Mungu akubariki sana sababu nyote kwakweli umeyafunza nikama yananilenga ila naomba BABA wa Mbinguni anifungue macho ili nikajue penye nilikwama ,ninuke na nishike amri zake Mungu awe nawe na akuongenzee zaidi 🙏🙏🙏🙏
@theophilekahenga3344
9 ай бұрын
Amen ❤
@neemastima636
9 ай бұрын
Asante Mungu kwa Baraka ya mtumishi wako hyu
@rahabumorro4148
9 ай бұрын
Asante Yesu kwa mtumishi huyu ninabarikiwa mno
@upendoloondokalembekela7748
9 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi, mimi nayafanyia kazi popote naomba ,na Mungu anajitwalia utukufu.
@slamafamily5720
9 ай бұрын
Amen pastor barikiwa sana waaah umenitowa mahali 😄 nitaomba popote kimoyomoyo Asante sana kwaufahamu
@hildakazi
9 ай бұрын
Nabarikiwa na masomo haya Mungu azidi kukutumia mtumishi wa Mungu pr Mbaga
@RamadhanMwinyimvua-ry8yp
8 ай бұрын
Yaan mchungaji nabarikiwa Sana na mafundisho mazuri haya.
@kabalizasekanabomarko6063
9 ай бұрын
Imeze hata kama ni chunu. Napenda sana mahubiri yako baba. Kwetu Congo wanapenda sana akwavi.
@josianeniyonkuru5796
9 ай бұрын
Amen.hakika nimebalikiwa na hili somo.Mungu azidi kukutumia na akujaze roho mtakatifu
@jackschannel6556
9 ай бұрын
Nikweli ksbisa, vyakula vya kwetu afrika viko na ladha tamu saana. Mimi hapa German, nakula tu lakini havina ladha kapisa na tena viko gali.
@tinakabyemela3593
9 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi mahubiri yako yana nguvu ya ajabu
@susanomwenga8882
9 ай бұрын
Amen pastor mmbaga may God bless you everytime i watch your sermon I'm so much blessed 🙏
@user-gs1ld5vd6e
8 ай бұрын
Ahsante kwa mafundisho mazuri pastor nimepokea
@MildredShinali
9 ай бұрын
Ameeen ahsante Kwa neno unatujenga kimani sana ubarikiwe
@user-pm8hz3wy3n
9 ай бұрын
Asante Kwaneno mtumishi wamungu ubalikiwe
@user-sf8ux6xs3z
9 ай бұрын
Aise ninabalikiwa sana na mafundishoyako
@kabalizasekanabomarko6063
9 ай бұрын
Hata mimi nataka kufunga na wewe kwa neema ya Mungu
@asiri-romy-simba3671
9 ай бұрын
Asante Mungu Asante pastor Mbaga
@faithkwamboka9196
8 ай бұрын
Ameen
@dianarobert7953
9 ай бұрын
Mungu akubariki sana Pr.
@verynicemkaro7116
9 ай бұрын
Napenda sana kuwa Tanzania sio Siri vyakula vyetu ni vizuri sana
@geraldmwangira.4978
9 ай бұрын
Amen ubarikiwe Pastor.
@tracysally-im7fw
9 ай бұрын
Unatusaidia kiroho na hata kimwili, Mungu akubariki,Tuchangamshe akili
@EasterEmanuel-wh9dz
9 ай бұрын
Hakika
@margaretwanjiru9096
9 ай бұрын
Barikiwa sana kwa mafundisho yenye baraka
@johnmduma7689
9 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu
@Mallaba_M.B.L.N
9 ай бұрын
Amina, tunabarikiwa Pr.
@SaitotiHinyura
9 ай бұрын
Asante sana, Nabarikiwa nikiwa ZANZIBAR Unguja.
@kabalizasekanabomarko6063
9 ай бұрын
Naomba na mimi kufunguliwa macho na Mungu.
@kabalizasekanabomarko6063
9 ай бұрын
Hata ukifunga na dunia nzima kila siku, Mungu atakupa nguvu kila dakika na seconde.
@jonathanisaboke6897
9 ай бұрын
Amen 🙏
@AnnaWanchoke
8 ай бұрын
Nitafanyaje ikiwa nimesahau nadhiri yangu
@rhinakiza
9 ай бұрын
That's truly, pineapple 🍍 ya hapa America is not the good like our Africa pineapple
@BarnabasJonas-nv4ig
9 ай бұрын
AMINA
@elizabethgodfreytondo3052
9 ай бұрын
Amen
@billclintononyimbo_officia
9 ай бұрын
Blessings 🙏
@priscamwangama9192
8 ай бұрын
P L0
@priscamwangama9192
8 ай бұрын
Pp
@calebmakori
9 ай бұрын
amen
@EdsonFanuel
8 ай бұрын
Kuna dada yangu anaumwa mukono mumuombee
@alicemwaka3762
9 ай бұрын
Kweli kabisa
@gracelyimo6256
7 ай бұрын
Barikiwa sana pastor kwa somo zuri Kuna uwekezaji,kuna kukombolewa,kuna kuona fursa pia kuna roho wa Mungu katika hili🙏
@trendingnowkviewshoursago
9 ай бұрын
Hello pastor kulingana na kile umefunza mbona nahisi kana kwamba sisi waafrica ndio Wana wa Israeli wa kiukweli, na tumefunzwa kujichukia kiasi kwamba tumekosa kuona ili jambo kwa muda mrefu
Nafikiri title wametaka andika "unakwama" kuliko "Unakwana" Thanks
@SaitotiHinyura
9 ай бұрын
Nimejifunza mengi ambayo kuanzia leo yatanisaidia Maishani. Kumbe maombi yenye kuambatana na Nadhiri inayotoka moyoni hujibiwa haraka. Lakini kumbe siyo Kila maombi ni ya kufunga na mengine lazima ufunge.
@FaithKifani-yo5hh
9 ай бұрын
44:40 ❤
@susanomwenga8882
9 ай бұрын
Ukweli pastor mmbaga mungu ujibu haraka sana maombi yanadhili I've been praying for two years wakati niliweka agano namungu hakika alijibu maombi yangu haraka sana
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
@JOSHUANGIMBA-fj9oc
9 ай бұрын
Amen we need to change our god is faithful and truly be blessed pr
@geraldlyimo2859
9 ай бұрын
Kwani maawaziri wetu huwa wanajibugi tuna hekta ngapi
@kabalizasekanabomarko6063
9 ай бұрын
Imeze hata kama ni chungu.
@user-pl4he5cp1j
9 ай бұрын
Mimi mwanasaboto hatukungua coke
@jamesmwakitalima
9 ай бұрын
Mchungaji unachoongea ni kweli kua vijana wana degree lakini hawana ziada ya walichokifanya. Ila zaidi sana sehemu ambapo tunakwama ni serikali yetu kutotuwekea mazingira ya biashara au wazo la kila kijana...mf. hicho ulichosema vijana wapo ila hivyo vijiti ukitaka wewe uweze kuvitengeneza utapewa masharti ambayo hakuna yeyote anaweza mwishowe unaondoka nlumenyongonyea.nchi yetu ni ina viongozi wa hovyo
Пікірлер: 59