Huyu mwanamke Msamaria ambaye Jina lake halikutaiwa katika Biblia kwa sababu za kiusalama wake kutokana na maovu mengi aliyo kuwa ameyafanya katika jamii
(Yoh. 4: 17 - 18).
Huyu mwanamke alikuwa anaishi maisha ya ukahaba na wanaume za watu na wanapofilisika ananda kwa mwingine; haya ndiyo yalikuwa maisha yake, na hata alipokuwa anazungumza na Yesu alijua, atamnasa tu, ndiyo maana ya kumjibu
Yesu kwamba sina mume.
Yohana 4 : 5 - 25, 28 : 30, 39 - 42
Негізгі бет Tuwe na uchungu na wenye dhambi na tuwaalike kwa Yesu. Askofu Dr, L . Mwizarubi
Пікірлер: 4