Kiukweli mpo vizuri sana SIASA ZA KWELI, taarifa safi za uhakika zinazosomwa kwa ufasaha sana, lugha yetu ya kiswahili ikitamkwa kwa ufasaha kabisa. Kichwa cha habari kikiambatana vyema na taarifa husika, Kongole siasa za kwetu.
@maximumtvonline
2 жыл бұрын
Asante sana Mr ovary iddi
@ramosfally2318
2 жыл бұрын
leo mi kwanza from mozambique nahomba ka 20 zinatosha..mbona putin anawachelewsha awo mbuwa ushoga ufike mwisho..si tushakimbiya sana uku msumbiji cabo delgado kisa awo washenzi gas yetu mafuta yetu na wamitiuwa kwa lazima na viongozi wetu wabovu ....one africa stamos juntos yani tuko pamoja...kazi kazi bwana adamu...muito obrigado. asante sana
@shodristvtv6121
2 жыл бұрын
Sasa hivo ndo umeongea nini swali moja mtetezi wa africa niputin
@Dizzolee1993
3 ай бұрын
Vivo Putin
@EmanuelelisaGidion
3 ай бұрын
Safi sana urusi goooood goood😂😂😂😂❤❤❤❤
@HajiJuma-xw7vh
4 ай бұрын
Safi sana puting piga wasenge haoooo...
@salimwanga
4 ай бұрын
Good news❤❤
@felixmagulu6142
2 жыл бұрын
Maximum TV mko vizuri kwa habari za kimataifa.
@maximumtvonline
2 жыл бұрын
Asante sana ndugu yangu
@JoyceWiliam-jj6zj
3 ай бұрын
Gaza
@kassimmurji632
2 жыл бұрын
Putin mwanaume pambana na mashoga hao wanaoitawala dunia kwa nguvu na ulaghai wa umagharibi dhini ya Africa na dunia nzim
@jambiajuma7199
2 жыл бұрын
Safi sana
@charlesmugisha6529
2 жыл бұрын
Kifo cha Putin hakitakuwa kizuri na wale wanao msapoti nawapa pole Sana.
@ezekielkandonga9238
2 жыл бұрын
Ufahamu wako bado mdogo Sana,Sio Libya au Iraq hile ni Russia
@bertrandniyonkuru8523
2 жыл бұрын
Putin kwandaa.hata sadam aliropoka na kujigmba hatimae slinyongwa
@bertrandniyonkuru8523
2 жыл бұрын
@@ezekielkandonga9238 q
@bertrandniyonkuru8523
2 жыл бұрын
Nahs historia ya irak huijui umezaliwa miaka 20 ilyopita.huwez kushindana na marekan na tunaiombea putin ni mama wa jehanamu
Haya yote ni dalili ya siku za mwisho acha maneno ya Mungu yatimie tu maana yeye sio muongo kamwe. Ila Russia anajigamba sana hajui kuwa kuna mwisho wa ke.
@georgenzioki
Жыл бұрын
Safi Urusi wewe ndio watchman wa.dunia dhidi ya marekani
@aloycemchuo7687
5 ай бұрын
Vita dhid ya Ukren February 2022 had Leo 2024 may MAREKAN WAKO KIMYA HAWASEM AJARIBU ITAKUWA MZIKI MZITO
@JofreySanga-lu8pn
28 күн бұрын
Atawezaa???
@humphreykarua5241
2 жыл бұрын
Ni muhimu sanacvita kuisha kwa sasa ucjumi was dunia no bwya sana
@DamasjoachimPetro
3 ай бұрын
Urusi anadhoofishwa kiuchumi nk anawekewa vikwazo sana yéyé hawezi weeks vikwazo marekani
Duu kazi ipo watu wafaa njaa wengine watumia matirioni kutengeneza silaha
@PyuzarayShamgelwa
4 ай бұрын
Mbona habari ni tangu mwaka mmoja nyuma acheni kuupotosha ulimwengu.
@micamathew2595
2 жыл бұрын
Marekani hamwezi Russia!! Nimeshajua. Putin ana huruma sana!! Hataki kuwaua watu wasio na hatia!! Anapigana kwa akili sana!! Pale ukrein wanajeshi wamejificha nyuma ya raia. Sasa inakuwa ni vigumu kidogo kushambulia kwa mara mmoja. Watu wengi sana wasio na hatia watateketea. Lkn kinachokuja kipo!! Itafikia sehemu sasa ataanza kuwaangamiza. Russia ina nguvu kubwa sana!!
@paschalmartin9598
2 жыл бұрын
Acha unafiki
@micamathew2595
2 жыл бұрын
@@paschalmartin9598 wa nini aise
@lughanojohn4211
2 жыл бұрын
@@paschalmartin9598 we malaya unafki uko wapi apo sasa ebu tujuze
@taylor_minton
2 жыл бұрын
Congratulations niwewakwanza kupata
@decoloniz_afro
2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁❤️Putin
@IsmeRasyan
6 ай бұрын
Ok
@jamessiame5169
2 жыл бұрын
Kelele za chura azumuzuwii tembo kunywa maji
@ekimnkande2873
4 ай бұрын
Marekani hawaongei wanateKeleza yeye ndiyo anashituka kushakucha
@saidimwanyiro5147
2 жыл бұрын
Unashabikia km vile ushakagua silaha za urusi
@bakarinassoro5513
2 жыл бұрын
Wewe unapenda kumsfu Putin na kumuongelea Sana Ila utakujapata aibu chezea NATO na putn wako muda utaongea
@micamathew2595
2 жыл бұрын
Leta hiyo nato yako hapa nimtwange.
@barakamwakapoma2702
2 жыл бұрын
Nadhani huijuwi russia ndugu soma historia ya Putin uone
@ommymehmed8880
2 жыл бұрын
Ata bujuskii vibaya kuongea ivyo ....washirika kupambana na kijamaa kimoja,ndio unatitambia ???
@rizikimshindo2177
2 жыл бұрын
NATO alishindwa kupiga Syria ndo ataweza kumpiga Urudi bro unachekesha.
@leonardgodliver9043
2 жыл бұрын
Putin ni shoga tu, kwanza kashaanza kuchemka Ukraine
@StellaCharles-zk4kb
4 ай бұрын
Ajaribu ukutane na mwamerika bomu la nyuklia lenyewe ameiga kwa marekan
@alexjackson5960
2 жыл бұрын
Dah nashangaa Sana wanaoishabikia marekani ?? SOMALIA sudani Libya Iraq AFUGHANISTAN, idi Amin alivamia tz nato marekani walikaa kimya urusi na uchina wakatusaidia vifaa Iraq ikatusaidia mafuta. Haki ya MUNGU Kama hujui historia utabaki kuwa shabiki maandazi
@nicksonlyimo1562
4 ай бұрын
We unataka wakikosa adabu wasishuhulikiwe? Tangu kuumbwa Dunia Mungu alichagua taifa moja kuwatiisha wengine na kuwatia adabu hiyo ni kanuni haitakoma Hadi ajapo Yesu Kristo siku ya kiama ,mataifa yenye viongozi wenye kiburi ,na kuua raia wake hovyo na kuwatesa kwa kuwanyima haki stahili ,kufunga watu magerezani hovyo kwa ubabe Ili kuwatiisha watu ,kutesa nk we unafikiri hayo mataifa na watu kama hao hawastahili kuadhibiwa? Ziko nchi duniani ni katili haswa na hazifai kuishi hata raia wao wanakimbia kwenye nchi zao kutokana na utawala mbaya, wewe kama kwako Kuna amani usidhani ndivyo ilivyo Kila mahali.
@nicksonlyimo1562
4 ай бұрын
We unaweza kishi Afghanistan?? Au unajisemea tuu kwa kua hujui madhila watu wanapata,Kila siku watu wanauaw na kupigwa Risasi kwa amri ya viongozi ,sijui Kama unajua au umewahi kutembea nchi mbalimbali ,hebu we nenda somalia Leo uone kama utaishi,alshabab Leo wanaua waislamu wenzao kwa kisingizio eti wanapigania dini we unaona ni akili hiyo ?? Dini ya nani wanapigania ilhali Mungu anao malaika kibao wakutosha ,kwanza upiganie dini kwaajili Gani ? Kama mtu ameamua kuingia jehanam si nimapenzi yake? Wewe unae ua watu mbona hata wewe tayari umemwaga damu na moto unakusubiri?? Ujinga unatawala watu ,haiwezekani watu waachwe wafanye wanavyopenda Kisha mataifa yenye nguvu wapenda amani eti wanyamaze Ili kufurahisha watu no no no haitawezekana ,lazima marekani na nchi za magharibi ulaya ziingilie kati na hiyo ni sawa kabisa, huwezi kuelewa haya mambo wengi wanamaisha ya vijiweni na story za ushabiki pasipo uhalisia wa mambo ,Kaishi urusi wewe mwafrika uone huo ubaguzi ndio ujue ,hata kazi hawataki mgenk afanye labda uwe umepelekwa na serekali ya nchi yako.
@MathewNathan-yb2bz
4 ай бұрын
Acha uongo wako.Ile vita ya Idd amini na Tanzania waliotusaidia sana ni Israel ambao walikuwa nyuma ya Marekani.
@MathewNathan-yb2bz
4 ай бұрын
@@nicksonlyimo1562hongera sana kwa kumuelimisha huyo mjinga asiejua kitu.
@alexjackson5960
4 ай бұрын
@@nicksonlyimo1562 ni haki yako kwa uliyosema. Na mimi ni haki yangu kwa niliyosema
@StellaCharles-zk4kb
4 ай бұрын
Marekan hoyeeeeee
@emanuelmsigwa1927
Жыл бұрын
Hahaaaa Ukreni imemshinda ndo ataiweza Marekani Bebelu lenye pembe mashuhuri
@SalehSalum-b3y
4 ай бұрын
Wewe unawashabikia mashoga pole shee huyo ukraini si anasaidiwa na ulaya nzima au huoni hatakusikia kua NATO namarekani ufaransa,uingereza,ujerumani,NATO wote wanamsaidia nakama sihiyvo murusi alikua kashamaliza uperesheni yake lakina pia pamoja nakumsaidia lakini bado majeshi yaurrusi yanazidi kuchukua maeneo naidadi kubwa yamajeshi ya ukreni yaliyouliwa nikubwa Sana
@jumakitutu4062
2 жыл бұрын
🤲🤲🙏🙏
@florencemeza6540
2 жыл бұрын
Baba nampenda huyu anawapamba tu
@mbokanitaribo5106
2 жыл бұрын
Abari zawa Tanzania bwana niatari kabisa tumewachoka sana nawongo wenu
@emanuelmsigwa1927
Жыл бұрын
Mashoga wameenea nchi zote dunian Africa mashoga wapo nchi za kiarabu wapo magaribi wapo mashariki wapo hii vita nikitu cha kina bii lazima itimie taifa kubwa kupigana na taifa dogo nataifa kubwa kupigwa
@harounkiyungi7288
2 жыл бұрын
Yaani hiyo button ya Nuclear si atuletee sisi waafrika tubonyeze tu Fasta maana tumechoka
@JamesYohana-p6i
3 ай бұрын
Kiukwelinimependa vizulisana
@DuniadjumaKatanangwajr-yh2dl
3 ай бұрын
Mkombozi wetu putin
@hamisikisiwa721
2 жыл бұрын
Jamani chondechonde vita jamani malizeni vita jamani
@MauaLucas-st6be
4 ай бұрын
Unaongopa kufa
@ekimnkande2873
4 ай бұрын
Huyu anacheza kasahau urusi ilisambalatika kupitia marekani
@KizitoAnthony-tv3fl
3 ай бұрын
ila mnajua kupumbaza watu
@Masaga_Jr
2 жыл бұрын
Mwalimu Pumzika Kwa amani ungekuwepo Hadi leo Rafiki yetu angekuwa Russia na China. uliowaacha ndo wametupeleka kwenye democrasia uchwara ya Marekani
@jkifutu7936
2 жыл бұрын
Russia 🇷🇺 msulimoto
@snoopyundwoodstock8275
2 жыл бұрын
Putin tumeshsmzowea abspenda kujisifu Hana lolote
@barakamwakapoma2702
2 жыл бұрын
Marekani hata technologyia ya kumshinda murusi hata siku moja hajisifu hivyo ndivyo ilivyo
@lughanojohn4211
2 жыл бұрын
mbona mabwana zako hawamvamii kama iraq
@sogolamwishekhe5667
2 жыл бұрын
Wasenge mna Maneno!!
@majutomwakibibi5550
2 жыл бұрын
Kweri anajifanya yeye anaguvu amnakitu apo
@hassanabdalla2741
2 жыл бұрын
Z
@mwitabestmhukovizuripigaka5464
2 жыл бұрын
Usijichanganye
@damiangasto-t5n
6 ай бұрын
apaa putinn mpaka kifo
@geraldtarimo3210
2 жыл бұрын
Nduguzangu msijidanganye,Putin anatoavitisho tu,mm nawaambia,ukimwa wamarekani unajambo,pia ikumbukwe,marekani inakambi zaidi ya 800 dunianikote,nakilakambi inajeshi kamili na vifaa vyahaliyajuu,huundiomwisho was putin
@sharonnyabuto8091
2 жыл бұрын
Pia hao walitoa vitisho kwamba Putin asiingie Ukraine lakini aliingia, Kama wanajali Sana Ukraine mbona wasiingie wote wapigane na urusi, ukimya wa Urusi pia so wa kuchukuliwa hivi hivi, watu si wajinga as you think, kama sanctions walivyoekewa Urusi utasemaje?
@sharonnyabuto8091
2 жыл бұрын
Wacha waendelee kujaribu labda watafaulu huku Ukraine, maybe hawatashindwa tena Kama huko kwengine
@micamathew2595
2 жыл бұрын
Unajidanganya.
@musakihama7205
2 жыл бұрын
@@sharonnyabuto8091 nimefuatilia sana comment zako bro uko vizuri sana,muongeze tu kuwa watu hawapati taarifa sahihi,vilevile hawaoni kabisa kwamba putin anaenda kuifanya dunia iwe na mifumo ya kujiendesha,kuanzia mifumo ya fedha,siasa,biashara n,k.utabiri au wachunguzi wa mambo wanasema ifikapo 2040_2050 Marekani na ulaya magharibi itakuwa sio stori tena.mataifa yatakayokuwa na nguvu za kiuchumi itakuwa ni china na india,huku mastermind akiwa ni urusi mwenyewe.
@sharonnyabuto8091
2 жыл бұрын
@@musakihama7205 tatizo ni wanalishwa habari kila mara na kuzimezea bila hata kuuliza maswali yoyote, bundles pia wanazo lakini hawawezi kutafuta habari pia hata tuseme ni wapuuzi yote hayo wanayo, ukweli tu ndio usemwe hata kama ni mchungu kiaje kwa mashabiki flani, wanasema Putin ni mbaya, hivi wamejiuliza hao viongozi wao wanaowashabikia ni wema kweli?
@samuelmeley5664
2 жыл бұрын
Acheni umbea hajui3 marekani kashamuua putin?
@JohariJuma-r1o
3 ай бұрын
Malekani. Anaubavu. Wakupana. Napuni
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
Patamu hapo😏😏😏😏😏
@geraldtarimo3210
2 жыл бұрын
Vita ni pesa, marekani wanapesa,mrusi hanakitu
@micamathew2595
2 жыл бұрын
Kupigana haihitaji pesa!! Ni matumizi ya akili tu!! Na marekani atapigwa na Russia.
@enezermwafrica7443
2 жыл бұрын
Urusi sasa itaangamizwa kupitia Putin
@iddykitundu7767
2 жыл бұрын
Acha uoga dogo mwogope muumba mbingu na ardhi tu
@samuelngogo5572
2 жыл бұрын
USSR mchumba tu mbele ya USA
@musakihama7205
2 жыл бұрын
Amka wewe usinziaye.
@emanuelkenethkanyela9137
2 жыл бұрын
Urusi piga hao mashoga mimi simpendi américain
@revocatuskalumuna5789
2 жыл бұрын
kuichukia marekan ni sawa na kuichukia ccm maana mpaka uje umtoe kwenye ubabe sio leop
@ezekielkandonga9238
2 жыл бұрын
Usimfananishe Marekani na CCM Upuuzi huo,Unaiona rangi nyekundu wewe kwenye bendera ya CCM
@revocatuskalumuna5789
2 жыл бұрын
@@ezekielkandonga9238 uspanik bro hapa tunacompere nje na ndan hapa hatuangalii rang hapa tunaangalia nguvu siasa kimataifa na kitaifa sasa ww usilete mawazo yoko ya ovyo kwenye coment yangu
@musakihama7205
2 жыл бұрын
@@revocatuskalumuna5789 inawezekana huna taarifa sahihi kwa yanayoendelea duniani.
@revocatuskalumuna5789
2 жыл бұрын
@@musakihama7205 kwahiyo unatakaje nikusaidie
@malugukushaha6764
2 жыл бұрын
Putin piga hao mashoga yalomwasi mungu hadi yajutie uovu wao.
Msishabikie marekan kwani dunia imeharibiwa maadili na marekan ushoga ndio ajenda muungen Putin ashinde dunia itulie
@MathewNathan-yb2bz
4 ай бұрын
@@Adamshaban-ww7pzulaya na marekani kuna maadili sana.Afrika ndio hakuna maadili kabisa.
@filipoboazi1618
2 жыл бұрын
Leta jambo
@mayengaharun4265
2 жыл бұрын
Vh
@bertrandniyonkuru8523
2 жыл бұрын
Ww ni chocolate hujui lolote nyamaza
@sharonnyabuto8091
2 жыл бұрын
Tupe yako pia sisi tukusikilize, kila mtu ana fursa ya kutoa ya moyoni ama vipi
@mwadhinjuma7370
2 жыл бұрын
Kelele za chura putini kaishiwa
@shodristvtv6121
2 жыл бұрын
Wajinga wanamuna putini mkubwa anawanajeshi milioni3 Ukrainian wanajeshi laki 3 ila ameshindwa kuikamata kwasabaabu wanasapotiwa namarekani
@rahmajaffar794
2 жыл бұрын
Ewe Mola wetu wewe pekee ndio unaemjua Nani mwema na Nani mwovu? inshaAllah Mungu wajaalie ushindii mkubwa wanaopenda haki na wadhalilishe na wape hasara kubwa wanaodhalilisha watu, wanaodhulumu watu na wanaotakabar katika dunia, kwani hakuna nguvu Wala uwezo isipokuwa kutoka kwako.
@ndizindeleti761
2 жыл бұрын
@@shodristvtv6121 Putin hayuko vitani anafanya operesheni ila urusi inapigana na nato co uklein uklein ni km kimvuli tu km ni uklein kwann wakamatwe wanajeshi kutoka mataifa tofauti na vifaa vya nato ? hapo ndio utajua mziki w urusi alishindwa hitla waingeleza walimuogopa akaangushwa na urusi watakua hao nato? Nato kila siku wanapigwa na kukamatwa jeshi la urusi
@sharonnyabuto8091
2 жыл бұрын
@@shodristvtv6121 hao wanaolipwa kupigania Ukraine na silaha zinazotumwa kila mara je utasemaje, wacha Putin apigane peke yake kwa nguvu anazo either nguvu kubwa au ndogo ili kulinda security ya nchi yake, ila si wangejiingiza wapigane na Putin tuone nani mbabe, wameshindwa Aghanistan na Libya na wanajaribu Urusi, anyways ninachokisema ni don't be a bully to someone else, walidhani Putin atakaa kimya bila kufanya chochote,,,,,,,
@sharonnyabuto8091
2 жыл бұрын
@@ndizindeleti761 hawaelewi na yu can't force anyone to reason with yu, wacha wabweke tu na wanadhani hao ni marafiki zao, laiti wangalijua wasingeongea chochote
@KilimbikeHaji-iy2fm
5 ай бұрын
Wapige hao wamarekani kwani nisawa na mashoga tuu
@stivutitus963
2 жыл бұрын
maviyake anauwezo ukren yamshnd atamuez us
@mbokanitaribo5106
2 жыл бұрын
Urusi nimdomo tu mbona ajawapiga watu wanaho saidiya ukrene tumechoka na wongo wenu akuna kitu kwa urusi maneno tu
@saidmngana5263
2 жыл бұрын
Atakama iweje putn tunamuamini na tunampanda Kwanza anahuruma na watu hapigi silaha ovyo
@pastorteddywaziri5754
2 жыл бұрын
Sana
@MathewNathan-yb2bz
4 ай бұрын
Ww ndio una mpenda kwa sababu umejaa ujinga.Ila sie wenye akili zetu timamu hatumpendi putin
@ramadhanhassan5285
7 ай бұрын
Kwa wale wanao ushabikia ushoga lazima wamsapoti marekani na wambeze urus ila kaeni na mjue mrusi ndie kiboko ya mashoga
@nicksonlyimo1562
4 ай бұрын
Urusi Hana la zaidi msifie tuu utaona ,Hana ubavu mmekariri jina la Enzi za Soviet union likiwa taifa kubwa ,kwa Sasa Hana lolote ,hata uchumi wake una haha tuu na wenzie wamemtenda kwa akili ajitie vitani na Ukraine Kisha wamtende baada ya kudhoofika , Kuna muda utafika mtanyamaza kimya na hamtasubutu ku coment Tena kwa atakacho fanyiwa kama ataendeleza kiburi nakutishia nchi nyingine kua atatumia nuclea kwani nani Hana nuclear ni nani asieweza kutumia ? Nani atakae subiri atumie Ili ajifurahishe ,nani ambae anamuogopa? Mbona anajidanganya tuu ,silaha zake zimeshindwa vita na marekani ndizo zimeharibiwa ,Afghani Stan ,Ukraine ,Libya ,Irak ,Iran mmeona zilivyozuilika zisilete madhara hiyo yote tecnolojia ya urusi Sasa kifua Cha Nini? Ngoja aonyeshwe mchaka mchana na anao waona wajinga ,
@MathewNathan-yb2bz
4 ай бұрын
Ndio ujinga na upumbavu wenu timu urusi ,kuingiza hoja ushoga.ww kama huishabikii marekani mbona unatumia hii you tube yao na intanet yao ina maana na ww ni shoga.Serikali yetu inakopa huko huko ina maana hawa viongozi wetu wanaokwenda kukopa huko ni mashoga?Acha ujinga ww.
@nicksonlyimo1562
4 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bz ujue tuu kua sodoma na gomoras ni uarabuni ,nenda miji yote ya pwani na visiwani uone vile walivyojaa humu
@atrick.
2 жыл бұрын
Time is tell,Russia is fell down unakariri ww
@lughanojohn4211
2 жыл бұрын
amekariri nini sasa ebu wewe na mashoga wenzako tujuze bas
@JohariJuma-r1o
3 ай бұрын
Malekani. Inaubavu. Kupana. Naputini
@MathewNathan-yb2bz
4 ай бұрын
Putin kama anataka maangamizi kwenye nchi yake aiguse Marekani aone cha mtema kuni.
@msafirimaulidi5054
3 ай бұрын
Iv ww unaweza kupigwa na shoga?
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
@@msafirimaulidi5054 kwa hiyo ww unavyotumia huu mtandao wao hao unaowaita mashoga huwa unafiwa mknd wako kwanza ndio unaruhusiwa uutimie.
@nadrahassan5241
2 жыл бұрын
Mweye hii sini vita ya dunia lakini?
@PascasMathew
4 ай бұрын
Kila siku anatishia tuu kuwa atawashambulia wamarekani Ukraine bado anahangaika miaka miwili itakuwa Marekani ? Hayo ni manenono yakanga tuu kila mtuayasome, Ajjarbu aone Wamarkani kwa sasa hapigani vita kubwa ya silah bali ni ya kisaikolojio kumdhofisha adauli kiuchmii . Mrashia alitishia kumaaliza Ukraine siku moja mbona sasa mika miwli.. wasoma nyakati waache kulipukalika kama moto wa gas.
@msafirimaulidi5054
3 ай бұрын
Kwa akili yako ww urus anapambana na Ukraine?
@jamesmwansa3385
2 жыл бұрын
Don't play with America atakumaliza Putin
@micamathew2595
2 жыл бұрын
Ngumu sana!! Russia wako gudiii sana bby
@daudkhatib-qn5tr
Жыл бұрын
Mpaka. Leoo. Putin. Domo. Jingiiii. Kwa. Marekani.
Vita sio kitu cha kujisifia, Putin atapata anachokitafuta
@decoloniz_afro
2 жыл бұрын
Magharibi wanafaa kufunzwa adabu
@sharonnyabuto8091
2 жыл бұрын
Kama gani, hebu tufunze kidogo pia sisi tujue atakalolipata,,,,,,,,,
@petermutuku1289
2 жыл бұрын
@@sharonnyabuto8091 chuma chake ki motoni.
@sharonnyabuto8091
2 жыл бұрын
Putin hakupi usingizi au vipi, toa ya moyoni yote
@petermutuku1289
2 жыл бұрын
@@sharonnyabuto8091 nami nitakuuliza,unafurahia watu wakifa kwa vita?hata wwe toa ya moyoni.
@emanuelipeter2923
2 жыл бұрын
Yani hao wanajeshi watakua Awana akili au waambiwe fanyeni hiki wafanye tu anaesema yupo uko nchi mbali mbali akiangalia wanafanya nin punda mzigo wa bwana ufike kwa namna hiyo tutafuka kweli
Huu ameshindwa na Ukraine. eti ataweza Marekani. Putin kila siku kelele. lakini Marekani huwezi kumuskia hovyo.
@uwimanauwimana7692
2 жыл бұрын
Puttin hajatangaza vita na marekani hamuezi mrusi kwa kivita fata historia ya geografie endelea kua kibaraka, urusi sio Africa imezoea kupigwa na marekani,
@furahafrank8267
2 жыл бұрын
@@uwimanauwimana7692 Hujui kitu.urusi ameshindwa na Ukraine akitumia kila aina ya siraha hataweza Marekani. Africa inauawa na waafrica wenyewe. Putin hatabadilisha chochote Africa.
@uwimanauwimana7692
2 жыл бұрын
@@furahafrank8267 puttin hapigani na urkain anapigana na marekani , na puttin hajatangaza vita ,ni opereshen ndio anayo tumia fata habari mwanzo na sasa
@uwimanauwimana7692
2 жыл бұрын
@@furahafrank8267 akitangaza vita urkain angechukua kwa siku tatu , na kwa nini marekani haingii uwanjani kupigana nae kaka nyuma ya mgongo mwenye nguvu hua anaingia uwanjani kupambana sio kuka nyuma ya uwanja kuagiza silaha, yemwenye anajua akingia uwanjani atakiona cha moto kwani yeye nimjinga anajua dunia nzima hatakiwi utawala wake na watu wanasubiria angie uwanjani kama vile machale yanamcheza atakalia kuagiza silaha urkain kila siku hatoingia kivita fata maelezo usingalie ushabiki
@furahafrank8267
2 жыл бұрын
@@uwimanauwimana7692 mjinga ndio tu anakubari kwamba ni opereshini hata na Putin anajua hapigana na Marekani. Ingekuwa hari nyingine. Putin alionea tu Ukraine.
@jambiajumayagwa5129
2 жыл бұрын
Safi sana
@aloycemchuo7687
5 ай бұрын
Vita dhid ya Ukren February 2022 had Leo 2024 may MAREKAN WAKO KIMYA HAWASEM AJARIBU ITAKUWA MZIKI MZITO
Пікірлер: 222