Tuna Waziri mmoja tu,Jerry Slaa .Tuna mbuge mmoja tu,ambaye ni Luhaga Mpina, na tuna Mkuu wa Mkoa mmoja tu,ambaye Paul Makonda.
@emanuelleopod3949
Ай бұрын
Naaam naaam
@susananyasani6526
Ай бұрын
Waziri Silaa anafanya kazi nzuri katika maamusi ya haki kwa Wananchi wote asante
@jtheophil5499
Ай бұрын
Nacheka peke yangu.sasa mahakamani mahakimu wana kazi gani😂😂.Safi sana mh.Kichwani uko vizuri ukiongozwa na busara
@sabikamanji2521
Ай бұрын
Mwenyezi Mungu Akulinde Kipenzi chetu ila nakuomba waziri wetu Uje mwanza plse
@nimuhimusana
Ай бұрын
I wish mbali na Mawaziri, pia Makatibu Wakuu wangekuwa wanatenga muda kwa ajili ya kuwasikiliza wananchi wanaowahusu moja kwa moja hasahasa Katibu Mkuu Utumishi.
@hanspop6961
Ай бұрын
Dogo Namkubali sana Mungu Amueke
@andrewmallya5182
Ай бұрын
Hivi mawaziri wengine wanafanya hivyo kutatua migogoro kwenye wizara zao au wapo wapo tu!!?
@Boniphaceshayo5
Ай бұрын
Naomba kujua mawaziri wengine wanafanya nini kwenye wizara zao
@user-fr7jj1bo7y
Ай бұрын
tofauti yao kubwa silaa ni mtu wa kamera vitu hivi vingi bado viko mahakamani hizi ni show tu
@charlesmwambinga4355
Ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7y hesabu katatua kero Ngapi..? Jamaa hapumziki kama unaweza nenda jaribu tu hata kutatua mgogoro kwenye familia yako ndo utaelewa maana ya kazi anayofanya
@Boniphaceshayo5
Ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7y kumbe
@GodfreyOsward
Ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7yMwanadamu atakusifu, kwa kiwango kile ambacho na yeye ana fikria kufanya au ana uwezo nako, pale unamzidi ataponda.
@elizageorge2414
Ай бұрын
Hata mimi pia nataka kujua wanafanya nini mawaziri wengine.
@ikulunimahalipatakatifu7642
Ай бұрын
VIJANA SAFI SANA MUSIMWANGUSHE MAMA, PAMBANA NA MAJIZI .. HAKI SAWA KWA WOTE.
@emmanuelbernard9552
Ай бұрын
Slaa ni mkalimu sana tu.
@aminaosman3315
Ай бұрын
,hasa waziri WA sheria
@nsiamasawe4578
Ай бұрын
Viongozi wengi wanashindwa kujiamini kama Waziri Jerry Slaa kwa kukosa uaminifu. Jerry Slaa ameridhika na mshahara wake
@muziki228
Ай бұрын
video editor akamatwe
@MrKhatibu
Ай бұрын
Siku nyengine akimaliza suluhisho la kesi ya mtanzania mweusi basi uandike kichwa cha habari kwa kuainisha asili yake, kikisomeka " Waziri Slaa amaliza mzozo wa ki wanja cha Mchaga au Mnyaturu au Msukuma.
@Rai_online_tv
Ай бұрын
Haaa haaa EASY kaka
@jamesjahasa3348
Ай бұрын
Upele umemkuta mkunaji MUNGU mmwagie hekima zaidi huyu waziri
@rehemakanyere4188
Ай бұрын
Aminaaa
@femidayahaya4882
Ай бұрын
Amen
@mohdmakame5090
Ай бұрын
Kaka pigakazi usisikilize ya watu ww ataukitoka mvi hiyo ndokazi yako imekubalika kwa mmungu
Пікірлер: 28