansuedi5346
6 ай бұрын
@@s.m.mbagati4824ningekuwa na contact zake ningemtembelea bro
Пікірлер: 47