Yahn shetan bhaana.anachaguaa warembo kabsaa ..ebu ona dada mrembo alkua mganga😢.Dah lakin YESU KRISTO muweza wa yote.Amen
@GodfreyMolel
12 сағат бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu Mimi nipo Kenya nauliza kuna mtumishi wa mungu Esta masanja alifundisha hatari ya kuweka wanja, pico kwa nywele mekap kucha bandia mbona we umeweka wanja
@MaryMichaelMaryMichael-i7o
Сағат бұрын
Amen blessd kaka Audax n promover tv.
@DeusdeditMichael
11 сағат бұрын
SIKU HIZI, WAGANGA WANAKIMBILIA KUJIITA MANABII NA MITUME NA KUFUNGUA MAHEKALJ, NA KUSHIKA BIBLIA. KUANZIA MWANZO MPAKA MWISHO HAKUNA NENO LILILO ONGELEWA HAPO . 2WAKORINTHO 11:14-15 14 Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. 15 Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao. JAMANI JIPONYENI NAFSI ZENU NA UHARIBIFU HUU, MAANA WAKIKAMATAGA HAO HAWAACHII.
@emmanuelsunday8325
20 сағат бұрын
Kazi nzuri
@nicholasamuyunzu7246
18 сағат бұрын
Kwani wewe unaskia kinachosemwa hapa mbona wengine wetu hatupati??????????????????¿¿¿¿¿¿.
@YAUSHATV
18 сағат бұрын
@@nicholasamuyunzu7246Badilisha simu
@annkim2690
17 сағат бұрын
Shetani nae anajua kuinua watu wake at 23 uko na KAZI nzuri hivyo
@josephnkwamino6509
10 сағат бұрын
Hakunaga mtume mwanamke tuache kudanganyana
@esterabonga7947
9 сағат бұрын
Na pia ni askofu 🤣 ndo mara ya kwanza Naskia
@nicholasamuyunzu7246
18 сағат бұрын
What is wrong men no sound and yet you still uploaded the video.
@YAUSHATV
18 сағат бұрын
Ni changamoto ya simu yako
@annkim2690
18 сағат бұрын
Sauti iko down ama ni simu ya Kwa ngu
@YAUSHATV
18 сағат бұрын
Simu yako
@GodfreyMolel
12 сағат бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu Mimi nipo Kenya nauliza kuna mtumishi wa mungu Esta masanja alifundisha hatari ya kuweka wanja, pico kwa nywele mekap kucha bandia mbona we umeweka wanja
Пікірлер: 16