Mhe Rais shikamo, naitwa Elia Batom, napata kipato cha chini sana ila nachangia elfu 10, Mhe Rais ombi langu naomba nijiunge na Jeshi la kujenga Taifa la JKT.
Rais Magufuli amefanya harambee ya kuchangia ujenzi wa shule ya Msingi iliyopo Kijijini Soga ambapo jumla ya TZS Mil.68.5 na mabati 100 yamepatikana, kati ya hizo Rais Magufuli amechangia TZS Mil.5. Ameagiza ujenzi huo ukamilike haraka.
Негізгі бет NAOMBA KUJIUNGA NA JKT - JESHI LA KUJENGA TAIFA MHE RAIS, NIPO CHINI YA MIGUU YAKO
Пікірлер: 53