Sheikh Sule ana elimu na anajiamini,hodari wa kujieleza huchoki kumsikiliza na unajifunza mengi.
@user-qx9nv8jo6p
Ай бұрын
Dr. Sure maneno yako sahihi Mungu akujalie uwe mwema na muadilifu
@MartinaMsimbe-qk8ug
Ай бұрын
Nimependa somo❤❤❤
@maxmiletz4563
Ай бұрын
Asante dokta nimejifunza kitu
@user-pu6pr5jt4n
Ай бұрын
Shekhe smart sana❤❤❤
@elizabethmukeba2528
Ай бұрын
Shilole we ni mwanamke mwenye muzuri sana tena mpambanaji lakini pesa yako sio fimbo ya kuwachapa wanaume
@ShukurMkan
Ай бұрын
Upo sawa sana shekhe
@user-ne5cg4vv1h
Ай бұрын
Dr .nimekuelesa sana
@user-uf4xy4ms2m
Ай бұрын
Swadaqta doctor Sule.mashaallah Allah akuzidishie akili.
@jacklinelyimo7407
Ай бұрын
Asante imenisaidia sikujua mambo mengi nimemjua sasa
@MuharamiNgasinda
Ай бұрын
Dr of drs
@raimajimoto1122
Ай бұрын
Nimekuelewa sana mwamba
@jamilamasoud8544
Ай бұрын
Jifundishe kutuma handkerchief sheikh, kimawaidha uko sawa.
@CatySungula
Ай бұрын
Hongera Sana shehe. Umesema kweli tupu, uko vzr Sana. Yani hapo pa wanaume ndo penyewe, hata mm naliaga na hapo pa elimu ya ndoa kwa wanaume pamesahaulika Sana.
@florakimaro-vw7qj
Ай бұрын
😂😂😂😂😂umenifanya nicheke jamani mwanamke anaweza kuongeza vitu juu ya kitu unaweka kucha juu yakucha nywele juu ya nywele jamani nimecheka
@sudamohamed1439
Ай бұрын
Subhana Allah dunia imekwisha ajiitangaza ataka mume . Waschana Mbona hatuna Haya . Aibuuuuu
@scholarmawala1403
Ай бұрын
Dr eeeh,Hachezei wanaume,anachezea wavulana😂😂😂😂😂
@user-hs1qg2nv4j
Ай бұрын
shilole upo sahii san
@D1andonlysally
Ай бұрын
Leo dk kakerwa na mmoja wa wake zake😂😂
@afianzele7571
Ай бұрын
nkadhani nimeona peke yangu😅
@Onlyforfun1992tube
Ай бұрын
Shekh toa namba kuna mtu nimtengeneze 😂😂😂😂
@Annalisejg2ur
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Onlyforfun1992tube
Ай бұрын
😂😂😂😂 janja janja dah hatari
@sallysafisanakijanakazibut1688
Ай бұрын
Yaqni hilo la mwanaume kujitetea akiwa na kosa nakupa 100 kwa 100.
@user-po5hd9xi9x
Ай бұрын
Roho inakuuma umekosewa eti unaenda kupika na kupakua kwa wakwe😂😂😂😂nijikute
@sallysafisanakijanakazibut1688
Ай бұрын
Mengine umesema sahihi km kuwa na hasira sana unapokuwa kwenye siku. Ila hili la kutosheka wanaume pia hawatoshiki haswa kwa kutaka wanawake hamtoshi na hicho kitu hata mkiowa wanee bado mnataka zaidi
@user-lu5vg9kc7y
Ай бұрын
ALLah mtukufu akupe mwesho mwema shehk wetu uko vizurr 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤،،🌹🌹🌹💞💞💞💞💕💕💕💕🍀🍀🍀🍀🌱🌱🌱🌱🌷🌷🌷🌷☘️☘️☘️☘️🌷💓💓💓💓💖💖💖💖🇹🇿
@user-mi7cd8ch1b
Ай бұрын
Tz ndoa nyingi watu hawana herimu na ndoa sasaiv watu wameona mtandaoni ndio makama Yao
@farhannahkulishwaburekunam5360
Ай бұрын
Kwani kuachika kwa shilole ni ajabu au kwa vile ni star hamna kitu cha kuzungumzi ktk news
@sharifahabsi5004
Ай бұрын
Haswaaa🎉😂😂😂😂
@mwanaikaomar8628
Ай бұрын
Kiukweli ata na mimi nampenda huyu dada.sana
@salisali3738
Ай бұрын
Sawa lini niende kuchumbia😂😂😂
@user-qg3kf1ue7z
Ай бұрын
Mie ni Mkristo.... Ila Huyu MR DR Sheikh SURE ni brilliant sana....Awesome....AMESOMA.....BIG UP SIR...
@tonnyojambo1731
Ай бұрын
Sasa ukristo hapo unakujaje?
@Brunn-mh2bq
Ай бұрын
@@tonnyojambo1731Sasa wewe wataka jibu la aina gani? Kasema yeye ni mkristo lakini maelezo ya huyu sheikh yamemwingia. Ubishi tu wa kipuuzi hauna maana. Huyu ni mkristo anayeweza kuingia uislamu.
@user-gi1vf3gh1e
Ай бұрын
😂😂😂
@faridseilan4400
Ай бұрын
Assalamu alekum naomba Dr.Sule ani fasirie hii Ayaa wayata3allamunna ma yadhuruhum wala yanfa3ahum surrat Bagara Ayaa 101 to 102
@user-ur8cq1ye3b
Ай бұрын
Nawewe kunamaajabu gan usiposikiliza apa Kwan umeitwa au umekewa bando namtu usikilize
@khadjamhozya
Ай бұрын
Umbea tu
@khadijaa815
Ай бұрын
Aaa sh na wanaume pia wapo wanauliza masuali ya kijinga hayo unoyasema na wanaume wanayo pia wengine
@zayanazayana5518
Ай бұрын
Vipi sheikh anakunywa maji bila Bismilah wala Alhamdulillah
@jamilakhamisshaaban4752
Ай бұрын
Bismillah kasema moyoni
@user-ur8cq1ye3b
Ай бұрын
Sio lazima aseme adi wewe usikie
@ashaabdalla924
Ай бұрын
Hio kila mtu anaisahau hata weye hupigi unaisahau
@maryammdoe5801
Ай бұрын
Saa mbona sidiria yangu iko wapi, 😂😂
@mataypanga5262
Ай бұрын
Hakuna uhusiano Kati ya dini na ndoa kwa sababu ndoa ipo daima na ni ni lazima.Dini ni hadithi nyingine
@hemedramadhani7946
Ай бұрын
upo uhusiano wa ndoa na dini kaka.
@mataypanga5262
Ай бұрын
Upo uhusiano?. Kivipi@@hemedramadhani7946
@annasolomon9855
Ай бұрын
Kikristo imeandikwa ndoa ni mojawapo ya maisha matakatifu, ikaandikwa Mungu anachukia kuachana 😢
@abdulazizimashaka3275
Ай бұрын
Huyu shekh nae anapenda umaarufu jmn
@Brunotarimo10
Ай бұрын
Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏
@Brunotarimo10
Ай бұрын
Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏
@nakundwamkubwe7823
Ай бұрын
@abdulazizimashaka3275 Dr Sulle ni maarufu kabla mimba yako haijatungwa. Sulle hana shida ya umaarufu labda wewe umemjua jana.
@hajiramadhanihaji355
Ай бұрын
Dr sule Ni sheikh maarufu tangu zamani . Anaelimisha jamii vizuri . Jamii inahitaji watu Kama hawa.
@salisali3738
Ай бұрын
Sana
@farhannahkulishwaburekunam5360
Ай бұрын
Sheghe sio wanawake wa siku hizi si kama wapenda kujaliwa no hawana habari wanapenda pesa tu hata asipokuona
@user-hi8le2vb7z
Ай бұрын
uyo sule hafai ata kwa chumvi...aachwe kama alivyo...na usipomuelewa hakuna kitu utaelewa mpaka kifo chako
Пікірлер: 65