Amen 🙏 hakika wewe umefanyika baraka njoo Kenya 🇰🇪🇰🇪 utufunze kummjua mungu zaidi.
@gisellekavira8966
3 жыл бұрын
Baba umenitowa mashozi Sana nimekumbuka shida niliyopitiya . Alakini nilipo mtazamiya Jesu nikabarikiwa nanikaachambi nakila kitu kikakuwa sawa. Tuashe zambia chameni. Baba Mungu akuinuwe zaidi.🙏🙏🙏
@gisellekavira8966
3 жыл бұрын
I'm humbled 🙏🙏
@markmwangangi9057
3 жыл бұрын
Barikiwa sana mchunganji. Neno la hekima na baraka nyingi hilo. Mungu atusaindie tuendapo safari hii ya kwenda mbinguni tukaweze kuishi kwa utakatifu.
@paulondiek1345
3 жыл бұрын
Am proud of you my pastor your teachings are penetrating along the valley and mountain,nyumba ya Mungu sio casino, amen
@jacklineharuni1413
3 жыл бұрын
Neema t
@hermanetyang2712
3 жыл бұрын
Ahsante sana mchungaji kwa mafunzo haya yenye upako wa Mungu. Natamani sana kuwa kama wewe mchungaji Abuidi niombee sana Mungu anipe kibali cha neno lake anitumie kama chombo ili kuihubiri injili kwa watu wote
@KharisPsalm
2 жыл бұрын
I don’t understand Swahili so much but I love his songs. Some how I understand the songs much better and I glorify God for that.
@matelda4094
3 жыл бұрын
Ni kweli pastor natamani kuwa msafi mbele za mungu na niwe pamoja nae mbiguni nikifurahia uzima wa milele
@fridahkitomary9034
3 жыл бұрын
kweli mchungaji siku ya mateso hakuna atakaye kuona ,tena zaidi sana, kuna siku nilisikiza wimbo wako nikafarijika sana ilikuwa mwaka 2007 wakati naanza huduma mpya dar es salaam Mungu akubariki sana natamani sana siku moja nikukaribishe kanisani ,
@chris-td8wd
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu watumishi wenge wa siku hizi hawa taki kuhambiya watu kuhacha zambi wana taka kuhambiya watu kubarikiwa tu
@rosetimotu6339
3 жыл бұрын
O888788777778
@rosetimotu6339
3 жыл бұрын
O888788777778
@alexandergitonga770
3 жыл бұрын
Mungu akupe umri mchungaji wa mungu ubarikiwe sana pamoja na uzao wa tumbo yako Amen
@elaineeliudi2497
3 жыл бұрын
Ameen MUNGU akubariki Pastor
@willygidion3404
3 жыл бұрын
Mch Abiudi , Mungu wa mbinguni asikuache na akulinde na akutunze
@mimiberthabertha6172
2 жыл бұрын
amenasa na mchungaji mungu azidi kukubariki kwa kipaji chako❤❤🙏🙏🙏
@faze_narq6890
3 жыл бұрын
He is soo used of the Lord!! He reminds me of when the Pharisees heard Jesus Christ in the temple and they said he speaks with authority!! He is so spirit filled! Thank you pastor for the uncompromising full gospel!!! Powerful word of God!
@kevinndayihimbaze3585
2 жыл бұрын
Amina Mchungaji Mungu akubariki, Amina Yesu ni yule yule habadiliki
@davidshauritanga1204
3 жыл бұрын
hakuna mimba inayo tolewa isiyo kuwa na laana kwa mtoaji! MUNGU akubarki sana pastor
@joachimdaud4779
3 жыл бұрын
Napenda Sana unavyohubili umetulia
@happykapinga
10 ай бұрын
Asante Mungu kwa Neema ya Yesu Kristo uliyekuja kutukomboa, maana nimekukosea sana Mungu wangu.😭😭😭😭
@UsafiMichael-mc8kt
6 ай бұрын
Nafuu wewe unakubali maana wengi wanapinga na kundelea na mavazi yao
@vivijohn2578
2 жыл бұрын
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen powerful great teachings indeed more grace and more Anointing Man of God 🙏
@Lucy-nr2sm
3 жыл бұрын
Eee Mungu Baba unirehemu nimebarikiwa sana na mahubiri haya mtumishi wa Mungu barikiwa sana
@benardboaz6347
3 жыл бұрын
Mungu atuponye kwa Nema yake.
@naimahusseintgtytt4581
3 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu mwnyz Mungu akulinde daima
@PriscarDaniel-eq2jp
6 ай бұрын
Hili neno lisipite bule kwangu mungu naomba likaende kunisafisha kwa mahali popote nilipo kosea na kutenda vibaya mbele za mungu
@hitlerkuzugara7048
Жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia katika kazi yake
@t7zkc5tpxgim28
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor
@cymone6159
3 жыл бұрын
Wanawake bhna utaskia Amen,, km buku af ndo wakwanza kuharibu vyooteee
@selemsigala4771
4 ай бұрын
Mungu aendelee kukupigania na kukupa maisha marefu ili uendelee kutangaza utukufu wa Mungu na kuokoa.
@dativadiocles2714
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@user-bz1pn6so7k
Ай бұрын
Tunashukuru kwa mafundisho mazuri mungu akupe maisha marefu uendelee kutuhudumia
@happykapinga
10 ай бұрын
Asante Yesu kwa ajili ya watumishi wako, yaani mchungaji ameongea yangu yote Asante Yesu Kristo
@marykermui4231
3 жыл бұрын
yes preach it pastor....powerful
@mwasubilasaimoni4119
2 жыл бұрын
Amen Amen Amen, mungu akutunze sana masomo mazuri sana
@benedictotieno8
10 ай бұрын
😢😢😢Nime barikiwa nikiwa Kenya...ujumbe huu ungali hai... namshukuru Mungu
@beverlyneachieng4872
3 жыл бұрын
Amen,,, ,,,,Sikh hizi watu wachukia ukweli eneza injili
@felisterandrew8741
3 жыл бұрын
Mch Abiud Nakupenda Sana Baba Angu wa kiroho na Mungu Akubariki Azidi kukuinua Zaid.
@hellenmbise4221
3 жыл бұрын
Mjjjjjj Mhhjj
@user-xk9ul4im7o
2 ай бұрын
Maubiri ni fire. Mungu atusaidie kwaweli YESU YU aja
@mecktildatushabe7898
3 жыл бұрын
Echo ne chi tufu msaja wa katonda/ nikweli kabisa mtumishi wa Mungu be blessed
@harunimwambene603
3 жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki kwa kusema ukweli. Wa neno la Mungu. Mungu akupe maisha marefu
@jimmypeter5667
Жыл бұрын
May God enable manifestation of what this guy preached for our total change together with our families. Amen!
@justineronard7747
3 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana, utunze daima.
@sakinaamundala8314
2 жыл бұрын
Mungu wambinguni akubariki sana ijili inakaza sana ameneeeeeesana
@fransicochunji327
3 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe. Mungu akubariki saana mtumishi wa mungu
@raimundozacariasjonas7426
3 жыл бұрын
Welcome to Mozambique 🇲🇿🇲🇿 pastor!
@gabrielmoses7679
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi !
@christopherchisuligwe512
3 жыл бұрын
Amina! We need like this preacher
@peterjonathan5681
3 жыл бұрын
Barikiwa mchungaj nyimbo zako na maubiri yako hunibariki kanisa lako liko wap
@johnsmwakalonge816
3 жыл бұрын
Mbeya lipo
@littleheroe541
Жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu nabarikiwa na injili yako
@hermanetyang2712
3 жыл бұрын
Ahsante sana mchungaji kwa mafunzo haya yenye upako wa Mungu. Natamani sana kuwa kama wewe mchungaji Abuidi niombee sana Mungu anipe kibali cha neno lake anitumie kama chombo ili kuihubiri injili kwa watu wote
@islaelkivike504
3 жыл бұрын
amina
@dorkasijohn1714
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji kwa ujumbe mzuri hakika Mungu mwenyewe anakutumia
@sirig9360
3 жыл бұрын
Amen thank you powerful mesenge thank
@kevinndayihimbaze3585
2 жыл бұрын
Kweli Mchungaji unani bariki Sana, duniya ya Leo watu wamemwasi Mungu, ila wajiumbiya mahubiri ya kuwafurahisha
@videozaaj1069
3 жыл бұрын
Kuna kanisa moja huku mjini linaitwa FEEL FREE CHURCH...huko wanajivalia tu wanavyojiskia afu watu wanapenda kwenda coz kuna uhuru kama nn!!!!
@pastorgeorgekaruchio8338
3 жыл бұрын
May God bless you man of God,am blessed
@sidhanimwashiuya8769
3 жыл бұрын
Hallelujah pastor ubarikiwe sana na huduma
@thadeusmuthemba5557
3 жыл бұрын
Soo true.Never sugar coat,just preach the truth the era of coating is gone.
@pastorlutebukabahinyuye238
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi utumishi was kisasa unapoteza uwepo wa Kimungu.
@ezekiashusha2097
3 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
@ChristineLucy-yh3hz
Ай бұрын
Mwenyezi Mungu nmekukosea ila kupitia hili Neno naomba msamaha 😢😢Mungu 🙏🙏
@aloycesilwela3485
3 жыл бұрын
Injili kama hizo ni adimu sana siku hizi fundisha pia juu ya mapambo ya kiyezebel kwamba ni ukahaba pia na wala sio usafi kama madai ya wachungaji wahuni, kimsingi umenibariki
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Ni KWELI dhambi ya kujipamba kwa walokole imekamata nafasi ya kwanza makanisani KUJICHUBUA KUVAA MAWIGI tumeona ni kawaida mmmmh
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
@@geitandelwa299 MISHOLI HAJAWAHI KUNIFELISHA KWA NYIMBO NA MAFUNDISHO YAKE. Geita ndelwa ni wewe wa 1984 Lupila?
@magrethmollel1078
Жыл бұрын
Mungu aliponye kanisa lake Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@catherinenamboga8827
2 жыл бұрын
Amen niombee mtumishi pia nikazae natamani mtoto
@ruthmwasomola655
Жыл бұрын
Amen Mungu akukumbuke
@nurunikwissa6105
3 жыл бұрын
Injili kavu na imenyooka hongera Sana pastor Abihudi
@mamamkwe6t716
3 жыл бұрын
Barikiwa mtumisi wa Mungu
@faridashabanifaridashabani5950
8 ай бұрын
Aminaaaaa Baba ujumbe na ufike mbali kwajina la YESU ❤❤
@naomisanga3207
3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu
@elizamsemwa3161
3 жыл бұрын
Waoooo nawapenda sanaa jaman
@lucykihara4638
3 жыл бұрын
Amina mtumishi am so blessed your word is sharp.lets hate sin n flee from it.
@alfrednyamnini7352
3 жыл бұрын
Injiri ya nyakati za mwisho.kwenye kizazi kilichopotoka. Mungu airehemu nchi.
@lindamlaki8103
3 жыл бұрын
MTUMISHI WA MUNGU HUWA NABARIKIWA SANA NA UTUMISHI WAKO NAKUOMBEA MUNGU AKUONGEZEE HEKIMA NA MAARIFA YA KIMBINGU,MUNGU AKUBARIKI SANA.YAANI NATAMANI SIKU MOJA KUMWONA USO KWA USO.MUNGU AKUINUE SANA AIBARIKIE NA FAMILIA YAKO.
@sarahpeter9591
3 жыл бұрын
Ujumbe mzr san Mungu akubarik mtumish
@AmosObanda23Thursday16Nov8am
2 жыл бұрын
14:12 Dhambi ni kama kiu kikimkamata mtu haikutoshelezi. Mungu anisaidie sana, Nionje maji ya uhau nipate kukata kiu cha damu. Yesu apewe sifa🙏following from Kenya 🥰
@AmosObanda23Thursday16Nov8am
2 жыл бұрын
16:54 - 17: Mungu atusaidie tujisitiri vyema tusije tukalete shetani kanisani ya kulete attraction kwa watu.
@AmosObanda23Thursday16Nov8am
2 жыл бұрын
Nisitende dhambi tena maanake nikiibembeleza, itanikaba😢Yesu nisaidie 🙏
@AmosObanda23Thursday16Nov8am
2 жыл бұрын
Mithali 6:32-33 Dhambi yaibisha
@shukurukaliwali5367
3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Baba
@sudymsigala5532
3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yatujengayo
@ammyboy4121
3 жыл бұрын
Upo vzr mchngaji nimekukubali mafundsho yako mungu akubariki sana ktk kuitendela oazi yake.
@obadiakigocha7463
3 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma nzuri
@gracemsigallah2363
2 жыл бұрын
Mungu akubaliki Sana mtumishi wa bwana endelea kuitenda kazi ya mungu mungu akubaliki sana
@morineinziani9547
3 жыл бұрын
Amen mchungaji be blessed
@chantalvumilia9779
3 жыл бұрын
Amina ,Mwenyezi Mungu akubariki baba
@jasonmkisi
9 ай бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU,ubarikiwe sana
@ummymbalwa538
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji Abuid
@solangesoso3100
3 жыл бұрын
Abarikiwe sana🙌 wewe mtumishi wamungu shujaa, kwakuthubutu kusema neno lakweli, ambalo watumishi wengi siku hizi hawawezi kulisema.
@isackngwiza4449
3 жыл бұрын
Amina
@benithafredrick2465
3 ай бұрын
Amina barikiwa mtumishi wa MUNGU
@danielsulumba4448
3 жыл бұрын
Mungu akubaliki mutumishi
@edwinmasankwa7728
3 жыл бұрын
Michieka from turkana mutumshi mungu akusidishe baraka ,nimebarikiwa amina
@leontinebinlydi9459
2 жыл бұрын
Amen amen Ubarikiwe kweli baba 🤝🙏🏼🙏🏼🙏🏼🤝🙇♂️🙇♂️🙇♂️👏👏👏
Пікірлер: 316