ALLAH ATUONGOZE SOTE..... DUNIANI SIO MAHALI PETU SOTE TUTAPITA TU....HUPITA MUDA TUKAJISAHAU SAANA....NA NDIO UDHAIFU WA WANAADAMU ....ALLAH AWAREHEMU WOTE WALOTANGULIA....NASI ATUPE MWISHO....😥😥😥
@abdulrahmansaliumalbry2615
5 жыл бұрын
Mmoja baada ya mmoja atakwenda na maji fanyeni ufirauni wenu .
@tatukinyogoli9001
6 жыл бұрын
Mungu akulipe Una chostahili
@imamnassor3038
5 жыл бұрын
we mama mungu akuzidishiye moto mshenzi weeee
@mchagagaspar6649
Жыл бұрын
NAAM YEYE NA NYERERE !
@shaqyromar7735
5 ай бұрын
Moto mpaka aendako
@rahmanassor7982
8 жыл бұрын
mungu amlipe kwa alichokitanguliza
@salumhaji1906
5 ай бұрын
Allah tunakuomba umsameh madhambi yake mama yetu huyu, Allah awajaalie wazanzibari wote wasameheane,wapendane,wapate mamlaka kamili,na waishi kwa upendo na masikilizano na ndugu zao wa Tanganyika wakiwa ni nchi jirani zinazopendana na kuheshimiana, Aaamin.
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
M,mungu ni mkubwa alivyo mfyatua mpaka raha
@SuleimanMuhammed-g7q
8 күн бұрын
Mungu amlipe anacho stahik lkn alikua mshenz sana huyo bibi
@maryamkhamfar4029
8 жыл бұрын
Allah akuweke mahali pabaya motoni milele....Aamiin
@kapilimajuma6558
7 жыл бұрын
uislam haujafundisha hivyo ,,,,,,
@azizahassan3445
5 жыл бұрын
Usimtakie mwezio mabaya
@abuubakarkichimbo9957
4 жыл бұрын
Mmmh hili lilikuwa bungo sio bunge lakin mwenyeketi anaona raha akiona watu wakipiga vigelegele
@OmerSuley-gl7go
9 ай бұрын
Lishakufa uko Mungu alilipe kwq uovu wake mshenzi mkubwa uyo bibi
@albusaidkhelef6655
6 жыл бұрын
Ashlo khamis ALLAH atauliza kila kitu na usenge wako
@HemedHemed-qp2wt
Жыл бұрын
Allah akuchome zaidi
@khadijaabdallah933
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣nchi haichukuliwi kwa makaratasi mmh asante mama uliwapasha mambo yamepita wallah mchakato wa katiba huu duh kka irejewe
@aidoact3166
5 жыл бұрын
Allah akulipe uko uliko unachostahiki
@vicentelias491
4 жыл бұрын
اللَّهُمَّ أَحْسِنْ عَاقِبَتَنَا فِي الْأُمُورِ كُلِّهَا وَأَجِرْنَا مِنْ خِزْيِ الدُّنْيَا وَعَذَابِ الْآخِرَةِ. Allahumma ahsin ‘aaqibatana fil-umuuri kulliha wa ajirna min khizyi d-duniya wa adhaabi l-aakhirah. Kila mwisho wa mja ajuae ni ALLAH
@aliabdallah2220
5 жыл бұрын
Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
@mwanalelee6
Жыл бұрын
Maash
@fatumamuhamad8570
6 жыл бұрын
allah akulipe moto mkalisana huko ulipo kwa kuutetea kuu si mamia ukafiri na kuukataa uislam usitawale maisha yawatu ila uislam utatawa tuu inashallah
@jumakapilima5674
6 жыл бұрын
Fatuma Muhamad uislam haujafundisha hivyo,,,,,
@RioIpo
4 жыл бұрын
Kwa hiyo Cuf ndio Uislamu
@jamaa2760
2 жыл бұрын
'Wafadhilaka si Wasaidaka ni Wapundaka'
@AminialiAli-vv4yk
Жыл бұрын
Sikuona alipo jenga hoja mahususi ya kikao wenyewe
@binbarwan7401
7 жыл бұрын
Hongera biasha endelea kutetea muungano
@fatmahamed3285
5 жыл бұрын
Kashakufa hyoo
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
Maskini saa hivi anajitetea nafsi yake tuu' ndio wale wanaosema' ewe mungu nirejeshe hwenda nikafanya mambo mema"""""""""""aliyoyaacha' lkn zimeshanyanyuliwa kalamu na zimeshakauka kurasa' yarabb tuwepushe na vibur na utupe husni lkhatima ' nawala usiwaache madhalimu ktk ardhi yako wakazidi kudhulumu' wangamize km ulivyowaangamiza majini kutokana na dhulma zao hakika wewe hushindwi
@mohammedmhina3973
8 ай бұрын
Bora ALLAH amemtoa dhalil uyu
@fatimasuleyman4290
8 жыл бұрын
Jamani tumsameheni hakuna kiumbe aliye kamili aso hili ana lile, mwenzetu ameshatangulia mbele ya haki na sie tuko nyuma kifo ni haki kwa kila mwanaadam Allah atupe hatima njema inshallah na yeye Allah amlaze mahala pema inshallah AMIN
@omaryyusuph4873
6 жыл бұрын
Apo uposawa
@bakarihamdu7628
5 жыл бұрын
Maskin dah!!!! Huyu mama hajielew na inshaallah mungu atampa lakumpa inshaallah
@salehsuleiman8519
3 жыл бұрын
Alipo akiyatenda hakujua kama anakera wa2 wacha avune alichokipanda
@hamadrashid5140
Жыл бұрын
Allah amsameh
@shaqyromar7735
5 ай бұрын
Subutu
@wizzditto747
5 ай бұрын
Uyu ni malaya
@zuwena1zuwena114
3 жыл бұрын
Loooo utpinduliwa na mungu
@abuubakarsaid9410
4 жыл бұрын
Laanatullah inatia uchungu mungu amlaani aliko anamdhalilisha mtu mbon yeye hakubaki milele
@bakarhaji1669
3 жыл бұрын
usimlaani muombee msamaha alipokosea
@mgeniali941
3 жыл бұрын
Mungu alikuona ndio akakuchukua mapema dunia uliivaa pole
@zenj1986
3 жыл бұрын
Wazanzibari tumeekea ubishani tu. Ndio maaana muda wa maendeleo hatuna.
@chudinhoj.r2313
6 жыл бұрын
Nani kasema kwa mung huulzwi siasa? Kwan anaongoza pund ata asiulizwe mungu AMDUMBUKIZE KATIKA MASHIMO YA AINA ZOTE SABA MOTONO malu'uni huy sawa na fir auni et
@AP-uk3mq
4 жыл бұрын
Mungu amlipekwa maovu alioyafanya huko alipo
@fedoaliyomari1112
5 жыл бұрын
dunia mapito jmn midomo iwezeni iyo
@mara-cb3gx
7 жыл бұрын
r.I.p my
@aaroneu07
8 жыл бұрын
Khaaaa haka kamama kalikuwa noma. RIP Mama Makame.
@ibrahimsheha215
5 жыл бұрын
Maviii
@OmerSuley-gl7go
9 ай бұрын
Mshenzi tu uyo
@muhamedkhalid6391
5 жыл бұрын
kuma mamayooo
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Mama yako nae si anayo,,au yeye pale kwenye nanihii,,,,ameweka nanihii???
@moodyman7588
5 жыл бұрын
Asalama aleykum, huyu bb alikuwa anataka aoneshwa kwa machoyake mapinduzi ya vijana Zanzibar, lkn Allah kamchukuwa, Na CCM wakipenda kutamka hivyo kuwa nchi haijapatikanwa kwa karatasi inamana Chama chengine kikitaka nchi itabidi tufanye mapinduzi. Sw. Think before you done
@mohammedmhina3973
8 ай бұрын
Sisiem kuna wajing weng san aisee imagine hii miaka hata 7 10 iliyopita chek iq ya uyu mama anaongelea serikal 3. Daah sisiem mmetuonea san mjitathmn hkun mbadiliko yoyote 2024 hii
@hamilsaleh-zo3hp
7 ай бұрын
Ndugu mapito tu haya wee usijipeee, utaondoka hapo wala hutotajwa kamwe!
@khamiskombo9524
7 жыл бұрын
Allah amrehemu
@ayshaamour2603
6 жыл бұрын
Khamis Kombo
@shaqyromar7735
5 ай бұрын
Motoni inshallah
@hamilsaleh-zo3hp
7 ай бұрын
Wengine wamo tu humo bungeni hawana wajualo
@rahmanassor7982
8 жыл бұрын
tusimseme vibaya na kumuombea mabaya coz sisi hatujui vp tutaondoka hapa duniani mung amsamehena na kumueka panapostahili kwa aliyoyatanguliza amin
@HemedHemed-qp2wt
Жыл бұрын
Aaaa waaapi
@SuleimanMuhammed-g7q
8 күн бұрын
Dah hii dunia miaka 70 tunayoishi tupo tayar tuuwe,tuibe,tuzulumu,tutukane,n.k huyo bibi alijisahau km ipo siku dunia tutaiacha alikua na kibrii
@uberdar967
5 жыл бұрын
huyu mama ovyo kwel
@nasseraisha6002
5 жыл бұрын
Nyooo ulokua hujijui apo mdomoo juuu unatukana wazanzibar wenzio mwisho wako ukawa unajikojolea ata khabar huna kwa laana zk
@noffelsalim3268
3 жыл бұрын
Ama kweli Kuna watu na viatu .huyu alikua Hana faida yoyote.
@GhaniaSaid-u5k
Ай бұрын
Huyu bibi mbwa
@fatmamohd308
5 жыл бұрын
Kifo oyeeeee
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Kafiri wewe!!!!
@khadijaabdallah933
2 жыл бұрын
Mungu amrehemu
@teddyoscar6876
4 жыл бұрын
Innalillahi wainna illahi rajuon 🙏 alitangulia mbele ya haki huyu mama maskini.
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
Lilkufiria mbarini
@ashlookhamis1773
6 жыл бұрын
Acheni kumzungumzia maiti aliekufa ukenda kwa mungu huulizwi siasa.
@abdibaalway325
5 жыл бұрын
Mungu amzidishie moto mkali
@abdibaalway325
5 жыл бұрын
Mungu amzidishie moto mkali asha bakari
@fatmahamed3285
5 жыл бұрын
Kila ulich fany dunian ata kisir utaulizwa
@stanslausmteme8455
2 жыл бұрын
Shida sn kunawatu hawajui kilichowapeleka hapo bungeni
@fakihdarusi4385
3 жыл бұрын
Alilia baraza la wawakilishi ,ATAKA SERIKALINI TATU ,THEN DODOMA AKAUFYATA
@patimabilali7820
2 жыл бұрын
ili bibi vp
@patimabilali7820
2 жыл бұрын
Uyo bbi kafa au yupo kwani
@fathiyasalim3946
3 жыл бұрын
Huyu mama Basi Tena tumuombee Allah amsameh
@abuuqatada9791
2 жыл бұрын
Allah amlipe anachostahiki
@khajumkhamis7910
Жыл бұрын
Tuchunge tunayoyaongea
@franklaurent216
8 жыл бұрын
haya
@stanslausmteme8455
2 жыл бұрын
Mvunja nchi ni mwananchi
@shabanialfani5394
3 жыл бұрын
Mbona Nchi nyingi tu Duniani tunaona zinaungana na baadae zunatengana tena. Siungi mkono watu watengane lkn tusitukane bila kujua ukweli ninyi mpo Bungeni mnaongea Pumba tu hebu nendeni Zanzibar mkawaulize Wazanzibar juu ya mambo yao ndiyo utaujua ukweli lkn kwa kulifuata Bunge na Wabunge wetu ni Comedy
@nadhirmagoma4657
5 жыл бұрын
Siku zote ccm znz huwapa nafsi wapumbavu kama haya ambao hawajielewi
@makamemufadhil627
5 жыл бұрын
Yupo waip leo
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Wewe utaruka???
@shaqyromar7735
5 ай бұрын
Moroni alhamdulillah
@salehsuleiman8519
3 жыл бұрын
Yaan sio Muumini wa dini ya kiislam dah pole sana ulimkosea sana Mungu wacha uvune ulichokipanda
@andrewrenadius7048
9 жыл бұрын
Akauze mchicha hyo
@dottomasiringi6370
9 жыл бұрын
Wabunge hatuja wachagua kutueleza fitna zenu tunahitaji mawazo ya kimaendeleo hasa miundo mbinu bunifu kuleta au kuongeza ajira nchini ...Spika unapaswa kumruhusu mbunge asimame na mawazo yaliyo na mchakato wa maendeleo
@mtunesalumu8359
5 жыл бұрын
uyu bibi alikuwa ovyo sana
@nak3477
4 жыл бұрын
Ata zile milion 100 alizopewa kwa kuvuruga katba hakuwah kuzitumia...atapata alicho kipanda
@makamemufadhil627
5 жыл бұрын
Semaaaaaaaa
@fathiyasalim3946
3 жыл бұрын
Natamani ungekuwepo ukaona uchafu wa ccm wa awamu yenu asha mtama
@hatibbaraka3956
5 жыл бұрын
Tunapopewa dhamana tusifanye hiana, na pumzi isituhadae huyu mama kwa kweli kasahau hata uzalendo wa anapotoka na wenzake wamefurahi akitukana sasa tujue pumzi zetu tukizitumia vibaya tusijekumlaumu mtu, Asha na spika wake iko wapi jeuri yao???
@hamilsaleh-zo3hp
7 ай бұрын
Mutaendele kutawaliwa mpaka kiama na ujinga wenu usiopimika huo
@fathiyasalim3946
3 жыл бұрын
Hasta haijui historian ya jussa anasukuma tu
@kindysuleiman5935
10 жыл бұрын
bi asha kidogo kidogo
@salehsuleiman8519
3 жыл бұрын
Zuiyeni na roho zisitoke kama nchi hamuitoi
@froma3732
2 жыл бұрын
Hakuna lisolikuwa na mwisho hata Firauni alikuwepo na nyie ccm itafika siku
@fakihdarusi4385
3 жыл бұрын
Huyu Bibi MUNGU ndio atajua Cha kumlipa ILA BIBI HUYU ALIKUWA MNAFIQ SANA HUYU
@saidahmed9688
2 жыл бұрын
aufyarua bungeni
@joshuanyonyi8820
7 жыл бұрын
R.I.P B Asha Baraka
@mwanaeidizenji8264
5 жыл бұрын
Asha Bakari no Baraka
@khadijaabdallah933
2 жыл бұрын
Asha Bakari
@suleimanbakar1271
5 жыл бұрын
mwenzenu anakla cha moto huko akhera yeye na kafiri sita
@mtunesalumu8359
5 жыл бұрын
suleiman bakar kafiri sugu sita
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Bahati mbaya sana Mungu sio mwehu kama wewe!!!
@husseinkonz5192
6 жыл бұрын
Rip bt nyumbu wameelewa
@sabahomar9464
4 жыл бұрын
RIP mama
@mohammedmhina3973
8 ай бұрын
Nyumbu amekufaaaa shwaaa😂😂😂😂😂😂😂 HUY NDO ALLAH
@ipmalu9947
6 жыл бұрын
Kama haafi vile
@chawekajrmahawi8776
5 жыл бұрын
Sasa tuuvunje tuuu!!! Maana huko ugenini tu tafrani wenyewe wazenji ukivunjika si yatarudi yale ya miaka ya 61 na 63 na 64 Zanzibar?
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Tena itakuwa hatari sana!!!!
@raymondnyamwihula7384
10 жыл бұрын
"Hii ni Serikali ya kimapinduzi, haikupatikana kwa Karatasi, ni Nchi imepinduliwa" kweli aliufyatua Mama haaaaaa haaaa haaa
@aldoba2826
5 жыл бұрын
Hatukupata katiba kwa sababu ya mipasho.Mlipiga pesa mkapita hivi.
@fedoaliyomari1112
5 жыл бұрын
ukipigiwa makofi unajiona hodari sote ni maiti watarajiwa
@amaninyekele5002
8 жыл бұрын
Rest in Peace mama Asha Bakari Makame
@thedriver.michael.3975
5 жыл бұрын
Mkitaka mtupindue, h
@allyjuma3323
8 жыл бұрын
khaà yaan hii ni balaaa huyu bibi kakusudia nn jamani mbona maslahi yako unayaonesha ww bb cc tunataka maendeleo co mjung yako hem kuwa mstaarabu ww bb khaaà aibu ate njumbe aibu hiyo bb
@Apeacfulguy
5 жыл бұрын
Firauni kapinduliwa itakuwa nyinyi
@abuuqatada9791
2 жыл бұрын
Haya mwambie Muungu huko ULIKO kma hamuitoi
@kabezibishoo2825
6 жыл бұрын
pumbavuuu
@amanam2735
8 жыл бұрын
Pumzika kwa amani mama.
@fedoaliyomari1112
5 жыл бұрын
serekali huitoi roho VP hujaitoa
@khajumkhamis7910
Жыл бұрын
Dah , unaongea ila unasahau kuwa wewe ni mwanadamu na pumzi zinakatika mda wowote ule
@kholofelonkoana7008
7 жыл бұрын
huyu bibi kweli alikua mpumbavu, uungue mpaka meno huko ulipo mwehu wee.
@kapilimajuma6558
7 жыл бұрын
rest in peace , you were a strong lady !
@mhayahabibu5029
9 жыл бұрын
Wapenda c hasa hamjambo?wapenzi wampila mpo?miemwenzenu napenda kula2
@mhayahabibu5029
9 жыл бұрын
Prosper mushi
@sadakhamis1261
6 жыл бұрын
Huyu biasha alijijua km yeye ni Mpemba... Au alikua mshenzi
@salymsuleyman6480
5 жыл бұрын
hamna mmpmba mjinga km hivi mungu amuunguze huko alipo
@aidoact3166
5 жыл бұрын
Allah akulipe uko uliko unachostahiki
@khamisali5978
Жыл бұрын
😂😂😂
@hamilsaleh-zo3hp
7 ай бұрын
Wengine wamo tu humo bungeni hawana wajualo
@fatimasuleyman4290
8 жыл бұрын
Jamani tumsameheni hakuna kiumbe aliye kamili aso hili ana lile, mwenzetu ameshatangulia mbele ya haki na sie tuko nyuma kifo ni haki kwa kila mwanaadam Allah atupe hatima njema inshallah na yeye Allah amlaze mahala pema inshallah AMIN
Пікірлер: 148