Heri wafu wafao ktk Bwana,kwa maana matendo, yao yafuatana nao,wimbo huu umenipeleka Rohoni sana balikiwa sana Mtumishi wa Yehova,
@BarinabapetroPetroleonadi
4 күн бұрын
Wapendwa kwahali hii tuzidi kujitakasa maana hata yesu alisema mwonapo haya yatokea basi tambueni mwana wadam yukalibu kuchukua kanisa lake, nampenda yes sana kuliko kituchochot dunian maana ndio uzima wangu baada ya kifo hapa dunian
@EmmanuelSimkwai
3 күн бұрын
Mungu naomba ufunuo ukwel kwa wato wote kupitia watumishi wako mbarikiwa asante kwa injili yako baba yangu wa kiroho
@user-ii1qk9xn9z
6 күн бұрын
Dunia ipo mwishoni hakika.🙆😢😢 Mungu turehemu.. Karibuni mwanaume Yesu anarudi.. tubuni jameni. Ubarikiwe sana Mtumishi. You're the best
@Pendopasilika
5 күн бұрын
Mweee ndaga mwana gwa kyala mhh!!! Dunia iko mwishoni dah MUNGU wetu turehemu
@tamarali8325
6 күн бұрын
Dunia iko mwisho kweli. Mtumishi wa Mungu endelea kusimama nau kweli
@user-ej5vc7zg7o
5 күн бұрын
Barikiwa sana tumishi. Simama hivohivo usirudi nyuma.
@AlexMgeta
6 күн бұрын
Yaliyo tabiriwa yameanza kutimia Wapendwa tuzidi kusali na kujiakasa 😢😢😢😢😢 Mungu aturehemu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@aderanderwa7623
6 күн бұрын
YESU KRISTO TUNAOMBA UTUREHEMU
@Mwinjilist-samson
5 күн бұрын
Kwa sasa naona mazingira tofauti Yana mreta YESU kristo
@Inkubutembo7779
2 күн бұрын
Kweli Mungu ni mvumilivu. Ningekuwa mimi ningekuwa nimewamaliza wote. Uchafu wa kutisha sana. Mungu, naomba utukumbuke wanadamu. Peke yetu hatuwezi kumshinda shetani na majini yake
@Rashid-vm1fk
5 күн бұрын
Jamani muda umekwisha watu wanaona kama maigizo hivi ila watu watashituka huku, hukumu imeshafika
@OmaryRamadhaniAlly
5 күн бұрын
Mungu akutunze mtumishi
@user-cq8nd4ek8w
5 күн бұрын
Yesu Arudi Sasa Jamani!!! Siyo Kwa Haya tunayo Yaona Jamani!!!
@AlphinePamela-vp9et
3 күн бұрын
N kweli tuko siku za mwisho😢😢😢
@mwambakibucheche1119
5 күн бұрын
Aisee ni hatari sana
@Rev.PaulMwikila
Күн бұрын
ONA MTUMISHI WA YESU KRISTO BADILI TABIÀ ZAKO MWAMINI MUNGU AWABARIKI
@fridahmule-qd4jm
Күн бұрын
Kweli ii dunia imeisha kabisa mwanaume anaoa mwanaume mwenzake🤔🤔🤔
@Elizathcore
5 күн бұрын
God bless you Cassian you are doing a good job. Tell them them the truth!
@MariamSenga-xn2dc
5 күн бұрын
Mungu akupe ulinzi wake,ni wache wanaoweza kusema kweli😭
@MpashiKennedy
4 күн бұрын
Kweli yikomwisho dunia
@ErnestMugisha-sz7ld
Күн бұрын
hawa pumbavu wazungu ndo wameleta ushetani Africa
@benjaminwafula
5 күн бұрын
Wasiokuelewa na kuielewa kazi yako ndio hao hao wanaojishuku wengine wao n wahumini na washirika wakubwa makanisani eti nao wanalalama kuusu mahubiri na kazi zako ina maana ukweli hawautaki mi nasema upo sawa kbs na mungu yupo nawe hadi tamati
@AnaniasBenedict
5 күн бұрын
Mtumishi usitaje majina ya watu hujui hatima ya mtu, ila kuonya ni kazi nzuri
@biannapiter554
5 күн бұрын
Bora watajwe tu ili MTU achague asiwe na kisingizio kwa uliwahi kuskia sauti 😢😢🙏🏻
@bonifasiemanueli21
4 күн бұрын
Mwache ataje
@martinahlighare6495
6 күн бұрын
Yanaanzia nchi za nje mwshowe yanafika kwetu Africa. Mbona waafrika tuige jamani? Tuwachie watu tabia zao . Nkt
@RizikiLaizer-j5w
5 күн бұрын
Jamani inauzunisha 😢😢😢😢
@Farajahelene23031
5 күн бұрын
Wonder shall never and the world is on danger
@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r
5 күн бұрын
😭😭 inauma
@IsaacNgalama-lj6gf
5 күн бұрын
Aliye na sikio atasikia anayonena mtumishi ila sikio la kufa halisikii dawa.
@ryobanchagwa2499
5 күн бұрын
Kweli jamani hakika mtumishi wa Mungu
@jacquemerry4218
5 күн бұрын
Tuliita fashion kumbe yanalenga UHARIBIFU namna hii uuuuuuuuwi
Пікірлер: 40