Niko hapa kusifia hio soundtrack hapo mwanzo mwanzo wa video Hii . Hakika aliyepiga kinanda anajua . More Love Kutoka Kilifi County, Kenya
@malamafyisamkanda5362
2 жыл бұрын
Mwanangu wa Kilifii mombasaa
@jamalsumailjamaljamal2731
2 жыл бұрын
In
@jamalsumailjamaljamal2731
2 жыл бұрын
No in
@husseinmaingo7116
2 жыл бұрын
Kweli msani ni msani tu Jot ni kristo lkn amejua maana ya Pepo Firdaus pepo ya juu kuliko pepo zote Allah atujaalie tuwe miongon mwa Waja wake ktk iyo Pepo
@Cambarada
2 жыл бұрын
Allahummah Aamyiin Yarabi na kwa barka za ijumaa ya Leo
@prince255jrjenje2
2 жыл бұрын
Amen
@hemedabdalla8627
2 жыл бұрын
Ameen
@mselemamsomba6561
2 жыл бұрын
amen🙏
@awatifalghanim1106
2 жыл бұрын
Kumbe siye Muislam. Mungu atambarik ataingiya kwenye DINI YA KIISLAM.
@humycymachambula1719
2 жыл бұрын
Ahaaa namm nimewahi naomba like zenu ndugu watanzania,one show tu😂😂😂😂😂😂
@IndexTechnology
2 жыл бұрын
Yaani unaomba like kabisa !! 🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️ then?
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
@@IndexTechnology ataka akanywee chai inaboa kinouma yani
@qurankareem582
2 жыл бұрын
asa kwani wewe ndio umetengeza movie hahaha 😂😂
@touchinglives2548
2 жыл бұрын
“Everybody wants to be famous, but nobody wants to do the work. I live by that. You grind hard so you can play hard. At the end of the day, you put all the work in, and eventually it’ll pay off. It could be in a year, it could be in 30 years. Eventually, your hard work will pay off.”
@ahmadsaid4878
2 жыл бұрын
Wahazalishufaaa 😂😂😂ila jot fala sana ww sema wapemba uliawaacha unarudia tenaa sema uki act mpemba unatisshaaaaaaaa
@abdulishaban6573
2 жыл бұрын
Daah watuu mnawahii haya nami ndio naingia like za mkali wetu joti
@frankhajembe9431
2 жыл бұрын
0
@officialfredoo3549
2 жыл бұрын
Tuliommiss kipande na tulioumia kuona sopa nae kaondoka tulike apaa
@africanboychristopher5102
2 жыл бұрын
Yes
@boniphaceog1020
2 жыл бұрын
Kipandee wap
@husseinhaji8459
2 жыл бұрын
Sopa kaenda kusoma Kipande mwizi
@officialfredoo3549
2 жыл бұрын
@@husseinhaji8459 😂😂aliiba nn kaka
@mlewazitotv
2 жыл бұрын
Mashabiki zetu wa JotiTv tunawakubali sana
@picsartchannel2581
2 жыл бұрын
Oy wap# kipande #sopa #mama dame
@mlewazitotv
2 жыл бұрын
Kiukweli kipande mwizi aliiba atokowepo sopa kaenda kusoma na mama dame ameacha sanaa kaolewa
@picsartchannel2581
2 жыл бұрын
Duuh ase inauma sana 😣😣😣😣POA KAKA BAC #KAZI IENDELEE
@mlewazitotv
2 жыл бұрын
@@picsartchannel2581 poa poa broo
@florajames7558
2 жыл бұрын
Honger kazi yenu twaipenda ❤
@willytzpro8426
2 жыл бұрын
Wa Kwanzaa from USA 🇺🇸
@shukurumshindikf7853
2 жыл бұрын
😁 you gay
@willytzpro8426
2 жыл бұрын
@@shukurumshindikf7853 with what I’m girl 👧 so sup
@kingyeskingyes2263
2 жыл бұрын
Nguli kzitem.info/news/bejne/y3-B2oJskIeEmG0💥
@zuheorsalim7759
2 жыл бұрын
Sasa usingesema ulilo ungeumia wapi au ilimradi kila mmoja ajue km uko ulaya ?
@malakimoses6115
2 жыл бұрын
Dua😂😂😂😂😂Ila kazi nzuri nimeipenda mpaka nimecheka mpaka mbavu zinauma aise joti respect and big up kwa malima na mlewa wameifanya nzuri
@jeremiahromward6784
2 жыл бұрын
Anayeangalia na kusoma comment like hapa twendane sawa #Joti 😂😂😂😂😂😂
@watuhuru6128
2 жыл бұрын
Japo maigizo lakini anasema kweli ila malipo hayahusiani na dua anaefanya kazi lazima pesa
@hammerQ954
2 жыл бұрын
😁😁bro tangu nimekupa jina la mshua wangu 😁nashkuru unaliwakilisha vizuri sana na mwezi huu anatimiza miaka 4 tangu tumemzika RIP MMANGA FAKI👏
@bongotvonline4883
2 жыл бұрын
Hama Q kama Hama Q. Upo bhana??!! Nakutafuta mnooo
@abuyunusmohamed6961
2 жыл бұрын
Wapemba wachumi sana na wamefanikiwa sana na wanasaidiana sana
@zuleikhakhamis3303
2 жыл бұрын
kabisa wapemba tuko kila pande za dunia alhamdulliallah
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 kweli eti,
@asmaabeid8035
2 жыл бұрын
Ili la muunguuuu shekhee ebuuu nieleweeeeee. Hatari
@mohdabdallahrashid.1610
2 жыл бұрын
Kama unamkubali joti weka like yko japo 10 tu.
@emanuelmanucho8309
2 жыл бұрын
big up bro uko juu xna
@mkondepambakali7373
2 жыл бұрын
Yani joti unazingua sikuizi yani sopa humemuondoa na kipande pia umemuondo tumewa ms warudishe🙏
@africanboychristopher5102
2 жыл бұрын
Ndio
@chrissjoel7752
2 жыл бұрын
Umeambiwa na nani kama amewaondosha? Kuna majukum mengine mbali na uigizaji aisee hawawezi kuitegemea hii tu harafu wakailisha familia
@mkondepambakali7373
2 жыл бұрын
Nakama ingekua wana majukum mengine tungejua panatatizo apo
@chrissjoel7752
2 жыл бұрын
@@mkondepambakali7373 😂😂😂😂 Mbona hao wengine kina Malima wapo na wote walikua Clue moja tu na kina kipande& Sopa niliskia kipande alienda kusoma cjui wapi
@linahsemindu4261
2 жыл бұрын
@@chrissjoel7752 umejibu vzr man watu wanalaum tu sopa kipande
@maulidrehani
2 жыл бұрын
Kipande sopa joti huwa combination poa sana...
@victormalale2694
2 жыл бұрын
Joti ni number one comedian kwa TZ aseee 😁
@zakiamsafiri123zakiamsafir7
2 жыл бұрын
Kipande yuko wapi we jot😂🤣🤣🤣
@kekiplus1andonly
2 жыл бұрын
Kama unakubali hakuna mkate mgumu mbele ya chai tujuane hapa😂😂😂😂
@adusonrwabufuni2883
2 жыл бұрын
Haswaaaaaaaaaa🤣👆✌️
@credo7837
2 жыл бұрын
Hahaha mama wa mapishi unawaza mikate tu😂
@davidmaisely7487
2 жыл бұрын
Mapema tu .. kazi iendelee
@mohamedmuhajiri4690
2 жыл бұрын
Inakua hainogi Bila sopa na Kipande na Mama vadam
@ochendepay9440
2 жыл бұрын
Sema Wewe Ndo Ainogi.Sio Bila Wao
@sarahreeves472
2 жыл бұрын
ukweli
@dennismrutu7824
2 жыл бұрын
Kweli
@husseinhaji8459
2 жыл бұрын
Kipande mwizi
@layanalafifi5548
2 жыл бұрын
Kwani sopa yupo wapi?
@adamumbise9755
2 жыл бұрын
Wa kwanza leo naombeni like 10 za huyu mwamba 🙏
@charlesrichard7270
2 жыл бұрын
Umechelewa mzee
@majaliwaandulile8379
2 жыл бұрын
Sopa na kipande waludishe kama wamekosea wasamehe uwape dua sio chuki
@zuheorsalim7759
2 жыл бұрын
Bila wale wachizi hamna kitu hapa
@happynesbaemuhappynes8813
2 жыл бұрын
Huenda wana Majukumu yao mengine
@ashnaom2270
2 жыл бұрын
Ayo mambo ya dua yanataka iman kama VP chukua chako tu, huhuuuu
@badmanno.1650
2 жыл бұрын
Mjomba staki ujinga wa dua... Nipe pesa nisepe
@doddedode4114
2 жыл бұрын
Sopa na Wenzie walizingua,wanataka pesa iongezwe ya kazi.
@wilnationtz2007
2 жыл бұрын
😂😂😂🤪 dua kanisan au mskitin mungu alisema asiefanya kaz na asile Sasa nifanye kaz na kula nishindwe malima yupo sahihi
@mohammadalfani5243
2 жыл бұрын
Joti the legend...🤣🤣🤣 You're really comedian... keep it up brother 🤛
@kekiplus1andonly
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti kama na style ya ajabu..hahahaha kileleni mmefika😂😂kweli mna moyo
@allenshoo2346
2 жыл бұрын
eeh ndio
@enoughboy3997
2 жыл бұрын
Daah nilimis huyu mpemba
@Givan-nu7mi
2 жыл бұрын
Best comedian 😂😂😂
@amadisandaku3131
2 жыл бұрын
Ahahaaa Mna moyo mmefika kileleni
@charlesrichard7270
2 жыл бұрын
Pesa tu mzee
@AfricaYangu
2 жыл бұрын
My love for Hami J is unexplainable
@dungatv9080
2 жыл бұрын
Sopa na kipande Wako wap we nishai dunga from mwanza
@rashdiyange7758
2 жыл бұрын
Jamaaaa kwakwer apo kazingua wale wanawezax sanaaaaa ynn daaa
@husseinmgogo5282
2 жыл бұрын
Gonga like kama unamkubal joti
@yacenharuna380
2 жыл бұрын
Chochote kigumu paka Washeriiii Joti we jinga sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@munajomar3218
2 жыл бұрын
Hapo shule mpemba haemi shulee tunasema sukuli mpemba au useme skuli
@MrNdanguza
2 жыл бұрын
Lafudhi ya kizenji imenimaliza😂😂😂😂😂
@awatifalghanim1106
2 жыл бұрын
Lafdhi nzuri. ❤
@abdulkareemseif1892
2 жыл бұрын
Sisi ALLAH katubariki kwa hii lafdhi km nyinyi alivowabariki kua na nguvu . yani mupo strong sijui vyakula
@subzzero5585
2 жыл бұрын
Soundtrack ipo juu sana
@edith4246
2 жыл бұрын
Very nice 💕💕💕
@rojas3879
2 жыл бұрын
Nice 👍🏻
@abdulyjuma4720
2 жыл бұрын
Edith
@budahman2908
2 жыл бұрын
Where do you got that those 5.98k subscribers
@stevenmwacha3040
2 жыл бұрын
Beautiful
@salehkhamis8653
2 жыл бұрын
Joti njoo Zenji ujifunze kipemba naona bado unainang'ata ulimi
Пікірлер: 480