Wah! mimi ni silent follower.. haya mambo Yana tikisisha na pia Yana huzunisha sana kwa wale wanaujua ukweli na bado wanaendelea ku upuuza.. otherwise Kuna mafunzo manzito kwa huu ushuhuda.. this is one of the best testimony I have come across to this Channel.. unafungua macho. God bless.
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Don't mix language!!! Kama umeamua kiswahili amua kiswahili na kama umetaka kiingereza tumia kiingereza!!!
@ruthalberts8199
2 жыл бұрын
This is so deep, we thank God for this testimony. Truly our God is above everything.
@jossyayielo7576
2 жыл бұрын
Asante Mr everything twaishi nyakati za mwisho.......jamaa AKO vizuri Sana twendelee hivi.......huyu atatufunza vingi tusivyovijua ili jina lake Yesu libaki kutuzwa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@gosbertmuta5421
2 жыл бұрын
😭🇹🇿
@cyantess8423
2 жыл бұрын
father gabriele amorth a catholic exorcist said the devil lives in the vatican i now understand may god bless you dvstar for teaching us via interviews
@elizabethmuia9839
2 жыл бұрын
Kumbe Apostle Gwajima ako sawa kuambia watu wasichome chanjo 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️,mungu atusaidie, kwa kuwa tunapotoa kwa kukosa maarifa.
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
Kabisa wanamuona gwajima muongo kumbe yupo sahihi
@somoeawadh7774
2 жыл бұрын
@@ikabako2454 ukichapwa Aki usiniite 😂😂😂
@Fm-MornStar2014
2 жыл бұрын
@@ikabako2454 waambie kukosa maarifa maana yake ni haya wanayojazwa akilini mwao sasa hivi. Wasigeuze ukweli kuwa uwongo na uwongo ukawa ukweli. Chanjo wamechomwa nyingi tangu Utoto wao.
@Fm-MornStar2014
2 жыл бұрын
@@princesspatra5494 asante, unaruhusiwa kunisemea chochote lakini wala mimi sijasema ni wa dini gani, na wala sipo huko kwenye udini. Nimesema chanjo tumepata nyingi tu tangu utotoni, je kuzuia na kutibu magonjwa kumeanza na chanjo ya Korona? Mbona unanisemea nisichosema dadangu, kulikoni! 🤔
@upendoluv7197
2 жыл бұрын
@@princesspatra5494 Yani Kuna watu Ni shida wagumu kuelewa hv wanafikili haya Mambo Ni utani akina tomaso wapo wengi
@ruthalberts8199
2 жыл бұрын
I thank God I came across this channel.
@josephinewluis8871
2 жыл бұрын
Hey Dave.. I pray that God will bless you with a vehicle ambayo itakuwezesha kufanya kazi yake..using public transport is sometimes hard kwa kazi unayo ifanya. God bless 🙏🇰🇪🇦🇪
@livingwaterchurchmbulukahama
2 жыл бұрын
Hongera sana kwa kuyajuwa vyema mandiko,tumekatazwa kutengeneza sanamu na kuziabudu,sasa kusujudia msalaba hilo andiko latoka wapi
@Dokson5817
2 жыл бұрын
Nimeskiliza vizuri nikawa nasubiri kuwa atagusia kidogo jisi ya kuwashida wahuni hawo. Ila nachona anazidi ku promote uwezo wa manster wake na nguvu za aduwi wetu. Ulipo gusia sehemu ya madini na vitabu nikajuwa amechemsha. Mungu wangu Hana Dini, na hakuna zaidi yake katupa uwezo wa kukanyaga nyoka na nge, na twayaweza yote katika yeye atutiyaye nguvu. Alaf huwa sipendi watu wanao tuonyesha kwamba kila kitu kipya kimeazishwa na shetani utadhani Mungu hana uwezo wakati yeye katuumba na kuumba kila kitu kuna technology Au physics inayo zidi hiyo. Twayaweza yote in the name of Jesus Christ . Acheni kutiya watu uonga acha tupambane, tunashinda kwa ndamu ya mwana kondoo
@achsahcharles6728
2 жыл бұрын
Asante, afu nazidi kuumia maana hakuna hata mmoja anayeona hiki kwamba jamaa anafanya narration tuu🤣🤣ya vitu vilivyojaa Google, nahisi audience ya Davista ina kitu inakosa
@agripherngagaa170
2 жыл бұрын
Kichwa chako box umeandika maneno mngi pumba tupu jifunze kuelewa kuwa uyo Ako alipo kuwa ndio walikuwa wanaona hvyo kwani awakuwahi kujua mngu mwengine mpaka alipo mjua yesu saivi .
@SolomoniRingia
10 ай бұрын
Ni kweli ndugu... Ni mpumbavu huyoo anaongea sanaa mpumbavu ila anajifunza maneno yake kwa sasa 😂😂😂
@SolomoniRingia
10 ай бұрын
Anakichwa box au kichwa cha kitunguu swaumu.. 😂😂🤣🤣🤣🙌🏾🦵
@khudatally5509
2 жыл бұрын
hakika uwislamu ndo dini ya mwenyezimungu na Qur'an ndio kitabu chake Cha mwixho hakuna binadamu wa shetan anaeweza kubadilixha japo herufi moja na ndio mana qu-raan inayosomwa Tz ndo iyoiyo inayosomwa china najivunia kuwa kwny dini ya haki uwislamu ☺️
@mwajumashauri9674
2 жыл бұрын
kabiaa hakika huwezi badili hata herufi na allah alishasema
@nghabiorganicchickentanzan3671
2 жыл бұрын
Hakika upi wakati hapo anasema uislamu ni wake shetani na ndo maana hana vita huko ???
@khudatally5509
2 жыл бұрын
@@nghabiorganicchickentanzan3671 lete andiko mjumbe usitoe maoni yako or ulivopandikizwa kanisani lete andiko linaloxema uislamu ni dini yakishetan
@levisdiamond4797
4 ай бұрын
Atabadilisha nink wakati ni kitabu chake nyie mbona kuelewa. Shetani hupigana na ukweli 😂😂😂@@nghabiorganicchickentanzan3671
@levisdiamond4797
4 ай бұрын
@@khudatally5509Soma mandiko mbona yapo mengi 😂😂😂 shetani hawezi kupingana na ninyi maaana ninyi ni wake
@HELLENBOGOMBA
8 ай бұрын
Waaah and 2023 as he said happened...swala ya mazingira ikafanyika
@cocotz1892
6 ай бұрын
Kweli kabisa
@somoeawadh7774
2 жыл бұрын
Sisi tunaingia msikitini kila siku, kazi kwenu nyinyi munao enda ibada kila Sunday.
@somoeawadh7774
2 жыл бұрын
@@ikabako2454 group Ipi my dear
@somoeawadh7774
2 жыл бұрын
@@ikabako2454 Ohh nili left mm vile Kulikua na upuzi mwingi
@capteinchuimchafu7894
2 жыл бұрын
@@princesspatra5494 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁MMI nataka kujiuliza kwann haitwi mpinga uislam anaitwa mpinga kristo why Kwan uislam hajauona au kumbe bhnaaaaaaaaa chama kilekileeeeee🤣🤣🤣🤣🤣cha🤣🤣🤣🤣ushirikaa😁😁😁😁😁😁
@Lightministry45
Жыл бұрын
@@capteinchuimchafu7894 uislamu ni kifaa Cha mpinga Kristo kama hujajua ndugu...
@lilhydon452
9 ай бұрын
Wewe mwenyewe mpinga Kristo unakuaje kifaa? Kristo Yesu anajiweza hahitaji vifaa kwa ajili ya wanao mpinga
@jamesrobert6430
2 жыл бұрын
Mteule uwe macho hizi ni nyakati za hatari mno, mshike sana NENO usimuache akaenda zake
@tamylee1790
2 жыл бұрын
THIS IS ALL TRUE!!!!! VERY VERY TRUE!!!
@davidkizito6900
2 жыл бұрын
Mr facts u never disappoint, in my own wisdom and works I don't see any escape root but by the mercy, love and grace of God me and who ever reads this we are going to heaven whether the devil wants it or not. In Jesus'name.
@shamilakalinga437
2 жыл бұрын
Mmmmh we nae asa nawashangaa mnajidai kucomment English wakat wanazungumza swahili.... Sasa kama wew @David zito wewe ni mswahili kabisa ila unajifanya kama mzungu ebu chatini kiswahili bana
@davidkizito6900
2 жыл бұрын
@@shamilakalinga437 acha kukalili dadangu understanding the language is different from knowing how to write, and this is a social media platform so it's not limited to those who know how to comment in Swahili.
@shamilakalinga437
2 жыл бұрын
@@davidkizito6900 sasa kama sijui English
@shamilakalinga437
2 жыл бұрын
@@davidkizito6900 ongea lugha yako bana
@davidkizito6900
2 жыл бұрын
@@shamilakalinga437 and if am not a Swahili???
@feliscafelisca7985
2 жыл бұрын
Mungu akubarikisana pastor
@germainekahambu
2 жыл бұрын
Mungu atusaidie kabisa juu dunia hii tuko chini ya uongozi wa giza
@gosbertmuta5421
2 жыл бұрын
MTUMISHI mungu akubaliki Sana Sana Sana
@geraldrobert1801
2 жыл бұрын
Wanaofanya ibada siku ya jumapili, hawafanyi ibada kwasababu jumapili ni siku ya saba, Not at all, wanafanya ibada wakijuwa kabisa kwamba Jumapili ni SIKU YA KWANZA YA JUMA, ila wanaenda kanisani Jumapili kwakuwa ndio siku ya kwanza ambayo Bwana Yesu alifufuka, hiyo ndio SIKU YA BWANA (ya kufufuka kwake)
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
Ivo ndio tulifundishwa lakini amri za Mungu haziwezi badilika ao neno la Mungu. Jumapili ni siku ya miungi ya kipagani. Tena wapangani walikua wanaomba miungu yao siku ya jumapili na 25 december. Mkristo wa kweli huomba siku zote. Na sio jumapili .jumapili ni kanisa katoloki liamurisha kila watu waombe jumapili, lakini mitume wa Yesu waliomba kila siku
@igurusitv6553
2 жыл бұрын
Kuomba ni kila siku, ila jumapili ni Kwa sababu Yesu alifufuka siku hio na pia tuliagizwa tusikose kukusanyika siku ya bwana
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
@@igurusitv6553 kama Yesu alifufuka basi niambiye ata mtume mojq lie omba jumapili?? Unajua tulifundishwa ivo ata na mimi niliamini ivo, lakini baada ku kusoma maandiko na kuya chunguza katika biblia akuna kitu kama hicho. Kabla sijaokoka, niliwayi kusoma kitabu cha mithali cha kanisa katoliki, kinasema wazi eti amri ya kumi za Mungu, Mungu alisema heshimu siku ya jumapili na kuitakasa🤣🤣 Sasa waliokoka majorité ni wale walio toka katika kanisa katoliki na misingi za imani ya kuomba jumapili, niambie niambie ni kanisa gani la waliokoka ambalo linafanya ibada siku jumamosi??. Hakuna
@igurusitv6553
2 жыл бұрын
@@blueeyes5952 Mpendwa unaposema tunapaswa kuomba siku zote, lakini jumapili unakataa nashindwa kukuelewa unamaanisha Nini, kwamba jumapili sio siku? Cha pili unatakiwa kujua ni kwamba sisi hatuabudu hio misanamu wala hao wachawi unaowataja. Tunaabudu katika Yesu kristo Mwana wa Mungu
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
@@igurusitv6553 nakubuliana na wewe, shida ni moja wale wanao abudu masanamu , jibu ni kwamba bado mnabudu pamoja nao, kwa sababu ni wao walio panga sheria ya kuomba jumapili, basi wewe niambie hao mitume ni yupi aliomba jumapili ?? Au unataka kutuambia mitume hao haukujua umuhimu wa kuomba kumapili??? Mitume ndio waliotuachia misingi ya kuomba siku zote na jumamosi ( sabato) ndio kuabudu 24 hrs. 2. Amri 10 za Mungu haziwezi kubalika mpaka mwisho wa dunia na ata mbingu mpya na nchi mpya bado amri za Mungu haziwezi balidika. 3. Sheria zinaweza badilika na Yesu alizibadilisha, ila amri no. 3. Amri ya pili inayo sema shika sabato na kuitakasa , ukisoma ufunuo nayo imesema wazi kwamba wale wazishikao amri zake na sabato. Tunapashwa kuomba kila siku alikini siku ya sabato tungekua naomba kama vile jumapili ingekuwa vizuri zaidi kwa sisi waliokoka
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Waaah 😭 haya mambo ni mazito bila ufahamu wa roho mtakatifu huwezi elewa haya mambo .
@audrickmillinga4667
2 жыл бұрын
Mungu anasema usiogope, mambo haya yanatisha lakini USIOGOPE, Mungu ni mkuu kuliko hawa wa dunia hatauacha mguu wako usogezwe, asiyelala akulindaye ndiye MFALME wa hawa wafalme
@rebound2179
2 жыл бұрын
Huyu mzee Kanyerere ana ujuzi wa kina. Anayosimulia yanahitaji uchunguzi wa kina. Yashadhibitishwa na wasomi wengine wa dini au watu wengine waliokuwa watumishi wa Shetani. .
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe Amen 🙏🙏🙌🙌🙌
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
YESU KRISTO ndio njia ya kweli na uzima na Ndio BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine
@karim6964
2 жыл бұрын
Kuna vituu na Vielewa sana nimesha anza Kufunguka zaid Aise Mungub amtie uzima wajuu zaid
@hamishemed9396
2 жыл бұрын
Jumamosi ndio siku ya kwanza ya juma ndio maana ikaitwa mosi yani moja jumapili ni siku ya pili hivyo hivyo endelea kutaja siku inayofuata itajitambulisha yenyewe hebu taja uone
@aprilking8250
2 жыл бұрын
Christians are so strong
@jamesmgonda
2 жыл бұрын
You are really talking the truth baba
@jkkim3848
2 жыл бұрын
Kuna testimony nyingi zinaonyesha upapa wa katholiki kushirikiana na Lucifer.Ukiona dunia inafuata kupenda mtu kwa namna anavyopendwa papa Francis jua kuwa kuna nguvu za giza nyuma yake.Yesu alitangaza dunia itakuchukia kwa sababu ya kumwabudu yeye.Asante sana kwa hii testimony
@inatahmed1254
2 жыл бұрын
Quraan inalindwa na Malaika na Allah na Sheitwan anajia ilo ,
@florencerose859
2 жыл бұрын
Yesu ndio njia ya uzima na ukwueli kabisa
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
Ameeen
@nhlnaturehumanbeingsandlif9780
2 жыл бұрын
Mungu wetu tusaidie
@upendoluv7197
2 жыл бұрын
Hatarii kabisaa Nazidi Kufunguka hapa kwa kweli...!
@othmanmulendelwa9622
2 жыл бұрын
Uyo jama ana juwa mambo mengi sana ya jiroho msikilize vizuri
@wazomyakinifu2301
2 жыл бұрын
Kuhusu pesa moja ni km huyu msimuliaji yu sahihi. Maana Sasa kumeibuka suala la crypto currency ambayo ni pesa ya ulimwengu mzima haijalishi nchi gani.
@MzeeKigogo_
24 күн бұрын
Amen mtumishi
@othmanmulendelwa9622
2 жыл бұрын
Mm na kukubali sana kwa hayo una yongea
@mimsbaibe6mimsgul737
2 жыл бұрын
Thanks for caring n sharing kweli kabisa mambo inatokea ata huweZi safari bila barua ya chanjo tiari nimendungwa mbili
@justinedicksondickson523
2 жыл бұрын
Umeisha
@brendajadevera9597
2 жыл бұрын
Mambo ni mazito mungu atusaidie 🙆🏾♀️🙆🏾♀️🙆🏾♀️
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
I always believe, Sunday na 25 december ni sikukuu ya wapagani ilio shimikwa katika kanisa katoliki na kuaminisha wakristo kuwa ni sahihi lakini sio kweli . Baada ya kufika ulaya na kusoma nimegundua vitu vingi sana, Dunia iyi kupona ni kuingia katika mikono Yesu Kristo mzima mzima ndipo tutapona
@elizanzula8375
2 жыл бұрын
Bwana simama nami neema ni kwako pekee njia Ya uzima ni wewe bwana yesu tuwezeshe ushindi ushindi ni kwako pekee
@jeanneluhabanya1252
2 жыл бұрын
Mungu Baba
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba hakuna andiko rasmi na lenye ushahidi wa kutosha linalosema Yesu alibadirisha siku ya ibada kutoka Jumamosi na kuhamia Jumapili.
@danieljoseph1610
2 жыл бұрын
Hilo halina shaka! Shetani hawezi kusumbuka na waislamu! Waislam vita yao ni ya damu na nyama kama alivyo shetani! Wakristo vita yao ni kiroho! Ndo maana mwislamu hana uwezo wa kumtoa pepo kwa mtu! Lakini mkristo anaweza! Uliakia wapi mwislamu anakemea? wakristo ndo tuna mpiga sana shetani!
@SmilingFuchsiaFlower-jl7dg
Ай бұрын
Nakuelewa san tuliotizam 2024
@pitbullfamily4499
2 жыл бұрын
Wallahi ni Atari tu muombe Mungu
@yushuaissa467
2 жыл бұрын
Kenya are testing the system through huduma number.
@benlunani7709
2 жыл бұрын
Yesu karibu anakuja kuchukuwa walio wake, tuwe tayari, dalili zinazidi kutokea
@cocotz1892
6 ай бұрын
Duh huyu baba alitabiri mwaka Jana yote yametokea pk mwaka huku
@dorahy1579
Жыл бұрын
Dini zote zina siri zake duniani. Siri za dini ni ngumu.
@macamezunguzungu5584
2 жыл бұрын
Together Mr everything 🙏
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
Alaaniwe milele allah shetani audanganye ulimwengu wote na kuwapeleka watu jehanamu, waislamu wote Rudini kwa YESU KRISTO, msiipoteze nafsi zenu
@aminaally863
2 жыл бұрын
Yaani we mshana ni libukeni sijui hata umelelewa vip na hao wazazi wako
@kingdeadmkelin9530
2 жыл бұрын
Yani wew motoni tu yesu sio mungu
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
Tena alaaniwe milele allah shetani audanganye ulimwengu wote na kuwapeleka watu jehanamu , YESU KRISTO ndio njia ya kweli na uzima yoyote asiyemwamini na kumkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
@@ikabako2454 YESU KRISTO ndio njia ya kweli na uzima na ndio BWANA na mwokozi na ndiyo Mungu wa kweli
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
@@ikabako2454 pole sana nakuhurumia , Kuna rehema nyingi ukiwa duniani nayo ni ya kumjua YESU KRISTO pekee, na Mungu wa kweli
@petermelaupeter6610
2 жыл бұрын
Da uy mzee anaongea kweli au jaman mungu atusaidiye jamani
@thebeautifulone7982
2 жыл бұрын
Kenya we have practically gone cashless, even mama mboga i pay with mpesa
@husseingabo5497
2 жыл бұрын
Nitumie
@kelvinndokole8367
2 жыл бұрын
Vijana msio jua neno hamuwez muelewa huyu jamaa.....Ila kwa tulio soma neno na kujua hekima za kidunia bas tunajua ukweli.....waislamu wanaakasilika ....na manabiii lakin ukweli kuzimu inawaita.... Wakatolik haroo kuzimu inawaita
@babyboss2886
2 жыл бұрын
Mungu tuone na utupiganie katika Hay yote
@lynda610
2 жыл бұрын
Please Post more of his interview. You are taking too long to post one video
@edifique11n94
2 жыл бұрын
Mchango unaitajika ndugu anatumia hela nyingi
@BlueChriss
2 жыл бұрын
He recommends people to download his app ,and pay subscription for 6 months or yearly
@lynda610
2 жыл бұрын
@@BlueChriss OK. Good luck to him
@kelvinchacha5557
2 жыл бұрын
Naona watu wameanza kukasirika hukuu😂😂msichukulie dini personal fanyeni mnachohisi ni sahihi
@gosbertmuta5421
2 жыл бұрын
🔚
@ahmadabdallah6641
2 жыл бұрын
Ndio hao hao tena.
@winifrida8641
2 жыл бұрын
Ndiyo mana roman imenishinda tabia mimi
@r14kgroup68
2 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@debbohkawaka9222
2 жыл бұрын
Maandiko matakatifu. Yalikuwepo tangu awali na still bado watu walikua. Wanayabadili. Ndio maana yesu akaja. Duniani ili kuiweka ile kweli . So kubadilisha maandiko haijanza jana wala leo .. ndo maana. Yesu alikuja na akaondoka na still akaleta roho wake. Atusaidie na si kingine chochote.. ATAKAEPEWA NEEMA YA KUWA NA ROHO WA MUNNGU NDIO ATAEMKUMBUKA SIKU YA MWISHO Ktk kitabu chake. Cha uzima. Neema ya mungu yatosha. Kwa sisi wanadamu kumjua yeye na mumuabudu na kuingia mbinguni .
@ibrahimjuma10
2 жыл бұрын
Kweli watu wamepotea yani mtu anaamini kama kitabu kimeongezwa lakni bado anaendelea na icho kitabu duh kweli shetan kafanya kaz kubwa
@ashaamour8708
2 жыл бұрын
DAVISTA NAOMBA NIKUULIZE KITU HIVI NI KWANINI STORY ZOTE UNAZOTUMA YOU TUBE NI KUUKANDAMIZA UISLAM SIO VYEMA KWA KWELI
@feliscafelisca7985
2 жыл бұрын
Pastor mm nakuja kukaa kwako
@justinendizeye714
2 жыл бұрын
Dah funuo kubwa 👏👏👏👏
@womanofsteel1402
2 жыл бұрын
Huyu msabato bhana Kuna vitu vingine unatia chumvi ,Ili sabato iwe juu ,,Mi nashauri hivi simama katika Imani yako sababu wakati mwingine Hawa watu wanatuchanganya,,, Cha muhimu Ni kumuabudu Mungu wa kwel katika roho na kwel
@ericksagara1719
2 жыл бұрын
Haya ni mafunuo ya mtu. Ukweli ni kwamba sio kila funuo ni ukweli au uongo. Omba Neema ya Mungu kuweza kutambua lipi jema. Ila maelezo yake binafsi yananiingia akilini. Nimefatilia sana shuhuda mbali mbali na kugundua mambo mengi yanayoelekeana. Japo si kwa % 100. Ila shetani ana mbinu nyingi sana.
@womanofsteel1402
2 жыл бұрын
@@ericksagara1719 Neema ya Mungu ninayo na natambua lipi jema kumbuka huyu anaye ongea nae pia Ni BINADAMU sio kila shuhuda anayotoa Ni kwel asilimia zote Kuna vingine tunatakiwa kuchambua,,
@dodoted5033
2 жыл бұрын
Hata siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekutana ili kumega mkate, Paulo akawahutubu, akiazimu kusafiri siku ya pili yake, naye akafuliza maneno yake hata usiku wa manane. MATENDO 20 vs 7. Hii inamaanisha hakuna siku maalum iliyowekewa kwa kuabudu,siku zozote ni sawa,na Mungu tunamwabudu mahali popote. Tena hatukufungwa na Sabato hivyo hatuhukumiwi sababu ya Sabato
@dodoted5033
2 жыл бұрын
Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo. Wakolosai 6 vs 16-17
@felystersonduso2626
2 жыл бұрын
Amina kweliii
@zuhurakayitesi7678
2 жыл бұрын
There's a conference which will take place in Glasgow in UK ,November this year, it is called COP26, it's goals will be UN climate change. I think he is talking about this conference,. Cause it will be a serious conference, more measures will be taken then!
@Mazoea
2 жыл бұрын
UN are satanism too
@yusuphkevini8266
2 жыл бұрын
Huyu jamaa anaichafua Quran wazwaz aisee davista unatutoa kwenye leli
@babaluxe8626
2 жыл бұрын
Safi Sana
@nurudaud3993
2 жыл бұрын
Yaani daaaa hii world 🌎 bhana sasa ona niko na master card hapa yaani nimeiangalia sana mungu tusaidie wanao jamn
@ericksagara1719
2 жыл бұрын
Kukuelewa ninakuelewa, ila kwa leo kidogo umeboa. Umehubilia tu hujatoa mwendelezo wa story. Ubiri kidogo alafu story iendelee. Kuhusu j2, binafsi sioni kama ni tatizo kubwa. Maana maandiko yanasema kuwa "wanaosali katika Roho na kweli, hao ndio wanaoniabudu" unaweza sali ijumaa au j,mosi ukasali ilimladi tu, lkn huyu akasali j2, j3, auj4 kwa kumaanisha. Sasa swali ni je Mungu atamsikiliza yupi kati ya hao wawili? We tusisitizie kutenda mema, kumfata Yesu kristo na kusali katika roho na kweli. Pia kujitenga na kujiepusha na vishawishi vya shetani na vibaraka wake.
@upendoluv7197
2 жыл бұрын
Sasa Ukitaka asihubili haujui Kama maubili ndio yanambadilisha mtu, umechemka my dear ndio nyie munaoenda kufuata muujiza baada ya kukaa kusikiliza neno badilika...✍️
@mwanakulitafutatakatumba3916
2 жыл бұрын
Please Davista nataka mzee afafanue Dini ya ki slamu niya shetani kivipi maana ashaanza kuniudhi Kwa hii kauli
@thumnathumna5946
2 жыл бұрын
Apo tayali ameshaanza kutugawa .akuna anaependa dini yake idhihakiwe. Wanaanza vizur na mikasa kisha wanahamia kukadhibisha uislam. Nimeshasikiaga watu wakisema kuwa ni media ya kikirsto.lkn niliwapuuza sababu napenda kusikiliza mikasa.
@mwanakulitafutatakatumba3916
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows kumbe ww n mnafiki wajiita Asumani kumbe niwale wale🤣
@sendemwasende4458
2 жыл бұрын
Acha kuudhika, hii ni kwa usalama wa roho yako, kumbuka siku hiyo utasimama peke yako, huu ushahidi kuwa umesikia Ndio utakaokuhukumu. Usikimbilie hasira tafakari.
@valentinandukuvalentinandu4779
2 жыл бұрын
pamoja wazee wa kazi
@adamsengo1869
Жыл бұрын
Martin alikuwa marekani mweusi sio mjerumani davista😂😂😂
@user-jl7bg8ex1t
Жыл бұрын
Shetan hana siku siku zote niza Mungu kikubwa ni utakatifu Mungu anaabudiwa siku yoyote ,hata huyo anaye shuhudia ni mwanadam hajatimia akikosea jiongeze
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
Nimtihan kwakweli yani mungu ananeema zake kakuacha hai japo nakuangamiza waja wake kakuacha kwamakusudi zake uje utufunue akili
@r14kgroup68
2 жыл бұрын
Sasa master kadi si maendeleo
@shantellemwanakombo3703
2 жыл бұрын
Twende kazi
@furahahappiness110
2 жыл бұрын
7 minutes late not bad 😅💃💃
@credo7837
2 жыл бұрын
🤣🤣
@jeffmulei8895
2 жыл бұрын
Adiko limekataa sanamu kabisa ila katoreki wameweka kila mahali adi kwa shingo
@furahahappiness110
2 жыл бұрын
@@jeffmulei8895 ulimwengu ii ina tisha ndugu yangu 😬 haswa ma kanisa kanisa
@capteinchuimchafu7894
2 жыл бұрын
@@furahahappiness110 duuuu ujio wa 666 umekaribia aisee sio masihara
@mercyetago4020
Жыл бұрын
Imeshaanza. USA Moto ulichoma nyumba za watu
@gosbertmuta5421
2 жыл бұрын
Na kanisa Ni moja tu yaani KANISA LA YESUKRISTO BAAASI NDILO LENYEWE..........hata huo usabato Ni ukahahaba maana umetokana na ukatoliki
@rikekikonyo2265
2 жыл бұрын
Hapo kwenye Kitabu cha Mungu ni Bible pekee umepuyanga na kikofia chako, Kwani mara ngapi wazungu wamejaribu kuibadilisha Quran na wameshindwa
@r14kgroup68
2 жыл бұрын
Acha kuwatisha watu kondoo wa Mungu , Mungu anawajua
@hajjijustine4519
2 жыл бұрын
aseme anachokijua
@neemadamian5638
2 жыл бұрын
Hyo nikweli kabisa juu hata ukiangalia wazungu wengi wanamambo Yao yasiri ipo siku nitakuhadithia
@somoeawadh7774
2 жыл бұрын
Ule siku ataleta Quran na bibilia mueke na mazinge please huyu firithi
@rebound2179
2 жыл бұрын
Katoliki tayari ina sanamu iliyoinua kuabudiwa : Kila kanisa lake lina sanamu ya mungu wake wa kike wanoita Bikira Maria (wa uwongo).
@stellammatutinamfm904
2 жыл бұрын
TUWE NA TAHADHARI: Kumbe tangu awali nilikuwa sahihi kwamba huyu jamaa alikuwa analenga kuhubiri usabato kwa nguvu zote. Waislamu na Wakristo wengine kaeni mkao wa kulishwa Usabato na ubunifu wao kisawasawa, atakayebaki salama, ashikilie imani yake dhabiti. Wasomi na watafiti wa historia msicheke kwa sauti, tunaenjoy simulizi tamu hapa.
@martinmaryogo3676
2 жыл бұрын
sio usabato, mm niambie hicho kikofia alichovaa ni ishara ya nn maan yy mkriato kavaa kofia ya kiislam, au huw hakuna maan hat ukivaa ivo!?
@capteinchuimchafu7894
2 жыл бұрын
Mmmmmh
@MishiPapalan
2 жыл бұрын
@@martinmaryogo3676 hawa watu tuwasilize tuuu mengine tuachie wenyewe kila mtu ashike akili yake si ya mtandaoni
@capteinchuimchafu7894
2 жыл бұрын
@@dunduumaster6735 kweli
@ijueiliyokweli3791
2 жыл бұрын
Naombeni niwaelekeze ndugu zang hapo ndugu yetu Nyerere aliposema kuhusu Sabato.. Mimi ni Mkristo, nilipokea kipaimara, maana ya kipaimara ni kuwa mwanafunzi bora alishika neno vyema na kulielewa, ndio maana Kipaimara.. lakini katika kipaimara hakuna alitoka hodari, kwakuwa kinachofundishwa na kinyume na neno la Mungu, Kinyume na Biblia na kuonekana ni kitu cha kawaida hakina madhara, lakini ni maandalizi ya Lucifer from the begining.. Waislam na Wakristo, Kwasasa Sabato ipo wazi, lakini kwa uongo wa Lucifer na vibaraka vyake watu wanaikwepa Jumamosi na kuifanya siku ya kustarehe, lakini ndivyo tunavyozidi kuchochea moto wetu na kuruhusu zaidi Lucifer kutumaliza, Waislamu wakadanganywa Ijumaa, Wakristo wakadanganywa Jumapili( SunGOD ) Siku ya mungu Jua, wote tumeiruka Jumamosi, na kuwaita Wasababto wale wanasali Jumamosi.. Inatisha kuliko mnavyodhani, msimchukulie Lucifer mjingamjinga kama mnavyodhani, kama alikudanganywa kuwa ulikuwa nyani, haukuumbwa na hata ukiandika kwenye mtihani wako kuwa uliumbwa unafeli, basi jua hata chanjo ya Corona ina Madhara makubwa sana tofauti na mnavyofikiria.. Nawapa Fact ya Ki'Chemistry: There is a Solid, Liquid and Gas. Gas can transform to Liquid, Liquid can transform to Solid, Chanjo ni Liquid, but kinachoingia ndani kinaenda ku'form Solid, Micro-Object, au receiver. to wash you away from your GOD
@rzkasayeed1299
2 жыл бұрын
Zindukeni mnaojiita wakiristo haya yote yamedhihirishwa katka qur ani kwanba juma pili sio siku ya ibada ljumaandio siku ya saba namuachekumua udu yesu atakuja kuwakataa...
@stevenstationary
2 ай бұрын
Ushuhuda wake waweza kuwa wa kweli 100% ila usabato wake ndo unaharibu ,yeye aliokolewa kupitia hao wasabato ila haimaanishi kuwa hao ndo wakweli tu never ,usabato umemkaa kichwani narator
@hillarykirui4257
2 жыл бұрын
I am the third one
@elizabethamon7454
2 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU ATUSAIDIE jamani
@angelnicholaus9248
2 жыл бұрын
Binadam ameanza kuchanjwa miaka mingi sana iliyopita na chanjo zingine siku chache baada ya mtoto kuzaliwa,iweje akili za wengi wanafocus kwenye chanjo ya corona peke yake,tuelewe pua kuwa Mungu amempa binadam maarifa ya kitabibu kukabiliana na magonjwa mbalimbali tangu karne na karne ikiwa ni pamoja na chanjo ambazo zimeanza kutolewa karne nyingi zilizopita,Binadamu ukimtegemea Mungu huwezi kuishi kwa mashaka maana kwa vile tuna midomo ujue yataongelewa mengi.
@messimessi7255
2 жыл бұрын
Wewe umeshachanjwa ndo maana😂😂 Ww hujiulizi kwa nn hii wameikomalia sana, na mpaka kupewa misaada
@ijueiliyokweli3791
2 жыл бұрын
Je! Shetani alimpa maarifa mwanadamu na kusema Mwanadamu hakuumbwa bali alikuwa Nyani.. Je, Unasemaje kuhusu Hili.. ushauri wangu kwako Angel.. Huwezi kumkwepa adui bila ya kumjua adui yako.. utacheka nae, mwisho atakumaliza.. Kila chanjo ina madhara
@ericksagara1719
2 жыл бұрын
Maelezo yako yanaingia sana akilini. Isipokuwa ukweli kuhusu hii chanjo, unatia mashaka. Mnalazimishwa chanjo na kumwagiwa mi hela huku hati inayosainiwa na anayekuja kupewa chanjo ikiwa imemtoa hatiani mtoa chanjo na serikali. Swali ni je kwa nini wanaotoa chanjo wanakuwa na mashaka tofauti na chanjo nyingine zilitangulia?
@travellingandadventures2549
2 жыл бұрын
Haya mambo. Kuna habar nchi za kiarabu zitaanza kuwa na off days jumapil..na kusali jumapili. Hay mambo yana ukwel ukirelate na anayosema
@davidchesco1150
2 жыл бұрын
Anachokisema kuhusu roman catholic church kwamba nilashetan sio kweli labda kwa hao viongozi walioko juu kwasabab shetan hua anadeal nawatu wajuu(wenye influence) mi nmesoma seminari nmeona na nnajua ukweli uliopo na nilikua roman sahv nmeokoka lakin nikwasabab zngine tu lakin sio kwamba wanamwabudu shetani tusichume zambi za bure!!
@henrymichael3966
2 жыл бұрын
Mimi ni mkatoliki, inawezekana viongozi wetu wa juu ndio wanamahusiano na shetani lakini kanisa si la shetani kama ulivyosema. Petro ndio Papa wa kwanza ambae alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Iweje Petro aanzishe kanisa ambalo linampinga Mungu ?
@jamesngalijah3710
2 жыл бұрын
MBONA UNAKATA TENA TUNATAKA KUJUA MWAKA 2023 KUTATOKEA NN TENA
Пікірлер: 385