Ahsante sana Mpina wewe ni mzalendo kwa inchi yetu Tanzania hongera sana katiba mpya ni lazma🇹🇿
@EliaOscar-bm4vt
2 ай бұрын
Asante mpina unanigusa sana baba pambana tu usikate tamaa mungu atakutetea baba
@bonifacerobert2960
2 ай бұрын
Nakupenda sana mdogo wangu Luhaga Mpina. Zungumzia MZIZI mkuu wa hote haya. KATIBA MPYA!
@medsonulendo4221
2 ай бұрын
Ushauri wangu kwa Bunge langu tukufu naomba muungane na Mh mpina kulitendea haki taifa hili mungu asimame na akupe maisha marefu 🎉
@margarethpolepole7438
2 ай бұрын
Heeeeeee medison kuna wanafiki humo chinga sanaaaa wajumbe ndiyo na wenye msimamo kama Mpina na Makonda mama anapigwa vita na aliyowalipa fadhila sasa angalia Mungu anavyotoa jibu ccm oyeeeee kazi inaendelea
@richardboaz-mashagospel2346
2 ай бұрын
BIG UP HON. MPINA❤❤❤❤❤ JPM LIVES IN YOU! UKIUA MTU HUWEZI KUUA ROHO YAKE, JPM LIVES FOREVER❤❤❤
@mfalmekaitaba2425
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 akili yako haifanani na CCM,,ww ni genius
@bugalubahezwa6198
2 ай бұрын
Kaka hongera Sana Mungu akulindee vema
@user-fr3ij7el2u
2 ай бұрын
Mungu akutetee saana umejito kulitetea taifa letu kwa kuanika ufisadi huu
@rwehumbizajonathan8689
2 ай бұрын
Hongera sana Mpina, Mungu atusaidie maana Watawala hawapendi WasemaKweli.
@yustermtega4950
2 ай бұрын
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe afya njema kwa kujitoa kwako kusema ukweli kwa maslahi ya watanzania STAY BLESSED MPINA REALY YOU LOVE YOUR COUNTRY TZ
@kicmbermaestro3459
2 ай бұрын
Mpina for the people of the people from the people
@hoseazakayo3779
2 ай бұрын
Mpina ni kiongozi mzalendo wa nchi hii...
@user-hu3bz3lv7s
2 ай бұрын
Hapo tunataraji pia kusikia kauli ya top boss ???
@user-mj7hj1gn9x
2 ай бұрын
Upo sahihi mpina hongera sana
@bakarisb
2 ай бұрын
Unaongea ukweli ila tatizo viongozi wengi wapo kimaslahi binafsi, ndio maana wengi ni kusifia tuu bila kujali madhila sahihi tuyapatayo majority
@malugukushaha6764
2 ай бұрын
Akili kubwa ya mh. Luhaga Mpina, hongera sana Mpina.
@HenryKasaje-on4xq
2 ай бұрын
Wewe jeshi sana utafikili sio mwana ccm uo ndouongozi bola
@sharafisaidi7999
2 ай бұрын
Unafanana San na mwalimu wangu Mkuu endrea dyadumilla wanaomjua huyo teacher gonga like yako
@WitnessPeter-ny5yu
2 ай бұрын
Aminiel you are very smart huyu mtu ni mzalendo
@PatsonMbugh
2 ай бұрын
Amani iwe kwako umekuwa lafiki wangu mpina
@GabrelKarani
2 ай бұрын
Hongera sana MPINA, kwakuwapambania wananchi kwa uzalendo, MUNGU AKULINDE:
@user-sr1mh5wi8t
2 ай бұрын
Sawasawa ubarikiwe
@hoseakamchapekaponya3502
2 ай бұрын
Big up mpina! Hakika we Ni kiongozi Bora, thabiti na taa bora, Mungu atakulinda saana
@user-hv5vn9gz7c
2 ай бұрын
Kaka mungu hakufunike na damu wa yesu
@adelinelyaruu3036
2 ай бұрын
Amina
@gaagwasaugustino2584
2 ай бұрын
Amen
@MathewNathan-yb2bz
2 ай бұрын
Wabunge wote wangekuwa kama huyu,nchi ingekuwa mbele kimaendeleo kama nchi za ulaya.
@justinewalwa7387
2 ай бұрын
Umeonaa!!!!
@AlhajiIssa-jb9hr
2 ай бұрын
Viongozi wa namna hii tunao wachache mno Tanzania akiwemo Mh.Mpina.
@mwendeshammwendesha5335
2 ай бұрын
your is good leader
@user-ee9my3ye2o
2 ай бұрын
Mhh. Hiki kizungu kina walaakin ndugu. Tumia tu Kiswahili. Au jifunze Kiingereza.😢
@HappyBooks-dj6oy
2 ай бұрын
Hakuna kiongozi Jasiri kama wewe ndani ya Tanzania. Uko Sawa my brother
@adelinelyaruu3036
2 ай бұрын
Wenzake sijui wamelishwa nini.
@samsonnyihita3985
2 ай бұрын
upo sawa kaka 🙏🙏🙏🙏
@deusisindwa616
2 ай бұрын
Kabsa Mungu akujalie afya njema
@Masele85207
2 ай бұрын
Tumuunge mkono shujaa na mzalendo mpina, anapigania maslahi ya taifa.
@zeelamipango
2 ай бұрын
Akili kubwa sana mpina
@user-by4xk2vx5w
2 ай бұрын
Nani alipima samaki kwa .......
@joshuanyonyi3313
2 ай бұрын
Chukua Fomu ya Urais mgombea 2025...uko vzur.....
@jamesmhillu3211
2 ай бұрын
Dogo nakukubali sana ur a genius ondoka hukooooo?
@khamisjuma8501
2 ай бұрын
Speaking up my brother wewe dio mzalendo
@Uhuru1234
2 ай бұрын
Ww ni kiongozi unae tetea haki, mungu akubariki na kukutea
@maryfranknamkumba9182
2 ай бұрын
Ahsante sana kaka maana unasema ukweli mtupu. Ubarikiwe mno na Damu ya Yesu ikufunike daima kaka yangu. Love you ❤🙏🏾
@dstaroficial
2 ай бұрын
Ukisema yesu unatuchefua waislam Ila ukisema Mungu tunakuwa upand wko hapo ndo ujue yesu sio Mungu ukitjmia neno hili linajitosheleza
@ezekielmirambo8704
2 ай бұрын
Congrats Mpina
@user-fr3ij7el2u
2 ай бұрын
Mungu nusuru nchi yetu na mafisadi
@abdulmshamu801
2 ай бұрын
My brother huko Akili mno pia ni mzarendo akika.
@kingngojea
2 ай бұрын
MUNGU akupe ulinzi mweshimiwa unapenda sana taifa lako usilud nyuma
@drmapigimasunga3408
2 ай бұрын
Sema baba ukweli unauma
@victormsafiri9802
2 ай бұрын
Unastahili kupewa pongezi umekua mtetezi mkubwa sana kwa wananchi wanyonge na masikini keep it up
@user-ze8jo1jf9w
2 ай бұрын
Mungu akulinde mpona
@user-sr1mh5wi8t
2 ай бұрын
🎉 Sawasawa ubarikiwe
@DahHodges777
2 ай бұрын
Wakipatikana Luhanga mpina kumi tu..hii nchi itakaa kwenye mstari sana..
@amoslupimo2393
2 ай бұрын
Uko vizuri mpina
@GodfreyNtungilwege-uv8tj
2 ай бұрын
ongera sn kaka kaza buti mungu yupo mambo ya ukweri uwa ayapotei sema kaka
@margarethpolepole7438
2 ай бұрын
Godfrey kila lenye haki litasemwa tu na Mungu atatoa jibu tu
@MAONYOTVTANZANIA
2 ай бұрын
Anachosema Ni sahihi kabisa , nchi hii inatawaliwa na watu wasioonekana , ufisadi unatisha Kila halmashauri uozo , kupanda kwa Kodi tunabebeshwa mzigo watanzania ovyo laana
@sidodeni3468
2 ай бұрын
Nakuelewa sana mpina
@stuartkivava9247
2 ай бұрын
Kaka vyote ulivyonena ni sahihi lkn nani atamfunga Kengele mwenzie
@kiatu
2 ай бұрын
Makonda > Mbunge wa kuteuliwa > Waziri mkuu halafu tuone nani atakaidi maagizo yake. Hongera Mpina kuna namna nyingi za kufikisha ujumbe kwa wananchi
@mukhusinathuman6596
2 ай бұрын
Mwamba ana courage sana safiii
@WitnessPeter-ny5yu
2 ай бұрын
Azisha chama mkuu nitakuwa mwanachama wako wa kwanza...very smart na very mzalendo
@WitnessPeter-ny5yu
2 ай бұрын
Mh.mpina ongelea piq issue ya ajira watu tuna degree miaka kumi sasa mtaani...hata utume cv na application mara millioni hupati kazi...kwa mfano blog zinazotanga na kurusha kazi...ukihesabu idadi ya nafasi zinazotangazwa ni zaidi ya idadi ya sensa ya watanzania pamoja na wazee wote....j3 hizo kazi anapewa nani? Mkuu ....
@justinewalwa7387
2 ай бұрын
Yaani 😁😁😁
@emanuelsinyinza
2 ай бұрын
Vyama vya upinzani. Tuunge mkono mawazo yake rais hajuwi haya mambo . Bira kujari viongozi wa vyama. Toweni msimamo wenu. Mwambukusi piter kibatara mbowe lisu lipumba
@user-ub2sm5vy2z
2 ай бұрын
Ww ni mwalim wa bunge
@user-vm4zq7kf4e
2 ай бұрын
Mungu akulinde broo
@terevaelswai7575
2 ай бұрын
Mh.Mpina una maelezo mazuri kuhusu kikokotoo. Na ndio ukweli.Serikali kuleta kikokotoo ni dhambi kubwa iliyofanya kwa wafanyakazi.Mungu akujalie kwa misimamo yako na uchungu ulio nao kama kweli ni kutoka rohoni
@abduljuma7807
2 ай бұрын
Je Mpina anachoongea ni mkweli anaweza ya simamia anayo ya SEMA hapo ndio shughili ilipo kukikribia uchaguzi watu wanaongea point kweli kunahawa ndugu zetu polisi hakuna anaewatetea wanafanya Kazi ngumu sana nayenye mitihani sana husikii mtu wa kuwasemea
@user-xx1je7sy4h
2 ай бұрын
CCM ruhusuni mngombea binafisi 2025 muone asubuhi koti la mpina bila hata yeye kuwepo linakuwa rais
@justinewalwa7387
2 ай бұрын
UNATISHA MZEE
@user-tl1nz7qx2l
2 ай бұрын
Kabisa yaani ndomaa wanabania katiba
@LamaLama-rf6xu
2 ай бұрын
Mpina uko fit sana. Chomoka huko njoo upinzani tukomboe nchi yetu dhidi ya dhuluma. Hongera sana Mpina
@eliamwankenja7087
2 ай бұрын
Tumsaidi mamaafrica saimia Mungu atulinde
@othmarluwawilo8308
2 ай бұрын
Mpina you are the hero , they will pindown you, but stend on what you believe. I support you
@lupakisyomwaisunga9027
2 ай бұрын
Safi sana kaka
@sharafisaidi7999
2 ай бұрын
Huyu Jamaa akipewa cheo cha juu tumekwenda tena kwa kukimbia
@mokeya
2 ай бұрын
Umenifanya nimecheka jaman ama kweli mungu ampe umri mrefu mr mpina
@margarethpolepole7438
2 ай бұрын
Sharafisadi bila kwenda mbio nchi haiendi mijizi mingi
@GeoffreySumbwe-cq6kk
Ай бұрын
Mpina unafaa kabisa kua kiongozi. ila tu kwetu sisi MPINA kwa kinyakyusa ni mtu mkiwa Hana baba Wala mama manake huna msaidizi
@samsonlucas7932
2 ай бұрын
very logical and rhetorical language, you're a true person for our Country. hekima uliyo nayo kaka ni ya uongozi tu, hakuna kujibu wala kujadili maneno ya waziri ambayo yalikuwa offline 😁😬😬😬😬
@maryluhaga1589
2 ай бұрын
Nc
@wilbardBinyenzi
22 күн бұрын
Tunakuombea Mungu akulinde huo sio ufahamuwa kawaida ni ufunuo Toka kwa Mungu
@bashirusalehenandoro3128
2 ай бұрын
Media za Bongo walipaswa kujaza maik hapa ila wanasubiri press ya manara
@josephmalangalila9744
2 ай бұрын
Kwa haraka haraka watu wanaweza kudhani kuwa huyu jamaa anachuki na mawaziri. Lakini hivi ndivvyo mbunge anapaswa kuwa
@nuriyatihgeorgekhan6042
2 ай бұрын
Mmmh allah huluma zako zikathibiti zaidi kwenye taifa hili inshaallah
@sheikhanasser4714
2 ай бұрын
Allah no kwaherufi kubwa Shukran
@NereDaniel
2 ай бұрын
Mungu atakutetea na kukulinda kwa kutetea taifa lako.
@MohamedUbwa-hd1sb
2 ай бұрын
Cc tunaonewa Sana tusaidie
@karimmveyange280
2 ай бұрын
Saws sawa Nag yangu. Sisemi sana
@cesiliamasumu432
2 ай бұрын
Sio watumishi tu wa uma hata sekta binafsi NCCF inasikitisha sana mtu badala yakumlipa pesa zake analipwa vihela ambazo hazimtoshi hela zakununua nyanya
@SmilingCityMap-xb9md
2 ай бұрын
Akili kubwa kati kati ya akili ndogo finyu za kichawa chawa hongela nalazimika kuku penda mpina nimekubali uzalendo kwanza
@WitnessPeter-ny5yu
2 ай бұрын
I swear....hii nchi bora ????!!!!@....watanzania sio wazalendo kuna wachache wanahisi maisha wanajua wao na ndio wenye haki ya kuishi....kuliko wengine wakati ni nchi yetu sote
@user-ef3ku6sw8k
2 ай бұрын
Sharoti kwake🎉🎉
@frankmakyao7657
2 ай бұрын
Ohoo , sio raia wa Tz. . Hao ndio wanaopiga kelele nyingi kuwa wanataka URAIA PACHA HATARI. HATARI, HATARI
@abdullahmhina2207
2 ай бұрын
M.mungu akulinde sn m.h mpina wote wanao hujumu hii inchi wataweweseka sn kwa nguvu za Allah pamoja na vizazi vyao
@francismaranya3488
2 ай бұрын
Wanufaida wa uhalifu siku zote watapinga wanyonge wakitetewa
@margarethpolepole7438
2 ай бұрын
Waziri Mkuu mwenyewe hapendwi hapendwi wanasema timu Magufuli sasa hivi yeye hasemi kitu anasubiri muda wake ufike aondokè kwa usalama
@adelinelyaruu3036
2 ай бұрын
Mlango wa kutokea ni mradi wa maji wa S😅
@HijaSaid-xd7fg
2 ай бұрын
Mungu anawafumbua lopokeni yote,
@SAKAWA4
2 ай бұрын
Good
@MishiPapalan
2 ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe maisha malefu uzidi kutetea mchi na wanyoge
@margarethpolepole7438
2 ай бұрын
Sema usiogope sema Mpina Mungu atakulinda kwa nguvu zote
@victorkisenha5933
2 ай бұрын
Hongera kaka yangu, Mungu akulinde daima, ww ni mbuge active,
@Petergodfreymbwambo
2 ай бұрын
No coment
@JosephMagige-lf9ns
2 ай бұрын
Watu kama Hawa huwa niadimu sana .Hakika unfaa kuwa kiongozi mkuu wa Nchi hii.Mungu wetu akubariki .
@user-uf7dp5hn8p
2 ай бұрын
Hakiri nyingi sana MP
@user-me6ii5ue6c
2 ай бұрын
Watu wa namna ya huyu Mpina ambaye ni msema kweli wa hatari, hawezi kupendwa na viongozi wa serikali hii inayoendekeza ufisadi ni vigumu kumteua popote. Maana watamwita kimbelembele. Lakini ukweli huyu anafaa hata kuchukua nafasi ya Majaliwa. Ukipima vizuri Majaliwa ameshindwa nafasi yake. Anajua kutoa matamko yasiyo na utekelezaji. Nchi inaliwa tu na wachache nao wamekubaliana na hilo.
@peterdaud5669
2 ай бұрын
Msukuma mwenzangu nakupenda sana hunaga shida na mtu uzuri huonei mtu❤
@kingmzebez7786
2 ай бұрын
Kimbiza 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🚶♂️hao mzarendo wa kwer🇹🇿❤❤mpina mungu akujalie tupo na ww katika📿❤❤🙏🏼🤝👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪🤳🤳🤳🤳
@yustermtega4950
2 ай бұрын
ASANTE KWA UZALENDO WAKO MPINA TUAKUPENDA YOUR 2ND JPM ROHO YA MAGUFULI IKO LIVE❤
@jumasaleiman
2 ай бұрын
Unafiki tuuu mbona kule zanzibar mulishidwa uchaguzi mukapinduwa matokeo mukahairisha uchaguzi na kila mtu aliona hamkusema mulimzulum malim shefu ushidi wake mukampa shen
@adelinelyaruu3036
2 ай бұрын
RIP MAALIM😢
@mabruqjumamponda7629
2 ай бұрын
Nimona hio kauli yako sio wengi wanaoelewa...nakunukuu " Tunaomba marafiki zetu wanao tuambia meneno ya SULUHU waache" Jamani huu ni mwaka wa uchaguzi huyu mwamba kampiga MAMA indirect. Read between the lines.
@jameskagulu4228
2 ай бұрын
Kaz nzuri
@justinewalwa7387
2 ай бұрын
Akili Kubwa sana.
@user-cw2nj4io3v
2 ай бұрын
Mpina Mungu akulinde, wewe ni mkweli
@LalakwaLekinanga-cj5ke
2 ай бұрын
Asante sana Mr Unasema ukweli
@margarethpolepole7438
2 ай бұрын
Mapetrol stationa yamejaa mpaka kwenye makazi ya watu yamefufuka upya njooni muone Bararbara ya Morogoro road yamejaa kama mvua yote hiyo kulipa fadhila sasa hao hao wamemgeuka mama wanampiga vita vita wamtoe yeye mwenyewe tuonekane wanawake hatufai kwenye uongozi
@memovensa
2 ай бұрын
Serikali inatakiwa kutoa tamko kuhusu kauli za Mabeyo, Mkunda, Chalamila na Makonda hamuwezi kunyamaza kujifanya mambo yaliyoongea ni ya kawaida hii haikubaliki wataendelea kujitokeza wengi zaidi ya Mpina kuhoji mambo haya haya na yatawasumbua huko mbeleni
@raymondnlelwa427
2 ай бұрын
Haya wale mnaomwongelea Makonda mteteeni tena hata kwenye haya. Kiukweli ni kuwa viongozi tulionao madarakani na hata wale waliostaafu, hakuna hata mmoja wa kuweza kuisaidia nchi hii tena, waachieni wapinzani. Ninyi mmeshashindwa na mmeshachokwa. Watz hawawataki tena, wote mnajua sababu. Kama ni kuendelea na uongozi, basi labda iwe kwa kulazimisha! Vinginevyo No more Chance!!!!
Пікірлер: 285