Kikubwa kuelewana wanetu tusukume gurudum la mziki wetu sote tunapambania kombe la mafanikio ❤
@mahmoudmihanjamu669
16 күн бұрын
Waswahili nongwa mpaka ugenini😂😂😂
@user-vq2cb7fn8f
16 күн бұрын
Mbona naskia we mwenyewe tapeli wa kimataifa jamani hee dunia si mama
@user-en6kf2db6f
16 күн бұрын
SNS sindio wanayakuza mbwa Hawa nahuyo kijana wa TikTok
@verbalverbal2019
16 күн бұрын
Habari zako na Mbosso sisi hatuzijui, unatukera na vidharaudharau vyako, mara useme sisi huku bongo ndio tunapapatikia mastar huko ulaya hampapatikii wasanii, haya leo unasema watu wanavi-bundle vya mia tano, yaani unaonekana una ulimbukeni fulani hivi, kama hutaki backlash usituhadithie shida zako kwenye mitandao especially kama huwezi kuwa respectful unavyojielezea, watafute wenyewe directly
@vt-kn6qf
16 күн бұрын
the conflict of interest, ila acheni kuitana waburundi wala watanzania kwa sababu waburundi, na wacongomani ndo wanajaza tamasha zenu nyinyi wa promotor , ukizingatia watazania ni wachache mno acheni kungobana please from North Dakota 🇺🇸
@FredrickMatiku-xf2uk
16 күн бұрын
Mziiiki wetu una safari ndefu sana kama mapromota tu wanagombana
@worldhappiness1181
16 күн бұрын
Wabongo as always, they need to be serious ofcause
@zitongwang6278
16 күн бұрын
Bro wew NI muongo pck nadhani yupo sahihi Kwa kuwa wew ulianza kuwaatack mbosso na rayvany MITANDAONI , na kama ulijua kabisa umemlipa pck basi ungeanzana naye na sio wasanii .😁🇹🇿
@__B.O.B
16 күн бұрын
Le Professori Elly David Katalama
@jumamuhamed8636
16 күн бұрын
Tapel tu uyo mbwa
@caesar7745
16 күн бұрын
Mkataba uko wapi unaonyesha ulilipa pesa
@hashimuuhehwa4252
16 күн бұрын
Kwa watu wanaoshirikiana biashara hiyo sio hoja labda kama biashara ya kitapeli sawa,
@MS.independent8934
16 күн бұрын
Mchukulie hatuwa uyo jambanzi Koko ana wachafua watu bure Kwa ujinga wake na njaa zake
@officialaftab8760
10 күн бұрын
Eeh Bwana Noma Bro .Izzatkhan Canada
@ZiyandaMhlana
16 күн бұрын
Iknw you do nice
@mrfashion1687
16 күн бұрын
Elly David yupo sahihi, ila watu wachahce wamemtapeli
@jumamuhamed8636
16 күн бұрын
Yupo sahihi na nn unatetea ujinga uyo Elly ni tapeli mkubwa
@kwisa4899
16 күн бұрын
kwani kasema yeye ndio kalipa mbona akusema yeye kalipa wewe nawe mwongo mwongo tu
@Gamba81
16 күн бұрын
Wote ndiyo walewale 🇿🇦
@HalimaKassim-yz3we
16 күн бұрын
Umeonae mbona hata yy anaongeaga bongo
@user-et8lc7tb3p
16 күн бұрын
Is true
@paulhema5713
16 күн бұрын
Sasa wewe Elly si ungeongea na hao psk na sio kuwachafua wasanii wa Tanzania...
@hashimuuhehwa4252
16 күн бұрын
Yeye anahaki ya kulalamika biashara ni kushirikiana anaeshirikiana nae ndie aliyetengeneza mazingira magumu kwa mwenzie
@gypsummzuri_tz
16 күн бұрын
SASA KWANINI UMLIPE PCK NA SIYO MENEJA WA MBOSSO AU RAYVANNY???
@Vivannykizzy
16 күн бұрын
Yy ndo amewaita kule na anaewalipia kila kitu so lazma alipwe yy
@SadaDamas-jh2gt
16 күн бұрын
Mueleweshe vixr maana haelewi kinachozungumzwa na wahusika
@SadaDamas-jh2gt
16 күн бұрын
kiukweli hapo PCK ni tapeli
@Gody360
16 күн бұрын
Kazi ipo apo waongo waotee
@user-eb3hf1lm9e
10 күн бұрын
Yeye ndo alikuwa amewapeleka huko hivyo Elly alipaswa kumlipa
@homeandaway2811
16 күн бұрын
ELLY we mwenyewe unatia aibu, unaongea too much umeshindwa kutumia akili kuwa huwezi mpa PCK pesa bila kuwasiliana na wasanii au mameneja wao, huo ni ujinga. Kwenye shughuli yako walikuja kuenjoy kama wengine. Mambo ya mademu wake sijui mkewe yametokea wapi wewe mdomo mrefu mno Elly. Umetapeliwa kwa ujinga wako punguza mdomo mwanaume wewe ujue.
@user-ui5zo9re8b
16 күн бұрын
Wasaniwako pole sana pisic
@missamirajiiddy7077
16 күн бұрын
Wewe muongo na una penda sifa sana
@danieldaudi1631
16 күн бұрын
Wewe ni koloboi kweli walio kuwepo wanatoa taalifa pipi wewe unakulupuka tu
@sonnyr1899
16 күн бұрын
Huyu si ndio ule yule alinanili na Wema kipindi kile hadi ikaleta tafran?
@mylasadick5189
16 күн бұрын
Nani PCK au ?
@TTT80533
16 күн бұрын
Uyo uyo Mwizi devil 😈 PCK
@youngtuso3048
14 күн бұрын
Huyu jamaa Elly anapoint ukimsikiliza Kwa umakini
@sarastephano3409
10 күн бұрын
Huyo pck anahistoria ya utapeli na wizi kitambo mkumbuke alivyomtapeli wema
@user-lk9rh5xp4u
16 күн бұрын
Wabongo bana kutwa vijembe tutakua lini jaman haaa
@Gody360
16 күн бұрын
Ni vitaaaa😂😂😂😂😂😂
@darlenedada651
16 күн бұрын
Bora wewe umesemaPCK
@elijahbaraka9470
16 күн бұрын
Wee elly umekaa miaka mingapi Canada adiulete mtu toronto
@hashimuuhehwa4252
16 күн бұрын
Acha ushabiki wa kitoto jamaa ana hoja ya msingi na ipo wazi kabisa tatizo uelewa wako tu, Harafu hoja yake mbona ipo wazi kabisa na inaeleweka sasa wewe unakwama wapi
@jumamuhamed8636
16 күн бұрын
@@hashimuuhehwa4252hoja gan uyo Elly tapel tu uyo ww unamjua vizur uyo??
@homeandaway2811
16 күн бұрын
Wewe Elly kama mlilipana na PCK ungepambana nayeye , umekosea kuwachamba hao wasanii hawahusiki na mambo yenu. Uliwasiliana na hao wasanii moja kwa moja? Usiwalaumu, pambana na PCK.
@rosemahenge9071
16 күн бұрын
Kapumbavu haka kajamaa ndiyo mana hatutaki kukaamini
@Markhomestz
14 күн бұрын
Sure kabisa
@dennisevarist
7 күн бұрын
Haya wenye daddy yao sijui pastor wao waje wamuone huku, nilimpiga mawe kule fb wakasema namuattack baba yao wa kiroho 😂😂, mchungaji gani huyu anahangaika na mambo ya dunia. Ameona uchungaji haujamlipa kageukia mambo ya masela, kuokoka kwa style hii ni noma.
@gilbertmwakalebela2862
16 күн бұрын
Sasa ww Elly kumbe ulimlipa PCK af unakuja na shutoma kwa wasanii kua umewalipa, si umdai Pck kwanini ulikuja kuwasema wasanii kua umewalipa wakati umemlipa promota. Waombe radhi wasanii wetu
@shukranikayange2275
10 күн бұрын
Nataka kwenda Toronto
@user-gc5wi8qq5l
16 күн бұрын
Hiv huyu elldavid anamjua phyno kwel ellydavd ana Nguvu gan ya ela kumleta msanii tajiri tena wa nigeria unapo mzungumzia phyno ni kam unamzungumzia olamide kwel ellydavid anazngua
@josephdionizy2868
16 күн бұрын
Yaaan kumbe amemaanisha pyino mnyama
@dicksonbrown862
13 күн бұрын
😂
@tradamus4158
13 күн бұрын
Hata huyo jamaa anaongea uongo saabu mbosso mimi ndio nimemleta huku Canada 🇨🇦 😂
@saidmanjuti7441
14 күн бұрын
mwangalien vizuri huyu elly david sio proffesional kabisa pesa umemmpa pck unaenda kuwatukana kina rayvany na mbosoo kabla ya kutoka nje kuanza kusema umetapeliwa unge kaa chini uangalie ulie mpa pesa ni nan uchukue ata hatua ya kuongea na ma meneja wao kabla ya kutoa hizo pesa na kama pck amekutapeli ni hallai yako kabisa kwasbabu wew sio proffesional
@ndikumasabodiegovevo9091
14 күн бұрын
Ismail niyonkuru njo umuskie pck Tena kapiga mtuu😂😂😂😂
@TTT80533
Күн бұрын
Ni Sisi ameruibia Pesa Mingi İcyo ni Ki Devil 😈 na kuji explain na Uongo Ukimwona anasema Unazani ni mtu mzima Shetan PCK
@salma_6j975
15 күн бұрын
Yule mtoto tapeli sana...mpk ticktock ndio kazi yake kuchafua watu na kutapeli...muongo muongo sana yule ellydevid
@Gamba81
16 күн бұрын
Eti mabando yetu ya mia tano unamaliza na zarau au sio wakati wewe umeambiwa hauna ela umekasilika acha zarau wewe
@thomsanga7956
16 күн бұрын
Daah!! Promota maskini wanashida sana aisee!!
@HassanMussa-vk3tj
16 күн бұрын
Pck mwizi kawaibia wasani
@josephdionizy2868
16 күн бұрын
Yaaan huyu jamaaa akili anazo ila anajitoa ufahamu tu sasa hapo mboss anahusikaje we mdai uliemlipa
@kwisa4899
16 күн бұрын
Hawa awaeleweki mbona nawewe udai pesa za kina mbosso na Ray kama ulililipa mkataba upo wapi?
@AfroMedic
3 күн бұрын
Huu ni umaskini 😂😂 mnaleta uswahili nchi za Watu 😂Hii ni comedy 🎭 simulizi za sauti 😂
@elijahbaraka9470
16 күн бұрын
Elly wee leo unajitetea kuitwa maskini wakati wee kila mara una dharau maskini. Na unavyo nyonga mdomo sasa
@riosingingandmore8224
16 күн бұрын
Elly anadharau sana watu kuingilia ya sio muhusu
@johnmichaellukindo21
16 күн бұрын
Pck kachukua pesa dola 4000 ya appearance lakini mbosso x Ray hawajui!
@mohdmohd8428
16 күн бұрын
Fact
@kshayofurniture2941
16 күн бұрын
Huyo pck ni promoter sio kiongozi wa mbosso au meneja rayvany
@sophiekindem9071
16 күн бұрын
Duuuhhh, mnaleta Uswahil mpaka Canada 🤔😢😢👎🏽👎🏽👎🏽 shame on you guys! 🤷🏽
@jacktonmakau3397
16 күн бұрын
Pck ni mwizi Tu wakawaida.
@priscillachristiansen4331
16 күн бұрын
Pole Elly
@Khairath
15 күн бұрын
Mbosso hataki ajulikane kama alienda club kwenye uongoz atapigwa fain 😢😢😢
@asajilepaulmwikombe458
16 күн бұрын
PCK ni promoter mkubwa kitambo anandaa show nchi mbali mbali tunamjua kuja kwenye show hiyo sio sababu si ukumbi wa starehe bwana unampakazia tuuu wewe ndio kamba kaka wadanganye wasio mjua PCK maelezo yako hayaja jitosheleza kabisa
@dublea4118
15 күн бұрын
Ndio tumekubali but usisahau kwamba PCK ni tapeli na muongo
@Official83640
15 күн бұрын
SASA KM MUANDAA SHOW NDY ACHUKUE PESA NA KUSEMA ANAWAPELEKA PALE KWENYE SHOW KUMBE HAJAWAAMBIA KINA MBOSO ACHENI KUMTETEA TAPELI HUYO NA NDY MAANA KILA NCHI HAKAI KWA UTAPELI HALAFU SIJDA KUBWA SIJUI ANASWALI NN
@TTT80533
Күн бұрын
@asajilepaulmwikombe, umelipwa na Ule Shetan mkubwa eti ni PCK wakuibia Wa Maskini Mwizi Mkubwa Shatan mwenye hana Huruma yeyote
@KhadijaDija-ir2hq
16 күн бұрын
Kwani uyu pck si ndo yule wa wema😂😂😂
@GraceWilliam-d1w
16 күн бұрын
Mtukuze mungu wewe Elly mamiziko ya kodunia ya nini ? Wewe mtafute mungu mbona inajichelewesha
@hashimuuhehwa4252
16 күн бұрын
Toka wewe uanze kumtafuta umemuona!? Sababu wewe mtumwa basi unataka wote wewe watumwa hee!!
@KennethMgona-jy4vc
16 күн бұрын
Muongo kweli
@dinocastico8495
12 күн бұрын
Acheni mambo ya kike. Sasa kama alipewa pesa yeye pck ww onyesha mkataba wa kumlipa pesa ili uwe na haki na umzibe mdomo mboso aliye kanusha na kukukana. Msilalamike lalamike
@SurprisedBakedCustard-vp8oi
16 күн бұрын
Kaazi kweli kweli lol 😅
@hasani565
16 күн бұрын
Wote ma promota uchwara tu hawana lolote.Njaa tupu...una mana Gani vikiki vya bongo wakati si ndio wewe ulijilipua kama wewe choko
@JulianaJackson-lz6vq
14 күн бұрын
Nmecheka kama Mazuri...pck 😂😂😂Elly Mswahili asaaaa bando za 500 khaaaa
@afronur1354
15 күн бұрын
Hivi kwanini mnawapa airtime haya marundi ‘ waacheni wakapewe kwenye vi nchi vyao huko
@omarzinga7046
16 күн бұрын
Elly go with fact ukitaka wasanii wachukue mwenyewe kutoka bongo kimikataba usidandie mishe za watu Elly David 😂😂😂
@khurlainashly5686
7 күн бұрын
Wanaume wanacambana😂😂 okay 👍
@esterpaul5856
14 күн бұрын
Kumbuken PCK ni bonge la Tapel ..naanza kuamin kwa huyu kaka katapeliwa pesa..
@abdimutesi1393
10 күн бұрын
Pck Nimwizi na mimi kaniibiya dollars Zangu eti atanisafirisha nawenzangu wengi mwizi uyo
@bizomenyimanaelias5455
15 күн бұрын
pck ni promoter mkumbwa wew tangia zamani😂😂😂
@lusekelosolomon313
16 күн бұрын
Hiyo ni Toronto ya njombe?
@blackschooltv
16 күн бұрын
Kwahiyo Mna mgombania MBOSSO
@mohdmohd8428
16 күн бұрын
Vdeo ya kwanza kasema mbosso kabeba hela, levo za mbosso na vanny boy kuja club tu 4k imeisha😂
@hashimuuhehwa4252
16 күн бұрын
Kuelewa jambo kumbe ni kazi! Sasa hujamuelewa nini hapo mbona kaeleweka vizuri sanaa!!
@imanuelnguya9277
16 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@kshayofurniture2941
16 күн бұрын
Ila wabongo bana dah 😂 wanakiwasha popote 👐
@wisemaliva5376
14 күн бұрын
Huyu anaitwa pc kari?😂😂😂au nimesikia vibaya!
@bildivaivess3379
16 күн бұрын
Mnatutiliya kekele tu bure izi inchizetu uku zina sheriya, issue kama iko serious mahakama inaweza litatuwa bila ata shida na muongo atajulikana tuu 🤷♂️🤷♂️
@billskeez92
15 күн бұрын
Mahakama imehamia huku mitandaoni jameniiiiiii😂😂😂 mlipane mitandaoni aise
@ghhhhy1812
12 күн бұрын
😂😂😂Mbav zang mie
@chilubafedrick5740
16 күн бұрын
hyu kaenda viral kuwalaum akna rayvany na mboso alaf pesa kampa mtu mwingne, how come PCK ndio meneja wao?? we mvae uliempa pesa mzeee
@sund2553
16 күн бұрын
Future husband wa wemasepetu😂 anyway hawa wa tz wameenda kuendeleza roho mbaya hadi nchi za watu
@Official83640
15 күн бұрын
Ukisema anapenda sifa utakuwa unajisifia ww. Yaani ww na yy wote matapeli na mnapenda kiki haswaa haswa ww Pck dah wasiokujua ndy watakushangaa mno Wema hd leo anajuta kulala na ww akikumbuka Milioni 40 zake😂😂😂😂
@mam_salum
7 күн бұрын
Huyu sindie alie kuwa bwana wa wema sepetu
@blackschooltv
16 күн бұрын
Kumbe vita sio ya Wasanii ni Mapromota ... alafu wewe Elly Maswala ya kiume na Mademu unaweka hazani wewe sio Mwana ... ni Mwanahawa
@d-manb-free3478
16 күн бұрын
Hutu si and Yule future husband 😂😂😂
@rosemahenge9071
16 күн бұрын
Sasa huyu mbwa sijui Eliya sijui nani hizo mashida zake na PCK kwa nini awaingize kina Rayvann na Mbosso pumbavu hayo mabundle yetu ya mia tano kwani huwa unatuwekea ww mmfyuuuu pambana na shida zako😂😂 hayatuhusu
@malkavoice2570
15 күн бұрын
Hao ndio promotas wetu hawataki kuwekeza kwao wanakimbilia nchi za watu na hawana kitu kila kitu ni janja janja tu!
@SuzanneMbotcha
16 күн бұрын
Pumbavu ww
@user-mw1fw2jt2n
14 күн бұрын
Hapa kuna vita yakibiashara ndo nlchogundua
@godwinmwakibibi274
9 күн бұрын
Gari ulishachukua kwa Wema sepetu Au ulimwachia
@OnlyRuky
16 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@meddy6090
16 күн бұрын
Asa apo tumwelewe nani jamani
@hashimuuhehwa4252
16 күн бұрын
Picha ya Mboso ilikuwaje ukiwekwa hapo hapo ndio tatizo lilipoanzia, Eti hana uwezo wa Dolla mia mbili mmm
@AbdulatifuRamadhani
14 күн бұрын
Mh
@hamismohamed3541
14 күн бұрын
Hii ni maajabu😂
@hasani565
16 күн бұрын
Wewe na huyu mrundi mmepeana hela ili yule mrundi ajifanye ana waleta club ..ndio mapromota kama Nyie mnaona wasani wabongo Wana taka kuza sura kwenye hizo pub zenu
@surusuru1994
16 күн бұрын
Huyo burudi sinyole alombia wema pesa nakubuka 😂😂
@TravoAnandi-qz7fo
16 күн бұрын
Wameyakanyaga kwa digala..pick ila elly kwel baharia msumbuf
@Jassmin-media-official
16 күн бұрын
Wasanii wako tena jamani
@abdullahnassor9433
14 күн бұрын
Huyu jamaa ni tapeli, ninazo nyaraka zinazoonyesha kuwa anadanganya kuwa anatoka Kongo na anauza dhahabu..akija Dubai namfungia
@thelonewolf4429
16 күн бұрын
Mshapigwa nawa nijeria uko
@caashamacalini3887
16 күн бұрын
Huyu pck muongo hela kachukua usiseme hanauwezo wa elf 4 anapata zaidi ya hiyo, wewe muongo pck umechukua hela Mimi binafsi hiyo hela ninayo Acha kusema uwongo mburundi wewe unajifanya mnjanja Sheria huku tunazielewa wenyewe Sana wewe ndio tukuchafue
@aishaabdallah7769
16 күн бұрын
Pck kanitapeli na mimi 12.000$
@jacksonmsendo3478
16 күн бұрын
Uyo pck tapeli nasikia kitambo ata bongo nasikia alitapeli akakimbia
@salomewandya7257
16 күн бұрын
Litapeli likubwa hili
@aishaarusha894
16 күн бұрын
Aliwatapelini nyinyi
@brownmoses9543
16 күн бұрын
Hii ndo changamoto ya mtu mweusi😅
@shedy629
16 күн бұрын
Sasa wewe ushasema wasanii ndo wamekula hela yako mbona unakuwa hutumii akili asee. Pambana na huyu PCK achana na wasanii
Пікірлер: 165