Shukran Shekh. Hii Tiba ni kijicho cha mtu anomjuwa amekupa kijicho. Jee ukiwa. Hujui ni nani alokupa jicho? Unajiokoaje au unaokoaje mtoto. Wakati hujui ni nani. Pia kuna maadaui utamfanyaje adui ili akubali. Kukusaidia kuondowa.
@rallyscosmeticandgasaccess4839
9 сағат бұрын
MA ASHA ALLAH🤲❤🇰🇪
@HeriethChristopher
5 ай бұрын
Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏
@MaryAmaiza-th2fo
9 ай бұрын
Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.
@josephndambo3714
8 ай бұрын
mimi pia, napenda sana mawaidha yake, yanafundisha saaana
@rania-xw1vk
8 ай бұрын
Karibu katika dini yetu@@josephndambo3714
@MaryAmaiza-th2fo
8 ай бұрын
@@josephndambo3714 nikweli kaka
@imanmohamed2215
7 ай бұрын
Karibu katika dini yetu
@mwamvitaibrahim8594
7 ай бұрын
Takbir….Allahuwa Akbar
@AshuraZuberi
5 ай бұрын
Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe
@aminaabdulghanim8256
Ай бұрын
Jazakallahu kheir sheikh
@fatmaalnabhani3609
8 ай бұрын
Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲
@MaridadiRashidilikwesoLikweso
3 ай бұрын
asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi
@arafaayubu
9 ай бұрын
Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri. Allah akupe ujira duniani na aakhera. Allahumma Amiin
@drmussa1220
9 ай бұрын
Hasbun Allah wa nimal wakeel ) Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲
@NasiriMlanao
8 ай бұрын
Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah
@HassanAmadi-zs1sj
Ай бұрын
Mashallah sheh Allah akulinde
@nuruabdi7806
8 ай бұрын
Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows
@habibaramadhani-xv2ed
9 ай бұрын
SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.
@MALIKSHAFIIIBRAHIM
9 ай бұрын
Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️
@halimamfaume1925
9 ай бұрын
MashaAllah ❤ shukraan sheikh
@hawashabani7896
9 ай бұрын
Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi
@ahmadaali4605
9 ай бұрын
Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa
@ZubedaManzai
8 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida
@AsiaAbdalla-jx8rj
Ай бұрын
Allah akubarik shekh
@Aziza-f3m
8 ай бұрын
Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤
@RehemaNyela-ps1tn
7 ай бұрын
Asante shekh wenye vijicho wapo wengi tumwachie mungu apambane nao
@ArseneKyallo
8 ай бұрын
Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki
@majomasliman7856
9 ай бұрын
Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani
@FatimaFatima-bx8ez
9 ай бұрын
Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.
@PiliIsmail-h1f
9 ай бұрын
Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2
@MoshiraKipinga
6 ай бұрын
Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako
@RufeidaAli-j5g
9 ай бұрын
Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje
@UmmyKingazi
8 ай бұрын
Asante baba
@MesalimRashid
9 ай бұрын
Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.
@sebarua
9 ай бұрын
Mashaallah tutayafanyia kazi lnshaallah
@AishaNIYONKURU-xd2qb
6 ай бұрын
Aminiii
@NuratySalimu
9 ай бұрын
Mashaallah Allah Awe Pamoj Naw Inshallah Shekh Wang
@aishamohamed4823
5 ай бұрын
Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo
@RamadhanCongera
4 ай бұрын
Ahsante chekhe allah akukinge nahao
@swabiaa1489
8 ай бұрын
Allah akuhifadh ❤
@ramaaman4020
4 ай бұрын
Shukran Sana Shekh wetu.
@Asia-m7n
7 ай бұрын
Maa shaa Allah ❤❤
@rachelmnyimwa4192
8 ай бұрын
Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na
@JumaMohd-y4v
6 ай бұрын
Shekhe hongera sana Allah akubarik
@abdilahally6340
9 ай бұрын
Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya
@SaidiRamathani-l3n
9 ай бұрын
Shukran Sheikh
@AminaMohamed-td2bi
2 ай бұрын
Ndomn nakupenda sana sheikh.ukomsafi sana wamaneno.
@AminaMohamed-td2bi
2 ай бұрын
Naje kama hukumjua aliekufanyia kijicho.tibayake Nini.
@MariamShabani-eb3oh
2 ай бұрын
Jazakallahu khayra
@MariamAli-w5r
9 ай бұрын
Allah atuhifadhi
@abdulragmababdulsalam5107
9 ай бұрын
Mashaallah shukran ❤❤❤
@SwaumuJuma-bc9se
9 ай бұрын
Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah
@twalibutwaha1632
8 ай бұрын
Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo
Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?
@seiflugendo7141
9 ай бұрын
Allah akbar
@Shariffshariff-q7j
9 ай бұрын
Allah Akbar
@DaxMarioo-rq9rs
9 ай бұрын
Ni kweri ostazi wangu
@salmaassed
8 ай бұрын
Mashallah
@TALLUBOY
8 ай бұрын
Leo nimepata somo kubwa sanaaaa
@chizimangale-m9m
3 ай бұрын
Allah Akbar
@SamiraBhazizane
9 ай бұрын
Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje
@smadon5638
9 ай бұрын
Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu
@TwaliathAndrea-dm3dy
5 ай бұрын
Mswalie mtume mara nying
@SOLOMONADAMS-b3i
9 ай бұрын
Mashaa Allahu karibu kigoma.
@mzeebakari2020
Ай бұрын
Shubhanallah
@naswiharashid7166
9 ай бұрын
Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza
@HamisSaidi-h3u
8 ай бұрын
Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani
@hamisimtusi1796
6 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah
Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote
@mamuumuu4999
7 ай бұрын
Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma
@asmahasanirashid5059
8 ай бұрын
Maashallh maashallh
@AmamAbubakar
9 ай бұрын
Mashaa Allah
@emmanuelmudachi6508
8 ай бұрын
Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa. Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote. Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda. Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi. Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.
@imanmohamed2215
7 ай бұрын
Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin
@TwaliathAndrea-dm3dy
5 ай бұрын
Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur
@bentybenty2343
9 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@HileHile-ns9xv
9 ай бұрын
Tabaraka Allah
@SmilingCherryBlossoms-ce8md
9 ай бұрын
Maashallaah
@HamzaMohd-x5m
9 ай бұрын
A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
@MwanajumaSaria
3 ай бұрын
Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani ili nisaidike
@hamisimwinyi-c5t
9 ай бұрын
Dah Atari sana
@ftimaramadan4748
9 ай бұрын
Shukran
@hawaamabrouck2456
7 ай бұрын
Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali
@KIMOCHA1
4 ай бұрын
Allahuma Ameeen
@emmanuelmudachi6508
8 ай бұрын
Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.
@JonathanKebaso-yk8le
9 ай бұрын
Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏
@fabssaleh7273
9 ай бұрын
BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU. JE ikiwa si Waislamu?
@EdyAbudo
2 ай бұрын
ishalla
@AbdulAziz-q3o4m
8 ай бұрын
Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?
@maryammakata7849
9 ай бұрын
Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu
@nurumohammed1310
Ай бұрын
Aslam aleikum shekhe wangu hayo mi nnayo lkn sasa nafanyanyaje ili hayo yaniepuke huwa nilikuwa nikisema ni mikosi shekhe wangu unanisaidia. Mimi mja wa mungu???
@casualteenfashions8790
8 ай бұрын
Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.
@HamzaMohd-x5m
9 ай бұрын
A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
@princessryan5676
8 ай бұрын
A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?
@ahmedmuhiddin5107
9 ай бұрын
Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo
@zitoncombo1317
8 ай бұрын
Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?
@mwajumaally3383
8 ай бұрын
Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku
@imanmohamed2215
7 ай бұрын
Muombe Allah
@MuniraYahaya-y9n
2 ай бұрын
Yaalabi tuepushe na mitihani yakuchukiwa
@JohnMalengua-jh6ps
8 ай бұрын
Je tufanyeje kujilinda na hayo yote
@kharifasanto3383
6 ай бұрын
Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga
@Ahmed26171
5 ай бұрын
Pole ndugu Yangu...
@josphinengugi4978
2 ай бұрын
Mimi naulisa nakama yule alikuwa anakusitukia anakwambia maneno alikufa nifanye aji Mimi ni mkenya
@khadijamohammed7811
5 ай бұрын
Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje
@aminasaid6555
9 ай бұрын
Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh
@smadon5638
9 ай бұрын
Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani
@UmmulKheiry
7 ай бұрын
Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe
@SaidChilaza
8 ай бұрын
Nina maongezi yangu kidogoo
@maryammohammed5835
24 күн бұрын
Hapo kufanya hiyo tiba ni mpaka umemjua aliyekufanyia kijicho. Vipi kama haujajua aliyekufanyia kijicho tiba yake ni nini?
@Chw_Kdmn83
9 ай бұрын
Assalaam Alaikum Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?
Пікірлер: 145