Ama kweli tusilolijua. Mungu naomba unitengeneze mimi. Niendelee kiburi nizidishie hekina. Najifunza sana kupitia ww mtu wa Mungu. Baba Mungu akujaze sikup
@tuselacksiman7616
Жыл бұрын
Mungu azidi kukuweka baba ,,,mimi nibarikiwa na mahubili yako ,,
@ruthsimon7455
Жыл бұрын
Nakupenda baba yangu Mungu azidi kukuinua na kukupa maarifa ya ki Mungu
@tumepewatweve8777
Жыл бұрын
Duu!!! Haya maisha bhna Mungu atusaidie Sana hiki kibur
@sulvaatieno7116
Жыл бұрын
I Peter 5:5...God resists the proud but shows favor to the humble. Mungu tupe neema ya unyenyekevu Kwa utumishi.
@fraterymassawe4857
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema utusaidie
@auntdorah9141
Жыл бұрын
Wengi wana viburi sana , huanza na Bwana lkn Mungu akimuinua kidogo tuu huwa ni shida! Hata ajulikane kijijini kwao tuu ..Mungu atusaidie sana..
@dicksonlaston2175
Жыл бұрын
Na mchungaj mungu akubariki hao ni waimbaj wa siku za mwisho
@hellenkendi7078
Жыл бұрын
Mungu wangu naomba unisaidie, ukisaidia wanao hitanji msaada.
@damianurio6305
Жыл бұрын
Amen barikiwa sana Baba Mchungaji.
@Chavalamedia
Жыл бұрын
Mungu atusaidie
@auntdorah9141
Жыл бұрын
Yaani hata hivyo mtumishi wa Mungu ana ujasiri wa kiroho..nimemsikiliza mpk naumia!! , cjui kama mimi ningeweza kumvumilia!
@hilgathjoshua8804
Жыл бұрын
Mungu atusaidie 😭😭
@samuelmutua755
Жыл бұрын
A very good advice to our gospel artist man of God.
@lutangilooffice8604
Жыл бұрын
Hakika mtumishi kila roho ya kiburi inaishia kwenye anguko tena anguko kubwa Mungu nisaidie kiburi kisiwe ndani yangu daima
@raelachayo8591
Жыл бұрын
I wish the choir members of my church could see this
@mwalimuselemankasangani2074
Жыл бұрын
Barikiwa Kuhani wa Bwana
@addalazaro5579
Жыл бұрын
Kweli kiburi kibaya Mungu tusaidie
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Bola Mtumishi useme awa watu wanakera sana wanajali sana ela kuliko kumtumikia Mungu juzi kati nilkuwa naongea na Dogo mmoja aje kanisan kuimba alinikera sana ananipangia kiwango cha ela cha kumpa akija kuimba
@joelbertshamte
Жыл бұрын
Mungu atupe unyenyekevu kwakweli 🙏🙏
@titopumzikakwaamannyaluke5484
Жыл бұрын
Nikweli baba mchungaji karibu hakimuweki mtukuwa salama
@theopistamwayeya1764
Жыл бұрын
Yan nimeumia sana.
@zawadipaul4857
Жыл бұрын
Mungu aturehemu kanisa
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Na sasa Mungu akupe Uvumilivu
@paskaziasholla7471
Жыл бұрын
Jamani milion mbili kuimba tu tena kwa muda mfupi tu
@brianmathew4847
Жыл бұрын
Kiukweli inaumiza Sana
@esterjass9338
Жыл бұрын
Daaah ahsante kwa SoMo
@masterkeymwakalanje536
Жыл бұрын
Kazi kweri
@KADALAtv255
Жыл бұрын
Rose muhando na Bahati bukuku ndio zilikuwa zao
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Hahaha
@emmanuelmwandu.3126
Жыл бұрын
Kiburi ni adui mkubwa sana wa huduma.
@olivawemakidomodomoofficia5166
Жыл бұрын
Asant pst
@josephinenyamhanga8818
Жыл бұрын
Baadhi ndivo wakogo hivo baba lakini wasamehe bure tu,nikujisahau
@barakakings
Жыл бұрын
ni kweli,waimbaji binafsi wengi tuna matatizo.
@aaaaaah290
Жыл бұрын
NILIWAHI PEWA JUKUMU LA KUMTAFUTA BONFACE MWAITEGE MIAKA YA 2008 -2010 kati ya miaka Hiyo. MAJIBU Aliyojibu nikikumbuka leo huwa 🤣🤣🤣 tuu. Miaka hiyo nikiwa TUNDUMA, Cjajua huwa wanajiona ni KINA nani 🤣🤣..!! USHUHUDA HUU UMENIKUMBUSHA MBALI KIASI 🤣🤣 BARIKIWA SN PASTOR KIMARO
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Yani mm nilimpa makavu mmoja wao yani awa watu wanakera sana alafu wanajiona bila wao huduma haziendi nikamwambia ndyomana mnaanguka dhambi sababu ya viburi vyenu
@jonesjackson6187
Жыл бұрын
Upendo nkone amewahi onesha kiburi Mahal fulan ilinikera sana
@mejoservicescentre1128
Жыл бұрын
Kawaida yake
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Yani kwanamna wanavotukera awa waimbaji sizan kama wanambingu watafika jaman
@Godneverfailed
Жыл бұрын
Yule mama kumbe anatabia hiyo?
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Mmmmh hela Kwanza ktk kuimba nyimbo za MUNGU UNATAKA HELA AAA
@davidsemvua5336
Жыл бұрын
Rose mhando
@dicksonlaston2175
Жыл бұрын
Ajikwezaye atashushwa
@kimarioedifesta4161
Жыл бұрын
Mtumishi imbeni wenyewe na tezi za roho
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Kabsa inatosha sana tu
@kigoracredit7314
Жыл бұрын
Muhando huyo
@blessedme7852
Жыл бұрын
Ndo huyo hata sisi kanisani alitupiga.hakuja kabisa
@dicksonlaston2175
Жыл бұрын
Pia mungu akubariki kwa uvumilivu mwingine angefukuza madhabahun hekima ijae ndan yako
Пікірлер: 50