Miraji wewe unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki panapo takiwa kuongea ukwel unasema tofauti nawoo sijui bahasha ndio zinawafanya wasiwe wakwel Sana mwamba SIMBA nguvu Moja my brother
@mathiasdaud7842
18 күн бұрын
Umejua jinc ya kuyakimbia makof ya mraji Ni kumutafutia kit😂😂😂😂😂😂😂
@abelimaganga417
20 күн бұрын
Pamoja Sana familia hamjawahi kuniangusha
@user-zd3wy8dd6w
20 күн бұрын
chagamb iko kijiwe cio iko tuxhazewe mukicimama na miraji uk hakikupiga makofi kwenywe mabega, ndo inakuwa frexh2
@Sebastianrichard253
20 күн бұрын
Haha dah sema chagamba kama mabega hujayakatia bima itakula kwako maan anapiga mabega na nguvu zote
@jamesmaneno2281
20 күн бұрын
Nimecheka kinoma et unavo mpiga piga
@malietamaliet
20 күн бұрын
😂😂😂acha apumzike bhn Saba Saba ikiisha mabega yatakua yashatulia kidogo na ligi ianze ata pigwa sana
@saltechnologiesco.ltd.2377
19 күн бұрын
Mjifunze kusoma na kuandika kabla ya kutoa maoni
@user-uh2em3og8w
18 күн бұрын
We ukiwa unawasikilizagaa unakaa ama unasimama
@FatumaSwaleh-it4qq
20 күн бұрын
Chagamba tupeleke kwa mzee saidi maana hatujamuona siku nyingi sana😅😅😅
@wilemajani
20 күн бұрын
Namkubali sana mwamba uyo udambuzi wake
@malietamaliet
20 күн бұрын
Nakuelewa sana miraji unaongelea mpira na sio ushabiki jmn ndugu zangu tukamfollow kwa wingi
@ngwilunyiga2447
18 күн бұрын
Simba nguvu moja💥🔥🔥
@moiseszacariasmoisesmoises
19 күн бұрын
miraji uchambuzi kasomea wapi? Kwasababu ana pwent sai😊
@mansoursaid8
20 күн бұрын
Mimi naweka ndani ya begi maneno yako ayo saa mbovu 🤣🤣🤣🤣🤣
@ChristianeMahendekaJr-mo6ze
20 күн бұрын
Aaaha wapi Mzee Said??? Yule anajua anajua sana
@kaizermgawa
20 күн бұрын
anaitwa nouma sio hakuna noma😂😂😂
@elizabethywinnie1090
20 күн бұрын
Mzee Said yuko wapi jamn😢
@huseinbusaba5064
19 күн бұрын
Yani miraji bana et "hakuna noma" Umenichekesha sana 😂😂😂😂😂😂😂😂
@mr.lawimagupa3914
18 күн бұрын
UYO MIRAJI ANAMUITAJE HAKUNA NOMA WAKA KIJANA NDO NOMA YENYEWE, KAMA HAKUNA NOMA SI MANAKE HAKUNA MAKALI YOYOTE
@athumanhusen6008
19 күн бұрын
Matola mbna amumzungumzii
@leonardmabula9472
17 күн бұрын
Mwananchi
@hoseadyson4474
20 күн бұрын
Miraji na chagamba ila mnanipaga raha sana ila miraji hua unachambua mpila vizuri sana huna makandokando bg up sana mwamba
@samsonlusheleja8809
20 күн бұрын
Kikubwa zifanyike Dua tu Kwa wachezaji Hawa waliosajiriwa Hakka Kuna vitu vikubwa vinakujaaaa
@stevensosipita
19 күн бұрын
MAKOLOOOOOOOOOOO 😂😂
@MzeeMzee-lv7sv
20 күн бұрын
Shabalala asije kumroga mwenzake
@RabsonSalmon-ys7bf
18 күн бұрын
Ww chagamba tupe Mzee saidi bana
@jamesmarumbo6820
20 күн бұрын
Mzee said yupo wapi chagamba
@msongeomary6195
19 күн бұрын
Changamba umeamua kukaa ili upumuwe kidogo Yale makofi eti 😂😂😂 ila mzee wangu said Bado changamba atupe rahaaa
@mosesnjenga-jc2to
19 күн бұрын
Namba ya miraji ama chagamba tafadhali
@user-tg7vq3ty8p
20 күн бұрын
Chagamba kaa ukijua MOI hawarudishii mabega yaani total shoulder replacement. Sasa pole pole huyo Bwana anavyokugonga kwa nguvu mabegani aaah shauri yako.
@BinbbasBinbbas
20 күн бұрын
Chagamba unazingua nenda kwa mzee said
@JANE-jv4eq
20 күн бұрын
Sipati picha awepo Mzee Said, Milaji mala moja, na Chagamba 😂😂😂 sijui itakuahe sikuiyo. Milaji mala moja nawapata kwa udhuli nikiwa kongo koroweizi
Пікірлер: 83