Leo tujuwe kwamba Hali ziko mbaya sana . Kwani mzazi awezi kuwa mchungaji wa mtoto lakini watoto nao waweze kuji chunguza kwani nao wana lahumu wazazi kwa kutokujuwa kwao kwani nao wamekwisha kushindana. Dada acha kusema uwongo.
@user-if8gc7nq6c
7 ай бұрын
Tena bien
@franklinofficialtv2852
Жыл бұрын
Wadada wa siku hizi wana tabia mbaya sana kama nyoka💔💔
@etonabintu
Жыл бұрын
Muendeleze iki kipindi kwakweli nimecheka sanaaaaaaaa uyu mzee anifuraisha sanaaa
@claraelengabulunda6750
Жыл бұрын
Kutoka mbunyumba siyo sawa ukiona mke wako au mme umuelewi mliliye Yesu tu atambadilisha
@majaliwakashindi804
Жыл бұрын
Huyu baba ana danganya huji ni stahili Ya sasa kukuza nywele ni mtindo ya leo
@ingodwetrust2905
Жыл бұрын
Nooooo ebwana mimi naona huyu baba anaongea vibaya kwani mtu akivaa suluwali eti wamuazibu? Kweli? Apana hiyo mambo nimbaya sana nilazimu musichana avae suluwali hakuna shida kabisa mimi ata kwamila zetu za wanyamulenge ilikuwa hivo lakini mimi sikubaliane nahayo yakusema wadada waludishwe nyuma apana kuvaa suluwali siyo shida ata please muwache right ya wanawake.
@reface6780
Жыл бұрын
Shida ni kutorizika kimapenzi na tamaa za wanawake, unakuta alikuwa amezoeya kugongwa na kila mtu akiolewa anakuwa kama vile amefungwa ndo unakuta anarudiliya hali yake.
@ishmaelbm1536
Жыл бұрын
We ni bandit kabisa 😂😂
@santoslaurent5652
Жыл бұрын
Ni wazungu ndo wametuma tumepoteza asilia yetu kisa haki ya mtoto
@denissongolobalondani8506
Жыл бұрын
wako wanaolewa naawaja komaa, akili
@massejobbs4284
Жыл бұрын
Jamani nitumie namba ya uyu dada. Vraiment elle est belle.
@massejobbs4284
Жыл бұрын
Lakini siishi congo.
@lumanyaenyonyi98
Жыл бұрын
Kama unapenda number yake wasiliana na Tanganyika TV
@massejobbs4284
Жыл бұрын
@@lumanyaenyonyi98 nitumie namba yake.
@massejobbs4284
Жыл бұрын
Acha dada aje kuishi seemu nzuri. Congo shida sana !!!
@adoumpmoussah939
Жыл бұрын
Hautamariza mapaja na nyama ni ile ile Wabinti wote nisawa
@amazitv2899
2 ай бұрын
Watoto wasasa mzee ni android tu tribe zimechanganywa wanasema siku hizi siyo nzama zakare kwa sasa ni Mungu tu😂😂😂😂
@azizabuyonde8368
Жыл бұрын
Yaani bunyumba ikibomoka, kosa ni mwanamke? Mwanaume naye?
Пікірлер: 27